< Luk 13 >

1 Erah toktok di mararah miloong ih Jisu suh Galili nok hate loong ih Rangte suh neng khosa siik hoon wan rum adi Pilat ih tek haat rumta tiit ah baat rumta.
Kwa wakataihuo huo, kulikuwa na baadhi watu waliomtaarifu juu ya Wagalilaya ambao Pilato aliwaua na kuchanganya damu yao na sadaka zao.
2 Jisu ih ngaakbaat rumta, “Galili nok hate loong erah tek haat rum kano, sen ih neng loong ah o nang ih uh rangdah thoon ang rumkano tek haatta ih tam thunhan?
Yesu akajibu na kuwaambia, “Je mwadhani kuwa Wagalilaya hao walikuwa na dhambi kuliko Wagalilaya wengine wote ndiyo maana wamepatwa na mabaya hayo?
3 Emah, tah angka! Enoothong ngah ih baat rumhala sen rangdah nawa maang ngaak lelek bah, sen uh loongtang neng tekta likhiik ih ti an.
Hapana, nawaambia, lakini msipotubu, nanyi mtaangamia vivyo hivyo.
4 Siloom hah ni asih wah asat mina nok echoong ah rungdat ano mamet tekpat rumta? Erah mih loong ah Jerusalem ni songtongte loong o nang ih uh rangdah thoon ang rum kano tekpat rumta ih tammok thunhan?
Au wale watu kumi na nane katika Siloamu ambao mnara ulianguka na kuwaua, mnafikiri wao walikuwa wenye dhambi zaidi kuliko watu wengine katika Yerusalemu?
5 Emah, tah angka! Enoothong ngah ih baat rumhala, sen rangdah nawa lah ngaak lekkan bah, sen uh emamah neng tek rumta likhiik ih ti an.
Hapana, mimi nasema, lakini kama msipotubu, ninyi nyote pia mtaangamia.
6 Eno Jisu ih arah tiitthaak ah baat rumta: “Teewadi mih wasiit ih heh phek ni puksak bang kiita. Eno hetiik taat sokkah adi tatiikta.
Yesu aliwaambia mfano huu, “Mtu mmoja alikuwa na mtini umepandwa katika shamba lake na alikwenda kutafuta matunda juu yake lakini hakupata.
7 Eno heh ih phekbante wah asuh liita, ‘Sokthaak uh, ngah ih paang jom arah puksak bangtiik ah taatwoot sokwang halang, ang abah uh esiit uh tatup kang. Edook haat et uh! Hah ah tumet suh thaam haamtaam phook thuk ah?’
Akamwambia mtunza bustani, 'Tazama, kwa miaka mitatu nimekuja na kujaribu kutafuta matunda kwenye mtini huu lakini sikupata. Uukate. Kwani ulete uharibifu wa ardhi?
8 Enoothong phekbante warah ih ngaak baatta, Chuupha, belam paang siit than toom waktong ah; ngah ih hehing ah kookthoh angno phon maahaat thaak ang.
Mtunza bustani akajibu na kusema, 'uache mwaka huu ili niupalilie na kuweka mbolea juu yake.
9 Ngaarang lek dong tiik abah eseethoon; latiikka bah, an ih erah doh dok haat theng.’”
Kama ukizaa matunda mwaka ujao, ni vema; lakini kama hautazaa, uukate!”'
10 Saasiit Jehudi naangtongsa di Jisu ih Jehudi rangsoomnok ni nyootsoot rumta.
Sasa Yesu alikuwa akifundisha katika mojawapo ya Masinagogi wakati wa Sabato.
11 Erah di minuh esiit asih paang asat laathih ih sat thuk arah angta; heh ah siingkot angta, eno amasah uh takah mi jun chapta.
Tazama, alikuwepo mama mmoja ambaye kwa miaka kumi na minane alikuwa na rohomchafu wa udhaifu, na yeye alikuwa amepinda na hana uwezo kabisa wa kusimama.
12 Jisu ih erah nuh ah tup ano, poonta, “Minuh, an khoisat ah ede elu!”
Yesu alipomwona, alimwita, akamwambia, “Mama, umewekwa huru kutoka kwenye udhaifu wako.”
13 Heh lak adi taajoh kano, lakdamdam di heh teenuh nuh laan mi jun chap ruh eta, eno Rangte ah phoongphaata.
Akaweka mikono yake juu yake, na mara mwili wake akajinyoosha na akamtukuza Mungu.
14 Jisu ih naangtongsa di deesiit rum kano Jehudi rangsoomnok ni mote saahaap ah ekhat eta, eno miloong asuh baatta, “Seng suh sa arok jeela pakna reeraangjih ah; erah raang ih sa arok mong adoh raahan no sen khoisat ah deesiit theng, naangtongsa doh tah angka!”
Lakini mkuu wa sinagogi alikasirika kwa sababu Yesu alikuwa amemponya siku ya Sabato. Hivyo mtawala akajibu akawambia makutano, “Kuna siku sita ambazo ni lazima kufanya kazi. Njoni kuponywa basi, si katika siku ya Sabato. '
15 Eno Teesu ih heh suh ngaakbaatta, “Lonoite sen loong! Sen dowa o ih bah uh sen maanpong adoleh sen moktoh ah naangtongsa di taap nawa ja ano juung jok tanih kadok siitkan.
Bwana akamjibu na akasema, “wanafiki! Hakuna kila mmoja wenu kufungua punda wako au ng'ombe kutoka zizini na kuwaongoza kumpeleka kunywa siku ya Sabato?
16 Arah nuh ah Abraham susah Soitaan ih asih paang asat chamnaang ha; naangtongsa doh heh ah tanih jen deesiitka?
Hivyo pia binti wa Abrahamu, ambaye Shetani amemfunga kwa miaka kumi na minane, je haikumpasa kifungo chake kisifunguliwe siku ya sabato?”
17 “Erah ngaakbaat rum kano heh raawah loong ah neng rakrakri ih rumta, mihoh loong abah heh epaatjaajih reeta asuh eroon ih rumta.
Alipokuwa akisema maneno hayo, wale wote waliompinga waliona aibu, bali makutano wote wa wengine walishangilia kwa ajili ya mambo ya ajabu aliyotenda.
18 Jisu ih chengta, “Rangte Hasong ah tumjih likhiik ah? Ngah ih tumjih doh toobaat ang?
Yesu akasema, “Ufalme wa Mungu unafanana na nini, na naweza kuulinganisha na nini?
19 Erah ah arah likhiik. Mih wasiit ih miinjaangjih ah heh phek nah wenkaat arah likhiik. Eno hephook ah phook ano hebang ih donghak, eno heh phaak loong adoh woh ah tep.”
Ni kama mbegu ya haradari aliyoitwaa mtu mmoja na kuipanda shambani mwake, na ikamea ikawa mti mkubwa, na ndege wa mbinguni wakajenga viota vyao katika matawi yake.
20 Jisu ih we chengta, “Rangte Hasong ah tumjih doh toobaat ang?
Tena akasema, “Niufananishe na nini ufalme wa Mungu?
21 Erah arah likhiik. Minuh esiit ih thekook siit wongbaan adoh to ah woi ano maang sumsum et thiin arah likhiik.”
Ni kama chachu ambayo mwanamke aliichukua na kuchanganyakwenye vipimo vitatu vya unga hata ukaumuka.”
22 Jisu samthung nyia hadaang loong lam ih kah ano miloong asuh nyootsoot lamdi Jerusalem koh ih dokkhoom kaat chungta.
Yesu alitembelea kila mji na kijiji njiani akielekea Yerusalemu na kuwafundisha.
23 Mih wasiit ih chengta, “Chuupha, ene ko mina ah tam pi ah?” Jisu ih ngaakbaatta,
Mtu mmoja akauliza, “Bwana, ni watu wachache tu watakaookolewa?” Hivyo akawaambia,
24 “Kaawan ehin adoh jen nop suh sen ese mathan ih jen re an eme re an; tumeah warep ih erah doh wangsuh taatthun ah, ang abah uh tajen wangrumka ang ah.
“Jitahidi kuingia kwa kupitia mlango mwembamba, kwa sababu wengi watajaribu na hawataweza kuingia.
25 Nok changte ah saat ano kaasak ah tangsak et ah; eno sen ah kaasakthong adoh chap anno taat rengdok leh baat et an, ‘Chuupha! Seng suh kaaluung ah daap koh weehe!’ Eno heh ih ngaakbaat han, ‘Ngah ih sen tajat rumra ma nawa thok halan!’
Mara baada ya mmiliki wa nyumba kusimama na kufunga mlango, basi mtasimama nje na kupiga hodi mlangoni na kusema, Bwana, Bwana, tufungulie yeye atajibu na kuwaambia, siwajui ninyi wala mtokako.'
26 Eno sen ih ngaakbaat an, ‘Seng an damdi karoong jok phaksah tahe; eno seng hadaang ni nep an ih kah nyootsoot tahe loong ah!’
Ndipo mtasema, Tulikula na kunywa mbele yako na wewe ulifundisha katika mitaa yetu.”
27 Eno heh ih we li han, ‘Ngah ih tajat rumra sen ma nawa thok halan rah ah. Soon an nga re nawa ah, mimoong sen loong!’
Lakini yeye atawajibu, `nawaambia, siwajui mtokako, ondokeni kwangu, ninyi watenda maovu!'
28 Eno sen tumthan ih huung an, sen pha ah saat anno ah, sen ih Abraham, Isak, nyia Jaakob, erah damdoh khowah loong ah Rangte Hasong nah tup anno ah, sen baleh erah doh dok haat cho ang an!
Kutakuwa na kilio na kusaga meno wakati mtakapowaona Abrahamu, Isaka, Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu, lakini ninyi wenyewe mumetupwa nje.
29 Mina loong ah saadong saanop ko nawa, juungkuh juungmeh nawa lomthok ha, eno Rangte Hasong nah kuwaang phaksat roong phaksah tong rum ah.
Watafika kutoka Mashariki, Magharibi, Kaskazini na Kusini, na kupumzika katika meza ya chakula cha jioni katika ufalme wa Mungu.
30 Eno o amadi liwang angla loong ah jaakhoh ang ah, o jaakhoh angla loong ah liwang ang ah.”
Na tambua hili, wa mwisho ni wa kwanza na wa kwanza atakuwa wa mwisho.”
31 Eno erah toktok di mararah Pharisi loong ah thok haano Jisu suh baatta, “An aadowa maanah ang abah uh edok khoom jaatjaat eh uh, tumeah Hirod ih an tek haat chung halu.”
Muda mfupi baadaye, baadhi ya Mafarisayo walikuja na kumwambia, “Nenda na ondoka hapa kwa sababu Herode anataka kukuua.”
32 Jisu ih ngaakbaat rumta, “Kah anno erah maut asuh baatkaat an: ‘Chiinyah nyia rangkhah ngah ih Chiithih laakhah loong ah dokphan ang, khoisatte ah deesiit et ang, eno sa jom doh thoon reeraang pakna ang.’
Yesu akasema, “Nendeni mkamwambie yule mbweha, `Tazama, ninawafukuza pepo na kufanya uponyaji leo na kesho, na siku ya tatu nitatimiza lengo langu.
33 Enoothong Chiinyah, rangkhah nyia ngaarang ah ngah ah khoom ruh ete anglang, tumeah khowah ah hahoh nah tek haat ah tapunka ang ah, Jerusalem nah ba tek haat ah.
Katika hali yoyote, ni muhimu kwa ajili yangu kuendelea leo, kesho, na siku iliyofuata, kwa vile haikubaliki kumuua nabii mbali na Yerusalemu.
34 “O Jerusalem, Jerusalem! Sen ih khowah loong tek haat han, sen ih Rangte ih kongphaak huite daapjaha rah jong ih tekpat han! Ngah ih sen mina loong ah lomkhoon joot suh nga lak tumthan taat janghaat hang, woh ih heh sah loong ah hejang khui ni kakhon ah likhiik ah, ang abah uh sen ih talomjoot thukri!
Yerusalemu, Yerusalemu, nani anawaua manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwenu. Mara ngapi nimetaka kuwakusanya watoto wenu kama vile kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mbawa zake, lakini humkulitaka hili.
35 Erah raangtaan ih Rangteenok ah thiinhaat ete anglan. Ngah ih amiimi ih baat rumhala sen ih ngah tajap tupri ang an, saapoot rookli ano sen ih amah maang jengjeng, ‘Teesu mendi o ra hala asuh Rangte ih romseetam koh ah.’”
Tazama, nyumba yako imetelekezwa. Nami nawaambia, hamuwezi kuniona hata mtakaposema 'Amebarikiwa huyo ajaye kwa jina la Bwana.'”

< Luk 13 >