< Luke 13 >

1 Titia kunba manu khan etu homoi te Jisu ke eneka khobor dise ki Pilate pora bolidan kora homoi te tai Galilee manu khan ke morai dikena taikhan laga khun bhi milai dise.
Kwa wakataihuo huo, kulikuwa na baadhi watu waliomtaarifu juu ya Wagalilaya ambao Pilato aliwaua na kuchanganya damu yao na sadaka zao.
2 Jisu taikhan ke koise, “Tumikhan bhabise naki etu Galilee manu khan dusra Galilee manu khan pora bhi bisi paapi khan ase kelemane taikhan eneka dukh paise?
Yesu akajibu na kuwaambia, “Je mwadhani kuwa Wagalilaya hao walikuwa na dhambi kuliko Wagalilaya wengine wote ndiyo maana wamepatwa na mabaya hayo?
3 Nohoi, Moi tumikhan ke hosa kobo. Jodi tumikhan mon naghurai, tumikhan bhi eneka he khotom hoi jabo.
Hapana, nawaambia, lakini msipotubu, nanyi mtaangamia vivyo hivyo.
4 Aru atharo jon manu kunkhan uporte Siloam laga minar giri kene mari dise, tumikhan bhabise naki Jerusalem te thaka manu khan pora bhi taikhan he bisi paapi thakise?
Au wale watu kumi na nane katika Siloamu ambao mnara ulianguka na kuwaua, mnafikiri wao walikuwa wenye dhambi zaidi kuliko watu wengine katika Yerusalemu?
5 Nohoi, Moi tumikhan ke koi ase. Jodi tumikhan mon naghuraile, taikhan nisena khotom hoi jabo.”
Hapana, mimi nasema, lakini kama msipotubu, ninyi nyote pia mtaangamia.
6 Titia Jisu ekta dristanto koise, “Ekjon manu tai laga bagan te dimoru ghas rupaisile, aru tai etu ghas te phol bisarikena jaise, kintu eku pa-a nai.
Yesu aliwaambia mfano huu, “Mtu mmoja alikuwa na mtini umepandwa katika shamba lake na alikwenda kutafuta matunda juu yake lakini hakupata.
7 Titia tai bagan sa-a manu ke koise, ‘Sabi, tin saal moi etu ghas te phol bisari kene ahise, kintu eku pa-a nai. Etu ke kati dibi. Etu mati to kele nuksan koribo?’
Akamwambia mtunza bustani, 'Tazama, kwa miaka mitatu nimekuja na kujaribu kutafuta matunda kwenye mtini huu lakini sikupata. Uukate. Kwani ulete uharibifu wa ardhi?
8 Titia noukar pora malik ke eneka jowab dise, ‘Probhu, etu saal nimite chari dibi, moi aru ekbar bhal pora etu ghas to mol dikene sabo.
Mtunza bustani akajibu na kusema, 'uache mwaka huu ili niupalilie na kuweka mbolea juu yake.
9 Jodi etu ghas pora etu somoi nisena te phol diye, to bhal ase, kintu jodi etu pora bhal phol diya nai koile, apuni etu ghas to kati dibi!’”
Kama ukizaa matunda mwaka ujao, ni vema; lakini kama hautazaa, uukate!”'
10 Aru ek Bisram dinte Jisu mondoli khan te hikai thakise,
Sasa Yesu alikuwa akifundisha katika mojawapo ya Masinagogi wakati wa Sabato.
11 Aru ta te ekjon mahila atharo saal pora komjur laga atma thakise, tai laga komor to tera thakise aru ekdom sidha koribo napari kene thakise.
Tazama, alikuwepo mama mmoja ambaye kwa miaka kumi na minane alikuwa na rohomchafu wa udhaifu, na yeye alikuwa amepinda na hana uwezo kabisa wa kusimama.
12 Aru jitia Jisu taike dikhise, Tai usorte mati kene koise, “Mahila, tumi laga komjur pora tumi mukti paise.”
Yesu alipomwona, alimwita, akamwambia, “Mama, umewekwa huru kutoka kwenye udhaifu wako.”
13 Titia Jisu tai laga hath etu mahila uporte rakhise, aru etu homoi te tai sida hoi jaise aru tai Isor ke dhanyavad dise.
Akaweka mikono yake juu yake, na mara mwili wake akajinyoosha na akamtukuza Mungu.
14 Kintu mondoli te thaka cholawta khan bhal pa-a nai aru Jisu pora Bisram dinte changai kaam kora nimite manu khan ke koise, “Choi din tak kaam kori bole dorkar ase. Etu homoi te he bhal hobole ahibi, kintu Bisram dinte nahibi.”
Lakini mkuu wa sinagogi alikasirika kwa sababu Yesu alikuwa amemponya siku ya Sabato. Hivyo mtawala akajibu akawambia makutano, “Kuna siku sita ambazo ni lazima kufanya kazi. Njoni kuponywa basi, si katika siku ya Sabato. '
15 Kintu Probhu taikhan ke koise, “Dhongi khan! Tumikhan Bisram dinte tumikhan laga guru, saguli khan ke tai laga ghor pora ulaikene pani khabole loi najai naki?
Bwana akamjibu na akasema, “wanafiki! Hakuna kila mmoja wenu kufungua punda wako au ng'ombe kutoka zizini na kuwaongoza kumpeleka kunywa siku ya Sabato?
16 Etu mahila, Abraham laga khandan pora ahise, junke Saitan para atharo saal tak bandhi kene rakhise, tenehoile taike Bisram dinte khuli nadibo lage naki?”
Hivyo pia binti wa Abrahamu, ambaye Shetani amemfunga kwa miaka kumi na minane, je haikumpasa kifungo chake kisifunguliwe siku ya sabato?”
17 Jitia Tai etu kotha kori kene khotom hoise, jun Jisu ke ghusa kori thakise taikhan sorom lagi jaise, kintu sob manu khan khushi kori kene dhanyavad di thakise juntu kaam Tai kori kene dikhai diya karone.
Alipokuwa akisema maneno hayo, wale wote waliompinga waliona aibu, bali makutano wote wa wengine walishangilia kwa ajili ya mambo ya ajabu aliyotenda.
18 Titia Jisu koise, “Isor laga rajyo to kineka ase, aru Moi etu ke ki logote tulona koribo?
Yesu akasema, “Ufalme wa Mungu unafanana na nini, na naweza kuulinganisha na nini?
19 Etu ekta sorso dana nisena ase jineka ekjon manu pora loi kene tai laga kheti te phelaise, aru etu dangor ghas hoi jaise, aru ta te chiriya khan bhi ahikena ghor bonaise.”
Ni kama mbegu ya haradari aliyoitwaa mtu mmoja na kuipanda shambani mwake, na ikamea ikawa mti mkubwa, na ndege wa mbinguni wakajenga viota vyao katika matawi yake.
20 Aru Tai koise, “Isor laga rajyo to ki logote tulona koribo?
Tena akasema, “Niufananishe na nini ufalme wa Mungu?
21 Ekjon mahila pora tin kilo atta te khomir hali dise, jitia tak etu phuli najai.”
Ni kama chachu ambayo mwanamke aliichukua na kuchanganyakwenye vipimo vitatu vya unga hata ukaumuka.”
22 Aru Jisu nogor aru bosti khan te jai kene hikai thakise aru Jerusalem te jabo nimite taiyar kori thakise.
Yesu alitembelea kila mji na kijiji njiani akielekea Yerusalemu na kuwafundisha.
23 Etiya ekjon pora Taike hudise, “Probhu, jun poritran pai ase taikhan olop jon he ase naki?” Titia Tai taikhan ke koise,
Mtu mmoja akauliza, “Bwana, ni watu wachache tu watakaookolewa?” Hivyo akawaambia,
24 “Etu chutu rasta te jabole nimite dukh koribi, kelemane Moi tumikhan ke koi ase, bisi manu etu te ghusi bole kosis koribo, kintu ghusi bole na paribo.
“Jitahidi kuingia kwa kupitia mlango mwembamba, kwa sababu wengi watajaribu na hawataweza kuingia.
25 Jitia ghor laga malik pora dorwaja to bondh kori dibo, titia tumi dorja to marikena kobo, ‘Probhu, moi khan nimite khuli bhi.’ Kintu tai tumikhan ke kobo, ‘Moi tumikhan ke najane, aru tumikhan kot pora ase.’
Mara baada ya mmiliki wa nyumba kusimama na kufunga mlango, basi mtasimama nje na kupiga hodi mlangoni na kusema, Bwana, Bwana, tufungulie yeye atajibu na kuwaambia, siwajui ninyi wala mtokako.'
26 Titia tumi he kobo, ‘Amikhan Apuni logote bohi kene eke logote khai sele, aru Apuni amikhan laga jagate ahikena sikhai dise.’
Ndipo mtasema, Tulikula na kunywa mbele yako na wewe ulifundisha katika mitaa yetu.”
27 Titia Tai kobo, ‘Moi tumikhan ke koi ase, Moi tumikhan kot pora ahise najane. Moi usor pora dur hoi jabi sob biya kaam kora khan!’
Lakini yeye atawajibu, `nawaambia, siwajui mtokako, ondokeni kwangu, ninyi watenda maovu!'
28 Etu jagate, kanda he thakibo, aru dath chababo aru jitia Abraham, Isaac aru Jacob aru sob bhabobadi khan ke Isor laga rajyo to dikhibo, kintu etu pora tumikhan ke bahar te phelai dibo.
Kutakuwa na kilio na kusaga meno wakati mtakapowaona Abrahamu, Isaka, Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu, lakini ninyi wenyewe mumetupwa nje.
29 Taikhan purab, paschim, uttor aru dakshin pora ahikena Isor laga rajyote bohibo.
Watafika kutoka Mashariki, Magharibi, Kaskazini na Kusini, na kupumzika katika meza ya chakula cha jioni katika ufalme wa Mungu.
30 Aru sabi, kun manu pichete thakise taikhan age te ase, aru kunba jun age te ase, taikhan pichete hoi jabo.”
Na tambua hili, wa mwisho ni wa kwanza na wa kwanza atakuwa wa mwisho.”
31 Etu homoi te, kunba Pharisee khan Tai usorte ahikena koise, “Amikhan ke chari bhi aru yate pora jai jabi, kelemane Herod tumike morai dibole bisari ase.”
Muda mfupi baadaye, baadhi ya Mafarisayo walikuja na kumwambia, “Nenda na ondoka hapa kwa sababu Herode anataka kukuua.”
32 Jisu taikhan ke koise, “Jai kene utu siyal Herod ke kobi, ‘Sabi, Moi bhoot khan ke khedai dise aru bemar khan ke aji aru kali bhal korise, aru tin din pichete Moi laga lakshya punchi jabo.’
Yesu akasema, “Nendeni mkamwambie yule mbweha, `Tazama, ninawafukuza pepo na kufanya uponyaji leo na kesho, na siku ya tatu nitatimiza lengo langu.
33 Jineka hoile bhi Moi kaam kori thakibo, aji, kali aru aha dinte bhi, kele koile Jerusalem te bhabobadi khan harai ja-a to bhal nai.
Katika hali yoyote, ni muhimu kwa ajili yangu kuendelea leo, kesho, na siku iliyofuata, kwa vile haikubaliki kumuua nabii mbali na Yerusalemu.
34 Oh Jerusalem, Jerusalem, kun he bhabobadi khan ke morai diye aru tumikhan usorte ahile pathor pora mari kene pathai diye. Moi kiman itcha korise tumikhan laga bacha khan ke eke logote rakhibole nimite jineka ekta murgi tai laga bacha khan ke pakhi nichete rakhe. Kintu tumikhan etu itcha nakore.
Yerusalemu, Yerusalemu, nani anawaua manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwenu. Mara ngapi nimetaka kuwakusanya watoto wenu kama vile kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mbawa zake, lakini humkulitaka hili.
35 Sabi, tumikhan laga ghor to khali hoi jaise. Kile Moi kobo, tumikhan Moike aru nadikhibo etu homoi naha tak, jitia tumikhan kobo, ‘Asirbad pabo jun Probhu laga naam te ahise.’”
Tazama, nyumba yako imetelekezwa. Nami nawaambia, hamuwezi kuniona hata mtakaposema 'Amebarikiwa huyo ajaye kwa jina la Bwana.'”

< Luke 13 >