< Cakarijas 10 >

1 Lūdziet lietu no Tā Kunga vēlajā lietus laikā! Tas Kungs rada zibeņus; Viņš tiem dos lietus papilnam ikkatrai zālei laukā.
Mwombeni Bwana mvua wakati wa vuli; ndiye Bwana atengenezaye mawingu ya tufani. Huwapa watu manyunyu ya mvua, pia mimea ya shambani kwa ajili ya kila mtu.
2 Jo dievekļi runā nelietību, un zīlnieki rauga viltību un runā melu sapņus un iepriecina ar niekiem. Tādēļ tie maldās kā avis, tie ir nospaidīti, jo tur nav gana.
Sanamu huzungumza udanganyifu, waaguzi huona maono ya uongo; husimulia ndoto ambazo si za kweli, wanatoa faraja batili. Kwa hiyo watu wanatangatanga kama kondoo walioonewa kwa kukosa mchungaji.
3 Pret tiem ganiem Mana bardzība iedegusies, un tos āžus Es piemeklēšu. Jo Tas Kungs Cebaot piemeklē Savu ganāmo pulku, Jūda namu, un to ieceļ Sev par goda zirgu karā.
“Hasira yangu inawaka dhidi ya wachungaji, nami nitawaadhibu viongozi; kwa kuwa Bwana Mwenye Nguvu Zote atalichunga kundi lake, nyumba ya Yuda, naye atawafanya kuwa kama farasi mwenye kiburi akiwa vitani.
4 No viņa iznāks stūra akmens, nagla, kara stops un visi valdnieki līdz.
Kutoka Yuda litatokea Jiwe la pembeni, kutoka kwake vitatoka vigingi vya hema, kutoka kwake utatoka upinde wa vita, kutoka kwake atatoka kila mtawala.
5 Un tie būs kā varoņi, kas kaušanā samin ielas dubļus, un tie kausies, jo Tas Kungs būs ar viņiem, un tie liks kaunā zirgu jājējus.
Kwa pamoja watakuwa kama mashujaa wanaokanyaga barabara za matope wakati wa vita. Kwa sababu Bwana yu pamoja nao, watapigana na kuwashinda wapanda farasi.
6 Un Es stiprināšu Jūda namu un atpestīšu Jāzepa namu, un Es tos atkal iestādīšu, jo Es par tiem esmu apžēlojies, un tie būs, tā kā Es tos nebūtu atmetis, jo Es esmu Tas Kungs, viņu Dievs, un tos paklausīšu.
“Nitaiimarisha nyumba ya Yuda na kuiokoa nyumba ya Yosefu. Nitawarejesha kwa sababu nina huruma juu yao. Watakuwa kama watu ambao sijawahi kuwakataa kwa sababu mimi ndimi Bwana Mungu wao, nami nitawajibu.
7 Un Efraīms būs kā varonis un viņa sirds priecāsies kā no vīna. Un viņa bērni to redzēdami līksmosies, viņu sirds priecāsies iekš Tā Kunga.
Waefraimu watakuwa kama mashujaa, mioyo yao itafurahi kana kwamba ni kwa divai. Watoto wao wataona na kufurahi, mioyo yao itashangilia katika Bwana.
8 Un Es tos ataicināšu un sapulcēšu, jo Es tos gribu izpestīt, un tie vairosies, kā tie citkārt vairojās.
Nitawaashiria na kuwakusanya ndani. Hakika nitawakomboa, nao watakuwa wengi kama walivyokuwa mwanzoni.
9 Un Es tos sēšu starp tautām, un tie Mani pieminēs tālās zemēs, un tie dzīvos ar saviem bērniem un atgriezīsies.
Ijapokuwa niliwatawanya miongoni mwa mataifa, hata hivyo wakiwa katika nchi za mbali watanikumbuka mimi. Wao na watoto wao watanusurika katika hatari nao watarudi.
10 Un Es tos atvedīšu no Ēģiptes zemes un tos sapulcināšu no Asīrijas un tos vedīšu uz Gileāda zemi un Tībanu, ka viņam nepietiks vietas.
Nitawarudisha kutoka Misri na kuwakusanya toka Ashuru. Nitawaleta katika nchi ya Gileadi na Lebanoni, na hapo hapatakuwa na nafasi ya kuwatosha.
11 Un viņš iet caur bēdu jūru un sit viļņus jūrā, un visi upes dziļumi izsīks; tad Asura lepnība taps nogāzta, un Ēģiptes scepteris zudīs.
Watapita katika bahari ya mateso; bahari iliyochafuka itatulizwa na vilindi vyote vya Mto Naili vitakauka. Kiburi cha Ashuru kitashushwa, nayo fimbo ya utawala ya Misri itatoweka.
12 Un Es tos stiprināšu iekš Tā Kunga, un tie staigās Viņa vārdā, saka Tas Kungs.
Nitawaimarisha katika Bwana, na katika jina lake watatembea,” asema Bwana.

< Cakarijas 10 >