< Trešā Mozus 25 >

1 Un Tas Kungs runāja uz Mozu Sinaī kalnā un sacīja:
Yahweh akazungumza na Musa kwenye Mlima wa Sinai, akisema,
2 Runā uz Israēla bērniem un saki tiem: Kad jūs nāksiet tai zemē, ko Es jums dodu, tad tai zemei būs turēt dusēšanu Tam Kungam.
“Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, “Mtakapoingia katika nchi ambayo ninawapa, kisha hiyo nchi lazima ifanywe iwe ya kuishika Sabato kwa ajili ya Yahweh.
3 Sešus gadus tev savu tīrumu būs apsēt un sešus gadus savu vīna dārzu apgriezt un viņa augļus krāt.
Ni lazima mtapanda mazao yenu kwa miaka sita, na kwa miaka sita mtaikatia matawi mizabibu yenu na kukusanya mazao yake.
4 Bet tas septītais gads lai ir tas lielais dusēšanas laiks tai zemei, dusēšana Tam Kungam; savu tīrumu tev nebūs apsēt un savu vīnadārzu tev nebūs apgraizīt.
Lakini katika mwaka wa saba, Sabato ya pumziko la utulivu kwa nchi itashikwa, ni Sabato kwa Yahweh. Hamtapanda mashamba yenu wala kuikatia mizabibu yenu matawi yake.
5 Kas pēc tavas pļaušanas pats aug, to tev nebūs nopļaut, un tās ogas, kas bez tavas kopšanas aug, tev nebūs nogriezt; lai tas ir dusēšanas gads zemei.
Hamtasimamia mavuno yoyote ya mazao ya mizabibu iliyojiotesha yenyewe katika mashamba yenu ya mizabibu isiyokatiwa matawi. Huu utakuwa mwaka wa pumziko lenye utulivu kwa ardhi.
6 Bet ko zeme tai dusēšanā nes, lai ir jums par barību, tev un tavam kalpam un tavai kalponei un tavam algādzim un tavam piedzīvotājam, kas mīt pie tevis.
Chochote ardhi isiyofanyiwa kazi itakachotoa wakati wa Sabato ndicho kitakuwa chakula chako. Wewe mwenyewe, watumwa wako wa kiume na wa kike, watumishi wako wa kuajiriwa na wageni wanaoishi pamoja nawe mnaweza kujikusanyia chakula.
7 Un tavam lopam un tam zvēram, kas tavā zemē, lai visi viņas augļi ir par barību.
Na wnyama wako wa kufugwa na wanyama pori waweze kula chochote ardhi itoacho.
8 Un tev septiņus tādus dusēšanas gadus būs skaitīt, septiņus gadus septiņreiz, tā ka to septiņu dusēšanas gadu laiks tev ir četrdesmit deviņi gadi.
Ni lazima kwenu kuhesabu Sabato saba za miaka, yaani, saba mara miaka saba, ikifanya jumla ya miaka arobaini na tisa.
9 Un gavilēšanas bazūne lai skan septītā mēnesī, desmitā mēneša dienā; salīdzināšanas dienā lai bazūne skan visā jūsu zemē.
Kisha mtapiga sauti ya tarumbeta kila mahali katika siku ya kumi ya mwezi wa saba. Katika Siku ya Upatanisho ni lazima mtapiga tarumbeta katika nchi yenu yote.
10 Un jums būs svētīt piecdesmito gadu un izsaukt svabadību tai zemē priekš visiem, kas tur dzīvo; tas lai jums ir gaviles gads, un jums būs ikvienam atkal nākt pie sava īpašuma un ikvienam būs atkal nākt pie savas cilts,
Nanyi mtautenga mwaka wa hamsini kwa ajili ya Yahweh na mtatangaza uhuru katika nchi yote kwa wakazi wote. Kutakuwa na Yubile kwa ajili yenu, ambayo kwayo mali na watumwa ni lazima warejeshwe kwa familia zao.
11 Gaviles gads lai jums ir tas piecdesmitais gads; jums nebūs sēt, nedz to pļaut, kas no sevis paša aug, nedz nogriezt, kas aug bez jūsu kopšanas.
Mwaka wa saba kutakuwa na Yubile kwenu. Hamtapanda wala kusimamia mavuno ya kijioteshacho chenyewe, na kukusanya kichipukacho kwenye mizabibu isiyokatiwa matawi.
12 Jo šis ir gaviles gads, tas lai jums ir svēts; jums no tīruma būs ēst, kas tur aug.
Kwa sababu hiyo ni Yubile takatifu kwenu. Nanyi mtakula mazao yanayokua yenyewe kutoka mashambani.
13 Šinī gaviles gadā jums ikvienam atkal būs nākt pie sava īpašuma.
Ni lazima muwarejeshe kila mmoja kwenye miliki yake katika mwaka huu wa Yubile.
14 Tad nu, ja tu ko pārdosi savam tuvākam, vai no sava tuvākā rokas ko pirksi, tad viens otram pāri nedariet.
Iwapo utauza ardhi yoyote ya jirani yako au kununua ardhi yake, ni shrti msipunjane au kutendeana kwa hila.
15 Pēc gadu skaita no tā gaviles gada tev būs pirkt no sava tuvākā, un pēc augļu gadu skaita tev būs viņam pārdot.
Iwapo unanunua ardhi kutoka kwa jirani yako, zingatia idadi ya miaka na mazao ambayo yaweza kuvunwa mpaka mwaka wa Yubile nyingine. Jirani yako anayeuza ardhi ni lazima aihesabu miaka hiyo pia.
16 Jo vairāk gadu jo vairāk maksās, un jo mazāk gadu jo mazāk maksās, jo viņš tev pārdod tos augļus pēc tiem gadiem.
Miaka inapoongezeka mpaka Yubile nyingine, ataongeza thamani ya ardhi, na miaka inapokuwa michache kufikia Yubile nyingine atashusha thamani, kwa sababu idadi ya mavuno inahusiana na idadi ya miaka kabla ya Yubile nyingine.
17 Tad nu nedariet pāri viens otram, bet bīstaties savu Dievu; jo Es esmu Tas Kungs, jūsu Dievs.
Msipunjane au kutendeana kwa hila, badala yake, yawapasa kumheshi Yahweh Mungu wenu.
18 Un dariet Manus likumus un turat Manas tiesas un dariet tās, tad jūs tai zemē varēsiet dzīvot mierā.
Kwa hiyo basi, ni lazima muyatii maagiza, kuzitunza sheria zangu na kuzitekeleza. Nanyi mtaishi katika nchi katika usalama.
19 Un zeme dos savus augļus, un jūs ēdīsiet un būsiet paēduši, un tur dzīvosiet mierā.
Nayo nchi itawapa mavuno yake, nanyi mtakula matunda yenu na mtaishi humo salama.
20 Un ja jūs sacīsiet: ko ēdīsim septītā gadā? Redzi, mēs nesējam, nedz krājam savus augļus; -
Labda mtasema, Tutakula nini katika mwaka wa saba? Tazama, hatuwezi kupanda wala kukusanya mazao yetu.”
21 Tad Es pavēlēšu Savai svētībai par jums sestā gadā, ka tam būs izdot treju gadu augļus.
Nitaiamru baraaka yangu ije juu yenu katika mwaka wa sita, nayo itatoa mavuno ya kutosha kwa miaka mitatu.
22 Un kad jūs sēsiet astotā gadā, tad jūs ēdīsiet no veciem augļiem līdz devītajam gadam; tiekams jaunie augļi nāk, jūs ēdīsiet vecos.
Mtapanda katika mwaka wa nane na mtaendelea kula mazao ya miaka iliyopita na kutoka kwenye ghala la chakula. Mpaka mavuno ya mwaka wa tisa yatakapofika, mtaweza kula kutoka kwenye riziki iliyohifadhiwa katika miaka iliyopita
23 Un zemi nebūs pārdot uz mūžu; jo Man pieder tā zeme, un jūs esat svešinieki un piedzīvotāji pie Manis.
Ardhi haitauzwa kwa mmiliki mpya wa kudumu, kwa sababu ardhi ni mali yangu. Ninyi nyote mu wageni na wakazi wa muda juu ya ardhi yangu.
24 Tāpēc jums visā savā zemē, kas jums pieder, būs atļaut zemi izpirkt.
Ni lazima muitunze haki ya ukombozi kwa ajili ya ardhi yote mtakayoimiliki; itawapasa kuruhusu ardhi inunuliwe tena na familia ambayo wewe uliinunua hiyo ardhi kutoka kwao.
25 Kad tavs brālis panīkst un ko pārdod no savas zemes, tad lai nāk viņa tuvākais radinieks viņam par izpircēju un lai izpērk, ko viņa brālis pārdevis.
Iwapo Mwisraeli mwenzako anakuwa masikini na kwa sababu hiyo anauza baadhi ya miliki yake, kisha jamaa yake wa karibu anaweza kuja na kuikomboa hiyo miliki ambayo jamaa yake kaiuza kwako.
26 Bet ja kam izpircēja nav un viņa roka tik daudz iespēj, ka viņam tik daudz ir, ko izpirkt,
Iwapo mtu hana jamaa wa kuikomboa mali yake, lakini ikiwa kafanikiwa na anao uwezo wa kuikomboa,
27 Tad viņam būs skaitīt tos gadus, kad viņš pārdevis, un to, kas pāri, atdot tam vīram, kam viņš to bija pārdevis, un tā nākt atpakaļ savā īpašumā.
kisha atahesabu miaka tangu ardhi hiyo ilipouzwa na kurejesha kwa mtu aliyemuuzia fedha iliyosalia. Naye anaweza kuerejea kwenye miliki yake mwenyewe.
28 Bet ja viņam nav tik daudz pie rokas, cik vajadzīgs atdot, tad tas, ko viņš pārdevis, lai paliek pircēja rokā līdz gaviles gadam, bet gaviles gadā tas nāk vaļā un viņš atkal tiek pie sava īpašuma.
Lakini ikiwa hawezi kuirejesha kwake ardhi aliyoiuza, nayo hiyo ardhi aliyoiuza itabaki katika umiliki wa yule aliyeinunua mpaka mwaka wa Yubile. Kwenye mwaka wa Yubile, ardhi itarejeshwa kwa mtu aliyeiuza, naye mmiliki wa asili atarejea kwenye mali yake.
29 Un ja kas pārdod dzīvojamu ēku pilsētas mūros, tam būs to atpirkt gada laikā, kamēr to pārdevis; tas ir viņa atpirkšanas laiks.
Ikiwa mtu anauza nyumba iliyo kwenye mji uliozungushiwa ukuta, naye anaweza kuinunua tena ndani ya mwaka baada ya kuuzwa. kwa kuwa, kwa mwaka mzima atakuwa na haki ya ukombozi.
30 Bet ja tas netop atpirkts, kamēr gads apkārt, tad tas nams pilsētas mūros lai paliek tam pircējam mūžam uz viņa pēcnākamiem; tas nenāk vaļā gaviles gadā.
Kama nyumba hiyo haitakombolewa kabla ya mwaka mzima, ndipo hiyo nyumba iliyoko kwenye mji uliozungushiwa ukuta itakuwa mali ya kudumu ya yule aliyeinunua, katika vizazi vyote vya uzao wake. Nyumba hiyo haitakuwa ya kurejeshwa katika mwaka wa Yubile.
31 Bet namus ciemos, bez mūriem visapkārt, būs pieskaitīt pie zemes laukiem, tie ir atpērkami un nāk vaļā gaviles gadā.
Lakini nyumba za vijijini zisizokuwa na ukuta kuzizunguuka, zitahesabiwa kuwa shamba la nchi. Zaweza kukombolewa, na ni lazima zirejeshwe katika mwaka wa Yubile.
32 Bet Levitu pilsētās viņu pilsētu nami paliek Levitiem mūžīgi atpērkami.
Hata hivyo, nyumba zinazomilikiwa na makuhani katika miji yao zaweza kukombelewa wakati wowote.
33 Un ja kas ko pērk no Levitiem, tad tas pārdotais nams viņu pilsētā nāk vaļā gaviles gadā, jo nami Levitu pilsētās ir viņu daļa Israēla bērnu starpā.
Iwapo mmoja wa makuhani haikombowi nyumba iliyozwa, kisha nyumba hiyo iliyouzwa katika miji ilimo, ni lazima irejeshwe katika mwaka wa Yubile, kwa kuwa nyumba za miji ya makuhani ni mali yao miongoni mwa watu wa Israeli.
34 Arī lauki viņu pilsētu apgabalā nav pārdodami, jo tie ir viņu mūžīgs īpašums.
Lakini yale mashamba yanayozunguka miji yao hayataweza kuuzwa kwa sababu hiyo ni mali ya kudumu ya Makuhani.
35 Un ja tavs brālis panīkst un viņa roka gurst tev līdzās, tad palīdzi tam, lai būtu svešinieks, vai piedzīvotājs, ka viņš var dzīvot pie tevis.
Ikiwa mwananchi mwenzako anakuwa masikini, kiasi kwamba hawezi kujihudumia, nawe utalazimika kumsaidia kama vile ungemsaidia mgeni au mwingine yeyote kutoka nje aishie miongoni mwenu.
36 Tev no viņa nebūs ņemt pagaidas nedz augļus, bet tev būs bīties savu Dievu, lai tavs brālis pie tevis dzīvo.
Usimtoze riba au kujaribu kunufaika kutoka kwake katika njia yoyote, bali mheshimu Mungu wako ili kwamba ndugu yako aendelee kuishi nawe.
37 Savu naudu tev nebūs viņam izdot uz pagaidām, nedz savu barību viņam aizdot uz augļiem.
Hutampa mkopo wa fedha na kumtoza riba, wala hutamuuzia chakula chako ili kupata faida.
38 Es esmu Tas Kungs, jūsu Dievs, kas jūs izvedis no Ēģiptes zemes, jums dot Kanaāna zemi un jums būt par Dievu.
Mimi ndimi Yahweh Mungu wako, aliye kuleta wewe kutoka nchi ya Misri, ili kwamba Nikupe nchi ya Kanaani, na kwamba niwe Mungu wako.
39 Un kad tavs brālis pie tevis panīkst un tev top pārdots, tad tev nebūs viņam likt kalpot kā vergam.
Iwapo mwananchi mwenzako atakuwa masikini na kujiuza mwenyewe kwako, hutamfanyisha kazi kama mtumwa.
40 Kā algādzis un piedzīvotājs lai pie tevis dzīvo; līdz gaviles gadam lai viņš tev kalpo.
Mtendee kama mtumishi wa kuajiriwa. Ni lazima awe kama yule ahudumuye nawe kwa muda mpaka mwaka wa Yubile.
41 Tad lai viņš no tevis tiek vaļā, viņš un viņa bērni līdz ar to, un lai viņš iet atpakaļ pie savas cilts un nāk atkal pie savu tēvu mantas.
Kisha ataondoka kwako, yeye mwenyewe na watoto wake pamoja naye, na atarejea kwenye familia yake mwenyewe na kwenye miliki ya baba yake.
42 Jo viņi ir Mani kalpi, ko Es esmu izvedis no Ēģiptes zemes; tiem nebūs tapt pārdotiem, kā vergus pārdod.
Kwa sababu wao ni watumishi wangu niliowaleta kutoka katika nchi ya Misri. Hawatauzwa kama watumwa.
43 Tev nebūs bargi par viņu valdīt, bet tev būs bīties savu Dievu.
Usitawale juu yao kwa ukatili, bali yakupasa kumheshimu Mungu wako.
44 Taviem kalpiem un tavām kalponēm, kas tev ir, būs būt no apkārtējiem pagāniem; no tiem jums būs pirkt kalpus un kalpones.
Kwa upande wa watumwa wako wakiume na watumwa wako wa kike, unaowezao kuwapata kutok kwa mataifa yanayokuzunguka, waweza kununua watumwa kutoka kwao.
45 Arī no piedzīvotāju bērniem, kas pie jums mīt, no tiem jūs varat tos pirkt un no viņu dzimuma pie jums, ko tie jūsu zemē dzemdinājuši, un tie lai jums ir par īpašumu.
Unaweza pia kununua watumwa kutoka kwa wageni wanaoishi miongoni mwenu, yaani, kutoka familia zao waliopamoja nawe, wale wtoto waliozaliwa katika nchi yako. Wanaweza kuwa mali yako.
46 Un tos jūs varat atstāt par mantību saviem bērniem pēc jums, ka tie ir viņu īpašums; lai tie jums kalpo mūžam; bet par saviem brāļiem, Israēla bērniem, lai neviens par otru bargi nevalda.
Unaweza kuzalisha watumwa hao kama urithi kwa watoto wako baada yako, ili kuwamiliki kama mali. Kutoka kwao waweza kununua watumwa daima, lakini hamtawezi kutawala kwa ukali juu ya ndugu zenu walio miogoni mwa watu wa Israeli.
47 Un ja kāds svešinieks vai piedzīvotājs pie tevis nāk pie rocības, un tavs brālis pie viņa panīkst un top pārdots tam svešiniekam, kas pie tevis mīt, vai kādam no svešinieka rada un cilts,
Iwapo mgeni anayeishi nawe kwa muda anakuwa tajiri, na ikiwa mmoja wa Waisraeli amekuwa masikini na kujuza mwenyewe kwa familia ya mgeni, au kwa mtu fulani katika familia,
48 Tad viņu var atpirkt, kad ir pārdots; viens no viņa brāļiem lai viņu atpērk.
baada ya Mwisraeli mwenzako kuwa amenunuliwa. Anaweza kurejeshwa kwa maliopo. Iwapo anaweza kurejeshwa. Mtu fulani katika familia yake anaweza kumkomboa.
49 Vai viņa tēva brālis, vai viņa tēva brāļa dēls lai viņu atpērk, vai kāds no viņa cilts asins radiem lai viņu atpērk, vai kad viņa paša roka spēj, tad lai pats atpērkas.
Anaweza kuwa mjomba wake, au mjomba wa mwanawe, anayemkomboa yeye, au yeyote aliye ndugu yake wa karibu kutoka kwa ukoo wake. Au, iwapo ni mwenye mafanikio, anaweza kujikomboa mwenyewe.
50 Un viņam ar savu pircēju būs skaitīt no tā gada, kad viņš pārdevies, līdz gaviles gadam, un viņa atpirkšanas maksā lai ir pēc tā gadu skaita, uz laiku kā algādzis lai viņš pie tā ir bijis.
Ni lazima apatane na mtu aliyemnunua, itawapasa kuhesabu miaka tangu mwaka aliojiuza kwa mnunuzi wake mpaka mwaka wa Yubile. Ile thamani ya ukombozi wake ihesabiwe kulingana na kiwango cha mshahara anaolipwa mtumishi aliyeajiriwa, kwa idadi ya miaka ambayo angeweza kuendelea kufanya kazi kwa yule aliyemnunua.
51 Ja vēl ir daudz gadu, tad pēc viņu skaita lai tas atdod par savu atpirkšanu to naudu, ar ko viņš ir pirkts.
Endapo kutakuwa kungali na miaka mingi iliyobaki mpaka mwaka wa Yubile, atalazimika kulipa fungu kubwa la fedha kwa ajili ya ukombozi ambao ni uwino wa idadi ya miaka hiyo.
52 Un ja vēl maz gadu pāri līdz gaviles gadam, tad lai tos saskaita; pēc savu gadu skaita tam būs atmaksāt savu atpirkšanu; kā algādzis gadu pēc gada lai viņš pie tā ir bijis.
Iwapo kuna miaka michache tu iliyobaki mpaka mwaka wa Yubile, atapatana na aliyemnunua ili kuipitia idadi ya miaka iliyobaki mpaka Yubile, naye atalazimika kulipia ukombozi wake kulingana na idadi ya miaka.
53 Tam nebūs bargi pār viņu valdīt tavā priekšā.
Naye atatendewa kama mtu aliyeajiriwa mwaka kwa mwaka. Utahakikisha kwamba hatendewi kwa ukali.
54 Un ja viņš tā netop izpirkts, tad viņam gaviles gadā būs tikt vaļā, viņam un viņa dēliem līdz ar viņu.
Iwapo hakukombolewa katika njia hizi, basi atatumika mpaka mwaka wa Yubile, yeye pamoja na watoto wake.
55 Jo Israēla bērni Man ir par kalpiem, viņi ir Mani kalpi, ko Es esmu izvedis no Ēģiptes zemes. Es esmu Tas Kungs, jūsu Dievs.
Kwangu mimi watu wa Israeli ni watumishi. Wao ni watumishi wangu ambao Niliwatoa katika nchi ya Misri. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.

< Trešā Mozus 25 >