< Trešā Mozus 20 >

1 Un Tas Kungs runāja uz Mozu un sacīja:
Yahweh akazungumza na Musa, akasema,
2 Tev būs sacīt Israēla bērniem: ikvienu no Israēla bērniem un no tiem svešiniekiem, kas mīt Israēla starpā, kas no sava dzimuma Molokam dod, to būs nokaut; tiem zemes ļaudīm viņu būs nomētāt ar akmeņiem.
“Waambie watu wa Waisraeli, 'mtu yeyote miongoni mwa watu Israeli, au Mgeni yeyote anayeishi miongoni mwa Waisraeli atakayemtoa mtoto wake yeyote kwa Moleki, hakika atauawa. Ni lazima watu wa nchi wamponde kwa mawe.
3 Un Es celšu Savu vaigu pret šo vīru un to izdeldēšu no viņa ļaužu vidus, tāpēc ka tas no sava dzimuma ir devis Molokam, nešķīstu darīdams Manu svēto vietu un sagānīdams Manu svēto Vārdu.
Pia nitaukaza uso wangu dhidi ya mtu huyo na kumkatilia mbali kutoka miongoni mwa watu wake kwa sababu amemtoa mtoto wake kwa Moleki, ili kupatia unajisi mahali pangu patakatifu na kulinajisi jina langu takatifu.
4 Un ja tās zemes ļaudis savas acis aizslēdz priekš šī cilvēka, kad tas no sava dzimuma dod Molokam, to nenokaudami,
Na kama watu wa nchi watayafumba macho yao kwa mtu huyo anapomtoa mmoja wa watoto wake kwa Moleki, kama hawatamwua mtu huyo, ndipo Mimi mwenyewe nitaukaza uso wangu dhidi ya mtu huyo na ukoo wake,
5 Tad Es celšu Savu vaigu pret to vīru un pret viņa cilti, un izdeldēšu no viņa ļaužu vidus viņu un visus, kas tam mauko pakaļ, un mauko pakaļ Molokam.
Nami nitamkatilia mbali pamoja na yeyote anayejifanya kahaba ili kufanya umalaya na Moleki.
6 Kad kas laban griezīsies pie zīlniekiem un pareģiem, viņiem maukodams pakaļ, pret to Es celšu Savu vaigu un to izdeldēšu no viņa ļaužu vidus.
Mtu yule anayewageukia wanaozungumza na wafu, au na wale wanaozungumza na roho ili kufanya ukahaba nao, Nitakaza uso wangu dhidi ya mtu huyo; Nami nitamkatilia mbali atoke miongoni mwa watu wake.
7 Tāpēc svētījaties un esiet svēti, jo Es esmu Tas Kungs, jūsu Dievs.
Kwa hiyo jitakaseni wenyewe na muwe watakatifu, kwa sababu Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.
8 Un turat Manus likumus un dariet tos; - Es esmu Tas Kungs, kas jūs svētī.
Mtazitunza amari zangu na kuzifuta. Mimi ndimi Yahweh anayewatenga ninyi muwe watakatifu.
9 Ja kas savu tēvu vai savu māti lād, to būs nokaut; viņš savu tēvu vai savu māti lādējis, viņa asinis lai uz tā paliek.
Yeyote amlaaniye baba yake au mama yake hakika mtu huyo atauawa. Amemlaani baba yake au mama yake, kwa hiyo ana hatia na anastahili kufa.
10 Un kad kāds vīrs laulību pārkāpj ar cita sievu, kad viņš laulību pārkāpj ar sava tuvākā sievu, tam būs tikt nokautam, ir tam pārkāpējam, ir tai pārkāpējai.
Mwanaume yeyote afanyaye uzinzi na mke wa mwanaume mwingine, yaani, yeyote anayezini na mke wa jirani yake—yule mwanaume mzinzi na mwanamke mzinzi ni lazima wote wawili wauawe.
11 Un tas vīrs, kas guļ pie sava tēva sievas, tas atsedz sava tēva kaunumu, - tos abus būs nokaut; lai viņu asinis uz tiem paliek.
Mwanaume yeyote anayelala na mke wa baba yake ili kukutana naye kimwili amemfedhehesha baba yake mwenye. Wote wawili; mwana huyo na mke huyo wa baba yake kwa hakika watauawa. wanahatia na wanastahili kufa.
12 Un ja kāds vīrs guļ pie savas vedeklas, tos abus būs nokaut; tie darījuši negantu nešķīstību; lai viņu asinis uz tiem paliek.
Kama mwanaume atalala na mke wa mwanawe, wote wawili; mwanaume huyo na mke huyo wa mwanawe hakika watauawa. Wametenda upotovu. Wana hatia na wanastahili kufa.
13 Un ja vīrs guļ pie vīra kā pie sievas, tie abi ir darījuši negantību; tos būs nokaut; lai viņu asinis uz tiem paliek.
Kama mwanaume analala na mwanaume mwingine kama alalavyo na mwanamke, wote wawili watakuwa wamefanya jambo lililo ovu. Hakika watauawa. Wana hatia na wanastahili kufa.
14 Un ja kāds vīrs ņem sievu un viņas māti, tā ir negantība; viņu līdz ar tām būs ar uguni sadedzināt, lai nav negantība jūsu starpā.
Ikiwa mwanaume atamwoa mwanamke na pia akamwoa mama wa mwanamke huyo, huu ni uovu. Ni lazima wachomwe kwa moto, wote wawili, mwanaume huyo na manamke huyo, ili kwamba hapatakuwepo na uovu miongoni mwenu.
15 Un ja kāds vīrs guļ pie lopa, to būs nokaut, un jums arī to lopu būs nokaut.
Ikiwa mwanaume analala na mnyama, hakika atauawa, ni lazima mumuue na mnyama huyo pia.
16 Tāpat arīdzan, ja sieva nāk pie lopa, ar viņu sajaukdamās, tad jums būs nokaut to sievu un to lopu, tiem jāmirst; lai viņu asinis uz tiem paliek.
Ikiwa mwanamke anamkaribia mnyama ili kulala naye, ni lazima mmuuwe mwanamke huyo pamoja na mnyama. Kwa hakika ni lazima wauawe. wana hatia na wanastahili kufa.
17 Un ja kāds vīrs ņem savu māsu, sava tēva meitu vai savas mātes meitu, un tas lūko viņas kaunumu, un tā lūko viņa kaunumu, tā ir bezkaunība, - tāpēc tiem būs tikt izdeldētiem no savu ļaužu bērnu acīm; viņš ir atsedzis savas māsas kaunumu, tam būs nest savu noziegumu.
Ikiwa mwanaume analala na dada yake, ama ni binti ya baba yake au binti ya mama yake—ikiwa wamelala pamoja, hilo ni jambo la aibu. Ni lazima wakatiliwe mbali watoke machoni pa watu wao, kwa sababu amelala na dada yake. Ni lazima aibebe hatia yake.
18 Un ja vīrs guļ pie kādas sievas, kurai ir uz drānām, un atsedz viņas kaunumu un atdara viņas avotu, un šī atsedz savu asins avotu, tad tiem abiem būs tapt izdeldētiem no saviem ļaudīm.
Kama mwanaume analala na mwanamke katika kipindi cha hedhi yake, na amekutana naye kimwili, atakuwa amefunua mtiririko wa damu yake, chanzo cha damu yake. Ni lizima wote wawili wakatiliwe mbali kutoka mingoni mwa watu wao.
19 Savas mātes māsas un sava tēva māsas kaunumu tev nebūs atsegt, jo tāds ir atsedzis savu asinsradinieci, - tiem būs nest savu noziegumu.
Usilale na dada ya mama yako, au dada ya baba yako, kwa sababu ungeweza kumwaibisha jamaa yako wa karibu. Ni lazima utabeba hatia yako mwenyewe.
20 Un ja vīrs guļ pie sava tēva brāļa sievas, tas ir atsedzis sava tēva brāļa kaunumu, tiem būs nest savus grēkus, bez bērniem tiem būs nomirt.
Ikiwa mwanaume analala na shangazi yake, atakuwa amemfedhehesha mjomba wake. Wanapokufa, nitawaadhibu wote wawili, na wanapokufa nitauondolea mbali urithi wa watoto wao ambao wangeliupokea kutoka kwa wazazi wao.
21 Un ja vīrs ņem sava brāļa sievu, tā ir bezkaunība, tas ir atsedzis sava brāļa kaunumu, tiem būs palikt bez bērniem.
Ikiwa mwanaume anamwoa mke wa kaka yake wakati ambapo kaka yake angali hai, hilo ni jambo la aibu. Amemfedhehesha kaka yake, na nitaondolea mbali mali yoyote amabayo watoto wao wangerithi kutoka kwa wazazi wao.
22 Turat tad visus Manus likumus un visas Manas tiesas un dariet pēc tiem, ka tā zeme jūs neizspļauj, kurp Es jūs vedu, tur dzīvot.
Kwa hiyo imewapasa kuzishika amri na sheria zangu zote; ni lazima mzitii ili kwamba ile nchi ambayo ninawaleta kuishi isiwatapike nyinyi.
23 Un nestaigājiet to pagānu likumos, ko Es jūsu priekšā izdzīšu, jo visas šās lietas tie ir darījuši, tāpēc Es viņus esmu apnicis.
Msienende katika desturi za mataifa ambayo nitayafukuza mbele yenu, ni kwa sababu wamefanya mambo haya yote, nami mimewachukia wao.
24 Un Es jums esmu sacījis, jums būs iemantot viņu zemi, un Es jums došu to iemantot, zemi, kur piens un medus tek; Es esmu Tas Kungs, jūsu Dievs, kas jūs atšķīris no pagāniem.
Nami nikawaambia ninyi, “Mtaimiliki nchi yao, nitaitoa kwenu ili muimiliki, nchi itiririkayo amaziwa na asali. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu, aliyewatenga nyinyi kutoka kwa watu wengine.
25 Tāpēc jums būs izšķirt šķīstus lopus no nešķīstiem un nešķīstus putnus no šķīstiem; un jums nebūs sagānīt savas dvēseles pie lopiem nedz pie putniem nedz pie kaut kā, kas lien virs zemes, no kā Es jūs esmu nošķīris, un jums to būs turēt par nešķīstu.
Ni lazima pia mtofautishe kati ya wanya najisi na wale walio safi, na kati ya ndege walio najisi na walio safi. Msijichafue wenyewe kwa wanyama au ndege au kiumbe kitambaacho juu ya nchi kilicho najisi, ambacho nimekitenga kuwa najisi.
26 Un jums būs Man būt svētiem, jo Es, Tas Kungs, esmu svēts un esmu jūs nošķīris no pagāniem, Man piederēt.
Mtakuwa watakatifu, kwa kuwa Mimi, Yahweh, ni mtakakatifu, nami nimewatenga nyinyi kutoka kwa watu wengine, kwa kuwa nyinyi ni wangu.
27 Kad nu vīrs vai sieva ir zīlnieki vai pareģi, tos būs nokaut, tie ar akmeņiem jānomētā; - lai viņu asinis uz tiem paliek.
Mwanaume au mwanamke anayeongea na wafu au anayeongea na roho hakika atauawa. Watu watawaponda kwa mawe. Wanayo hatia na wanastahili kufa.

< Trešā Mozus 20 >