< Jeremijas 25 >

1 Šis ir tas vārds, kas notika uz Jeremiju par visiem Jūda ļaudīm Jūda ķēniņa Jojaķima, Josijas dēla, ceturtā gadā; tas bija Nebukadnecara, Bābeles ķēniņa, pirmais gads; -
Hili ndilo neno ambalo lilimjia Yeremia juu ya watu wote wa Yuda. Ikawa mwaka wa nne wa Yehoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda. Huo ndio mwaka wa kwanza wa Nebukadreza, mfalme wa Babeli.
2 To pravietis Jeremija runājis uz visiem Jūda ļaudīm un uz visiem Jeruzālemes iedzīvotājiem un sacījis:
Yeremia nabii aliwahubiria watu wote wa Yuda na wenyeji wote wa Yerusalemu.
3 No Jūda ķēniņa Josijas, Amona dēla, trīspadsmitā gada līdz šai dienai, šos divdesmit trīs gadus, Tā Kunga vārds uz mani noticis, un es uz jums esmu runājis vienā runāšanā, bet jūs neesat klausījuši,
Akasema, “Kwa miaka ishirini na mitatu, tangu mwaka wa kumi na tatu wa Yosia mwana wa Amoni, mfalme wa Yuda mpaka leo, maneno ya Bwana yamekuja kwangu. Nimewahubiria ninyi. Nilikuwa na nia ya kutangaza, lakini hamkunisikiliza.
4 Un Tas Kungs pie jums vienmēr sūtījis vienā sūtīšanā visus Savus kalpus, tos praviešus, bet jūs neesat klausījuši un neesat savas ausis atgriezuši paklausīt.
Bwana akawapeleka watumishi wake wote manabii kwako. Walikuwa na nia ya kwenda, lakini hukusikiliza wala kutega masikio.
5 Tie sacīja: atgriežaties jel ikviens no sava niknā ceļa un no sava darba ļaunuma, tad dzīvosiet tai zemē, ko Tas Kungs devis jums un jūsu tēviem, mūžīgi mūžam.
Manabaii hawa walisema, 'Kila mtu auache uovu wake na udhalimu wa matendo yake na kurudi kwenye nchi ambayo Yahwe aliitoa wakati wa zamanai kwa ajili ya babu zenu na ninyi, kama zawadi ya kudumu.
6 Nedzenaties citiem dieviem pakaļ tiem kalpot un tos pielūgt, un neapkaitinājat Mani caur savu roku darbu, ka Es jums nedaru ļauna.
Kwa hiyo msiifuate miungu mingine ili kuiabudu au kuiinamia chini, na msimkasirishe kwa kazi ya mikono yenu ili kwamba awaumize.
7 Bet jūs Mani neesat klausījuši, saka Tas Kungs, Mani kaitinādami caur savu roku darbu, sev pašiem par ļaunu.
Lakini hamkunisikiliza-hili ndilo tamko la Bwana-kwa hiyo umenikasirisha kwa kazi ya mikono yako ili kujidhuru nafsi zemu.
8 Tādēļ tā saka Tas Kungs Cebaot: Tāpēc ka jūs neesat klausījuši Manus Vārdus,
Basi, Bwana wa majeshi asema hivi, 'Kwa kuwa hukusikiliza maneno yangu,
9 Redzi, tad Es sūtīšu un ņemšu visas ciltis no ziemeļa puses, saka Tas Kungs, līdz ar Nebukadnecaru, Bābeles ķēniņu, Savu kalpu, un tās vedīšu pār šo zemi un pār viņas iedzīvotājiem un pār visiem ļaudīm visapkārt, un Es tos izdeldēšu un tos darīšu par biedēkli un par apsmieklu un mūžīgu tuksnesi.
tazama, nitaagiza amri ya kukusanya watu wote wa kaskazini- asema Bwana- na Nebukadreza, mtumishi wangu, mfalme wa Babeli, na kuwaleta juu ya nchi hii na wenyeji wake, na juu ya mataifa yote yaliyo karibu nawe. Kwa maana nitawaangamiza. Nitawageuza kuwa na hofu, kuwa kitu cha kuzomewa na ukiwa wa daima.
10 Un Es tiem iznīcināšu prieka balsi un līksmības balsi, brūtgāna balsi un brūtes balsi, dzirnavu troksni un sveces spīdumu.
Sauti ya furaha na sherehe-sauti ya bwana arusi na bibi arusi, sauti ya mawe ya kusagia na mwanga wa taa-nitafanya mambo yote haya kutoweka kutoka kwa mataifa haya.
11 Un visa šī zeme paliks par posta vietu un par tuksnesi. Un šie ļaudis kalpos Bābeles ķēniņam septiņdesmit gadus.
Ndipo nchi hii yote itakuwa ukiwa na hofu, na mataifa haya watamtumikia mfalme wa Babeli kwa miaka sabini.
12 Bet kad tie septiņdesmit gadi būs pilni, tad Es, saka Tas Kungs, piemeklēšu pie Bābeles ķēniņa un pie šiem ļaudīm, viņu noziegumu, tāpat pie Kaldeju zemes, un to darīšu par mūžīgu tuksnesi.
Kisha miaka sabini itakapokamilika, nitamuadhibu mfalme wa Babeli na taifa hilo, nchi ya Wakaldayo-hili ndilo tamko la Bwana-kwa uovu wao na kuifanya kuwa ukiwa milele.
13 Un Es vedīšu pār šo zemi visus Savus Vārdus, ko Es par to esmu runājis, visu, kas šai grāmatā rakstīts, ko Jeremija par visiem šiem ļaudīm sludinājis.
Nami nitaleta juu ya nchi hiyo maneno yote niliyosema, na kila kitu kilichoandikwa katika kitabu hiki ambacho Yeremia ametabiri juu ya mataifa yote.
14 Jo arī tos kalpinās varenas tautas un lieli ķēniņi. Tā Es tiem atmaksāšu pēc viņu darīšanas un pēc viņu roku darbiem.
Kwa maana pia mataifa mengi na wafalme wakuu watapata watumwa kutoka mataifa haya. Nitawalipa kwa matendo yao na kazi za mikono yao.'”
15 Jo tā Tas Kungs, Israēla Dievs, uz mani sacījis: ņem no Manas rokas šo biķeri bardzības vīna un dodi to dzert visiem ļaudīm, pie kā Es tevi sūtu,
Kwa kuwa Bwana, Mungu wa Israeli, asema hivi, “Chukua kikombe hiki cha divai ya ghadhabu kutoka mkononi mwangu, ukawanyweshe mataifa yote niliyokutuma.
16 Lai tie dzer, streipuļo un trako caur to zobenu, ko Es viņu starpā sūtīšu.
Kwa maana watakunywa na kisha watalewa na kufanya wazimu mbele ya upanga ambao nitaupeleka kati yao.”
17 Un es ņēmu to biķeri no Tā Kunga rokas un devu visiem ļaudīm dzert, pie kā Tas Kungs mani bija sūtījis,
Basi, nikakichukua kikombe mkononi mwa Bwana, nikawanywesha mataifa yote ambayo Bwana alinituma:
18 Proti Jeruzālemei un Jūda pilsētām un viņas ķēniņiem un viņas lielkungiem, tos darīt par postu un par biedēkli, par apsmieklu un par lāstu, tā kā tas šodien ir,
Yerusalemu, miji ya Yuda, na wafalme wake, na wakuu wake, na kuwafanya kuwa ukiwa na kitu cha kutisha, na kuwa kitu cha kuzomewa na laana, kama ilivyo hata leo.
19 Faraonam, Ēģiptes ķēniņam un viņa kalpiem un viņa lielkungiem un visiem viņa ļaudīm,
Mataifa mengine pia walipaswa kunywa: Farao mfalme wa Misri na watumishi wake; maafisa wake na watu wake wote;
20 Un visām jauktām tautām, un visiem ķēniņiem Uc zemē un visiem ķēniņiem Fīlistu zemē un Askalonai un Gazai un Ekronei un Ašdodas atlikušiem,
watu wote wa urithi wa mchanganyiko na wafalme wote wa nchi ya Uzi; na wafalme wote wa nchi ya Wafilisti, na Ashkeloni, na Gaza, na Ekroni, na mabaki ya Ashdodi;
21 Edomam un Moabam un Amona bērniem,
Edomu na Moabu na wana wa Amoni.
22 Un visiem Tirus ķēniņiem un visiem Sidonas ķēniņiem, tiem ķēniņiem, kas salās viņpus jūras,
Wafalme wa Tiro na Sidoni, wafalme wa pwani ng'ambo ya pili ya bahari,
23 Dedanam un Temanam un Buzam un tiem, kam apcirptas bārdas,
Dedani, Tema, na Busi pamoja na wale wanyoao nywele zao upande wa pili wa vichwa vyao, pia walipaswa kukinywa.
24 Un visiem Arābijas ķēniņiem un visiem ķēniņiem pār jauktām tautām, kas tuksnesī dzīvo,
Watu hawa pia walitakiwa kukinywa; wafalme wote wa Uarabuni na wafalme wote wa watu wa asili mchanganyiko wanaoishi nyikani;
25 Un visiem Zimrus ķēniņiem un visiem Elama ķēniņiem un visiem Medijas ķēniņiem,
wafalme wote wa Zimri, wafalme wote wa Elamu, na wafalme wote wa Wamedi;
26 Un visiem ziemeļu ķēniņiem tuvu un tālu, vienam kā otram, un visām zemes valstīm, kas virs zemes, un Šešaka ķēniņš dzers pēc viņiem.
wafalme wote wa kaskazini, wale wa karibu na wale wa mbali—kila mmoja na ndugu zake na falme zote za ulimwengu ambazo ziko chini ya uso wa dunia. Hatimaye mfalme wa Babeli atakunywa baada yao wote.
27 Tev uz tiem būs sacīt: tā saka Tas Kungs Cebaot, Israēla Dievs: dzeriet un piedzeraties un vemjat un krītat, ka jūs atkal neceļaties priekš tā zobena, ko Es sūtīšu jūsu starpā.
Bwana akaniambia, “Basi, uwaambie, 'Bwana wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi kunywa na kulewa, kisha tapika, uanguke, wala usisimame mbele ya upanga nitakaoutuma kati yenu.'
28 Un kad tie liegsies to biķeri ņemt no tavas rokas un dzert, tad tev uz tiem būs sacīt: tā saka Tas Kungs Cebaot: tiešām, jums būs dzert.
Kisha itatokea kwamba ikiwa wanakataa kuchukua kikombe mkononi mwako ili kunywa, utawaambia, 'Bwana wa majeshi asema hii lazima mnywe.
29 Jo redzi, tai pilsētā, kas nosaukta pēc Mana Vārda, Es iesāku ar to ļaunumu; vai jūs paliksiet itin bez soda? Jūs nepaliksiet bez soda, jo Es zobenu atsaucu pār visiem zemes iedzīvotājiem, saka Tas Kungs Cebaot.
Kwa maana, tazama, nitaleta janga juu ya mji ulioitwa kwa jina langu, je ninyi mtaachiliwa msiadhibiwe? Hutakuwa huru, kwa maana nitaita upanga juu ya wenyeji wote wa nchi! - ndilo tamko la Bwana wa majeshi.'
30 Tad tev visus šos vārdus tiem būs sludināt un uz tiem sacīt: Tas Kungs rūks no augšienes un pacels Savu balsi no Savas svētās vietas, Viņš rūkdams rūks pret Savu mājokli, Viņš kliegšanu cels, kā vīna minēji, pret visiem zemes iedzīvotājiem.
Basi wewe mwenyewe, Yeremia, tabiri kwao maneno haya yote. Uwaambie, 'Bwana atanguruma kutoka juu, naye atapaza sauti yake toka makao yake matakatifu, na radi kutoka mahali pake patakatifu; naye atapiga kelele kama wale wakanyagao zabibu dhidi ya wote wanaoishi duniani.
31 Skaņa ies līdz pasaules galam, jo Tam Kungam ir strīdus ar tautām, Viņš turēs tiesu pār visu miesu; bezdievīgos Viņš nodod zobenam, saka Tas Kungs.
Kelele huja mpaka mwisho wa nchi, kwa sababu mgogoro kutoka kwa Bwana utaleta mashtaka dhidi ya mataifa. Ataleta haki kwa wote wenye mwili. Yeye atawatia waovu katika upanga-hili ndi'o tamko la Bwana.'
32 Tā saka Tas Kungs Cebaot: redzi, nelaime izies no tautas uz tautu, un liela vētra celsies no pasaules gala.
Bwana wa majeshi asema hivi, 'Tazameni, taabu itatokea toka kwa taifa hadi taifa, na dhoruba kubwa itatokea toka pande za mwisho za dunia.
33 Un Tā Kunga nokautie gulēs tai dienā no viena pasaules gala līdz otram, tie netaps žēloti nedz salasīti nedz aprakti, tie būs par mēsliem virs zemes.
Kisha wale waliouawa na Bwana watakuja kutoka upande mmoja wa dunia hadi mwingine; hawataomboleza, kukusanyika, au kuzikwa. Watakuwa kama samadi chini.
34 Kauciet, gani, un brēciet un vārtaties pelnos, ganāmā pulka lepnie; jo jūsu dienas ir piepildītas uz kaušanu, un Es jūs izklīdināju, ka jūs krītat kā dārgs trauks.
Pigeni Yowe, wachungaji, na pigeni kelele ya kuomba msaada! Gaagaa katika ardhi, enyi mlio hodari katika kundi. Kwa kuwa siku yako ya kuuawa na kutawanywa imekuja. Utaanguka kama kondoo waliochaguliwa.
35 Un tie gani nevarēs izbēgt, un tā ganāmā pulka lepnie neizmuks.
Wachungaji hawatakuwa na pa kukimbilia. Hakuna kutoroka kwa watu walio hodari katika kundi.
36 Klau! Gani brēc un ganāmā pulka lepnie kauc, jo Tas Kungs viņu ganību postījis.
Kuna mlio wa wasiwasi wa wachungaji na milio ya kulalama kwa watu walio hodari katika kundi, kwa kuwa Yahweh anayaharibu malisho yao.
37 Un miera lauki taps postīti caur Tā Kunga bardzības karstumu.
Kwa hiyo, malisho ya amani yataharibiwa kwa sababu ya hasira ya Bwana.
38 Viņš kā jauns lauva atstājis Savu dzīvokli; jo viņu zeme ir tapusi par posta vietu caur to briesmīgo dusmību un Viņa bardzības karstumu.
Kama simba, ameacha shimo lake, kwa kuwa ardhi yao itakuwa kitu cha kushangaza kwa sababu ya hasira ya muonevu, kwa sababu ya ghadhabu yake kali'”

< Jeremijas 25 >