< Jeremijas 12 >

1 Tu, ak Kungs, palieci taisns, kad es ar Tevi gribētu tiesāties; tomēr par tiesu ar Tevi gribu runāt. Kāpēc bezdievīgiem ceļš labi izdodas, un visiem, kas dara viltu, labi klājās?
Wewe daima u mwenye haki, Ee Bwana, niletapo mashtaka mbele yako. Hata hivyo nitazungumza nawe kuhusu hukumu yako: Kwa nini njia ya waovu inafanikiwa? Kwa nini wasio waaminifu wote wanaishi kwa raha?
2 Tu tos esi dēstījis, un tie ir iesakņojušies un aug un nes augļus; Tu gan esi tuvu viņu mutei, bet tālu no viņu sirdīm.
Umewapanda, nao wameota, wanakua na kuzaa matunda. Daima u midomoni mwao, lakini mbali na mioyo yao.
3 Bet mani, ak Kungs, Tu pazīsti, mani Tu redzi un pārbaudi manu sirdi, kāda tā ir tavā priekšā. Aizrauj viņus kā avis uz kaušanu un nolieci tos uz nokaušanas dienu!
Hata hivyo unanijua mimi, Ee Bwana; unaniona na kuyachunguza mawazo yangu kukuhusu wewe. Wakokote kama kondoo wanaokwenda kuchinjwa! Watenge kwa ajili ya siku ya kuchinjwa!
4 Cik ilgi tad zeme lai bēdājās un zāle visur laukā lai savīst? Iedzīvotāju blēdības dēļ lopi un putni iet bojā. Jo tie saka: viņš neredz, kā mums pēcgalā klāsies!
Je, nchi itakaa katika hali ya kuomboleza mpaka lini, na majani katika kila shamba kunyauka? Kwa sababu wale waishio ndani yake ni waovu, wanyama na ndege wameangamia. Zaidi ya hayo, watu wanasema, “Bwana hataona yatakayotupata sisi.”
5 Kad tu skrēji ar kājniekiem un tie tevi nokausēja, kā tad tu varētu skrieties ar zirgiem? Un ja tu jūties drošs miera zemē, ko tad tu darīsi Jardānes varenos biezumos?
“Ikiwa umeshindana mbio na watu kwa mguu na wakakushinda, unawezaje kushindana na farasi? Ikiwa unajikwaa kwenye nchi ambayo ni salama, utawezaje kwenye vichaka kando ya Yordani?
6 Jo, pat tavi brāļi un tavs tēva nams ir neuzticīgi pret tevi un sauc pilnā balsī tev pakaļ. Neuzticies tiem, kad tie laipnīgi ar tevi runā.
Ndugu zako, watu wa jamaa yako mwenyewe: hata wao wamekusaliti; wameinua kilio kikubwa dhidi yako. Usiwaamini, ingawa wanazungumza mema juu yako.
7 Es Savu namu esmu atstājis un atmetis Savu mantas tiesu un to, ko Mana dvēsele mīļo, nodevis viņa ienaidniekiem rokā.
“Nitaiacha nyumba yangu, nitupe urithi wangu; nitamtia yeye nimpendaye mikononi mwa adui zake.
8 Mana mantība Man ir palikusi kā lauva mežā; tā savu balsi pret Mani pacēlusi, tādēļ Es to esmu ienīdējis.
Urithi wangu umekuwa kwangu kama simba wa msituni. Huningurumia mimi, kwa hiyo ninamchukia.
9 Mana mantība Man ir kā raibs putns, kam putni uzkrīt no visām pusēm. Nāciet, sapulcinājaties, visi zvēri laukā, nāciet un ēdiet.
Je, urithi wangu haukuwa kama ndege wa mawindo wa madoadoa ambaye ndege wengine wawindao humzunguka na kumshambulia? Nenda ukawakusanye pamoja wanyama wote wa mwituni; walete ili wale.
10 Daudz gani maitājuši Manu vīna dārzu, tie ir saminuši Manu tīrumu, Manu jauko tīrumu tie darījuši par tukšu postažu.
Wachungaji wengi wataliharibu shamba langu la mizabibu na kulikanyaga shamba langu; watalifanya shamba langu zuri kuwa jangwa la ukiwa.
11 Tas ir postā, izpostīts tas bēdājās Manā priekšā; visa zeme ir postīta, jo neviena nav, kam sirds to ņem vērā.
Litafanywa kuwa jangwa, lililokauka na kuachwa ukiwa mbele zangu; nchi yote itafanywa jangwa kwa sababu hakuna hata mmoja anayejali.
12 Pa visiem tuksneša kalniem postītāji nākuši, jo Tā Kunga zobens rij no viena zemes gala līdz otram, un miera nav nevienai miesai.
Juu ya miinuko yote ilivyo kama jangwani mharabu atajaa, kwa maana upanga wa Bwana utawala, kuanzia ncha moja ya nchi hadi nyingine; hakuna hata mmoja atakayekuwa salama.
13 Tie sēj kviešus, bet ērkšķus tie pļauj, tie gan grūti strādā, bet nepelna nekā. Tā tad topat kaunā ar saviem augļiem caur Tā Kunga karsto bardzību.
Watapanda ngano lakini watavuna miiba; watajitaabisha lakini hawatafaidi chochote. Kwa hiyo beba aibu ya mavuno yako kwa sababu ya hasira kali ya Bwana Mungu.”
14 Tā saka Tas Kungs par visiem maniem nikniem kaimiņiem, kas aizskar to mantību, ko Es esmu devis mantot Saviem Israēla ļaudīm: Es tos izraušu no viņu zemes un Jūda namu Es izraušu no viņu vidus.
Hili ndilo asemalo Bwana: “Kwa habari ya majirani zangu wote wabaya wanaonyangʼanya urithi ambao ninawapa watu wangu Israeli, nitawangʼoa kutoka nchi zao, nami nitaingʼoa nyumba ya Yuda kutoka katikati yao.
15 Un notiks, kad Es tos būšu izrāvis, tad Es atkal par tiem apžēlošos, Es tos vedīšu atpakaļ, ikkatru savā daļā un ikkatru savā zemē.
Lakini baada ya kuwangʼoa, nitawahurumia tena na kumrudisha kila mmoja wao kwenye urithi wake mwenyewe na kwenye nchi yake mwenyewe.
16 Un ja tie Manu ļaužu ceļu tikuši(rūpīgi) mācīsies un zvērēs pie Mana Vārda: „Tik tiešām kā Tas Kungs dzīvo!“Tā kā tie Manus ļaudis ir mācījuši pie Baāla zvērēt, - tad tie taps uzņemti Manu ļaužu vidū.
Ikiwa watajifunza vyema njia za watu wangu na kuapa kwa Jina langu, wakisema, ‘Hakika kama Bwana aishivyo,’ hata kama wakati fulani walifundisha watu wangu kuapa kwa Baali, ndipo watakapofanywa imara katikati ya watu wangu.
17 Bet ja tie neklausīs, tad Es šo tautu izraušu un to pavisam izdeldēšu, saka Tas Kungs.
Lakini kama taifa lolote halitasikiliza na kutii, nitalingʼoa kabisa na kuliangamiza,” asema Bwana.

< Jeremijas 12 >