< I Paralipomenon 8 >

1 Beniamin autem genuit Bale primogenitum suum Asbal secundum Ohora tertium
Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
2 Nuaha quartum et Rapha quintum
Noha, na Rafa.
3 fueruntque filii Bale Addaor et Gera et Abiud
Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
4 Abisue quoque et Neman et Ahoe
Abishau, Naamani, Ahoa,
5 sed et Gera et Sephuphan et Uram
Gera, Shefufani, na Huramu.
6 hii sunt filii Aod principes cognationum habitantium in Gabaa qui translati sunt in Manath
Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
7 Nooman autem et Achia et Gera ipse transtulit eos et genuit Oza et Ahiud
Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
8 porro Saarim genuit in regione Moab postquam dimisit Usim et Bara uxores suas
Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
9 genuit autem de Edes uxore sua Iobab et Sebia et Mosa et Molchom
kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
10 Iehus quoque et Sechia et Marma hii sunt filii eius principes in familiis suis
Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
11 Meusim vero genuit Abitob et Elphaal
Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
12 porro filii Elphaal Heber et Misaam et Samad hic aedificavit Ono et Lod et filias eius
Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
13 Bara autem et Samma principes cognationum habitantium in Aialon hii fugaverunt habitatores Geth
Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
14 et Haio et Sesac et Ierimoth
Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
15 et Zabadia et Arod et Eder
Zebadia, Aradi, Eda,
16 Michahel quoque et Iespha et Ioaa filii Baria
Mikaeli, Ishipa, na Joha.
17 et Zabadia et Mosollam et Ezeci et Heber
Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
18 et Iesamari et Iezlia et Iobab filii Elphaal
Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
19 et Iacim et Zechri et Zabdi
Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
20 et Helioenai et Selethai et Helihel
Elienai, Zilletai, Elieli,
21 et Adaia et Baraia et Samarath filii Semei
Adaia, Beraia, na Shimrati.
22 et Iesphan et Heber et Helihel
Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
23 et Abdon et Zechri et Hanan
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 et Anania et Ailam et Anathothia
Hanania, Elamu, Antotoja,
25 et Iephdaia et Phanuhel filii Sesac
Ifdeia, na Penueli.
26 et Samsari et Sooria et Otholia
Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
27 et Iersia et Helia et Zechri filii Ieroam
Yaareshia, Elija, na Zikri.
28 hii patriarchae et cognationum principes qui habitaverunt in Hierusalem
Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
29 in Gabaon autem habitaverunt Abigabaon et nomen uxoris eius Maacha
Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
30 filiusque eius primogenitus Abdon et Sur et Cis et Baal et Nadab
Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
31 Gedor quoque et Ahio et Zacher
Gedori, Ahio, na Zekari.
32 et Macelloth genuit Samaa habitaveruntque ex adverso fratrum suorum in Hierusalem cum fratribus suis
Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
33 Ner autem genuit Cis et Cis genuit Saul porro Saul genuit Ionathan et Melchisuae et Abinadab et Esbaal
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
34 filius autem Ionathan Meribbaal et Meribbaal genuit Micha
Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
35 filii Micha Phithon et Melech et Thara et Ahaz
Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
36 et Ahaz genuit Ioada et Ioada genuit Almoth et Azmoth et Zamari porro Zamari genuit Mosa
Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
37 et Mosa genuit Baana cuius filius fuit Rapha de quo ortus est Elasa qui genuit Asel
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
38 porro Asel sex filii fuere his nominibus Ezricam Bochru Ismahel Saria Abadia Anan omnes hii filii Asel
Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
39 filii autem Esec fratris eius Ulam primogenitus et Us secundus et Eliphalet tertius
Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
40 fueruntque filii Ulam viri robustissimi et magno robore tendentes arcum et multos habentes filios ac nepotes usque ad centum quinquaginta omnes hii filii Beniamin
Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.

< I Paralipomenon 8 >