< Psalmorum 44 >

1 In finem, Filiis Core ad intellectum.
Mungu, tumesikia kwa masikio yetu, baba zetu wametuambia kazi uliyofanya katika siku zao, siku za kale.
2 Deus auribus nostris audivimus: patres nostri annunciaverunt nobis. Opus, quod operatus es in diebus eorum: et in diebus antiquis.
Uliwafukuza mataifa kwa mkono wako, lakini ukawafanya watu wetu kuishi humo; wewe uliwataabisha mataifa, lakini ukawaeneza watu wetu katika nchi.
3 Manus tua gentes disperdidit, et plantasti eos: afflixisti populos, et expulisti eos:
Kwa maana hawakupata umiliki wa nchi kwa upanga wao, wala mkono wao wenyewe haukuwaokoa; bali mkono wako wakuume, mkono wako, na nuru ya uso wako, na kwa sababu uliwaridhia.
4 Nec enim in gladio suo possederunt terram, et brachium eorum non salvavit eos: Sed dextera tua, et brachium tuum, et illuminatio vultus tui: quoniam complacuisti in eis.
Mungu, wewe ni Mfalme wangu, amuru ushindi kwa ajili ya Yakobo.
5 Tu es ipse rex meus et Deus meus: qui mandas salutes Iacob.
Kwa uweza wako tutawaangusha chini maadui zetu; kwa jina lako tutatembea juu yao, wale wanao inuka dhidi yetu.
6 In te inimicos nostros ventilabimus cornu, et in nomine tuo spernemus insurgentes in nobis.
Kwa maana sitauamini upinde wangu, wala upanga wangu hautaniokoa.
7 Non enim in arcu meo sperabo: et gladius meus non salvabit me.
Bali wewe ndeye uliyetuokoa na adui zetu, na umewaaibisha wale watuchukiao.
8 Salvasti enim nos de affligentibus nos: et odientes nos confudisti.
Katika Mungu tumefanywa kujivuna siku zote, nasi tutalishukuru jina lako milele. (Selah)
9 In Deo laudabimur tota die: et in nomine tuo confitebimur in sæculum.
Lakini sasa umetutupa na kutufedhehesha, na hauendi na majeshi yetu.
10 Nunc autem repulisti et confudisti nos: et non egredieris Deus in virtutibus nostris.
Umetufanya kuwakimbia maadui zetu; na wale watuchukiao huchukua vitu vyetu vya thamani kwa ajili yao wenyewe.
11 Avertisti nos retrorsum post inimicos nostros: et qui oderunt nos, diripiebant sibi.
Umetufanya kama kondoo aliyeandaliwa kwa ajili ya chakula na umetutawanya kati ya mataifa.
12 Dedisti nos tamquam oves escarum: et in Gentibus dispersisti nos.
Wewe unawauza watu wako bure; kwa kufanya hivyo haukupata faida.
13 Vendidisti populum tuum sine pretio: et non fuit multitudo in commutationibus eorum.
Wewe umetufanya kukemewa na majirani zetu, kuchekwa, na kudhihakiwa na wale wanao tuzunguka.
14 Posuisti nos opprobrium vicinis nostris, subsannationem et derisum his, qui sunt in circuitu nostro.
Umetufaya kituko kati ya mataifa, .......................................................
15 Posuisti nos in similitudinem Gentibus: commotionem capitis in populis.
Siku zote fedheha yangu iko mbele yangu, na aibu ya uso wangu imenifunika
16 Tota die verecundia mea contra me est, et confusio faciei meæ cooperuit me,
kwa sababu ya sauti yake iliyo kemea na kutukana, kwa sababu ya adui na kisasi.
17 a voce exprobrantis, et obloquentis: a facie inimici, et persequentis.
Yote haya yametupata sisi; bado hatukukusahau wewe wala kulikosea agano lako.
18 Hæc omnia venerunt super nos, nec obliti sumus te: et inique non egimus in testamento tuo.
Mioyo yetu haikukengeuka; hatua zetu hazikuiacha njia yako.
19 Et non recessit retro cor nostrum: et declinasti semitas nostras a via tua:
Bali wewe umetuadhibu vikali katika mahali pa mbweha na kutufunika na uvuli wa mauti.
20 Quoniam humiliasti nos in loco afflictionis, et cooperuit nos umbra mortis.
Ikiwa tumelisahau jina la Mungu wetu au kueneza mikono yetu kwa Mungu mgeni,
21 Si obliti sumus nomen Dei nostri, et si expandimus manus nostras ad deum alienum:
Mungu asingeligundua hili? Kwa maana yeye anazijua siri za moyo.
22 Nonne Deus requiret ista? ipse enim novit abscondita cordis. Quoniam propter te mortificamur tota die: æstimati sumus sicut oves occisionis.
Hakika, kwa ajili ya jina lako tutauawa siku zote; tunahesabiwa kuwa kondoo kwa ajili ya kuchinjwa.
23 Exurge, quare obdormis Domine? exurge, et ne repellas in finem.
Bwana, amka, kwa nini unalala? Inuka, usitutupe moja kwa moja.
24 Quare faciem tuam avertis, oblivisceris inopiæ nostræ et tribulationis nostræ?
Kwa nini unaficha uso wako na kusahau mateso yetu na kukandamizwa kwetu?
25 Quoniam humiliata est in pulvere anima nostra: conglutinatus est in terra venter noster.
Kwa maana tumeyeyushwa kwenye mavumbi; miili yetu imeshikamana na ardhi.
26 Exurge Domine, adiuva nos: et redime nos propter nomen tuum.
Inuka utusaidie na utuokoe kwa ajili ya uaminifu wa agano lako.

< Psalmorum 44 >