< Psalmorum 34 >

1 Davidi, cum immutavit vultum suum coram Achimelech, et dimisit eum et abiit. Benedicam Dominum in omni tempore: semper laus eius in ore meo.
Nitamsifu Yahwe wakati wote, siku zote sifa zake zitakuwa mdomoni mwangu.
2 In Domino laudabitur anima mea: audiant mansueti, et lætentur.
Nitamsifu Yahwe! walio onewa wasikie na kufurahi.
3 Magnificate Dominum mecum: et exaltemus nomen eius in idipsum.
Msifuni Yahwe pamoja nami, kwa pamoja tuliinue jina lake.
4 Exquisivi Dominum, et exaudivit me: et ex omnibus tribulationibus meis eripuit me.
Nilimuomba Yahwe msaada naye akanijibu, akanipa ushindi juu ya hofu yangu yote.
5 Accedite ad eum, et illuminamini: et facies vestræ non confundentur.
Wale wanao mtazama yeye wana furaha, na nyuso zao hazina aibu.
6 Iste pauper clamavit, et Dominus exaudivit eum: et de omnibus tribulationibus eius salvavit eum.
Huyu mtu aliye onewa alilia na Yahwe akamsikia na kumuokoa kwenye matatizo yake yote.
7 Immittet angelus Domini in circuitu timentium eum: et eripiet eos.
Malaika wa Yahwe huweka kambi wakiwazunguka wale wanao muogopa yeye na kuwaokoa.
8 Gustate, et videte quoniam suavis est Dominus: beatus vir, qui sperat in eo.
Onjeni muone Yahwe ni mzuri. Amebarikiwa mtu yule ambaye Yahwe ni kimbilio lake.
9 Timete Dominum omnes sancti eius: quoniam non est inopia timentibus eum.
Muogopeni Yahwe, ninyi watu watakatifu wake. Hakuna kupungukikwa kwa wale wanao mhofu yeye.
10 Divites eguerunt et esurierunt: inquirentes autem Dominum non minuentur omni bono.
Simba wadogo wakati mwingine hukosa chakula na kuteseka kwa njaa, bali wale wamtafutao Yahwe hawatapungukiwa chochote kilicho kizuri.
11 Venite filii, audite me: timorem Domini docebo vos.
Njoni, wana, mnisikilize mimi. nitawafundisha ninyi hofu ya Yahwe.
12 Quis est homo qui vult vitam: diligit dies videre bonos?
Mtu nani aliyepo ambaye anatamani maisha na anapenda kuwa na siku nyingi, ili kwamba aweze kuona vizuri?
13 Prohibe linguam tuam a malo: et labia tua ne loquantur dolum.
Hivyo uepushe ulimi wako na uovu na uilinde midomo yako kuongea uongo.
14 Diverte a malo, et fac bonum: inquire pacem, et persequere eam.
Uache uovu na utende mema. Uitafute amani na kuiendea amani.
15 Oculi Domini super iustos: et aures eius in preces eorum.
Macho ya Yahwe yako kwenye haki na masikio yake huelekea kulia kwao.
16 Vultus autem Domini super facientes mala: ut perdat de terra memoriam eorum.
Uso wa Yahwe uko kinyume na wale watendao uovu, kuikatilia mbali kumbukumbu yao duniani.
17 Clamaverunt iusti, et Dominus exaudivit eos: et ex omnibus tribulationibus eorum liberavit eos.
Wenye haki hulia na Yahwe husikia na kuwaokoa kwenye matatizo yao yote.
18 Iuxta est Dominus iis, qui tribulato sunt corde: et humiles spiritu salvabit.
Yahwe yu karibu nao waliovunjika moyo, naye huwaokoa waliogandamizwa rohoni.
19 Multæ tribulationes iustorum: et de omnibus his liberabit eos Dominus.
Mateso ya wenye haki ni mengi, bali Yahwe huwaokoa nayo yote.
20 Custodit Dominus omnia ossa eorum: unum ex his non conteretur.
Yeye huitunza mifupa yake yote, hakuna hata mmoja wao utavunjika.
21 Mors peccatorum pessima: et qui oderunt iustum delinquent.
Uovu utawauwa waovu. Wale wachukiao haki watahukumiwa.
22 Redimet Dominus animas servorum suorum: et non delinquent omnes qui sperant in eo.
Yahwe huokoa maisha ya watumishi wake. Hakuna atakaye hukumiwa hata mmoja atafutaye usalama katika yeye.

< Psalmorum 34 >