< Proverbiorum 27 >

1 Ne glorieris in crastinum, ignorans quid superventura pariat dies.
Usijisifu kwa ajili ya kesho, maana hujui siku italeta nini.
2 Laudet te alienus, et non os tuum: extraneus, et non labia tua.
Mtu mwingine akusifu na wala si kinywa chako mwenyewe, mgeni na wala si midomo yako mwenyewe.
3 Grave est saxum, et onerosa arena: sed ira stulti utroque gravior.
Fikiria uzito wa jiwe na uzito wa mchanga- uchokozi wa mpumbavu ni mzito zaidi kuliko hivyo vyote.
4 Ira non habet misericordiam, nec erumpens furor: et impetum concitati ferre quis poterit?
Kuna ukatili wenye ghadhabu kali na mafuriko ya hasira, lakini ni nani anayeweza kusimama mbele ya wivu?
5 Melior est manifesta correptio, quam amor absconditus.
Ni bora karipio la wazi kuliko upendo uliofichwa.
6 Meliora sunt vulnera diligentis, quam fraudulenta oscula odientis.
Mwaminifu ni jeraha zilizosababishwa na rafiki, lakini adui anaweza kukubusu kwa kuomba radhi mno.
7 Anima saturata calcabit favum: et anima esuriens etiam amarum pro dulci sumet.
Mtu aliyekula na kushiba hulikataa hata sega la asali, bali kwa mtu mwenye njaa, kila kitu kichungu ni kitamu.
8 Sicut avis transmigrans de nido suo, sic vir qui derelinquit locum suum.
Ndege anayezurura kutoka kwenye kiota chake ni kama mtu anayepotea sehemu ambayo anaishi.
9 Unguento et variis odoribus delectatur cor: et bonis amici consiliis anima dulcoratur.
Pafumu na manukato huufanya moyo ufurahi, lakini utamu wa rafiki ni bora kuliko ushauri wake.
10 Amicum tuum, et amicum patris tui ne dimiseris: et domum fratris tui ne ingrediaris in die afflictionis tuæ. Melior est vicinus iuxta, quam frater procul.
Usimwache rafiki yako na rafiki wa baba yako, na usiende kwenye nyumba ya ndugu yako katika siku ya msiba wako. Ni bora rafiki ambaye yupo karibu kuliko ndugu ambaye yupo mbali.
11 Stude sapientiæ fili mi, et lætifica cor meum, ut possis exprobranti respondere sermonem.
Mwanangu, uwe na busara, moyo wangu ufurahi; kisha nitamjibu yule anayenidhihaki.
12 Astutus videns malum, absconditus est: parvuli transeuntes sustinuerunt dispendia.
Mtu mwenye busara huiona taabu na kujificha mwenyewe, lakini mjinga huendelea mbele na kuteseka kwa ajili ya taabu.
13 Tolle vestimentum eius, qui spopondit pro extraneo: et pro alienis, aufer ei pignus.
vazi kama mwenyewe anaweka pesa kama dhamana kwa deni la mgeni; lichukue kama anaweka dhamana kwa malaya.
14 Qui benedicit proximo suo voce grandi, de nocte consurgens maledicenti similis erit.
Anayempa jirani yake baraka kwa sauti ya juu mapema asubuhi, baraka hiyo itafikiriwa kuwa laana!
15 Tecta perstillantia in die frigoris, et litigiosa mulier comparantur:
Mke mgomvi ni kama siku ya manyunyu ya mvua ya daima;
16 qui retinet eam, quasi qui ventum teneat, et oleum dexteræ suæ vocabit.
kumzuia ni kama kuuzuia upepo, au kujaribu kushika mafuta kwa mkono wako wa kulia.
17 Ferrum ferro exacuitur, et homo exacuit faciem amici sui.
Chuma hunoa chuma; kwa njia ile ile; mtu humnoa rafiki yake.
18 Qui servat ficum, comedet fructus eius: et qui custos est domini sui, glorificabitur.
Yule anayeutunza mtini atakula matunda yake, na yule mwenye kumlinda bwana wake ataheshimiwa.
19 Quomodo in aquis resplendent vultus prospicientium, sic corda hominum manifesta sunt prudentibus.
Kama maji yanavyoakisi taswira ya sura ya mtu, ndivyo hivyo moyo wa mtu humwaksi mtu.
20 Infernus et perditio numquam implentur: similiter et oculi hominum insatiabiles: (Sheol h7585)
Kama kuzimu na Uharibifu havitosheki, ndivyo yalivyo macho ya mtu hayawezi kutosheka. (Sheol h7585)
21 Quomodo probatur in conflatorio argentum, et in fornace aurum: sic probatur homo ore laudantis. Cor iniqui inquirit mala, cor autem rectum inquirit scientiam.
Kalibu ni kwa fedha na tanuru ni kwa dhahabu; na mtu hujaribiwa anaposifiwa.
22 Si contuderis stultum in pila quasi ptisanas feriente desuper pilo, non auferetur ab eo stultitia eius.
Hata kama utamponda mpumbavu kwa mchI- pamoja na nafaka- bado upumbavu wake hautatoka.
23 Diligenter agnosce vultum pecoris tui, tuosque greges considera:
Hakikisha unajua hali ya makundi yako na ujishughulishe juu ya makundi yako,
24 Non enim habebis iugiter potestatem: sed corona tribuetur in generationem et generationem.
maana utajiri haudumu daima. Je taji hudumu kwa vizazi vyote?
25 Aperta sunt prata, et apparuerunt herbæ virentes, et collecta sunt fœna de montibus.
Majani huondoka na ukuaji mpya huonekana na milima ya chakula cha mifugo hukusanywa ndani.
26 Agni ad vestimentum tuum: et hœdi, ad agri pretium.
Wanakondoo watakupatia mavazi yako na mbuzi watakupatia gharama ya shamba.
27 Sufficiat tibi lac caprarum in cibos tuos, et in necessaria domus tuæ: et ad victum ancillis tuis.
Kutakuwa na maziwa ya mbuzi kwa chakula chako- chakula kwa kaya yako- na chakula kwa watumishi wako wasichana.

< Proverbiorum 27 >