< Nehemiæ 7 >

1 Postquam autem ædificatus est murus, et posui valvas, et recensui ianitores, et cantores, et Levitas:
Wakati ukuta ulipomalizika na milango nimekwisha kuisimamisha, na walinzi wa malango na waimbaji na Walawi walikuwa wamechaguliwa,
2 præcepi Hanani fratri meo, et Hananiæ principi domus de Ierusalem (ipse enim quasi vir verax et timens Deum plus ceteris videbatur)
nikampa ndugu yangu Hanani kuwa na amri juu ya Yerusalemu, pamoja na Hanania ambaye alikuwa msimamizi wa kijiji, kwa kuwa alikuwa mwaminifu na alimuogopa Mungu zaidi kuliko wengi.
3 et dixi eis: Non aperiantur portæ Ierusalem usque ad calorem solis. Cumque adhuc assisterent, clausæ portæ sunt, et oppilatæ: et posui custodes de habitatoribus Ierusalem, singulos per vices suas, et unumquemque contra domum suam.
Nami nikawaambia, Msifungue malango ya Yerusalemu mpaka jua litakapokuwa kali. Wakati walinzi wa mlango wanalinda, unaweza kufunga milango na kuikaza. Chagua walinzi kutoka kwa wale wanaoishi Yerusalemu, wengine mahali pa kituo chao cha ulinzi, na wengine mbele ya nyumba zao wenyewe.
4 Civitas autem erat lata nimis et grandis, et populus parvus in medio eius, et non erant domus ædificatæ.
Sasa jiji lilikuwa pana na kubwa, lakini kulikuwa na watu wachache ndani yake, na hakuna nyumba zilizojengwa tena.
5 Deus autem dedit in corde meo, et congregavi optimates, et magistratus, et vulgus, ut recenserem eos: et inveni librum census eorum, qui ascenderant primum, et inventum est scriptum in eo.
Mungu wangu aliweka moyoni mwangu, kuwakusanya pamoja wakuu, maafisa, na watu kuwaandikisha katika familia zao. Nilipata Kitabu cha kizazi cha wale ambao walirudi kwanza na nikaona kwamba imeandikwa humo.
6 Isti filii provinciæ, qui ascenderunt de captivitate migrantium, quos transtulerat Nabuchodonosor rex Babylonis, et reversi sunt in Ierusalem, et in Iudæam, unusquisque in civitatem suam.
Hawa ndio watu wa jimbo ambao walikwenda kutoka kwenye uhamisho wa wale waliohamishwa ambao Nebukadreza mfalme wa Babeli aliwachukua mateka. Wakarudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenda kwenye mji wake.
7 Qui venerunt cum Zorobabel, Iosue, Nehemias, Azarias, Raamias, Nahamani, Mardochæus, Belsam, Mespharath, Begoai, Nahum, Baana. Numerus virorum populi Israel:
Walikuja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana. Idadi ya wana wa Israeli ilikuwa.
8 Filii Pharos, duo millia centum septuaginta duo:
Wana wa Paroshi, 2, 172.
9 Filii Saphatia, trecenti septuaginta duo:
Wana wa Shefatia, 372.
10 Filii Area, sexcenti quinquaginta duo:
Wana wa Ara, 652.
11 Filii Phahathmoab filiorum Iosue et Ioab, duo millia octingenti decem et octo:
Wana wa Pahath Moabu,
12 Filii Ælam, mille ducenti quinquagintaquattuor:
kwa wana wa Yeshua na Yoabu, 2, 818.
13 Filii Zethua, octingenti quadragintaquinque:
Wana wa Elamu, 1, 254.
14 Filii Zachai, septingenti sexaginta:
Wana wa Zatu, 845. Wana wa Zakai, 760.
15 Filii Bannui, sexcenti quadragintaocto:
Wana wa Binnui, 648.
16 Filii Bebai, sexcenti vigintiocto:
Wana wa Bebai, 628.
17 Filii Azgad, duo millia trecenti vigintiduo:
Wana wa Azgadi, 2, 322.
18 Filii Adonicam, sexcenti sexagintaseptem:
Wana wa Adonikamu, 667.
19 Filii Beguai, duo millia sexagintaseptem:
Wana wa Bigwai, 2, 067.
20 Filii Adin, sexcenti quinquagintaquinque:
Wana wa Adini, 655.
21 Filii Ater, filii Hezeciæ, nonagintaocto:
Wana wa Ateri, wa Hezekia, 98.
22 Filii Hasem, trecenti vigintiocto:
Wana wa Hashumu, 328.
23 Filii Besai, trecenti vigintiquattuor:
Wana wa Besai, 324.
24 Filii Hareph, centum duodecim:
Wana wa Harifu, 112.
25 Filii Gabaon, nonagintaquinque:
Wana wa Gibeoni, 95.
26 Filii Bethlehem, et Netupha, centum octogintaocto.
Watu kutoka Bethlehemu na Netofa, 188.
27 Viri Anathoth, centum vigintiocto.
Watu wa Anathothi, 128.
28 Viri Bethazmoth, quadragintaduo.
Watu wa Beth Azmaweth, 42.
29 Viri Cariathiarim, Cephira, et Beroth, septingenti quadragintatres.
Watu wa Kiriath Yearimu, Kefira, na Beerothi, 743.
30 Viri Rama et Geba, sexcenti vigintiunus.
Watu wa Rama na Geba, 621.
31 Viri Machmas, centum vigintiduo.
Watu wa Mikmasi, 122.
32 Viri Bethel et Hai, centum vigintitres.
Watu wa Betheli na Ai, 123.
33 Viri Nebo alterius, quinquagintaduo.
Watu wa Nebo, 52.
34 Viri Ælam alterius, mille ducenti quinquagintaquattuor.
Watu wa Elamu wa pili, 1, 254.
35 Filii Harem, trecenti viginti.
Watu wa Harimu, 320.
36 Filii Iericho, trecenti quadragintaquinque.
Watu wa Yeriko, 345.
37 Filii Lod, Hadid et Ono, septingenti vigintiunus.
Watu wa Lodi, Hadidi, na Ono, 721.
38 Filii Senaa, tria millia nongenti triginta.
Watu wa Senaa, 3, 930.
39 Sacerdotes: Filii Idaia in domo Iosue, nongenti septuagintatres.
makuhani Wana wa Yedaya (wa nyumba ya Yeshua), 973.
40 Filii Emmer, mille quinquagintaduo.
Wana wa Imeri, 1, 052.
41 Filii Phashur, mille ducenti quadragintaseptem.
Wana wa Pashuri, 1, 247.
42 Filii Arem, mille decem et septem. Levitæ:
Wana wa Harimu, 1, 017.
43 Filii Iosue et Cedmihel filiorum
Walawi, wana wa Yeshua, wa Kadmieli, wa Binui, wa Hodavia, 74.
44 Oduiæ, septuagintaquattuor. Cantores:
Waimbaji wana wa Asafu; 148.
45 Filii Asaph, centum quadragintaocto.
Waliofungua mlango wana wa Shalumu, wana wa Ateri, wana wa Talmoni; wana wa Akubu, wana wa Hatita, wana wa Shobai, 138.
46 Ianitores: filii Sellum, filii Ater, filii Telmon, filii Accub, filii Hatita, filii Sobai: centum trigintaocto.
Watumishi wa Hekalu wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi,
47 Nathinæi: filii Soha, filii Hasupha, filii Tebbaoth,
wana wa Kerosi, wana wa Siaha, wana wa Padoni,
48 filii Ceros, filii Siaa, filii Phadon, filii Lebana, filii Hagaba, filii Selmai,
wana wa Lebana, wana wa Hagaba, wana wa Salmai,
49 filii Hanan, filii Geddel, filii Gaher,
wana wa wa Hanani, wana wa Gideli, wana wa Gahari.
50 filii Raaia, filii Rasin, filii Necoda,
Wana wa Reaya, wana wa Resini, wana wa Nekoda,
51 filii Gezem, filii Aza, filii Phasea,
wana wa Gazamu, wana wa Uza, wana wa Pasea,
52 filii Besai, filii Munim, filii Nephussim,
wana wa Besai, wana wa Meunimu, wana wa Nefusimu.
53 filii Bacbuc, filii Hacupha, filii Harhur,
Wana wa Bakbuki, wana wa Hakufa, wana wa Harhuri,
54 filii Besloth, filii Mahida, filii Harsa,
wana wa Baslith, wana wa Mehida, wana wa Harsha,
55 filii Bercos, filii Sisara, filii Thema,
wana wa Barkosi, wana wa Sisera, wana wa Tema,
56 filii Nasia, filii Hatipha,
wana wa Nesia, wana wa Hatifa.
57 filii servorum Salomonis, filii Sothai, filii Sophereth, filii Pharida,
Wana wa Sulemani, wana wa Sotai, wana wa Sofeereth, wana wa Peruda,
58 filii Iahala, filii Darcon, filii Ieddel,
wana wa Yaala, wana wa Darkoni, wana wa Gideli,
59 filii Saphatia, filii Hatil, filii Phochereth, qui erat ortus ex Sabaim, filio Amon.
wana wa Shefatia, wana wa Hatili, wana wa Pokerethi Sebaimu, wana wa Amoni.
60 Omnes Nathinæi, et filii servorum Salomonis, trecenti nonagintaduo.
Watumishi wote wa hekalu, na wana wa watumishi wa Sulemani, walikuwa 392.
61 Hi sunt autem, qui ascenderunt de Thelmela, Thelharsa, Cherub, Addon, et Emmer: et non potuerunt indicare domum patrum suorum, et semen suum, utrum ex Israel essent.
Hawa ndio watu waliokwenda kutoka Tel Mela, Tel harsha, Kerub, Addon, na Imeri. Lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba wao au jamaa za baba zao walikuwa wana wa Israeli,
62 Filii Dalaia, filii Tobia, filii Necoda, sexcenti quadragintaduo.
wana wa Delaya, wana wa Tobia, na wana wa Nekoda, 642.
63 Et de Sacerdotibus, filii Habia, filii Accos, filii Berzellai, qui accepit de filiabus Berzellai Galaaditis uxorem: et vocatus est nomine eorum.
Na kutoka kwa makuhani Wana wa Habaya, Hakosi, na Barzilai ( akamchukua mkewe kutoka kwa binti za Barzilai wa Gileadi na akaitwa kwa jina lao).
64 Hi quæsierunt scripturam suam in censu, et non invenerunt: et eiecti sunt de sacerdotio.
Hawa walitafuta rekodi zao kati ya waliojiunga na kizazi chao, lakini hawakuweza kupatikana, kwa hivyo waliondolewa katika ukuhani kama walio najisi.
65 Dixitque Athersatha eis ut non manducarent de Sanctis sanctorum, donec staret Sacerdos doctus et eruditus.
Naye mkuu wa gavana akawaambia wasiruhusiwe kula chakula cha makuhani kutoka kwenye dhabihu mpaka atakapoinuka kuhani mwenye Urimu na Thumimu.
66 Omnis multitudo quasi vir unus quadragintaduo millia trecenti sexaginta,
Kusanyiko lote lilikuwa 42, 360,
67 absque servis et ancillis eorum, qui erant septem millia trecenti trigintaseptem, et inter eos cantores, et cantatrices, ducenti quadragintaquinque.
isipokuwa watumishi wao wa kiume na watumishi wao wa kike, ambao walikuwa 7, 337. Walikuwa na wanaume na wanawake wa kuimba 245.
68 Equi eorum, septingenti trigintasex: muli eorum, ducenti quadragintaquinque:
Farasi zao zilikuwa 736 kwa idadi, nyumbu zao, 245,
69 cameli eorum, quadringenti trigintaquinque: asini, sex millia septingenti viginti.
ngamia zao, 435, na punda zao, 6, 720.
70 Nonnulli autem de principibus familiarum dederunt in opus. Athersatha dedit in thesaurum auri drachmas mille, phialas quinquaginta, tunicas sacerdotales quingentas triginta.
Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao walitoa zawadi kwa ajili ya kazi. Gavana alitoa sadaka ya darkoni elfu ya dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 ya makuhani.
71 Et de principibus familiarum dederunt in thesaurum operis auri drachmas viginti millia, et argenti mnas duo millia ducentas.
Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao waliwapa katika hazina kwa kazi darkroni elfu ishirini za dhahabu na mane 2, 200 za fedha.
72 Et quod dedit reliquus populus, auri drachmas viginti millia, et argenti mnas duo millia, et tunicas sacerdotales sexagintaseptem.
Watu wengine waliwapa darkoni za dhahabu ishirini elfu, na dhahabu elfu mbili za fedha, na mavazi sitini na saba kwa makuhani.
73 Habitaverunt autem Sacerdotes, et Levitæ, et ianitores, et cantores, et reliquum vulgus, et Nathinæi, et omnis Israel in civitatibus suis.
Basi makuhani, Walawi, walinzi wa malango, waimbaji, watu wengine, watumishi wa hekalu, na Israeli wote waliishi katika miji yao. Hata mwezi wa saba watu wa Israeli walikuwa wakiishi katika miji yao.”

< Nehemiæ 7 >