< Job 23 >

1 Respondens autem Iob, ait:
Kisha Ayubu akajibu na kusema,
2 Nunc quoque in amaritudine est sermo meus, et manus plagæ meæ aggravata est super gemitum meum.
“Hata leo malalamiko yangu ni machungu; maumivu yangu ni mazito kuliko manung'uniko yangu.
3 Quis mihi tribuat ut cognoscam et inveniam illum, et veniam usque ad solium eius?
Ee, ningejua niwezapokumwona! Ee, kwamba ningeweza kwenda alipo!
4 Ponam coram eo iudicium, et os meum replebo increpationibus,
Ningeweka shitaka langu mbele yake na kukijaza kinywa changu hoja.
5 Ut sciam verba, quæ mihi respondeat, et intelligam quid loquatur mihi.
Ningejua ambavyo angenijibu na kufahamu ambavyo angesema juu yangu.
6 Nolo multa fortitudine contendat mecum, nec magnitudinis suæ mole me premat.
Je angehojiana nami katika ukuu wa nguvu zake? Hapana, angenisikiliza.
7 Proponat æquitatem contra me, et perveniat ad victoriam iudicium meum.
Pale mwenye haki angehojiana nami. Kwa njia hii ningeonekana bila hatia kwa mwamzi wangu.
8 Si ad Orientem iero, non apparet: si ad Occidentem, non intelligam eum.
Tazama, naelekea mashariki, lakini hayupo pale, na upande wa magharibi, lakini siwezi kumwona.
9 Si ad sinistram, quid agam? non apprehendam eum: si me vertam ad dexteram, non videbo illum.
Kaskazini, anapofanya kazi, lakini siwezi kumwona, na kusini, anapojificha hata nisimwone.
10 Ipse vero scit viam meam, et probavit me quasi aurum, quod per ignem transit:
Lakini anaijua njia ninayoichukua; atakapokuwa amenipima, nitatoka kama dhahabu.
11 Vestigia eius secutus est pes meus, viam eius custodivi, et non declinavi ex ea.
Mguu wangu umeunganishwa na hatua zake; nimezitunza njia zake na sijageuka.
12 A mandatis labiorum eius non recessi, et in sinu meo abscondi verba oris eius.
Sijaiacha amri ya midomo yake; nimeyatii maneno ya kinywa chake.
13 Ipse enim solus est, et nemo avertere potest cogitationem eius: et anima eius quodcumque voluit, hoc fecit.
Lakini yeye ni wa pekee, naniawezaye kumgeuza? Analolitaka, hulitenda.
14 Cum expleverit in me voluntatem suam, et alia multa similia præsto sunt ei.
Kwa maana hulitimiza agizo lake kinyume changu; anamipango mingi kwa ajili yangu; ipo mingi kama hiyo.
15 Et idcirco a facie eius turbatus sum, et considerans eum, timore sollicitor.
Kwa hiyo, nimetishwa mbele zake; ninapofikiri kumhusu, ninamwogopa.
16 Deus mollivit cor meum, et Omnipotens conturbavit me.
Kwani Mungu ameudhoofisha moyo wangu; Mwenyezi amenitisha.
17 Non enim perii propter imminentes tenebras, nec faciem meam operuit caligo.
Si kwa sababu nimeondolewa na giza, wala siyo kwamba giza nene limeufunika uso wangu.

< Job 23 >