< Luka 10 >

1 Linu chinga kwamana izo zintu, Simwine nichaketa bantu bakwana makumi amana iyaza limwina ni overe Linu nichabatuma bovere bovere, habusu bwakwe mwitolopo ni tolopo mwava kuswanela kuyenda.
Baada ya hayo, Bwana aliwachagua wengine sabini na wawili, akawatuma wawiliwawili, wamtangulie katika kila kijiji na mahali ambapo yeye mwenyewe alitaka kwenda.
2 Nichawamba kuvali, ikukutulo yingi, linu basinza bache. Nihakubabulyo muvuze Simwine wekutulo atumine bamwi vasinzi mwikutulo yakwe.
Akawaambia, “Mavuno ni mengi, lakini wavunaji ni wachache. Kwa hivyo, mwombeni mwenye shamba atume wavunaji shambani mwake.
3 Muyende mwizila yenu. Mubone, nimitumina hanze sina imbelele zina mukati ka batuhu.
Sasa nendeni; fahamuni kwamba ninawatuma ninyi kama kondoo wanaokwenda kati ya mbwa mwitu.
4 Kanjimuhindi chikwama chamashereñi kanjimuhindi mukotana wazizwato kamba isangu. Mi nsezi mulumelisi zumwi ni zumwi yesemusangane munzila.
Msichukue mfuko wa fedha, mkoba, wala viatu; msimsalimu mtu yeyote njiani.
5 Izubo ihi neihi yetimwinjile, Chama tangilo muwambe, 'Inkozo ive mweyinu izubo!,
Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza wasalimuni hivi: Amani iwe katika nyumba hii!
6 Haiva mutu wekozo mwena mukati, Inkozo muiikale hakwe, kono haiva kanji mona, mwivole kwenu.
Kama akiwako mwenye kupenda amani, amani yenu itakaa naye, la sivyo, itawarudieni.
7 Mwikale mwizubo iswana, mulye ni kunywa zonse zivamiha, muvereki uyelere kuhewa impeyi yakwe. Kanji mukayendi mwinzuvo ni nzuvo.
Kaeni katika nyumba hiyo mkila na kunywa wanavyowapeni, maana mfanyakazi anastahili mshahara wake. Msiende mara nyumba hii mara nyumba ile.
8 Yonse itolopo yente nimwinjire, mi vamitambula, mulye zosezivamiha,
Kama mkifika mji fulani na watu wakiwakaribisha, kuleni wanavyowapeni.
9 mi muhoze vose valwala venakwateni, Muwambe kuvali, 'mutekuti impuso ye Reeza chiyeza hafwihi nanwe.'
Ponyeni wagonjwa walioko huko, waambieni watu: Ufalme wa Mungu umekaribia kwenu.
10 Inakoyonse hamwinjila mwitolopo mi kava mitambuli, muyende haze lyamingwangwa mi mukatekuti,
Lakini mkiingia katika mji wowote, wasipowakaribisheni, tokeni; nanyi mpitapo katika barabara zao semeni:
11 'Nanga isuko lizwa mwitolopo yavo likakatile kuma ntende enu muliva limi lwisa muliva nkunkumwine! Linu mwi zive izi: Impuso ye Reeza chiyeza hafuhi',
Hata mavumbi ya mji wenu yaliyoshikamana na miguu yetu tunawakung'utieni. Lakini, jueni kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia.
12 Ikumbya nimiwambila nitii mwelina izuba lyekatulo Sodoma kapangiwe sinte kuhita yina itolopo.
Hakika nawaambieni, siku ile mji huo utapata adhabu kubwa zaidi kuliko ile ya watu wa Sodoma.
13 Wina bumai iwe, korazini! Wina bumai iwe Betsaida! Mukuti kakuli zivapangiwa nanwe kambe zivapangiwa ni Tire ni Sidoni, niva vaki kale, kwikala niva zwete masaka niku lisinga itwe,
“Ole wako Korazini! Ole wako Bethsaida! Maana, kama miujiza iliyofanyika kwenu ingalifanyika kule Tiro na Sidoni, watu wake wangalikwishavaa mavazi ya gunia kitambo, na kukaa katika majivu kuonyesha kwamba wametubu.
14 Nihakuba bulyo Tire ni sidoni kazipangiwe sinte kuhita inwe mwinako yekatulo kuhita inwe.
Hata hivyo, Siku ya Hukumu ninyi mtapata adhabu kubwa zaidi kuliko ile ya watu wa Tiro na Sidoni.
15 Iwe, kapenawuma, uhupula konyemunwe kwiwulu? Nanta, movozwe hansi mwihele. (Hadēs g86)
Na wewe Kafarnaumu, unataka kujikweza mpaka mbinguni? La; utaporomoshwa mpaka Kuzimu.” (Hadēs g86)
16 Iye mwine yoteka kwenu uteka kwangu, linu yomikana ukana name, mukuti yonikana ukana niyabanitumi.”
Halafu akasema, “Anayewasikiliza ninyi, ananisikiliza mimi; na anayekataa kuwapokea ninyi, anakataa kunipokea mimi. Yeyote anayekataa kunipokea, anakataa kumpokea yule aliyenituma.”
17 Ba makumi akwana iyaza limwina nimakumi overe nichibakavola nibasangite, nivatakuti,'”Simwine, mane ni madimona atuzuwa mwizina lyako.”
Baadaye, wale sabini na wawili walirudi wamejaa furaha, wakisema, “Bwana, hata pepo wametutii tulipolitaja jina lako.”
18 Jesu nichata kuvali, “niva boni satani chowa kwiwulu sina invula ivesa.
Yeye akawaambia, “Nilimwona Shetani jinsi alivyokuwa anaporomoka kama umeme kutoka mbinguni.
19 Mubone, nivamihi innguzu zakulyata izoka nitu vumwe, nihewulu lyenguzu zachila, mi kakwina mukwa umwi wete nichi miholofazo kawo.
Naam, nimewapeni uwezo wa kukanyaga nyoka na ng'e, na uwezo juu ya nguvu zote za yule adui; hakuna chochote kitakachowadhuru.
20 Nihakuva bulyo kanji musangi kezo bulyo, kuti ihuho zami zuwa, linu musange mukuti mazina enu añoletwe mwi mbuka yakwi wulu”.
Hata hivyo, msifurahi kwa sababu pepo wamewatii, bali furahini kwa sababu majina yenu yameandikwa mbinguni.”
21 Mweyo inako iswana nicha taba ahulu Muluhuho Lunjolola, nichatakuti, “ni kulumbeka, Tayo, Simwine wewulu ni ikanda, mukuti izizintu ubaziwungwili vena mano nivazuwisisa, ni kuziwumbwila vana basana vavarutwa, sina vahwilezana, Eni, Ita, Mukuti chivali kusangisa kumbaliyenu.”
Saa ileile, Yesu akafurahi kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, akasema, “Nakushukuru ee Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa kuwa umewaficha wenye hekima na elimu mambo haya, ukawafumbulia wadogo. Naam, Baba, ndivyo ilivyokupendeza.”
22 “Zintu zose nivazihewa kwatayo, mukuti kakwina wizi kuti Mwana njozuhi mbwiteli Itayo, imi kakwina yowizi Tayo mbwiteli mwanakwe hape yense yonsalwa kumwanakwe kumuzivahaza kwali.”
Kisha akasema, “Baba yangu ameweka yote mikononi mwangu. Hakuna amjuaye Mwana ni nani ila Baba, wala amjuaye Baba ni nani ila Mwana, na yeyote yule ambaye Mwana anataka kumfunulia hayo.”
23 Linu nicha sandukira kuvarutwana vakwe ni kuva wambira kwimbali, “Bafuyoletwe avo vantu vavona zintu zimuvwene.
Halafu akawaelekea wafuasi wake akawaambia, “Heri wanaoona yale mnayoyaona ninyi!
24 Nimilwira, mapolofita vangi ni vasimwine vava sakite kuvona zintu zimuvwene, linu kana vavazivoni, mane nikuzuwa zintu zimuzuwile, imi kana vavazizuwi.”
Hakika, manabii na wafalme walitamani kuona yale mnayoyaona ninyi wasiyaone, na kusikia yale mnayoyasikia wasiyasikie.”
25 Mulole, umwi muruti wamulao wa Majuda nicha zimana kusaka kumulika, nichati, “Muruti, munipange vuti kuti niwole kuyola vuhalo vusamani?” (aiōnios g166)
Baadaye mwalimu mmoja wa Sheria alisimama akamwuliza akitaka kumtega, “Mwalimu, nifanye nini ili nipate uzima wa milele?” (aiōnios g166)
26 Jesu chata kwali, “Chizi chiñoletwe mwimbuka yamulao? Kati wuvala vule?”
Yesu akamwuliza, “Imeandikwa nini katika Sheria? Unaelewaje?”
27 Linu chinge tava chatakuti, “Mosake simwine Ireeza nikulo yako yose ni mozo wakowose, ni nguzu zakozose, ni mizezo yakoyose, ni yovambee naye sina njewe.”
Akamjibu, “Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote. Na, mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.”
28 Jesu nata kwali, “Wetava sinte. Wupange, vovu lyo imi mohale.”
Yesu akawaambia, “Vema! Fanya hivyo, nawe utaishi.”
29 linu muruti, kulakanamina kuli nyemuna iyemwine, nichata kwa Jesu, “linu univambene naye njeni?”
Lakini yeye akitaka kujihakikishia kuwa mwema akamwuliza Yesu, “Na jirani yangu ni nani?”
30 Imi hetava ikalavo Jesu nata kuti, “Mukwame zumwi avakuzwa kwa Jerusalema kuya kwa Jerico. Nicha wila mumayaza avansa, ni chi vamuchupulisa ni kumunyanga zintu zakwe, nichi vamundamona nikumusiya uzuminine.
Yesu akamjibu, “Mtu mmoja alikuwa anashuka kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko. Alipokuwa njiani, alivamiwa na majambazi, wakamnyang'anya mali yake na kumpiga, wakamwacha amelala pale nusu mfu.
31 Chetohonolo muprista avakuhita mweyo inzila, chinga muvona, nicha muzimbuluka.
Kumbe, kuhani mmoja akawa anapita barabara ileile, akamwona, akapita kando.
32 Chokuswana mulevi naye, chingasika hachivaka chiswana ni kumubona, nichazimbulukila kumbali.
Hali kadhalika na Mlawi mmoja, alipofika mahali akamwona, akapita kando.
33 Linu mukwame Wamusamaria, hava kuyenda mweyo inzila, Chinga muvona, chamu nfwila inse.
Lakini Msamaria mmoja aliyekuwa anasafiri, alifika pale yule mtu alipokuwa, naye alipomwona, alimwonea huruma.
34 Chamu chunina nikusumina zilavi zakwe, niku chuka ioyili ni veine hateni. Ni kumutatika hembelesa yakwe, nicha muleta mwi hotela, kwiza kumulwalikila mwateni.
Akamwendea, akamtibu majeraha yake kwa kumtia mafuta na divai; na kuyafunga halafu akampandisha juu ya punda wake akampeleka katika nyumba moja ya wageni akamuuguza.
35 Imi izuva lichilila chahinda impondo zovere. imi nichaziha mwine we hotela, “imi nichamuwambila kuti, zintu zonse zete notendise, china kabola, munize nikuluwere.
Kesho yake akatoa fedha dinari mbili akampa yule mwenye nyumba, akamwambia, Muuguze mtu huyu; na chochote utakachotumia zaidi, nitakulipa nitakaporudi.”
36 Imi njeni kwava votatwe, yo hupula, kuti yava vambene naye hawila muyaza abansa?
Kisha Yesu akauliza, “Kati ya hao watatu, ni yupi aliyeonyesha kuwa jirani yake yule aliyevamiwa na majambazi?”
37 'Imi muruti nichatii, “Yava mufwili inse,” Jesu nichata kwali, “Yende ukapange ziswana.”
Yule mwalimu wa Sheria akamjibu, “Ni yule aliyemwonea huruma.” Yesu akamwambia, “Nenda ukafanye vivyo hivyo.”
38 Linu havava kwavuyenda, niche njila mu munzi wumwi, mwanakazi zumwi yava kusupwa Mareta nicha mutambula mwizuvo yakwe.
Walipokuwa safarini, waliingia katika kijiji kimoja na mwanamke mmoja, aitwaye Martha, alimkaribisha nyumbani kwake.
39 Avena mwache wamwanakazana yavakusupwa Maria, yave kele havunsu vwamatende a Simwine niku zuwa mazwi akwe.
Martha alikuwa na dada yake aitwaye Maria; huyu aliketi karibu na Yesu akisikiliza mafundisho yake.
40 Kono Mareta avapatehete nimitendo mingi yakwihika kuti avayumbule. Nicha yende kwa Jesu, Nikuka cho, “Simwine, kovilaeli kuti mwachangu wanisiya nini seveza neke? linu umuwambile zanituse,”
Lakini Martha alikuwa anashughulika na mambo mengi. Basi, akamwendea Yesu, akamwambia, “Bwana, hivi hujali kwamba dada yangu ameniacha nishughulike peke yangu? Mwambie basi, anisaidie.”
41 imi Simwine nicha mwitava nati, Mareta, Mareta, uvilaezwa nizintu zingi,
Lakini Bwana akamjibu, “Martha, Martha, unahangaika na kusumbuka kwa mambo mengi.
42 imi chitu choke chisakahala, linu Maria waketa chintu chilukite, chisa woli kuhindiwa kwali.
Kitu kimoja tu ni muhimu. Maria amechagua kitu bora zaidi ambacho hakuna mtu atakayemnyag'anya.”

< Luka 10 >