< Ezekiel 34 >

1 LEUM GOD El kaskas nu sik ac fahk,
Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
2 “Kom, mwet sukawil moul la, fahkak kas in palu lain mwet kol lun Israel. Kaskas nu selos ac fahk kas ma nga, LEUM GOD Fulatlana, fahk nu selos inge: We nu suwos, kowos mwet shepherd lun Israel! Kowos sifacna karinginkowosyang, ac tia karingin sheep uh.
“Mwanadamu, tabiri dhidi ya wachungaji wa Israeli. Toa unabii na waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi kwa wachungaji: Ole kwa wachungaji wa Israeli wanaojilisha wenyewe. Je! wachungaji hawapaswi kulilinda kundi?
3 Kowos numla milk, ac nukum nuknuk ma orekla ke unen sheep, ac uni sheep ma wo oemeet uh ac kang ikwa kac. A kowos tiana liyaung sheep uh.
Mnakula mafungu yaliyonona na mnavaa sufu. Mnawachinja walionona. Hamkuwalisha siku zote.
4 Kowos tiana karingin sheep ma munas, ku akkeyala ma mas uh, ku pwelah acn kinet kaclos. Kowos tia folokunma ma som liki un sheep uh, ku suk ma tuhlac uh. Kowos tia oru ma inge, a kowos oralos arulana koluk.
Hamkuwatia nguvu wagonjwa, wala hamkuwaponya wenye maradhi. Hamkuwafungua wale waliovunjika, hamkuwarudisha waliofukuzwa au kuwatafuta waliopotea. Badala yake, mmetawala juu yao kwa nguvu na vurugu.
5 Ke sripen wangin shepherd lun sheep uh, oru elos fahsrelik nu in acn puspis, ac kosro lemnak uh onelosi ac kangulosla.
Kisha walikuwa wametawanyika bila mchungaji, na wakawa chakula kwa wanyama wote waishio katika mashamba, walipokuwa wametawanyika.
6 Na sheep nutik uh som nu yen fulat fin inging uh ac nu fineol uh. Elos fahsrelik nu in acn nukewa fin faclu, ac wangin mwet srike in som sokolos, ku konalosyak.
Kundi langu limetawanyika juu ya milima yote na juu ya kilima kirefu, na limetawanyika juu ya uso wote wa dunia. Wala hakuna anayewatafua.
7 “Ke ma inge, kowos mwet shepherd, porongo ma nga, LEUM GOD, fahk nu suwos.
Kwa hiyo, wachungaji, sikilizeni neno la Yahwe:
8 Ke sripen nga pa God moul, kowos enenu in porongo kas luk inge. Kosro lemnak uh elos uniya sheep nutik uh ac kangla mweyen wangin mwet shepherd lalos. Mwet shepherd luk uh tiana srike in konalosyak. Elos sifacna taranulos ac tia liyaung sheep uh.
Kama niishivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-kwa sababu kundi langu limekuwa mateka na chakula kwa ajili ya wanyama katika mashamba, kwa sababu hapakuwa na mchungaji yeyote, lakini wachungaji walijilisha wenyewe na hawakulisha kundi langu.
9 Ouinge, kowos mwet shepherd, porongeyu.
Kwa hiyo, wachungaji, lisikilizeni neno la Yahwe:
10 Nga, LEUM GOD Fulatlana, fahkot lah nga lain kowos. Nga ac fah eisla sheep nutik uh liki kowos, ac tia sifilpa lela kowos in mwet shepherd lalos. Nga ac fah tia sifil lela kowos in sifacna taran kowos. Nga ac fah molela sheep nutik uh liki kowos, ac tia sifil lela kowos in kang.
Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Niko juu ya wachungaji, na nitalitaka kundi langu kutoka mkononi mwake. Kisha nitawaachisha kutoka kulichunga kundi; wala wachungaji hawatajilisha wenyewe tena kwa kuwa nitaliondoa kundi langu kutoka midomoni mwao, ili kwamba kundi langu lisiwe chakula kwa ajili yao tena.
11 “Nga, LEUM GOD Fulatlana, fahk nu suwos lah nga ac fah sifacna sokak sheep nutik ac liyalosyang,
Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! mimi mwenyewe nitawatafuta kondoo wangu na kuwaulizia,
12 oana ke sie mwet shepherd ac liyaung sheep natul ma fahsrelik, ac sifil oraloseni. Nga ac fah folokunulosme liki acn nukewa ma elos fahsrelik nu we ke len in ongoiya ac lohsr sac.
kama mchungaji atafutaye kundi lake juu ya siku hiyo yupo ndani ya kundi lake lililotawanyika. Hivyo nitalitafuta kundi langu, na nitalichunga kutoka sehemu lilipokuwa limetawanyika siku ya mawingu na giza.
13 Nga ac fah eisalos liki mutunfacl saya nukewa ma elos fahsrelik nu we, ac oraloseni nu sie, ac folokunulosme nu in facl selos sifacna. Nga ac fah kololosla nu fineol ac infacl srisrik lun acn Israel. Ac nga fah kitalos in ima wolana.
Kisha nitalileta kutoka miongoni mwa watu; nitalikusanya kutoka nchi mbali mbali na kulileta kwenye nchi yao. Nitaliweka kwenye malisho juu ya pande za milima ya Israeli, karibu na vijito, na katika kila makazi katika nchi.
14 Nga fah lela elos in mongo yen tupasrpasr nukewa in acn Israel — yen folfol insroan mah nalos fineol uh ac infahlfal uh, yen wangin ma ac akkolukyalos we.
Nitawaweka kwenye malisho mema; juu ya milima ya Israeli itakuwa sehemu za malisho yao. Watalala chini huko katika sehemu nzuri kwa ajili ya malisho, katika malisho mengi, na watalisha juu ya milima ya Israeli.
15 Nga sifacna ac fah mwet shepherd nu sin sheep nutik uh, ac nga fah sokak acn in mongla lalos. Nga, LEUM GOD Fulatlana, pa fahk ma inge.
Mimi mwenyewe nitachunga kondoo wangu, na mimi mwenyewe nitawalaza chini-hivi ndivyo Bwana Yahwe
16 “Nga fah sokolos su tuhlac, folokunulosme su fahla liki un sheep uh, ac pwelah kinet kaclos, ac akkeyalosla su mas. Tusruktu elos su fact ac ku nga ac fah kunauselosla, mweyen nga sie shepherd su oru ma suwohs.
asemavyo-Nitawatafuta waliopotea nitawarudisha waliofukuzwa. Nitawafunga waliovunjika na kuwaponya kondoo waliougua lakini wanene na wenye nguvu nitawaharibu. Nitawalisha kwa haki.
17 “Ke ma inge, kowos un kosro nutik, nga, LEUM GOD Fulatlana, fahkot nu suwos lah nga ac fah nununku kais soko suwos, ac srela ma wo liki ma koluk uh — sheep uh liki nani uh.
Hivyo sasa ninyi, kundi langu-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-tazama, nitakuwa hakimu kati ya kondoo na kondoo na kati ya kondoo dume na mbuzi dume.
18 Kutu suwos sufalkin mah wowo ma kowos kang, na lolongya mah kowos tia kangla uh! Kowos nim kof nasnas, ac lohsrngokeak ma kowos tia numla uh!
Je! haitoshi kulisha juu ya malisho mazuri, ambayo mtayakanyaga chini kwa miguu yenu kile kilichobakia kwenye malisho; na kunywa kutoka maji masafi, ambayo hakuna budi kuikanyaga mito kwa miguu yenu?
19 Na sheep nutik ngia enenu in kang mah ma kowos lolongya, ac nim kof kowos lohsrngokeak uh.
Kondoo zangu zitakula kile mlichokanyagwa kwa miguu yenu, na kunywa maji yale mliyoyakanyaga kwa miguu yenu?
20 “Ke ma inge, nga, LEUM GOD Fulatlana, fahk nu suwos lah nga ac fah nununku inmasrlon sheep ku ac sheep munas uh.
Kwa hiyo Bwana Yahwe anawaambia hivi; Tazama! Mimi mwenyewe nitahukumu kati ya wanene na waliokonda,
21 Kowos sinukunla ma mas uh nu saya, ac fakselosla liki un kosro uh.
Kwa kuwa mmewasukuma kwa ubavu wenu na mabega, na kuwapiga kwa pembe wadhaifu wote kwa pembe zenu hadi mtakapowatawanya mbali kutoka kwenye nchi.
22 Tusruktu nga ac fah molela sheep nutik uh, ac tia lela in sifil orek elos koluk. Nga ac fah nununku kais soko sheep nutik, ac srela ma wo uh liki ma koluk uh.
Nitaliokoa kundi langu na hawatakuwa mateka tena, na nitahukumu kati ya kondoo mmoja na mwingine!
23 Nga ac fah sang sie tokosra lalos in oana David, mwet kulansap luk, elan mwet shepherd sefanna lalos, ac el ac fah liyalosyang.
Nitaweka juu yao mchungaji mmoja, mtumishi wangu Daudi. Atawachunga, atawalisha, na atakuwa mchungaji wao.
24 Nga, LEUM GOD, ac fah God lalos, ac sie tokosra oana David, mwet kulansap luk, ac fah leum faclos. Nga pa fahk ma inge.
Kwa kuwa mimi, Yahwe, nitakuwa Mungu wao, na mtumishi wangu Daudi atakuwa mkuu kati yao-mimi, Yahwe, nimesema hivi.
25 Nga fah orala sie wuleang in misla yorolos, tuh in wangin mwe lokoalok nu selos. Nga ac fah lusla kosro sulallal nukewa ma muta fin acn uh, tuh sheep nutik uh in ku in muta wo inima uh, ac motul insak uh.
Kisha nitafanya agano la amani pamoja nao na kuwaondoa wanyama waovu kutoka kwenye nchi, ili kwamba waishi salama katika jangwa na walale salama katika misitu.
26 “Nga ac fah akinsewowoyalos ac oru elos in muta raunella fineol mutal sik. Ingo nga fah sang af in akinsewowoyalos ke pacl elos enenu.
Pia nitaleta baraka juu yao na juu ya maeneo yazungukao kilima changu, kwa kuwa nitaleta manyunyu kwa wakati wake. Haya yatakuwa manyunyu ya baraka.
27 Sak we ac ima we ac fah isus fahko, ac mwet nukewa ac fah muta in misla in acn sel sifacna. Pacl se nga ac aksukosokye mwet luk liki inpoun mwet akkohsyalos, ac wotela mwe kapir lalos, na elos ac fah etu lah nga pa LEUM GOD.
Kisha miti ya shambani itazaa matunda yake, na dunia itashindwa kuzaa matunda yake. Kondoo wangu watakuwa salama katika nchi yao; kisha watajua ya kwamba mimi ni Yahwe, wakati nitakazipovunja fito za kongwa zao, na wakati nitakapowalinda kutoka kwenye mkono wa wale walio watumikisha.
28 Mutunfacl saya ac fah tia sifil pisre ma lalos, ac kosro lemnak ac fah tia onelosi ac kangulosla. Elos fah mutana in misla, ac wangin mwet fah sifil aksangengyalos.
Hawatakuwa mateka tena kwa mataifa, na wanyama pori juu ya dunia hawatawameza tena. Kwa kuwa wataishi salama na wala hakuna mtu atakayewatia hofu.
29 Nga ac sang nu selos acn ma wo fohk we, ac elos ac fah tia sifil masrinsral. Mutunfacl saya ac fah tia sifil isrunulos.
Kwa kuwa nitatengeneza sehemu ya kulimia nzuri kwa ajili yao hivyo hawataangamia kwa njaa katika nchi, na mataifa hayataleta matukano juu ya yao.
30 Mwet nukewa ac fah etu lah nga karingin acn Israel, ac elos mwet luk. Nga, LEUM GOD Fulatlana, pa fahk ma inge.
Kisha watajua kwamba mimi, Yahwe Mungu wao, niko pamoja nao. Ni watu wangu, nyumba ya Israeli-hivi ndivyo Bwana Mungu asemavyo.
31 “Kowos sheep nutik, ac un kosro su nga kite. Kowos mwet luk, ac nga God lowos.” LEUM GOD Fulatlana pa fahk ma inge.
Kwa kuwa ninyi ni kondoo wangu, kundi la malisho yangu, na watu wangu, na mimi ni Mungu wenu-hivi ndivyo Bwana Mungu asemavyo.”

< Ezekiel 34 >