< Bharumi 9 >

1 Nijobha bhukweli mu Kristu. Nijobha lepi udesi, ni dhamira jha nene jhishuhudila pamonga ni nene mu Roho Mtakatifu,
Nasema ukweli mtupu; nimeungana na Kristo nami sisemi uongo. Dhamiri yangu ikiongozwa na Roho Mtakatifu inanithibitishia jambo hili pia.
2 kwamba jhijhelepi huzuni mbaha ni maumifu ghaghabeli kumalika mugati mu muoyo bhwa nene.
Nataka kusema hivi: nina huzuni kubwa na maumivu yasiyopimika moyoni mwangu
3 Kwamba ninogheleghe ne muene kulaanibhwa ni kutengibhwa patali ni Kristu kwa ndabha jha bhalongo bhangu, bhala bha jamii jha nene mu mb'el'e.
kwa ajili ya watu wangu, walio damu moja nami! Kama ingekuwa kwa faida yao, ningekuwa radhi kulaaniwa na kutengwa na Kristo.
4 Bhene ndo Bhaisraeli. Bhabhajhe ni hali jha kujha bhana, bha utukufu, bhwa maaganu, ni zawadi jha sheria, kumwabudu K'yara, ni ahadi.
Hao ndio watu wa Israeli ambao Mungu aliwateua wawe watoto wake, akawashirikisha utukufu wake; aliagana nao, akawapa Sheria yake, imani ya kweli na ahadi zake.
5 Bhene bhalongolesi ambako Kristu ahidili kwa litengu kufuala mb'el'e obho - ambajhe muene ndo K'yara ghwa fyoha. Ni muene atufibhwajhi milele. Amina. (aiōn g165)
Wao ni wajukuu wa mababu, naye Kristo, kadiri ya ubinadamu wake, ametoka katika ukoo wao. Mungu atawalaye juu ya yote, na atukuzwe milele! Amina. (aiōn g165)
6 Lakini sio kujha ahadi sya K'yara sisindilu kutimila. Ndabha sio khila munu jha ajhele Israeli ndo Mwisraeli halisi.
Sisemi kwamba ahadi ya Mungu imebatilika; maana si watu wote wa Israeli ni wateule wa Mungu.
7 Naha lepi, hata kwa bhuzao bhwa Abrahamu kujha ndo bhanamunu halisi. Lakini, “ni kup'et'ela Isaka uzao bhwa jhobhi wibetakukutibhwa.”
Wala, si wazawa wote wa Abrahamu ni watoto wake wa kweli. Ila, kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Wazao wake watatokana na Isaka.”
8 Ejhe ndo kwamba, bhana bha mb'el'e sio bhana bha K'yara. Lakini bhana bha ahadi bhilolelibhwa kujha kama uzao.
Nido kusema, wale waliozaliwa kimaumbile ndio watoto wa Mungu, bali wale waliozaliwa kutokana na ahadi ya Mungu ndio watakaoitwa watoto wake.
9 Ndabha e'le ndo lilobhi lya ahadi: “Mu majira agha nibetakuhida, ni Sara ibetakupelibhwa muana.”
Maana ahadi yenyewe ni hii: “Nitakujia wakati maalum, naye Sara atapata mtoto.”
10 E'le lepi tu, lakini baada jha Rebeka kukabha luleme kwa munu mmonga, Isaka dadi jhitu-
Tena si hayo tu ila pia Rebeka naye alipata mapacha kwa baba mmoja, yaani Isaka, babu yetu.
11 kwamba bhana bhajhe bhakhona kuhogoleka na ajhele akhetilepi khenu kyokyoha khela kinofu au kibhibhi, ili kwamba kusudi lya K'yara kul'engana na bhusalanu lijhemajhi, Bhwali kwa matendo lepi, lakini kwa ndabha jha jhola jhaikhuta.
Lakini, ili Mungu aonekane kwamba anao uhuru wa kuchagua, hata kabla wale ndugu hawajazaliwa na kabla hawajaweza kupambanua jema na baya,
12 Lijabhibhu kwa muene, “Mbaha ibetakun'tumikila n'debe.”
Rebeka aliambiwa kwamba yule mtoto wa kwanza atamtumikia yule wa nyuma. Hivyo uchaguzi wa Mungu unategemea jinsi anavyoita mwenyewe, na si matendo ya binadamu.
13 Kama kyajhalembibhu: “Yakobo nan'ganili, lakini Esau nan'dadili.”
Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: “Yakobo nilimpenda, lakini Esau nilimchukia.”
14 Basi kabhele twibetakujobha kiki? Je bhujhe bhudhalimu kwa K'yara? La hasha.
Basi, tuseme nini? Je, Mungu amekosa haki? Hata kidogo!
15 Kwa kujha ijobha kwa Musa, “nibetakujha ni rehema kwa jhola jhanibetakundehemu, na nibetakujha ni k'esa kwa jhola jhanibetakun'hurumila.”
Maana alimwambia Mose: “Nitamhurumia mtu yeyote ninayetaka kumhurumia; nitamwonea huruma mtu yeyote ninayetaka.”
16 Henu basi, kwandabha jha muene lepi jhailonda, wala ndabha jha muene lepi jhaijumba, lakini kwandabha jha K'yara, ambajhe ilasya rehema.
Kwa hiyo, yote hutegemea huruma ya Mungu, na si bidii au mapenzi ya mtu.
17 Kwa kujha majhandiku ghijobha kwa Farao, “Kwa kusudi e'le maalumu nakujhimuli, ili kwamba nilasiajhi nghofu sya nene kwa bhebhe, ni kabhele ili lihina lya nene litangasibhwayi mu nchi jhioha.”
Maana Maandiko Matakatifu yasema hivi kwa Farao: “Nilikufanya mfalme ili kwa njia yako, uwezo wangu ujulikane, na jina langu litangazwe popote duniani.”
18 Henu basi, K'yara huwa ijha ni rehema kwa jhejhioha jhaan'ganili, ni kwa ambajhe akan'gana akambeka kujha mkaidi.
Ni wazi, basi, kwamba Mungu humhurumia yeyote anayetaka kumhurumia, na akipenda kumfanya mtu awe mkaidi, hufanya hivyo.
19 Kabhele wibetakujobha kwa nene, “Kwandabha jha kiki wako na wibhona likosa? Jholeku jha abhwahili kustahimili matakwa gha muene?”
Labda utaniuliza: “Ikiwa mambo yako hivyo, Mungu anawezaje kumlaumu mtu? Nani awezaye kuyapinga mapenzi yake?”
20 Kinyume kyake, mwanadamu, bhebhe ghweniani jhaghwijibu kinyume ni k'yara? Kujha ni bhuwesekanu bho bhuoha bhwa kyakifyogholibhu kujobha kwa mfanyanzi, “Kwandajhakiki ghwanikhetili nene naha?”
Lakini, ewe binadamu, u nani hata uthubutu kumhoji Mungu? Je, chungu chaweza kumwuliza mfinyanzi wake: “Kwa nini umenitengeneza namna hii?”
21 Je mfinyazi huwa ijha ni haki panani pa bhud'opi kutengenesya khenu kwa matumizi maalumu kufwatana ni libonge lelalela, ni khenu kheng'e kwa matumizi gha khila ligono?
Mfinyanzi anaweza kuutumia udongo apendavyo na kufinyanga vyungu viwili kwa udongo uleule; kimoja kwa matumizi ya heshima, na kingine kwa matumizi ya kawaida.
22 Bhuli kama K'yara, ambajhe ajhe ni bhutayari bhwa kulasya gadhabu jha muene kumanyikana, asindemele kwa bhuvumilifu bhwa kutosha fenu fya gadhabu fyafyaandalibhu kwa kujhangamisibhwa?
Hivyo ndivyo ilivyo kwa Mungu. Alitaka kuonyesha ghadhabu yake na kujulisha uwezo wake, Basi, alikuwa na saburi sana, akiwavumilia wale ambao walikuwa lengo la ghadhabu yake, ambao walistahili kuangamizwa.
23 Bhuli kama abhombili naha ili kwamba alasiajhi bhwingi bhwa bhutukufu bhwa muene panani pa fenu fya rehema ambafyo amalikufiandala kwa ndabha jha utukufu?
Alitaka pia kudhihirisha wingi wa utukufu wake ambao alitumiminia sisi tulio lengo la huruma yake; sisi ambao alikwisha kututayarisha kuupokea utukufu wake.
24 Bhuli kama abhombi naha ni kwa muenga kabhele, ambajhe ndo jhaatukhutili sio tu kuhoma kwa Bhayahudi, lakini kabhele kuhoma kwa bhanu bha Mataifa?
Maana sisi ndio hao aliowaita, si tu kutoka miongoni mwa Wayahudi bali pia kutoka kwa watu wa mataifa mengine.
25 Kama kyaijobha kabhele kwa Hosea: “Nibetakubhakuta bhanu bha jhoni, ambabho bhajhelepi bhanu bhangu, ni mpendwa ghwa muene ambajhe aganikibhu lepi.
Maana ndivyo asemavyo katika kitabu cha Hosea: “Wale waliokuwa Si watu wangu nitawaita: Watu wangu! Naye Sikupendi ataitwa: Mpenzi wangu!
26 Na jhibeta kujha kwamba pala ajobhibhu kwa bhene, 'Muenga mwebhanu bha nene lepi,' pala bhibete kukutibhwa bhanu bha K'yara jhaajhe muomi.”
Na pale walipoambiwa: Ninyi si wangu hapo wataitwa: Watoto wa Mungu hai.”
27 Isaya ilela kuhusiana ni Israeli, “Kama hesabu jha bhana bha Israeli ngajhijhele kama n'sanga bhwa bahari, jhibetakujha ndo masalu ambagho bhibetakiokolibhwa.
Naye nabii Isaya, kuhusu Israeli anapaaza sauti: “Hata kama watoto wa Israeli ni wengi kama mchanga wa pwani, ni wachache tu watakaookolewa;
28 Kwa kujha Bwana ibetakulitola lilobhi lya muene panani pa nchi, manyata ni kwa bhutimilifu.
maana, Bwana ataitekeleza upesi hukumu yake kamili juu ya ulimwengu wote.”
29 Ni kama Isaya kyaajobhili kubhuandu, “Kama Bwana ghwa majeshi atulekilepi kumbele uzao kwa ndabha jha tete, ngatujhele kama Sodoma, na ngatubhombibhu kama Gomora.
Ni kama Isaya alivyosema hapo awali: “Kama Bwana Mwenye Nguvu asingalituachia baadhi ya watoto wa Israeli, tungalikwisha kuwa kama Sodoma, tungalikwisha kuwa ma Gomora.”
30 Tubetajobha bhuli? kwamba bhanu bha Mataifa ambabho bhajhele bhilondalepi haki, bhakabhili haki, haki kwa amani.
Basi, tuseme nini? Ni hivi: watu wa mataifa ambao hawakutafuta kukubaliwa kuwa waadilifu, wamekubaliwa kuwa waadilifu kwa njia ya imani,
31 Lakini Israeli, ambajhe elondili sheria jha haki, ajhifikilepi.
hali watu wa Israeli waliokuwa wakitafuta Sheria iletayo kukubaliwa kuwa waadilifu, hawakuipata.
32 Kwandajhakiki naha lepi? Kwandabha bhajhilondilepi kwa imani, bali kwa matendo. Bhakhobhele panani pa liganga lya kukhobhala,
Kwa nini? Kwa sababu walitegemea matendo yao badala ya kutegemea imani. Walijikwaa juu ya jiwe la kujikwaa
33 kama kyajhelembibhu, “Langayi, niligonisi liganga lya kwikungufula mu Sayuni ni mwamba bhwa kudula. Muene ambajhe ikiera kwa e'le ibetalepi kwikosya soni.”
kama yesemavyo Maandiko Matakatifu: “Tazama! Naweka huko Sioni jiwe likwazalo, mwamba utakaowafanya watu waanguke. Mtu atakayemwamini yeye aliye hilo jiwe, hataaibishwa!”

< Bharumi 9 >