< Luka 3 >

1 Henu, mu mwaka ghwa kumi na tano bhwa utawala bhwa Kaisari Tiberia, wakati Pontio Pilato ajhe gavana ghwa Uyahudi, Herode ajhele mbaha ghwa mkoa ghwa Galilaya, ni Filipo ndogomunu ajhele mbaha ghwa mkoa bhwa Iturea ni Trakoniti, ni Lisania ajhele mbaha ghwa mkoa bhwa Abilene,
Sasa, katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Kaisari Tiberia, wakati Pontio Pilato alikuwa gavana wa Uyahudi, Herode alikuwa mkuu wa mkoa wa Galilaya, na Filipo ndugu yake alikuwa mkuu wa mkoa wa Iturea na Trakoniti, na Lisania alikuwa mkuu wa mkoa wa Abilene,
2 ni bhwakati bhwa ukuhani mbaha bhwa Anasi ni Kayafa, Lilobhi lya k'yara lyan'hidili Yohana mwana ghwa Zakaria, jangwani.
na wakati wa ukuhani mkuu wa Anasi na Kayafa, Neno la Mungu lilimjia Yohana mwana wa Zakaria, jangwani.
3 Asafiri mu mkoa bhuoha kusyongoka kiholo Yorodani, akihubiri bhubatisu bhwa toba kwandabha jha msamaha bhwa dhambi.
Alisafiri katika mkoa wote kuzunguka Mto Yordani, akihubiri ubatizo wa toba kwa ajili ya msamaha wa dhambi
4 Kama kya jhilembibhu mu kitabu kya malobhi gha nabii Isaya, “sauti jha munu jha ajhe munyika,” Mujhitengenesiajhi tayari njela jha Bwana, mughatengenesiajhi mapito gha muene ghaghanyokili.
Kama ilivyoandikwa katika kitabu cha maneno ya Isaya nabii, “sauti ya mtu aliaye nyikani, “Itengenezeni tayari njia ya Bwana, yatengenezeni mapito yake yaliyoonyoka.
5 Kila libondi libeta kujasibhwa, kila kid'onda fibeta kusawazishibhwa, barabara syasibedeme sibeta kunyosibhwa, ni njela sya siparasibhu sibetakulainishibhwa.
Kila bonde litajazwa, kila mlima na kilima vitasawazishwa, barabara zilizopinda zitanyoshwa, na njia zilizoparaza zitalainishwa.
6 Bhanu bhoha bhibetakubhubhona wokovu bhwa K'yara.”
Watu wote watauona wokovu wa Mungu.”
7 Efyo, Yohana akabhajobhela makutano mabhajha gha bhanu bhabhan'hidili bhabhwesiajhi kubatisibhwa ni muene, “Muenga uzao bhwa lijhoka bhenye sumu, niani abhaonyili kujhijumba gadhabu jhajhihida?
Hivyo, Yohana akawaambia makutano makubwa ya watu waliomjia wapate kubatizwa na yeye, “Ninyi uzao wa nyoka wenye sumu, nani aliwaonya kuikimbia gadhabu inayokuja?
8 Muhogolayi matunda ghaghiyendana ni toba, na musijhendi kujobha mgati mwa jhomu, “Tujhe ni Ibrahimu ambajhe Dadi jhitu kwa ndabha nikabhajobhela jha kujha k'yara ibhwesya kunjinulila Ibrahimu bhana hata kutokana ni maganga agha.
Zaeni matunda yanayoedana na toba, na msianze kusema ndani yenu, “Tunaye Ibarahimu ambaye ni baba yetu; kwa sababu nawaambia ya kwamba, Mungu anaweza kumwinulia Ibrahimu watoto hata kutokana na mawe haya.
9 Tayari libhagu limelikubhekibhwa mu mzizi bhwa libehe. Efyo, khila libehe lya lihogolalepi matunda manofu, lidumulibhwa ni kutaghibhwa mu muoto.
Tayari shoka limeshawekwa kwenye mzizi wa miti. Hivyo, kila mti usiozaa matunda mema, hukatwa na kutupwa motoni.
10 Kisha bhanu mu makutano bhan'tokili bhakajobha, “Henu twilondeka tukheta bhuli?”
Kisha watu katika makutano walimuuliza wakisema, “Sasa tunatakiwa tufanyeje?”
11 Ajibili ni kujobhoha, “Kama munu ajhe ni kanzu sibhele jhilondeka ampelayi kanzu jhimonga jhinu jha adulili, na ambajhe ajhe ni kyakulya na abhombayi mebhu.”
Alijibu na kuwaambia, “kama mtu ana kanzu mbili anatakiwa atoe kanzu moja kwa mwingine ambaye hana kabisa, na ambaye ana chakula na afanye vivyo hivyo.”
12 Kisha baadhi jha bhatoza ushuru bhahidili kabhele kubhatisibhwa, na bhan'jobhili, “Mwalimu twilondeka kubhomba kiki?
Kisha baadhi ya watoza ushuru walikuja pia kubatizwa, na wakamwambia, “Mwalimu, tunatakiwa kufanya nini?
13 Akabhajobhela, “musikusanyi hela nisu kuliko kya mwilondeka kubhonganiya.”
Akawaambia, “Msikusanye fedha zaidi kuliko mnachotakiwa kukusanya.”
14 Baadhi jha maaskari kabhele bhakan'kota bhakajobha, “Ni teta je? Twilondeka tuketajhi kiki?” Akabhajobhela, “Musitoli hela kwa munu jhejhioha kwa nghofu, na musin'tuhumu munu jhejhioha kwa udesi. Muridhikayi kwa mishahara jhinu.”
Baadhi ya maaskari pia wakamuuliza wakisema, “Na sisi je? Tunatakiwa tufanye nini?” Akawambia, “Msichukue fedha kwa mtu yeyote kwa nguvu, na msimtuhumu mtu yeyote kwa uongo. Ridhikeni na mishahara yenu.”
15 Henu, kwa kujha bhanu bhajhele ni shauku jha kundendela Kristo jhaibeta kuhida, khila mmonga akajhaibhwasya mu muoyo bhwa muene kuhusu Yohana kama muene ndo kristo.
Sasa, kwa kuwa watu walikuwa na shauku ya kumngojea Kristo atakaye kuja, kila mmoja alikuwa anawaza moyoni mwake kuhusu Yohana kama yeye ndiye Kristo.
16 Yohana ajibili ni kubhajobhela bhoha, “Nene nikabhabatisya muenga kwa masi, lakini ajhe mmonga jhaihida ambajhe muene ajhe ni nghofu kuliko nene, na nilondeka lepi hata kuhobhosya mighojhi jha filatu fya muene. Ibeta kubhabatisya muenga kwa Roho mtakatifu ni kwa muoto.
Yohana akajibu kwa kuwaambia wote, “Mimi nawabatiza ninyi kwa maji, lakini kuna mmoja ajaye ambaye ana nguvu kuliko mimi, na sisitahili hata kufungua kamba za viatu vyake. Atawabatiza ninyi kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
17 Pepeto lya muene lijhele mumabhoko gha muene bhwa kupepetela ngano ni kujhibhonganiya ngano mu ghala lya muene. Lakini, ibeta kughateketesya makapi kwa muoto ambabho bhwibhwesya lepi kusimika.
Pepeto lake liko mkononi mwake ili kusafisha vizuri uwanda wake wa kupepetea ngano na kuikusanya ngano ghalani mwake. Lakini, atayateketeza makapi kwa moto ambao hauwezi kuzimika.
18 Kwa maonyo ghangi ghamehele kabhele, ahubiri habari jhinofu kwa bhanu.
Kwa maonyo mengine mengi pia, alihubiri habari njema kwa watu.
19 Yohana an'kemili kabhele Herode mbaha ghwa mkoa kwa kun'gega Herodia, n'dala ghwa ndongo munu ni kwa maovu ghangi ghamehele ambagho Herode aghabhombili.
Yohana alimkemea pia Herode mkuu wa mkoa kwa kumuoa Herodia, mke wa ndugu yake na kwa maovu mengine mengi ambayo Herode alikuwa ameyatenda.
20 Lakini baadajhe Herode abhombili uovu bhongi bhubhibhi sana. An'kongili Yohana muligereza.
Lakini baadaye Herode alifanya uovu mwingine mbaya sana. Alimfunga Yohana gerezani.
21 Kisha jhatokili kwamba, wakati bhanu bhoha bhibatisibhwa ni Yohana, ni muene Yesu abatisibhu kabhele. Wakati bho isoka, mbingu syafunguiki.
Kisha ilitokea kwamba, wakati watu wote walipokuwa wakibatizwa na Yohana, naye Yesu alibatizwa pia. Wakati alipokuwa akiomba, mbingu zikafunguka.
22 Roho mtakatifu akaselela panani pa muene kwa mfano ghwa kiwiliwili kama njebha, wakati bhobhuobhu sauti ikahida kuhomela kumbinguni jhajobhili, “Bhebhe ghwa mwanabhangu mpendwa. Nipendesibhu sana ni bhebhe.”
Roho Mtakatifu akashuka juu yake kwa mfano wa kiwiliwili kama njiwa, wakati huo huo sauti ikaja kutoka mbinguni ikisema, “Wewe ni Mwanangu mpendwa. Ninapendezwa sana na wewe.”
23 Henu Yesu muene, bhoajhandi kufundisya, ajhele ni umri upatao miaka thelathini. Ajhele mwana (kama kyajhejobhibhu) ghwa Yusufu, mwana ghwa Eli,
Sasa Yesu mwenyewe, alipoanza kufundisha, alikuwa na umri upatao miaka thelathini. Alikuwa ni mwana (kama ilivyotadhaniwa) wa Yusufu, mwana wa Eli,
24 Mwana ghwa Mathati, mwana ghwa Lawi, mwana ghwa Melki, mwana ghwa Yana, mwana ghwa Yusufu,
mwana wa Mathati, mwana wa Lawi, mwana wa Melki, mwana wa Yana, mwana wa Yusufu,
25 mwana ghwa Matathia, mwana ghwa Amosi, mwana ghwa Nuhumu, mwana ghwa Esli, mwana ghwa Nagai,
mwana wa Matathia, mwana wa Amosi, mwana wa Nahumu, mwana wa Esli, mwana wa Nagai,
26 mwana ghwa Maati, mwana ghwa Matathia, mwana ghwa Semeini, mwana ghwa Yusufu, mwana ghwa Yuda,
mwana wa Maati, mwana wa Matathia, mwana wa Semeini, mwana wa Yusufu, mwana wa Yuda,
27 mwana ghwa Yoanani, mwana ghwa Resa, mwana ghwa Zerubabeli, mwana ghwa Shealtieli, mwana ghwa Neri,
mwana wa Yoanani, mwana wa Resa, mwana wa Zerubabeli, mwana wa Shealtieli, mwana wa Neri,
28 mwana ghwa Melki, mwana ghwa Adi, mwana ghwa kosamu, mwana ghwa Elmadamu, mwana ghwa Eri,
mwana wa Melki, mwana wa Adi, mwana wa Kosamu, mwana wa Elmadamu, mwana wa Eri,
29 mwana ghwa Yoshua, mwana ghwa Eliezeri, mwana ghwa Yorimu, mwana ghwa Matathi, mwana ghwa Lawi,
mwana wa Yoshua, mwana wa Eliezeri, mwana wa Yorimu, mwana wa Matathi, mwana wa Lawi,
30 mwana ghwa Simeoni, mwana ghwa Yuda, mwana ghwa Yusufu, mwana ghwa Yonamu, mwana ghwa Eliyakimu,
mwana wa Simeoni, mwana wa Yuda, mwana wa Yusufu, mwana wa Yonamu, mwana wa Eliyakimu,
31 mwana ghwa Melea, mwana ghwa Mena, mwana ghwa Nathani, mwana ghwa Daudi,
mwana wa Melea, mwana wa Mena, mwana wa Matatha, mwana wa Nathani, mwana wa Daudi,
32 mwana ghwa Yese, mwana ghwa Obedi, mwana ghwa Boazi, mwana ghwa Salmoni, mwana ghwa Nashoni,
mwana wa Yese, mwana wa Obedi, mwana wa Boazi, mwana wa Salmoni, mwana wa Nashoni,
33 mwana ghwa Abinadabu, mwana ghwa Aramu, mwana ghwa Hesroni, mwana ghwa Peresi, mwana ghwa Yuda,
mwana wa Abinadabu, mwana wa Aramu, mwana wa Hesroni, mwana wa Peresi, mwana wa Yuda,
34 mwana ghwa Yakobo, mwana ghwa Isaka, mwana ghwa Ibrahimu, mwana ghwa Tera, mwana ghwa Nahori,
mwana wa Yakobo, mwana wa Isaka, mwana wa Ibrahimu, mwana wa Tera, mwana wa Nahori,
35 mwana ghwa Seruig, mwana ghwa Ragau, mwana ghwa Pelegi, mwana ghwa Eberi, mwana ghwa Sala,
mwana wa Seruig, mwana wa Ragau, mwana wa Pelegi, mwana wa Eberi, mwana wa Sala,
36 mwana ghwa Kenani, mwana ghwa Arfaksadi, mwana ghwa Shemu, mwana ghwa Nuhu, mwana ghwa Lameki,
mwana wa Kenani, mwana wa Arfaksadi, mwana wa Shemu, mwana wa Nuhu, mwana wa Lameki,
37 mwana ghwa Methusela, mwana ghwa Henoko, mwana ghwa Yaredi, mwana ghwa Mahalalei, mwana ghwa Kenani,
mwana wa Methusela, mwana wa Henoko, mwana wa Yaredi, mwana Mahalalei, mwana wa Kenani,
38 mwana ghwa Enoshi, mwana ghwa Sethi mwana ghwa Adamu, mwana ghwa k'yara.
mwana wa Enoshi, mwana wa Sethi, mwana wa Adamu, mwana wa Mungu.

< Luka 3 >