< Ebhikolwa bhya Jintumwa 7 >

1 Omugabhisi omukuru naika, “amagambo ganu ni ge chimari?”
Basi, Kuhani Mkuu akamwuliza, “Je, mambo haya ni kweli?”
2 Stephano naika, “Bhaili na bhalata bhani, muntegereshe anye: Nyamuanga wa rikusho amusoromokeye lata weswe Abrahamu omwanya gunu aliga ali Mesopotamia, anu aliga achali kwikara Harani,
Naye Stefano akasema, “Ndugu zangu na akina baba, nisikilizeni! Mungu alimtokea baba yetu Abrahamu alipokuwa kule Mesopotamia kabla hajaenda kukaa kule Harani.
3 'namubhwira, 'Soka mu chalo chao no luganda lwao ugende mu chalo chinu nilakwelesha'.
Mungu alimwambia: Ondoka katika nchi yako; waache watu wa ukoo wako; nenda katika nchi nitakayokuonyesha!
4 Eile nasoka mu chalo Bhukaldayo nekala Harani, okusoka ao, anu esemwene ejile afwa, Nyamuanga namuleta mu chalo chinu, bhekayemo wori.
Kwa hivyo, Abrahamu alihama nchi ya Kaldayo, akaenda kukaa Harani. Baada ya kifo cha baba yake, Mungu alimtoa tena Harani akaja kukaa katika nchi hii mnayokaa sasa.
5 Atamuyanile chone chone kuti mugabho gwaye, litabheyeo ebhara ryo kutulao nolwo kuguru. Nawe Abrahamu namuraga omurago gwo kumuyana okuitunga insi anu aliga achali kwibhula omwana ati kayabhwa omwene no rwibhulo lwaye.
Mungu hakumpa hata sehemu moja ya nchi hii iwe mali yake; hata hivyo, alimwahidia kumpa nchi hii iwe yake na ya wazawa wake, ingawaje wakati huu hakuwa na mtoto.
6 Nyamuanga aikile nage kutya, ati orwibhulo lwaye abhekara munsi yo bhugenyi, na lindi abhekasi bhendeyo abhabhakora kubha bhagaya bhebhwe no kubhakorera kubhibhi mu masinja ge myaka magana gana.
Mungu alimwambia hivi: Wazao wako watapelekwa katika nchi inayotawaliwa na watu wengine, na huko watafanywa watumwa na kutendewa vibaya kwa muda wa miaka mia nne.
7 Ka Nyamuanga naika ati, eniliramura liyanga linu elibhakora bhagaya, okusokerera ao abhamba okundamya mwi bhara linu.
Lakini mimi nitalihukumu taifa hilo litakalowafanya watumwa. Kisha nitawatoa katika nchi hiyo ili waje kuniabudu mahali hapa.
8 Namuyana Abrahamu liragano lyo okusalwa, ku lwejo Abrahamu nabha lata wa Isaka namusala ku rusiku lwa munana; Isaka nabha lata wa Yakobo, na Yakobo nabha lata wa bhasaja bheswe ekumi na bhabhili.
Halafu Mungu aliifanya tohara iwe ishara ya agano. Hivyo, Abrahamu alimtahiri mtoto wake Isaka, siku ya nane baada ya kuzaliwa. Na Isaka, vivyo hivyo, alimtahiri Yakobo. Naye Yakobo aliwatendea wale mababu kumi na wawili vivyo hivyo.
9 Bhasaja bheswe nibhamukorera lifua Yusufu mbamugusha mu chalo cha Misiri, na Nyamuanga aliga ali amwi nage,
“Wale mababu walimwonea wivu Yosefu, wakamuuza utumwani Misri. Lakini Mungu alikuwa pamoja naye,
10 namukisha mu nyako jaye, namuyana obhwekisi no bhwengeso imbele ya Farao omukama wa Misiri. Farao namukora kubha mutungi inguru ya Misiri na inguru ya inyumba yae yone.
akamwokoa katika taabu zake zote. Mungu alimjalia fadhili na hekima mbele ya Farao, mfalme wa Misri, hata Farao akamweka awe mkuu wa ile nchi na nyumba ya kifalme.
11 Mbe nibhao injara nene na jinyako nyafu mu chalo cha Misiri na Kanani, mbe bhalata bheswe bhatabhwene ebhiryo.
Kisha, kulizuka njaa kubwa katika nchi yote ya Misri na Kanaani, ikasababisha dhiki kubwa. Babu zetu hawakuweza kupata chakula chochote.
12 Mbe nawe Yakobo ejile ongwa ati bhiliyo ebhiryo Misiri, nabharagirira bhalata bheswe ku lwo kwamba.
Basi, Yakobo alipopata habari kwamba huko Misri kulikuwa na nafaka, aliwatuma watoto wake, yaani babu zetu, waende huko Misri mara ya kwanza.
13 Mu rugendo lwa kabhili Yusufu neyeresha ku bhaili bhaye, imbaga ya Yusufu nimenyekana ku Farao.
Katika safari yao ya pili, Yosefu alijitambulisha kwa ndugu zake, na Farao akaifahamu jamaa ya Yosefu.
14 Yusufu nabharagirira abhaili bhaye bhagende okumubhwira Yakobo lata webhwe agende Misiri, amwi no ruganda lwaye, obhukumi bhwebhwe abhanu makumi musanju ne tanu.
Yosefu alituma ujumbe kwa baba yake na jamaa yote, jumla watu sabini na tano, waje Misri.
15 Ku lwejo Yakobo neka Misiri; neya nafwa omwene amwi na bhalata bheswe.
Hivyo, Yakobo alikwenda Misri ambako yeye na babu zetu wengine walikufa.
16 Nibhagegwa okugenda Shekemu mbasikwa mu chituro echo Abrahamu agulile ne bhibhara bhya jimpirya okusoka ku bhana bha Hamori eyo Shekemu.
Miili yao ililetwa mpaka Shekemu, ikazikwa katika kaburi Abrahamu alilonunua kutoka kwa kabila la Hamori kwa kiasi fulani cha fedha.
17 Akatungu kaliya ako omurago ogwo Nyamuanga alagire Abrahamu gwejire gwerira, abhanu bhaliga bheyongesishe eyo Misiri,
“Wakati ulipotimia Mungu aitimize ahadi aliyompa Abrahamu, idadi ya wale watu kule Misri ilikwisha ongezeka na kuwa kubwa zaidi.
18 akatungu ako emukireyo omukama undi inguru ya Misiri, omukama unu atamumenyaga Yusufu.
Mwishowe, mfalme mmoja ambaye hakumtambua Yosefu alianza kutawala huko Misri.
19 Omukama oundi oyo nabhajiga abhanu bheswe no kubhakorera amabhibhi bhalata bheswe, no kubhesa abhana bhebhwe abharera korereki bhatabha bhaanga.
Alilifanyia taifa letu ukatili, akawatendea vibaya babu zetu kwa kuwalazimisha waweke nje watoto wao wachanga ili wafe.
20 Mu masinja ago Musa ebhuywe; aliga ali we kisi ku Nyamuanga, nalelwa mesi gasatu munyumba ya lata waye.
Mose alizaliwa wakati huo. Alikuwa mtoto mzuri sana. Alilelewa nyumbani kwa muda wa miezi mitatu,
21 Mu katungu kanu eselwe, omuyansha wa Farao namugega namulela lwo mwana waye.
na alipotolewa nje, binti wa Farao alimchukua, akamlea kama mtoto wake.
22 Musa eigisibhwe ameigisho gone ge chi Misiri; aliga ali na managa mu kwaika ne bhikorwa.
Mose alifundishwa mambo yote ya hekima ya Wamisri akawa mashuhuri kwa maneno na matendo.
23 Mbe nawe ejile akumisha myaka makumi gana, nongwa mu mwoyo gwaye okubhalibhatira abhaili bhaye, abhana bha Israeli.
“Alipokuwa na umri wa miaka arobaini aliamua kwenda kuwaona ndugu zake Waisraeli.
24 Ejire amurora omwisraeli nakorerwa amabhibhi, Musa namwimako nasubhya risungu kuyo aliga namwibhonera kwo kumubhuma Omumisiri:
Huko alimwona mmoja wao akitendewa vibaya, akaenda kumwokoa, na kulipiza kisasi, akamuua yule Mmisri.
25 neganirisha ati abhaili bhaye abhamenya ati Nyamuanga kabhakisha no kubhoko kwaye, mbe nawe bhatamenyere.
(Alidhani kwamba Waisraeli wenzake wangeelewa kwamba Mungu angemtumia yeye kuwakomboa, lakini hawakuelewa hivyo.)
26 Orusiku runu lwarubhire nagenda ku bhamwi bha Bhaisraeli bhanu bhaliga nibharwana; naregeja okubhagwatanya; naika ati, 'Bhamura, Emwe muri bhaili; kubhaki omurwana emwe bhenera kwa bhene?'
Kesho yake, aliwaona Waisraeli wawili wakipigana, akajaribu kuwapatanisha, akisema: Ninyi ni ndugu; kwa nini basi, kutendeana vibaya ninyi kwa ninyi?
27 Mbe nawe unu amukaiye omwikashanya waye m/namusindika kura, naika ati, “Niga unu akukorere kubha mutungi no muramusi weswe?
Yule aliyekuwa anampiga mwenzake alimsukuma Mose kando akisema: Ni nani aliyekuweka wewe kuwa kiongozi na mwamuzi wa watu?
28 Awe owenda okunyita, lwa kutyo wameta Omumisiri ligoro?”
Je, unataka kuniua kama ulivyomuua yule Mmisri jana?
29 Musa nabhirima ejile ongwa kutyo; nabha mugenyi munsi ya Midiani, ao abheye lata wa bhana bhabhili.
Baada ya kusikia hayo Mose alikimbia, akaenda kukaa katika nchi ya Midiani na huko akapata watoto wawili.
30 Jejire jaturao myaka makumi gana, malaika namusoromokera mwi bhara lye chima cha Sinai, mwi bhesi lyo muriro agati ya lisaka.
“Miaka arobaini ilipotimia, malaika wa Bwana alimtokea Mose katika kichaka kilichokuwa kinawaka moto kule jangwani karibu na mlima Sinai.
31 Mu katungu kanu Musa ejire arora omuriro, narugura muno no kutang'ang'ara kulwe bhiroro ebhyo alorere, mbe nawe ejire alegeja okwirira yei korereki arore, obhuraka bhwa Katabhugenyi nibhumujako nibhwaika ati,
Mose alistaajabu sana kuona jambo hilo hata akasogea karibu ili achungulie; lakini alisikia sauti ya Bwana:
32 'Anye nanye Nyamuanga wa bhesomwana bhao, Nyamuanga wa Abrahamu, no wa Isaka, no wa Yakobo.' Musa nayarara atasubhire kurorayo.
Mimi ni Mungu wa baba zako, Mungu wa Abrahamu, Isaka na Yakobo! Mose akatetemeka kwa hofu na wala hakuthubutu kutazama zaidi.
33 Latabhugenyi namubhwira, 'Nufure ebhirato bhyao, libhara linu wimereguyu ni bhara lyeru.
Bwana akamwambia: Vua viatu vyako maana hapa unaposimama ni mahali patakatifu.
34 Nalorere jinyako ja bhanu bhani bhanu Misiri; enungwa okulwara kwebhwe, anye neka korereki nibhakishe; olyanu ija, nikutume awe Misiri.'
Nimeyaona mabaya wanayotendewa watu wangu kule Misri. Nimesikia kilio chao, nami nimekuja kuwaokoa. Basi sasa, nitakutuma Misri.
35 Musa unu bhamuremere, omwanya gunu bhaikile ati, 'niga unu akukorere kubha mutungi no muramusi weswe?' Oyo niwe oyo Nyamuanga amutumire kwo kubhoko kwa malaika oyo amusoromokee Musa mwisaka.
“Huyu Mose ndiye yule watu wa Israeli waliyemkataa waliposema: Ni nani aliyekuweka wewe kuwa kiongozi na mwamuzi wetu? Kwa njia ya yule malaika aliyemtokea katika kichaka kilichokuwa kinawaka moto, Mungu alimtuma Mose huyo awe kiongozi na mkombozi.
36 Musa abhatangasishe okusoka Misiri anu akorere amarebha ne bhibharikisho mu charo cha Misiri na munyanja ya Shamu, na mwibhara kwa masinja ga myaka makumi gana.
Ndiye aliyewaongoza wale watu watoke Misri kwa kufanya miujiza na maajabu katika nchi ya Misri, katika bahari ya Shamu na jangwani kwa muda wa miaka arobaini.
37 Musa unu niwe abhabhwiriye abhana bha Israeli ati, 'Nyamuanga keja okwimusha omuragi okusoka mubhamwi bha bhaili bhanyu, omuragi lwanye.'
Mose ndiye aliyewaambia watu wa Israeli: Mungu atawateulieni nabii kama mimi kutoka katika ndugu zenu ninyi wenyewe.
38 Unu niwe omunu unu aliga ali mwikofyanya lya mwibhara na malaika unu aromere nage mu chima cha Sinai. Unu niwe omunu oyo aliga ali na bhalata bheswe, unu ni munu unu aramiye omusango gunu guri muanga no kuchiyana eswe.
Wakati watu wa Israeli walipokutana pamoja kule jangwani, Mose ndiye aliyekuwako huko pamoja nao. Alikuwa huko pamoja na babu zetu na yule malaika aliyeongea naye mlimani Sinai; ndiye aliyekabidhiwa yale maneno yaletayo uzima atupe sisi.
39 Unu niwe omunu unu bhalata bheswe bharemere okumungwa; nibhamusindikira kura, na mumyoyo jebhwe nibhaindukira Misiri.
“Lakini yeye ndiye babu zetu waliyemkataa kumsikiliza; walimsukuma kando, wakatamani kurudi Misri.
40 Mu masinja ago nibhamubhwira Haruni, 'nuchikonjere ebhiungu bhinu bhilachitangasha. Musa oyo, aliga nachitangasha okusoka mu charo cha Misiri, chitakumenya jinu jamubhona.'
Walimwambia Aroni: Tutengenezee miungu itakayotuongoza njiani, maana hatujui yaliyompata Mose huyu aliyetuongoza kutoka Misri!
41 Kutyo nibhakonja inana mu nsiku ejo na nibhasosha jisadaka ku chisusano echo nibhakondelwa kwo kubha ni milimu ja mabhoko gebhwe.
Hapo ndipo walipojitengenezea sanamu ya ndama, wakaitambikia na kukifanyia sherehe kitu ambacho ni kazi ya mikono yao wenyewe.
42 Mbe nawe Nyamuanga abhainduye nabhayana bharamye jinyota ja murwire, lwa kutyo jandikilwe mu chitabho cha bharagi, 'Angu mwansosisishe anye jisadaka ja jintyanyi jinu mwabhagire mwi bhara mu masinja ge myaka makumi gana, inyumba ya Israeli?
Lakini Mungu aliondoka kati yao, akawaacha waabudu nyota za anga, kama ilivyoandikwa katika kitabu cha manabii: Enyi watu wa Israeli! Si mimi mliyenitolea dhabihu na sadaka kwa muda wa miaka arobaini kule jangwani!
43 Mwekirisishe liyema lya Moleki na inyota ya mungu refani, ebhisusano bhinu mwekonjee no kubhiramya ebhyo: mbe nawe enija obhasira arera kura Babeli.'
Ninyi mlikibeba kibanda cha mungu Moloki, na sanamu ya nyota ya mungu wenu Refani. Sanamu mlizozifanya ndizo mlizoabudu. Kwa sababu hiyo nitakupeleka mateka mbali kupita Babuloni!
44 Bhalata bheswe bhaliga bhali na liyema lyo kwikofyanyisha lwo bhubhambasi mwi bhara, lwa kutyo Nyamuanga aragirie anu aromere na Musa, ati akakonjere lwe chijejekanyo chinu alorere.
Kule jangwani babu zetu walikuwa na lile hema lililoshuhudia kuweko kwa Mungu. Lilitengenezwa kama Mungu alivyomwambia Mose alifanye; nakala kamili ya kile alichoonyeshwa.
45 Linu ni yema linu bhalata bheswe, kwa masinja gebhwe, bhaleterwe mu charo na Joshua. Jinu jabhonekere mwisinja linu bhengiye okutunga liyanga linu Nyamuanga abhirimishe anu bhaliga bhachali kubhao bhalata bheswe. Jinu jabhee kutyo kukinga mu nsiku ja Daudi,
Kisha babu zetu walilipokezana wao kwa wao mpaka wakati wa Yoshua, walipoinyakua ile nchi kutoka kwa mataifa ambayo Mungu aliyafukuza mbele yao. Hapo lilikaa mpaka nyakati za Daudi.
46 unu abhwene okwikirisibhwa mu meso ga Nyamuanga, nasabhwa okuyenja obhwikaro ku Nyamuanga wa Yakobo.
Daudi alipata upendeleo kwa Mungu, akamwomba Mungu ruhusa ya kumjengea makao yeye aliye Mungu wa Yakobo.
47 Mbe nawe Selemani amumbakiye inyumba ya Nyamuanga.
Lakini Solomoni ndiye aliyemjengea Mungu nyumba.
48 Nolwo kutiyo unu ali inguru atakwikara mu nyumba jinu jumbakilwe na mabhoko; inu ni kutyo omuragi aikire,
“Hata hivyo, Mungu Mkuu haishi katika nyumba zilizojengwa na binadamu; kama nabii asemavyo:
49 Orwire ni chitebhe chani cho bhukama, na insi ni bhara lyo kutako amaguru gani. Inyumba nisusana kutiki inu omunyumbakira? Kaika Omukama: amwi ni bharaki lyani lyo kwisishako omwoyo?
Bwana asema: Mbingu ni kiti changu cha enzi na dunia ni kiti changu cha kuwekea miguu.
50 Kutari kubhoko kwani kunu kukorere ebhinu bhinu bhyona?
Ni nyumba ya namna gani basi mnayoweza kunijengea, na ni mahali gani nitakapopumzika? Vitu hivi vyote ni mimi nimevifanya, au sivyo?
51 Emwe abhanu bhe bhicha bhikomeye bhanu mutatenderwe emyoyo na matwi, bhuli katungu omumurema Omwoyo Omweru, omukora lwa kutyo bhesomwana bhakorere.
“Enyi wakaidi wakuu! Mioyo na masikio yenu ni kama ya watu wa mataifa. Ninyi ni kama baba zenu. Siku zote mnampinga Roho Mtakatifu.
52 Ni muragiki mu bharagi unu bhesomwana bhatamunyasishe? Bhabhetire abharagi bhone bhanu bhejire anu aliga achali kwija owo bhulengeresi, ka wolyanu mwabheye bharomesi bha niku na bheti bhaye,
Je, yuko nabii yeyote ambaye baba zenu hawakumtesa? Waliwaua hao Mungu aliowatuma watangaze kuja kwake yule Mwenye Haki. Na sasa, ninyi mmemsaliti, mkamuua.
53 emwe abhanu bhanu mwaramiye echiragiro chiliya charagiriwe na malaika mbe nawe murema okuchigwata.
Ninyi mliipokea ile Sheria iliyoletwa kwenu na Malaika, lakini hamkuitii.”
54 Anu abhe chinyanjo bhejire bhongwa amagambo ganu, nibharumwa mu myoyo jebhwe, nibhamugugunila ameno Stefano.
Wale wazee wa Baraza waliposikia hayo, walighadhibika sana, wakamsagia meno kwa hasira.
55 Mbe nawe omwene ejuye Omwoyo Omweru, nararamira mu rwire nekeneke narora rikusho lya Nyamuanga, namurora Yesu emereguyu mu kubhoko kwo bhuryo kwa Nyamuanga.
Lakini Stefano akiwa amejawa na Roho Mtakatifu, akatazama juu mbinguni, akauona utukufu wa Mungu na Yesu amekaa upande wa kulia wa Mungu.
56 Stefano naika ati, “Rora narora orwire rwigukire, no Mwana wo Munu emereguyu mu kubhoko kwe bhuryo kwa Nyamuanga.”
Akasema, “Tazameni! Ninaona mbingu zimefunuliwa na Mwana wa Mtu amesimama upande wa kulia wa Mungu.”
57 Mbe nawe abhe chinyanjo nibhayogana no bhuraka bhwa inguru, nibhasibhya amatwi gebhwe, nibhamubhirimira bhona amwi,
Hapo, watu wote katika kile kikao cha Baraza, wakapiga kelele na kuziba masikio yao kwa mikono yao. Kisha wakamrukia wote kwa pamoja,
58 nibhamwesa anja yo musi nibhamubhuma na mabhwiyi: abharoresi nibhafura emyenda jebhwe ja anja nibhatura mu maguru go musigaji oyo abhirikirwaga Sauli.
wakamtoa nje ya mji, wakampiga mawe. Wale mashahidi wakayaweka makoti yao chini ya ulinzi wa kijana mmoja jina lake Saulo.
59 Anu bhaliga nibhamubhuma amabhwiyi Stefano, agendeleye okumubhirikira Omukama naika ati, “Omukama Yesu, ramira omwoyo gwani.”
Waliendelea kumpiga mawe Stefano, huku akiwa anasali: “Bwana Yesu, ipokee roho yangu!”
60 Nafung'ama ebhiju no kubhirikira kwo bhuraka bhunene, “Omukama, utabhabharira echibhibhi chinu.” Ejile aika kutyo, nabhutura omwoyo.
Akapiga magoti, akalia kwa sauti kubwa: “Bwana, usiwalaumu kwa sababu ya dhambi hii.” Baada ya kusema hivyo, akafa.

< Ebhikolwa bhya Jintumwa 7 >