< 2 Abhakorintho 8 >

1 Chibhenda emwe mumenye, omumula nomusubhati, echigongo cha Nyamuanga chinu changabhiwe mu makanisa ga Makedonia.
Ndugu, tunapenda kuwapa habari juu ya neema ambazo Mungu ameyajalia makanisa ya Makedonia.
2 Omwanya gwalisakwa linene lyo kunyaka, obwafu bwa likondelelwa lyebwe lyokuyanibwa obhutaka bwebwe nibwibhula obhunibhi bwafu bwo kukuma.
Waumini wa huko walijaribiwa sana kwa taabu; lakini furaha yao ilikuwa kubwa hivi hata wakawa wakarimu kupita kiasi, ingawaje walikuwa maskini sana.
3 Kwo kubha enibhambalila ati abho bhasosishe kwo bhatulile, nolwo byafu bhinu bhatulile.
Naweza kushuhudia kwamba walikuwa wakarimu kadiri ya nguvu zao na hata zaidi. Kwa hiari yao wenyewe,
4 No kwenda kwebwe abhene no kujilembesha kwafu, bhachisabhilwe koleleki bhasangile kumilimu jinu ku bhelu.
walitusihi sana wapewe nafasi ya kushiriki katika huduma hii ya kuwasaidia watu wa Mungu.
5 Linu litakasokele alabha kwokwo chaliga nichenda. kulwejo, kwamba bhesosishe abhene bhenyele ku Lata bhugenyi. kutyo nibhesosha abhene bhenyele kweswe mu kwenda kwa Nyamuanga.
Hilo lilikuwa jambo ambalo hatukulitazamia kabisa! Kwanza walijitolea wao wenyewe kwa Bwana, kisha wakajitolea wenyewe kwetu pia, kufuatana na mapenzi ya Mungu.
6 Nikwo nichikomelesha Tito, aliga ambile omulimu gunu, nikwo akumishe echigongo chinu kwimwe.
Kwa sababu hiyo, tulimsihi Tito aliyeianza kazi hiyo awasaidieni pia muitekeleze huduma hii ya upendo miongoni mwenu.
7 Nawe emwe muno bwafu bhuli chinu mu likilisha mu kwaika na mubhumenyi, na mu kukomela, na mu kwenda kwemwe mwiswe. Kutyo nimufufyega ati emwe omubha no bhafu ona okukola linu muchigongo.
Ninyi mna kila kitu: imani, uwezo wa kusema, elimu; bidii yote ya kutenda mema, na upendo wenu kwetu. Hivyo, tunatazamia muwe wakarimu katika huduma hii ya upendo.
8 Enaika linu atali kwokubhalagilila. koleleki naika linu okubhalola okwenda kwemwe okwinganilisha no kwenda kwa bhanu bhandi.
Siwapi ninyi amri, lakini nataka tu kuonyesha jinsi wengine walivyo na bidii ya kusaidia ili nipate kujua jinsi upendo wenu ulivyo wa kweli.
9 Kwo kubha mumenyele echigongo cha Lata bhugenyi weswe Yesu Kristo. Nolwo aliga munibhi, kulwemwe aliga mutaka koleleki okulabhila obhutaka bwae mutule kubha bhanibhi.
Maana, ninyi mnajua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo: yeye, ingawa alikuwa na kila kitu, alijifanya maskini kwa ajili yenu, ili kutokana na umaskini wake, awatajirishe.
10 Mu musango gunu enibhayana omusango gunu ogubhasakila. Omwaka gumwi gunu gulabhile, mutambile ela okukola omusango. Nawe naligiye okukola.
Kuhusu jambo hili, basi, nawapeni shauri hili: inafaa kwenu kutekeleza sasa yale mliyoanza mwaka jana. Ninyi mlikuwa wa kwanza kuchukua hatua na kuamua kufanya hivyo.
11 Woli mukumishe. Alabha nikwo chaliga nichenda okukola, nikwo, mbe, mwakatulile ona okuleta obwengeso, kwokwo omutula.
Basi, kamilisheni shughuli hiyo; na kama vile mlivyokuwa na hamu kubwa ya kusaidia, basi, fanyeni bidii vivyo hivyo, kadiri ya uwezo wenu, kuikamilisha.
12 Kwo kubha omwenda okola linu, ni musango gwa kisi no gwendibwa. Bhusibhusi limelegulu ingulu yachiliya echo alinacho omunu, atali ingulu yachinu atanacho omunu.
Maana ikiwa mtu ana moyo wa kusaidia, Mungu hupokea kila anachoweza kutoa: hadai zaidi.
13 Kwo kubha emilimu jinu jitali koleleki ati abhandi abhatula obhuanga nemwe musitoelwe.
Ninyi hampaswi kuongezewa taabu kusudi wengine wapunguziwe mzigo wao; sivyo, ila ni lazima tujali usawa na haki.
14 Obhafu bwemwe kwo mwanya gwa olyanu ogusakila kwa chiliya echoechendibwa. Linu ni kutyo ona koleleki obwafu bwebwe bhutule okusakila ebhinu byemwe, na ati kubhe nokwingana.
Kila mlicho nacho sasa cha ziada kiwasaidie wale wanaohitaji, ili nao wakati watakapokuwa na ziada, wawasaidie ninyi katika mahitaji yenu, na hivyo kuwe na usawa.
15 Linu nikwo gandikilwe; “Unu aliga na byafu atabheye na chinu chona chona echochasigaye na unu aliga na bhitoto atabheye na kwenda byona.”
Kama Maandiko yasemavyo: “Aliyekusanya kwa wingi hakuwa na ziada, na yule aliyekusanya kidogo hakupungukiwa.”
16 Nawe asimwe Namuanga, unu atee munda yo mwoyo gwa Tito omwoyo guliguli gwo kumenya unu ninago kulwemwe.
Namshukuru Mungu aliyeweka ndani ya moyo wa Tito hamu hiyo niliyo nayo mimi ya kuwasaidia.
17 kwo kubha atali ela alamiye lisabwa lyeswe, nawe ona aliga nikomesha okugwana nalisabwa elyo. Ejile kwemwe kwokwituma kwaye omwene.
Si tu kwamba alikubali ombi letu, ila pia alikuwa na hamu kubwa ya kusaidia, hata akaamua kwa hiari yake mwenyewe kuja kwenu.
18 Chamutuma aamwi nage omuili unu kakuibwa mubhamwi mwa makakanisa koleleki emilimu jaye jo kulasha omusango.
Pamoja naye, tunamtuma ndugu mmoja ambaye sifa zake katika kueneza Habari Njema zimeenea katika makanisa yote.
19 Jitali ejo ela, nawe ona asolelwe na jikanisa okulibhata neswe okuliyeka libhala lyakula kulya likolya linu ni lyokukuma. Linu ni kwa likukusho lya Lata bhugenyi omwene nokwenda kweswe no kusakila.
Zaidi ya hayo, yeye amechaguliwa na makanisa awe mwenzetu safarini wakati tunapopeleka huduma hii yetu ya upendo, huduma tunayoifanya kwa ajili ya utukufu wa Bwana na uthibitisho wa nia yetu njema.
20 Echikenga gunu ati wonawona katula okwaika eswe okukuma gunu echieka.
Tunataka kuepa lawama zinazoweza kutokea kuhusu usimamizi wetu juu ya zawadi hii karimu.
21 Echigega no kukola echochili heshima, atali ela imbele ya Lata bhugenyi, nawe ona imbele ya bhanu.
Nia yetu ni kufanya vema, si tu mbele ya Bwana, lakini pia mbele ya watu.
22 Lindi ona chamutuma omuili oundi amwi nabho. Chamulegejishe kwiya ngendo nyamfu, nachamulolele ali nobhwila ingulu ye milimu myamfu. Nolo woli akomee kwainsonga yo bhukalaliye bhunene bhunu alinabhwo ingulu yemwe.
Basi, pamoja na ndugu hao, tumemtuma ndugu yetu mwingine ambaye mara nyingi tumempa majaribio mbalimbali, tukamwona kuwa ni mwenye hamu kubwa ya kusaidia; hata sasa amekuwa na moyo zaidi kwa sababu ana imani sana nanyi.
23 Ingulu ya Tito, omwene ni mukosi wejasu ingulu yemwe. Labha kwa bhaili bheswe, abhatumwa na makanisa. Nibhechibhalo ku Kristo.
Tito ni mwenzangu; tunafanya kazi pamoja kwa ajili yenu; lakini kuhusu hawa ndugu zetu wengine, wanaokuja pamoja nao, hao ni wajumbe wa makanisa, na utukufu kwa Kristo.
24 Kulwejo, mubholeshe elyenda lyemwe, na mwoleshe mumakanisa insonga yo kwikuya kweswe ingulu yemwe.
Basi, waonyesheni uthabiti wa upendo wenu, makanisa yapate kuona kweli kwamba fahari ninayoona juu yenu ni ya halali.

< 2 Abhakorintho 8 >