< 1 Yohana 4 >

1 Abhendwa, mutekilishaga bhuli Mwoyo, mbe nawe nimujisakega emioyo mujilole alabha ejisoka ku Nyamuanga, ku nsonga abhalagi bhafu abho lulimi bhabhonekene mu chalo.
Wapenzi wangu, msimsadiki kila mtu asemaye kwamba ana Roho wa Mungu, bali chunguzeni kwa makini kama huyo mtu anaongozwa na Roho wa Mungu au la, Maana manabii wengi wa uongo wamezuka ulimwenguni.
2 Mu linu omutula okumumenya Mwoyo wa Nyamuanga- bhuli Mwoyo gunu ogwikilisha ati Yesu Kristo ejile mu mubhili ni wa Nyamuanga,
Hii ndiyo njia ya kujua kama mtu anaongozwa na Roho wa Mungu: Kila anayekiri kwamba Kristo alikuja, akawa binadamu, mtu huyo anaye Roho wa Mungu.
3 no Mwoyo gunu gutakumwikilisha Yesu gutali gwa Nyamuanga. Gunu ni Mwoyo gwo kumulema Kristo, gunu mwonguywe ati gwejile, na wolyanu bhwangu gulu mu Chalo.
Lakini mtu yeyote asiyemkiri Kristo hivyo, hana huyo Roho atokaye kwa Mungu. Mtu huyo ana roho ambaye ni wa Adui wa Kristo; nanyi mlikwisha sikia kwamba anakuja, na sasa tayari amekwisha wasili ulimwenguni!
4 Emwe muli bha Nyamuanga, abhana abhendwa, na mwamalile okubhaiga ku nsonga unu abhalimo emwe ni mukulu kukila unu ali mu Chalo.
Lakini ninyi, watoto, ni wake Mungu na mmekwisha washinda hao manabii wa uongo; maana Roho aliye ndani yenu ana nguvu zaidi kuliko roho aliye ndani ya hao walio wa ulimwengu.
5 Bhenene ni bha mu Chalo, kulwejo chinu abhaika ni je chalo, ne Chalo echibhategelesha.
Wao husema mambo ya ulimwengu, nao ulimwengu huwasikiliza kwani wao ni wa ulimwengu.
6 Eswe chili bha Nyamuanga. Mwenene unu kamumenya Nyamuanga kachungwa eswe. omwene unu atali wa Nyamuanga atakutula kuchitegelesha. Mu linu echimenya Mwoyo we chimali na Mwoyo wo lulimi.
Lakini sisi ni wake Mungu. Mtu anayemjua Mungu hutusikiliza, mtu asiye wa Mungu hatusikilizi. Basi, kwa njia hiyo tunaweza kutambua tofauti kati ya Roho wa ukweli na roho wa uongo.
7 Abhendwa, chendane eswe abhene kwa bhene, lwa kutyo okwenda ni kwa Nyamuanga, na bhuli umwi unu Kenda ebhuywe na Nyamuanga no kumumenya Nyamuanga.
Wapenzi wangu, tupendane, maana upendo hutoka kwa Mungu. Kila mtu aliye na upendo ni mtoto wa Mungu, na anamjua Mungu.
8 Omwene unu atakwenda atakumumenya Nyamuanga, ku nsonga Nyamuanga ni lyenda.
Mtu asiye na upendo hamjui Mungu, maana Mungu ni upendo.
9 Okwenda kwa Nyamuanga kwasuluywe mwiswe, ati Nyamuanga amutumile omwana waye enyele-la mu chalo koleleki chilamile okulabha ku mwene.
Na Mungu alionyesha upendo wake kwetu kwa kumtuma Mwanae wa pekee ulimwenguni, ili tuwe na uzima kwa njia yake.
10 Mu lyenda linu, atali ati chamwendele Nyamuanga, mbe nawe omwene niwe achendele, no kumutuma omwana waye abhe chogo kulwe bhibhibhi bhyeswe.
Hivi ndivyo upendo ulivyo: si kwamba sisi tulikuwa tumempenda Mungu kwanza, bali kwamba yeye alitupenda hata akamtuma Mwanae awe sadaka ya kutuondolea dhambi zetu.
11 Abhendwa, alabha Nyamuanga achendele eswe, nikwo kutyo kuchiile eswe one okwendana abhene kwa bhene.
Wapenzi wangu, ikiwa Mungu alitupenda hivyo, basi, nasi tunapaswa kupendana.
12 Atalio nolwo umwi unu alamulolele Nyamuanga. Alabha chikendana eswe abhene kwa bhene, Nyamuanga achikayemo Munda yeswe ne lyenda lyaye likumiye mwiswe.
Hakuna mtu aliyekwisha mwona Mungu kamwe; lakini kama tukipendana Mungu anaishi katika muungano nasi, na upendo wake unakamilika ndani yetu.
13 Mu linu echimenya ati chikaye mu mwene no mwene mwiswe, ku nsonga achiyaye Mwoyo waye.
Tunajua kwamba tunaishi katika umoja na Mungu, naye Mungu anaishi katika umoja nasi, kwani yeye ametupa Roho wake.
14 Chilolele no kubhambalila ati Lata amutumile omwana waye ati abhe mwelusi we Chalo.
Sisi tumeona na kuwaambia wengine kwamba Baba alimtuma Mwanae awe Mwokozi wa ulimwengu.
15 Bhuli unu kekilisha ati Yesu ni mwana wa Nyamuanga, Nyamuanga kekala mu mwene no mwene mu Nyamuanga.
Kila mtu anayekiri kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu, Mungu anaishi katika muungano na mtu huyo, naye anaishi katika muungano na Mungu.
16 Ne echimenya no kwikilisha elyenda linu Nyamuanga ali nalyo mwiswe. Nyamuanga ni kwenda, no mwene unu kekala mu lyenda kekala munda ya Nyamuanga, na Nyamuanga one kekala munda yaye.
Basi, sisi tunajua na tunaamini upendo alio nao Mungu kwetu sisi. Mungu ni upendo, na kila mtu aishiye katika upendo, anaishi katika muungano na Mungu, na Mungu anaishi katika muungano naye.
17 Mu lyenda linu lyamalile okukumisibhwa agati yeswe, koleleki chibhe no bhubhasi ku lusiku lwa indamu, ku nsonga lwa kutyo mwene ali, neswe one nikwo kutyo chili mu Chalo chinu.
Upendo umekamilika ndani yetu kusudi tuweze kuwa na ujasiri Siku ile ya Hukumu; kwani maisha yetu hapa duniani ni kama yale ya Kristo.
18 Mu kwenda bhutalimo bhubha. Mbe nawe elyenda linu likumiye eibhwesa anja, ku nsonga obhubha bhililene na indamu. Mbe nawe omwene unu kobhaya atakumisibhwe mu lyenda.
Palipo na upendo hapana uoga; naam, upendo kamili hufukuza uoga wote. Basi, mtu mwenye uoga hajakamilika bado katika upendo, kwani uoga huhusikana na adhabu.
19 Echenda kulwo kubha Nyamuanga achendele okwamba.
Sisi tuna upendo kwa sababu Mungu alitupenda kwanza.
20 Akabha oumwi akaika ati, “Enimwenda Nyamuanga” Mbe nawe amusokele owabho, ni mulimi. Ku nsonga unu atakumwenda owabho, unu kamulola, atakutula okumwenda Nyamuanga unu achaliga kumulola.
Mtu akisema kwamba anampenda Mungu, hali anamchukia ndugu yake, huyo ni mwongo. Maana mtu asiyempenda ndugu yake ambaye anamwona, hawezi kumpenda Mungu ambaye hamwoni.
21 Na chinu nicho echilagilo chinu chili nacho okusoka ku mwene: wona wona unu kamwenda Nyamuanga, kumwiile amwende no wabho one.
Basi, hii ndiyo amri aliyotupa Kristo: Anayempenda Mungu anapaswa pia kumpenda ndugu yake.

< 1 Yohana 4 >