< マタイの福音書 4 >

1 然てイエズス、惡魔に試みられん為、[聖]霊によりて荒野に導かれ給ひしが、
Kisha Yesu aliongozwa na Roho mpaka jangwani ili ajaribiwe na ibilisi.
2 四十日四十夜断食し給ひしかば、後に飢ゑ給へり。
Alipokuwa amefunga kwa siku arobaini mchana na usiku alipata njaa.
3 試むるもの近づきて、汝若神の子ならば、命じて此石を麪とならしめよ、と云ひければ、
Mjarabu akaja na akamwambia, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, amuru mawe haya yawe mkate.”
4 イエズス答へて曰ひけるは、録して「人の活けるは麪のみによるに非ず、又神の口より出る総ての言に由る」とあり、と。
Lakini Yesu alimjibu na kumwambia, “Imeandikwa, 'Mtu hataishi kwa mkate peke yake, bali kwa kila neno litokalo kinywani mwa Mungu.'''
5 其時惡魔彼を携へて聖なる都に行き、[神]殿の頂に立たせて、
Kisha ibilisi akampeleka katika mji mtakatifu na kumweka mahali pa juu sana pa jengo la hekalu,
6 云ひけるは、汝若神の子ならば身を投げよ、其は録して「神汝の為に其使等に命じ給へり、汝の足の石に衝當らざる様、彼等手にて汝を支へん」とあればなり。
na kumwambia,'' kama wewe ni Mwana wa Mungu, jirushe chini, kwa maana imeandikwa, 'Ataamuru malaika wake waje wakudake,' na, 'watakuinua kwa mikono yao, ili usijikwae mguu wako katika jiwe.”
7 イエズス曰ひけるは、又録して「主たる汝の神を試むべからず」とあり、と。
Yesu akamwambia, ''Tena imeandikwa, 'Usimjaribu Bwana Mungu wako.'''
8 惡魔又彼を携へて最高き山に行き、世の諸國と其榮華とを示して、
Kisha, ibilisi akamchukua na kumpeleka sehemu ya juu zaidi akamwonyesha falme zote za ulimwengu na fahari ya hizo zote.
9 云ひけるは、汝若平伏して我を拝せば、是等のものを悉く汝に與へん。
Akamwambia, “Nitakupa vitu vyote hivi ukunisujudia na kuniabudu.”
10 其時イエズス曰ひけるは、サタン退け、蓋録して「汝の神たる主を拝し、是にのみ事ふべし」とあり、と。
Kisha Yesu akamwambia, “Nenda zako utoke hapa, Shetani! Kwa maana imeandikwa, 'Yakupasa kumwabudu Bwana Mungu wako, na umtumikie yeye peke yake.'”
11 是に於て惡魔彼を離れしが、折しも天使等近づきて彼に事へたり。
Kisha ibilisi akamwacha, na tazama, malaika wakaja wakamtumikia.
12 第一款 イエズス布教の初 第二項 イエズスのキリストたる事を證明すべき事實及談話 イエズスヨハネの囚はれしを聞き給ひしかば、ガリレアに避け、
Basi Yesu aliposikia kuwa Yohana amekamatwa, aliondoka mpaka Galilaya.
13 ナザレトの街を去り、ザブロンとネフタリムとの境なる湖辺の地、カファルナウムに至りて住み給ひしが、
Aliondoka Nazareti alienda na kuishi Kaperanaumu, iliyoko kandokando na Bahari ya Galilaya, mipakani mwa majimbo ya Zabuloni na Naftali.
14 是預言者イザヤに託りて云はれし事の成就せん為なり、
Hii ilitokea kutimiza kile kilichonenwa na nabii Isaya,
15 曰く「ザブロンの地、ネフタリムの地、ヨルダンの彼方なる湖辺の道、異邦人のガリレア、
“Katika mji wa Zabuloni na mji wa Naftali, kuelekea Baharini, ng'ambo ya Yorodani, Galilaya ya wamataifa!
16 暗黒に坐せる人民大なる光を見、死の陰の地に坐せる人々の上に光出たり」と。
Watu walio kaa gizani wameuona mwanga mkuu, na wale waliokuwa wameketi katika maeneo na kivuli cha mauti, juu yao nuru imewaangazia.''
17 此時よりイエズス初て教を宣べ、「改心せよ、蓋天國は近づけり」と曰へり。
Tokea wakati huo Yesu alianza kuhubiri na kusema, “Tubuni, kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia.''
18 イエズスガリレアの湖辺を歩み給ふに、二人の兄弟、即ペトロと呼ばるるシモンと、其兄弟アンデレアとの湖に網打てるを見、――二人は漁師なりき――
Alipokuwa akitembea kandokando ya Bahari ya Galilaya, aliwaona ndugu wawili, Simoni aliyekuwa akiitwa Petro, na Andrea kaka yake, wakitega nyavu baharini, kwa kuwa walikuwa wavuvi wa samaki.
19 彼等に向ひて、我に從へ、我汝等をして人を漁る者とならしめん、と曰ひしかば、
Yesu akawaambia, “Njooni mnifuate, nitawafanya kuwa wavuvi wa watu.”
20 彼等直に網を舍きて從へり。
Mara moja waliziacha nyavu na walimfuata.
21 イエズス此處より進み給ひて、又他に二人の兄弟、即ちゼベデオの子ヤコボと、其兄弟ヨハネとが、父ゼベデオと共に船にて網を補ふを見、之を召し給ひしに
Na Yesu alipokuwa akiendelea kutoka hapo aliwaona ndugu wawili wengine, Yakobo mwana wa Zebedayo, na Yohana kaka yake. Walikuwa katika mtumbwi pamoja na Zebedayo baba yao wakishona nyavu zao. Akawaita,
22 彼等直に網と父とを舍きて從へり。
na mara moja wakaacha mtumbwi na baba yao nao wakamfuata.
23 イエズス徧くガリレアを巡り、諸所の會堂にて教へ、[天]國の福音を宣べ、又民間の凡ての病、凡ての患を醫し給ひければ、
Yesu alienda karibia Galilaya yote, akifundisha katika Masinagogi yao, akihubiri injili ya ufalme, na akiponya kila aina ya maradhi na magonjwa miongoni mwa watu.
24 其名聲洽くシリアに播がり、患へる者、様々の病と苦とに罹れる者、惡魔に憑かれたるおの、癲癇癱瘋に悩める者を皆彼に差出しけるに、イエズス之を醫し給ひ、
Habari zake zilienea Siria yote, na watu wakawaleta kwake wale wote waliokuwa wakiugua, wakiwa na maradhi mbalimbali na maumivu, waliokuwa na mapepo, na wenye kifafa na waliopooza. Yesu aliwaponya.
25 ガリレアデカポリエルザレム、ユデア又はヨルダン[河]の彼方より、夥しき群衆來り從へり。
Umati mkubwa wa watu ulimfuata kutoka Galilaya, na Dekapoli, na Yerusalemu na Uyahuda na kutoka ng'ambo ya Yorodani.

< マタイの福音書 4 >