< テサロニケ人への手紙第一 5 >

1 兄弟等よ、時代と時刻とに就きては、汝等書遣らるるを要せず、
Sasa, kwa habari ya muda na nyakati, ndugu, hamna haja kwamba kitu chochote kiandikwe kwenu.
2 其は主の日が夜中の盗人の如くに來るべきことを、自ら確に知ればなり。
Kwa kuwa ninyi wenyewe mwajua kwa usahihi ya kuwa siku ya Bwana inakuja kama mwizi ajapo usiku.
3 人々が安心安全を口にせん時、亡は妊婦に於陣痛の如く俄に來りて、彼等は迯れざるべし。
Pale wasemapo kuna “Amani na usalama”, ndipo uharibifu huwajia ghafla. Ni kama utungu umjiavyo mama mwenye mimba. Hawataepuka kwa njia yeyote.
4 兄弟等よ、汝等は暗黒に非ざれば、彼日は盗人の如く汝等を襲ふまじ、
Lakini ninyi, ndugu hampo kwenye giza hata ile siku iwajie kama mwizi.
5 其は汝等は皆光の子晝の子にして、我等は夜のもの暗黒のものに非ざればなり。
Kwa maana ninyi nyote ni wana wa nuru na wana wa mchana. Sisi siyo wana wa usiku au wa gizani.
6 然れば我等は他の人々の如く眠るべからず、而も目醒めて節制すべし。
Hivyo basi, tusilale kama wengine walalavyo. Bali tukeshe na kuwa makini.
7 蓋眠る人は夜中に眠り、酔ふ人は夜中に酔ふ、
Kwa kuwa wanaolala hulala usiku na wanao lewa hulewa usiku.
8 然れど晝のものたる我等は節制して、信仰と愛との甲を着け、救霊の希望を冑と為すべし。
Kwa kuwa sisi ni wana wa mchana, tuwe makini. Tuvae ngao ya imani na upendo, na, kofia ya chuma, ambayo ni uhakika wa wokovu wa wakati ujao.
9 其は神の我等を置き給ひしは、怒に遇はしめん為に非ず、我主イエズス、キリストに由りて救霊を得させん為なればなり。
Kwa kuwa Mungu hakutuchagua mwanzo kwa ajili ya gadhabu, bali kwa kupata wokovu kwa njia ya Bwana Yesu Kristo.
10 然てイエズス、キリストの我等の為に死し給ひしは、我等をして覚るも眠るも彼と共に生活せしめん為なり。
Yeye ndiye aliyetufia ili kwamba, tukiwa macho au tumelala, tutaishi pamoja naye.
11 故に汝等既に為せるが如く、互に慰めて互に徳を立てしめよ。
Kwa hiyo, farijianeni na kujengana ninyi kwa ninyi, kama ambavyo tayari mnafanya.
12 第三項 倫理上の種々の勧告 兄弟等よ、願はくは汝等の中に働き、汝等を主に於て司り、且忠告する人々を識り、
Ndugu, twawaomba muwatambue wale wanaotumika miongoni mwenu na wale walio juu yenu katika Bwana na wale wanao washauri.
13 其業によりて最も厚く之を愛せよ、相互に和合せよ。
Tunawaomba pia muwatambue na kuwapa heshima katika upendo kwa sababu ya kazi yao. Muwe na amani miongoni mwenu ninyi wenyewe.
14 兄弟等よ、希はくは沈着かざる人々を誡め、落胆せる者を慰め、弱き者を扶け、凡ての人に堪忍せよ。
Twawasihi, ndugu: muwaonye wasio kwenda kwa utaratibu, watieni moyo walio kata tamaa, Wasaidieni walio wanyonge, na muwe wavumilivu kwa wote.
15 誰も人に對して惡を以て惡に報いざる事を心懸け、相互に又凡ての人に對して、何時も善きことを追求せよ。
Angalieni asiwepo mtu yeyote anayelipa baya kwa baya kwa mtu yeyote. Badala yake, fanyeni yaliyo mema kwa kila mmoja wenu na kwa watu wote.
16 常に喜べ、
Furahini siku zote.
17 絶えず祈れ、
Ombeni bila kukoma.
18 何事に於ても感謝し奉れ。是汝等一同に於てキリスト、イエズスに由れる神の御旨なればなり。
Mshukuruni Mungu kwa kila jambo, kwa sababu hayo ndiyo mapenzi ya Mungu kwenu katika Yesu Kristo.
19 霊を消すこと勿れ、
Msimzimishe Roho.
20 預言を軽んずること勿れ、
Msiudharau unabii.
21 何事をも試して善きものを守れ。
Yajaribuni mambo yote. Mlishike lililo jema.
22 一切の惡の類より遠ざかれ。
Epukeni kila mwonekano wa uovu.
23 末文 願はくは平安の神御自ら、汝等を全く聖ならしめ給ひて、悉く汝等の精神、霊魂、身體を守り、我主イエズス、キリストの再臨の時、咎むべき所なからしめ給はん事を。
Mungu wa amani awakamilishe katika utakatifu. Roho, nafsi na mwili vitunzwe pasipo mawaa katika kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo.
24 汝等を召し給ひしものは眞實にて在せば、此事をも為し給ふべし。
Yeye aliyewaita ni mwaminifu, naye ndiye mwenye kutenda.
25 兄弟等よ、我等の為に祈れ。
Ndugu, tuombeeni pia.
26 聖なる接吻を以て凡ての兄弟に宜しく傳へよ。
Wasalimuni ndugu wote kwa busu takatifu.
27 聖なる凡ての兄弟に此書簡を読聞かせん事を、我は主によりて汝等に希ふ。
Nawasihi katika Bwana kwamba barua hii isomwe kwa ndugu wote.
28 願はくは我主イエズス、キリストの恩寵、汝等と共に在らん事を、アメン。
Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe pamoja nanyi.

< テサロニケ人への手紙第一 5 >