< 詩篇 89 >

1 エズラびとエタンのマスキールの歌 主よ、わたしはとこしえにあなたのいつくしみを歌い、わたしの口をもってあなたのまことをよろずよに告げ知らせます。
Nitimba sifa za matendo ya uaminifu wa agano milele. Nitatangaza kweli yako kwa vizazi vijavyo.
2 あなたのいつくしみはとこしえに堅く立ち、あなたのまことは天のようにゆるぐことはありません。
Maana nimesema, “Uaminifu wa agano umeimarishwa milele; na kweli yako umeiimarisha mbinguni.”
3 あなたは言われました、「わたしはわたしの選んだ者と契約を結び、わたしのしもべダビデに誓った、
“Nimefanya agano na wateule wangu, nimeapa kiapo kwa Daudi mtumishi wangu.
4 『わたしはあなたの子孫をとこしえに堅くし、あなたの王座を建てて、よろずよに至らせる』」。 (セラ)
Nitauimarisha uzao wako milele, na nitauimarisha utawala wako vizazi vyote.” (Selah)
5 主よ、もろもろの天にあなたのくすしきみわざをほめたたえさせ、聖なる者のつどいで、あなたのまことをほめたたえさせてください。
Mbingu husifu maajabu yako, Yahwe; kweli yako inasifiwa katika kusanyiko la watakatifu.
6 大空のうちに、だれか主と並ぶものがあるでしょうか。神の子らのうちに、だれか主のような者があるでしょうか。
Maana ni nani katika mbingu aweza kulinganishwa na Yahwe? Ambaye kati ya wana wa miungu ni kama Yahwe?
7 主は聖なる者の会議において恐るべき神、そのまわりにあるすべての者にまさって大いなる恐るべき者です。
Ni Mungu anaye heshimiwa sana katika baraza la watakatifu naye ni wakutisha kati ya wote wanao mzunguka.
8 万軍の神、主よ、主よ、だれかあなたのように大能のある者があるでしょうか。あなたのまことは、あなたをめぐっています。
Yahwe, Mungu wa majeshi, ni nani aliye na nguvu kama wewe, Yahwe? Kweli yako inakuzunguka.
9 あなたは海の荒れるのを治め、その波の起るとき、これを静められます。
Wewe huitawala bahari yenye nguvu; mawimbi yainukapo, wewe huyatuliza.
10 あなたはラハブを、殺された者のように打ち砕き、あなたの敵を力ある腕をもって散らされました。
Ulimwangamiza Rahabu kama mmoja aliye uliwa. Uliwatawanya adui zako kwa mkono wako wenye nguvu.
11 もろもろの天はあなたのもの、地もまたあなたのもの、世界とその中にあるものとはあなたがその基をおかれたものです。
Mbingu ni zako wewe, na nchi pia. Uliiumba dunia na vyote vilivyomo.
12 北と南はあなたがこれを造られました。タボルとヘルモンは、み名を喜び歌います。
Uliumba kaskazini na kusini. Tabori na Hermoni hulifurahia jina lako.
13 あなたは大能の腕をもたれます。あなたの手は強く、あなたの右の手は高く、
una mkono wa uweza na mkono wenye nguvu, na mkono wako wa kuume uko juu.
14 義と公平はあなたのみくらの基、いつくしみと、まことはあなたの前に行きます。
Haki na hukumu ni msingi wa kiti chako. Uaminifu wa agano lako na uaminifu huja mbele zako.
15 祭の日の喜びの声を知る民はさいわいです。主よ、彼らはみ顔の光のなかを歩み、
Wamebarikiwa watu wakuabuduo wewe! Yahwe, wanatembea katika nuru ya uso wako.
16 ひねもす、み名によって喜び、あなたの義をほめたたえます。
Siku zote wanafurahia katika jina lako, na katika haki yako wanakutukuza wewe.
17 あなたは彼らの力の栄光だからです。われらの角はあなたの恵みによって高くあげられるでしょう。
Wewe ni fahari ya nguvu zao, na kwa nguvu zako tu washindi.
18 われらの盾は主に属し、われらの王はイスラエルの聖者に属します。
Maana ngao zetu ni za kwako Yahwe; mfalme wetu ni wa Mtakatifu wa Israeli.
19 昔あなたは幻をもってあなたの聖徒に告げて言われました、「わたしは勇士に栄冠を授け、民の中から選ばれた者を高くあげた。
Muda mrefu uliopita ulizungumza na waaminfu wako katika maono; ulisema, “Nimeweka taji juu ya mwenye nguvu; nimemuinua aliyechaguliwa kutoka kati ya watu.
20 わたしはわがしもべダビデを得て、これにわが聖なる油をそそいだ。
Nimemchagua Daudi mtumishi wangu; kwa mafuta yangu matakatifu nimempaka yeye.
21 わが手は常に彼と共にあり、わが腕はまた彼を強くする。
Mkono wangu utamsaidia yeye; mkono wangu utamtia nguvu.
22 敵は彼をだますことなく、悪しき者は彼を卑しめることはない。
Hakuna adui atakaye mdanganya; hakuna mwana wa uovu atakaye muonea.
23 わたしは彼の前にもろもろのあだを打ち滅ぼし、彼を憎む者どもを打ち倒す。
Nitawaangamiza adui zake mbele yake; nitawaua wale wamchukiao.
24 わがまことと、わがいつくしみは彼と共にあり、わが名によって彼の角は高くあげられる。
Kweli yangu na uaminifu wa agano vitakuwa pamoja naye; kupitia jina langu atakuwa mshindi.
25 わたしは彼の手を海の上におき、彼の右の手を川の上におく。
Nitaweka mkono wake juu ya bahari na mkono wake wa kuume juu ya mito.
26 彼はわたしにむかい『あなたはわが父、わが神、わが救の岩』と呼ぶであろう。
Yeye ataniita, 'Wewe ni Baba yangu, Mungu wangu, na mwamba wa wokovu wangu.'
27 わたしはまた彼をわがういごとし、地の王たちのうちの最も高い者とする。
Nitamjalia kuwa kama mzaliwa wangu wa kwanza, aliye inuliwa zaidi juu ya wafalme wa nchi.
28 わたしはとこしえに、わがいつくしみを彼のために保ち、わが契約は彼のために堅く立つ。
Nitaongeza uaminifu wa agano langu kwake milele; na agano langu pamoja naye litakuwa salama.
29 わたしは彼の家系をとこしえに堅く定め、その位を天の日数のようにながらえさせる。
Nitaufanya uzao wake kudumu milele na kiti chake cha enzi kitadumu kama mbingu zilizo juu.
30 もしその子孫がわがおきてを捨て、わがさばきに従って歩まないならば、
Ikiwa watoto wake wataziacha sheria zangu na kutokutii amri zangu,
31 もし彼らがわが定めを犯し、わが戒めを守らないならば、
na kama watazivunja sheria zangu na kutokuzishika amri zangu,
32 わたしはつえをもって彼らのとがを罰し、むちをもって彼らの不義を罰する。
ndipo nitauadhiu uasi wao kwa fimbo na uovu wao kwa makofi.
33 しかし、わたしはわがいつくしみを彼から取り去ることなく、わがまことにそむくことはない。
Lakini sitauondoa kwake upendo wangu thabiti wala kutokuwa mwaminifu kwa ahadi yangu.
34 わたしはわが契約を破ることなく、わがくちびるから出た言葉を変えることはない。
Sitavunja agano langu wala kubadilisha maneno ya midomoni mwangu.
35 わたしはひとたびわが聖によって誓った。わたしはダビデに偽りを言わない。
Mara moja na kwa yote, nimeapa kwa utakatifu wangu sitamdanganya Daudi:
36 彼の家系はとこしえに続き、彼の位は太陽のように常にわたしの前にある。
uzao wake utaendelea milele na kiti chake cha enzi kama vile jua mbele yangu.
37 また月のようにとこしえに堅く定められ、大空の続くかぎり堅く立つ」。 (セラ)
Kitaimarishwa milele kama mwezi, shahidi mwaminifu mawinguni.” (Selah)
38 しかしあなたは、あなたの油そそがれた者を捨ててしりぞけ、彼に対して激しく怒られました。
Lakini wewe umemtupa na kumkataa; umemkasirikia mfalme mpakwa mafuta wako.
39 あなたはそのしもべとの契約を廃棄し、彼の冠を地になげうって、けがされました。
Wewe umelikataa agano la mtumishi wako. Umeinajisi taji yake ardhini.
40 あなたはその城壁をことごとくこわし、そのとりでを荒れすたれさせられました。
Umevunja kuta zake zote. Umeharibu ngome yake.
41 そこを通り過ぎる者は皆彼をかすめ、彼はその隣り人のあざけりとなりました。
Wapita njia wote wamemuibia, amekuwa kitu chenye kinyaa kwa majirani zake.
42 あなたは彼のあだの右の手を高くあげ、そのもろもろの敵を喜ばせられました。
Umeinua mkono wa kuume wa adui zake; umewafurahisha adui zake wote.
43 まことに、あなたは彼のつるぎの刃をかえして、彼を戦いに立たせられなかったのです。
Umeyageuza makali ya upanga wake. Na hukumfanya asimame awapo vitani.
44 あなたは彼の手から王のつえを取り去り、その王座を地に投げすてられました。
Umeimaliza fahari yake; umekitupa ardhini kiti chake cha enzi.
45 あなたは彼の若き日をちぢめ、恥をもって彼をおおわれました。 (セラ)
Umefupisha siku za ujana wake. Umemfunika kwa aibu. (Selah)
46 主よ、いつまでなのですか。とこしえにお隠れになるのですか。あなたの怒りはいつまで火のように燃えるのですか。
Mpaka lini, Yahwe? utajificha, milele? Mpaka lini hasira yako itawaka kama moto?
47 主よ、人のいのちの、いかに短く、すべての人の子を、いかにはかなく造られたかを、みこころにとめてください。
Oh, fikiria jinsi muda wangu ulivyo mfupi, na ni kwa ajili gani umewaumba wana wote wa wanadamu wasio na manufaa!
48 だれか生きて死を見ず、その魂を陰府の力から救いうるものがあるでしょうか。 (セラ) (Sheol h7585)
Ni nani aweza kuishi na asife, au atakaye iokoa nafsi yake dhidi ya mkono wa kuzimu? (Selah) (Sheol h7585)
49 主よ、あなたがまことをもってダビデに誓われた昔のいつくしみはどこにありますか。
Bwana, yako wapi matendo yako ya zamani ya uaminifu wa agano ambayo ulimwapia Daudi katika kweli yako?
Kumbuka, Bwana, watumishi wako walivyodhihakiwa na vile nilivyo vumilia moyoni mwangu matusi mengi dhidi ya mataifa.
51 主よ、あなたのしもべがうけるはずかしめをみこころにとめてください。主よ、あなたのもろもろの敵はわたしをそしり、あなたの油そそがれた者の足跡をそしります。わたしはもろもろの民のそしりをわたしのふところにいだいているのです。
Maadui zako wanavurumiza matusi, Yahwe; wanadhihaki nyayo za mpakwa mafuta wako.
52 主はとこしえにほむべきかな。アァメン、アァメン。
Atukuzwe Yahwe milele. Amina na Amina. Kitabu cha Nne

< 詩篇 89 >