< 詩篇 80 >

1 聖歌隊の指揮者によってゆりの花のしらべにあわせてうたわせたアサフのあかしの歌 イスラエルの牧者よ、羊の群れのようにヨセフを導かれる者よ、耳を傾けてください。ケルビムの上に座せられる者よ、光を放ってください。
Usikie, Mchungaji wa Israel, wewe uliye muongoza Yusufu kama kundi; wewe uketiye juu ya makerubi, utuangazie!
2 エフライム、ベニヤミン、マナセの前にあなたの力を振り起し、来て、われらをお救いください。
Machoni pa Efraimu na Benjamini na Manase, uziinue nguvu zako; njoo na utuokoe.
3 神よ、われらをもとに返し、み顔の光を照してください。そうすればわれらは救をえるでしょう。
Mungu, uturejeshe sisi; uangaze uso wako juu yetu, nasi tutaokolewa.
4 万軍の神、主よ、いつまで、その民の祈にむかってお怒りになるのですか。
Yahwe Mungu wa majeshi, mpaka lini utawakasirikia watu wako wanapoomba?
5 あなたは涙のパンを彼らに食わせ、多くの涙を彼らに飲ませられました。
Umewalisha wa mkate wa machozi na umewapa machozi ili wanywe katika kiasi kikubwa.
6 あなたはわれらを隣り人のあざけりとし、われらの敵はたがいにあざわらいました。
Umetufanya kitu kwa ajili ya majirani zetu kubishania, na maadui zetu hucheka kuhusu sisi kati yao.
7 万軍の神よ、われらをもとに返し、われらの救われるため、み顔の光を照してください。
Mungu wa majeshi, uturejeshe sisi; nasi tutaokolewa.
8 あなたは、ぶどうの木をエジプトから携え出し、もろもろの国民を追い出して、これを植えられました。
Wewe ulileta mzabibu kutoka Misri; ukawafukuza mataifa na ukaupanda.
9 あなたはこれがために地を開かれたので、深く根ざして、国にはびこりました。
Uliisafisha ardhi kwa ajil yake; nao ulipata mzizi na kuijaza nchi.
10 山々はその影でおおわれ、神の香柏はその枝でおおわれました。
Milima ilifunikwa kwa kivuli chake, mierezi ya Mungu kwa matawi yake.
11 これはその枝を海にまでのべ、その若枝を大川にまでのべました。
Ilieneza matawi yake mbali kama bahari na mashina yake mpaka kwenye Mto Euphrates.
12 あなたは何ゆえ、そのかきをくずして道ゆくすべての人にその実を摘み取らせられるのですか。
Kwa nini umezibomoa kuta zake hata wapitao karibu huyachuma matunda yake.
13 林のいのししはこれを荒し、野のすべての獣はこれを食べます。
Ngurue wa msituni wanauharibu, na wanyama wa kondeni wanaula.
14 万軍の神よ、再び天から見おろして、このぶどうの木をかえりみてください。
Urudi, Ee Mungu wa majeshi; kutoka mbinguni utazame chini na uuangalie na kuujali huu mzabibu.
15 あなたの右の手の植えられた幹と、みずからのために強くされた枝とをかえりみてください。
Huu ni mzizi ambao mkono wako wa kuume umeupanda, mashina ambayo wewe uliyafanya yakue.
16 彼らは火をもってこれを焼き、これを切り倒しました。彼らをみ顔のとがめによって滅ぼしてください。
Yamekatwa na kuchomwa; yameangamia kwa sababu ya kukemea kwako.
17 しかしあなたの手をその右の手の人の上におき、みずからのために強くされた人の子の上においてください。
Mkono wako na uwe juu ya mtu aliye mkono wako wa kuume, kwa mwana wa mtu uliyemfanya imara kwa ajili yako mwenyewe.
18 そうすれば、われらはあなたを離れ退くことはありません。われらを生かしてください。われらはあなたのみ名を呼びます。
Ndipo hatuta kuacha wewe; utuhuishe, nasi tutaliita jina lako.
19 万軍の神、主よ、われらをもとに返し、み顔の光を照してください。そうすればわれらは救をえるでしょう。
Yahwe, Mungu wa majeshi, uturejeshe sisi; utuangazie nuru ya uso wako, nasi tutaokolewa.

< 詩篇 80 >