< 詩篇 8 >

1 聖歌隊の指揮者によってギテトにあわせてうたわせたダビデの歌 主、われらの主よ、あなたの名は地にあまねく、いかに尊いことでしょう。あなたの栄光は天の上にあり、
Yahweh Bwana wetu, ni jinsi gani jina lako ni tukufu katika dunia yote, wewe ufunuaye utukufu wako juu mbinguni.
2 みどりごと、ちのみごとの口によって、ほめたたえられています。あなたは敵と恨みを晴らす者とを静めるため、あだに備えて、とりでを設けられました。
Kutoka katika midomo ya watoto na vichanga umeumba sifa kwa sababu ya utukufu wako, ili kuwanyamazisha maadui wote na walipa kisasi wote.
3 わたしは、あなたの指のわざなる天を見、あなたが設けられた月と星とを見て思います。
Ninapozitazama mbingu, ambazo vidole vyako vimeumba, mwezi na nyota, ambazo umeziweka kila mmoja katika nafasi yake,
4 人は何者なので、これをみ心にとめられるのですか、人の子は何者なので、これを顧みられるのですか。
Binadamu ni nani hata umtazame, na watu hata uwajali wao?
5 ただ少しく人を神よりも低く造って、栄えと誉とをこうむらせ、
Umewaumba chini kidogo kuliko viumbe vya mbinguni na umewazunguka na utukufu na heshima.
6 これにみ手のわざを治めさせ、よろずの物をその足の下におかれました。
Umemfanya binadamu kutawala kazi ya mikono yako; umeviweka vitu vyote chini ya miguu yake:
7 すべての羊と牛、また野の獣、
kondoo na ng'ombe wote, na hata wanyama wa porini,
8 空の鳥と海の魚、海路を通うものまでも。
ndege wa angani, na samaki wa baharini, na vyote vipitavyo katika mikondo ya bahari.
9 主、われらの主よ、あなたの名は地にあまねく、いかに尊いことでしょう。
Yahweh Bwana wetu, ni jinsi gani jina lako ni tukufu katika dunia yote!

< 詩篇 8 >