< 詩篇 69 >

1 聖歌隊の指揮者によってゆりの花のしらべにあわせてうたわせたダビデの歌 神よ、わたしをお救いください。大水が流れ来て、わたしの首にまで達しました。
Uniokoe, Mungu; maana maji yameweka uhai wangu hatarini.
2 わたしは足がかりもない深い泥の中に沈みました。わたしは深い水に陥り、大水がわたしの上を流れ過ぎました。
Ninazama kwenye kina cha matope, pasipo na hahari pa kusimama; nimekuja kwenye kina kirefu cha maji, ambako mafuriko yananifunika.
3 わたしは叫びによって疲れ、わたしののどはかわき、わたしの目は神を待ちわびて衰えました。
Nimechoka sana kwa kulia kwangu; koo langu ni kavu; macho yangu yanafifia wakati namngoja Mungu wangu.
4 ゆえなく、わたしを憎む者はわたしの頭の毛よりも多く、偽ってわたしの敵となり、わたしを滅ぼそうとする者は強いのです。わたしは盗まなかった物をも償わなければならないのですか。
Wale wanichukiao bila sababu wako zaidi ya nywele za kichwa changu; wale ambao wangeweza kuniua, wakiwa adui zangu kwa sababu zisizo sahihi, ni wengi mno; wanalazimisha nirudishe kile ambacho sijaiba.
5 神よ、あなたはわたしの愚かなことを知っておられます。わたしのもろもろのとがはあなたに隠れることはありません。
Mungu, wewe unaujua ujinga wangu, na dhambi zangu hazifichiki kwako.
6 万軍の神、主よ、あなたを待ち望む者がわたしの事によって、はずかしめられることのないようにしてください。イスラエルの神よ、あなたを求める者がわたしの事によって、恥を負わせられることのないようにしてください。
Usiwaache wale wanao kungoja wewe waaibishwe kwa sababu yangu, Bwana Yahwe wa majeshi; usiwaache wale wanaokutafuta wewe wadharauliwe kwa sababu yangu, Mungu wa Israeli.
7 わたしはあなたのためにそしりを負い、恥がわたしの顔をおおったのです。
Kwa ajili yako nimestahimili lawama; aibu imeufunika uso wangu.
8 わたしはわが兄弟には、知らぬ者となり、わが母の子らには、のけ者となりました。
Nimekuwa mgeni kwa ndugu zangu, nisiye fahamika wala kuaminika kwa watoto wa mama yangu.
9 あなたの家を思う熱心がわたしを食いつくし、あなたをそしる者のそしりがわたしに及んだからです。
Kwa maana bidii ya nyumba yako imenila, na laumu zao wanao kulaumu wewe zimeniangukia mimi.
10 わたしが断食をもってわたしの魂を悩ませば、かえってそれによってそしりをうけました。
Wakati nilipolia na kutokula chakula, walinitukana.
11 わたしが荒布を衣とすれば、かえって彼らのことわざとなりました。
Nilipoteneneza mavazi ya gunia, nikawa kituko kwao.
12 わたしは門に座する者の話題となり、酔いどれの歌となりました。
Wale wakaao katika lango la mji huniseng'enya; mimi ni wimbo wa walevi.
13 しかし主よ、わたしはあなたに祈ります。神よ、恵みの時に、あなたのいつくしみの豊かなるにより、わたしにお答えください。
Lakini kwangu mimi, maombi yangu ni kwako, Yahwe, wakati ambao wewe utayapokea; unijibu katika uaminifu wa wokovu wako.
14 あなたのまことの救により、わたしを泥の中に沈まぬよう助け出してください。わたしを憎む者から、また深い水からわたしを助け出してください。
Unitoe matopeni, na usiniache nizame; uniondoe mbali na wale wanaonichukia na uniokoe katika kina cha maji.
15 大水がわたしの上を流れ過ぎることなく、淵がわたしをのむことなく、穴がその口をわたしの上に閉じることのないようにしてください。
Usiache mafuliko ya maji yanielemee, wala kina kisinimeze. Usiache mdomo wa shimo unimeze.
16 主よ、あなたのいつくしみの深きにより、わたしにお答えください。あなたのあわれみの豊かなるにより、わたしを顧みてください。
Unijibu, Yahwe, maana uaminifu wa agano lako ni mwema; kwa maana rehema zako kwangu ni nyingi, unigeukie.
17 あなたの顔をしもべに隠さないでください。わたしは悩んでいるのです。すみやかにわたしにお答えください。
Usiufiche uso wako mbali na mtumishi wako, maana niko katika dhiki; unijibu haraka.
18 わたしに近く寄って、わたしをあがない、わが敵のゆえにわたしをお救いください。
Uje kwangu na unikomboe. Kwa sababu ya adui zangu, uwe fidia yangu.
19 あなたはわたしの受けるそしりと、恥と、はずかしめとを知っておられます。わたしのあだは皆あなたの前にあります。
Wewe wajua kulaumiwa kwangu, kuaibishwa kwangu, na kudharauliwa kwangu; wapinzani wangu wote wako mbele yako.
20 そしりがわたしの心を砕いたので、わたしは望みを失いました。わたしは同情する者を求めたけれども、ひとりもなく、慰める者を求めたけれども、ひとりも見ませんでした。
Lawama imevunja moyo wangu; nimejawa na huzuni kubwa; nilitafuta mtu wa kunihurumia, lakini hakuwepo; nilitafuta wafariji, lakini sikupata.
21 彼らはわたしの食物に毒を入れ、わたしのかわいた時に酢を飲ませました。
Walinipa sumu kwa ajili ya chakula changu; katika kiu yangu walinipa siki ninywe.
22 彼らの前の食卓を網とし、彼らが犠牲をささげる祭を、わなとしてください。
Meza yao mbele yao na iwe mtego; wafikiripo wako kwenye usalama, iwe kitanzi.
23 彼らの目を暗くして見えなくし、彼らの腰を常に震わせ、
Macho yao na yatiwe giza ili kwamba wasiweze kuona; uvifanye viuno vyao kutetemeka daima.
24 あなたの憤りを彼らの上にそそぎ、あなたの激しい怒りを彼らに追いつかせてください。
Wamwagie gadhabu yako, ukali wa hasira yako uwafikie wao.
25 彼らの宿営を荒し、ひとりもその天幕に住まわせないでください。
Sehemu yao na iwe ukiwa; mtu yeyote asiishi katika hema yao.
26 彼らはあなたが撃たれた者を迫害し、あなたが傷つけられた者をさらに苦しめるからです。
Kwa kuwa walimtesa yule uliyempa adhabu. Mara kwa mara walihesabu maumivu ya wale walioumizwa.
27 彼らに、罰に罰を加え、あなたの赦免にあずからせないでください。
Wakiwashtaki kuwa wamefanya uovu juu ya uovu; usiwaache waje kwenye ushindi wa haki yako.
28 彼らをいのちの書から消し去って、義人のうちに記録されることのないようにしてください。
Uwafute kwenye Kitabu cha Uzima na wasiandikwe pamoja na wenyehaki.
29 しかしわたしは悩み苦しんでいます。神よ、あなたの救がわたしを高い所に置かれますように。
Lakini mimi ni maskini na mwenye huzuni; uruhusu wokovu wako, Mungu, uniweke juu sana.
30 わたしは歌をもって神の名をほめたたえ、感謝をもって神をあがめます。
Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo na nitamtukuza yeye kwa shukrani.
31 これは雄牛または角とひずめのある雄牛にまさって主を喜ばせるでしょう。
Nitamsifu Yahwe zaidi kuliko ng'ombe au ndama aliye na mapembe na kwato.
32 へりくだる者は、これを見て喜べ。神を求める者よ、あなたがたの心を生きかえらせよ。
Wanyenyekevu wameona na kufurahi; ninyi mnao matafuta Mungu, mioyo yenu itiwe nguvu.
33 主は乏しい者に聞き、その捕われ人をかろしめられないからである。
Maana Yahwe husikia wenye uhitaji naye hawadharau wafungwa wake.
34 天と地は主をほめたたえ、海とその中に動くあらゆるものは主をほめたたえよ。
Mbingu na nchi zimsifu yeye, bahari na vyote vitembeavyo majini.
35 神はシオンを救い、ユダの町々を建て直されるからである。そのしもべらはそこに住んでこれを所有し、
Kwa maana Mungu ataiokoa Sayuni na ataujenga tena mji wa Yuda; watu wataishi huko na kupata umiliki wao.
36 そのしもべらの子孫はこれを継ぎ、み名を愛する者はその中に住むであろう。
Ukoo wa watumishi wake watairithi; nao walipendao jina lake wataishi humo.

< 詩篇 69 >