< 詩篇 66 >

1 聖歌隊の指揮者によってうたわせた歌、さんび 全地よ、神にむかって喜び呼ばわれ。
Mpigieni Mungu kelele za shangwe, nchi yote;
2 そのみ名の栄光を歌え。栄えあるさんびをささげよ。
Imbeni utukufu wa jina lake; mzitukuze sifa zake.
3 神に告げよ。「あなたのもろもろのみわざは恐るべきかな。大いなるみ力によって、あなたの敵はみ前に屈服し、
Mwambieni Mugu, “Matendo yako yanatisha kama nini! Kwa ukuu wa nguvu zako maadui zako watajisalimisha kwako.
4 全地はあなたを拝み、あなたをほめうたい、み名をほめうたうであろう」と。 (セラ)
Nchi yote watakuabudu wewe na watakuimbia wewe; wataliimbia jina lako.” (Selah)
5 来て、神のみわざを見よ。人の子らにむかってなされることは恐るべきかな。
Njoni na mtazame kazi za Mungu; yeye anatisha katika matendo yake awatendeayo wanadamu.
6 神は海を変えて、かわいた地とされた。人々は徒歩で川を渡った。その所でわれらは神を喜んだ。
Aligeuza bahari kuwa nchi kavu; wao walitembea kwa mguu juu ya mto; huko tulishangilia katika yeye.
7 神は大能をもって、とこしえに統べ治め、その目はもろもろの国民を監視される。そむく者はみずからを高くしてはならない。 (セラ)
Yeye anatawala milele kwa nguvu zake; macho yake yanachunguza mataifa; waasi wasijivune. (Selah)
8 もろもろの民よ、われらの神をほめよ。神をほめたたえる声を聞えさせよ。
Mtukuzeni Mungu, enyi watu wa mataifa yote, sauti ya sifa zake isikike.
9 神はわれらを生きながらえさせ、われらの足のすべるのをゆるされない。
Yeye atuwekaye hai, naye hairuhusu miguu yetu iteleze.
10 神よ、あなたはわれらを試み、しろがねを練るように、われらを練られた。
Kwa maana wewe, Mungu, umetupima sisi, wewe umetupima kama inavyopimwa fedha.
11 あなたはわれらを網にひきいれ、われらの腰に重き荷を置き、
Wewe ulituingiza sisi kwenye wavu; uliweka mzigo mzito viunoni mwetu.
12 人々にわれらの頭の上を乗り越えさせられた。われらは火の中、水の中を通った。しかしあなたはわれらを広い所に導き出された。
Wewe uliwafanya watu wasafiri juu ya vichwa vyetu; tulipita motoni na majini, lakini ukatuleta mahali pa wazi palipo salama.
13 わたしは燔祭をもってあなたの家に行き、わたしの誓いをあなたに果します。
Nitaingia nyumbani mwako nikiwa na sadaka ya kuteketezwa; nitakulipa viapo vyangu
14 これはわたしが悩みにあったとき、わたしのくちびるの言い出したもの、わたしの口が約束したものです。
ambavyo midomo yangu iliahidi na kinywa changu kiliongea nilipokuwa katika dhiki.
15 わたしは肥えたものの燔祭を雄羊のいけにえの煙と共にあなたにささげ、雄牛と雄やぎとをささげます。 (セラ)
Nitakutolea sadaka ya kuteketezwa ya wanyama wanene pamoja na harufu nzuri ya kondoo waume; Nitatoa ng'ombe na mbuzi. (Selah)
16 すべて神を恐れる者よ、来て聞け。神がわたしのためになされたことを告げよう。
Njoni, msikie, ninyi nyote mnao mwabudu Mungu, nami nitatangaza yale yeye aliyoitendea roho yangu.
17 わたしは声をあげて神に呼ばわり、わが舌をもって神をあがめた。
Nilimlilia kwa kinywa changu, naye alipendezwa na ulimi wangu.
18 もしわたしが心に不義をいだいていたならば、主はお聞きにならないであろう。
Kama ningelikuwa na dhambi ndani ya moyo wangu, Bwana asingenisikiliza.
19 しかし、まことに神はお聞きになり、わが祈の声にみこころをとめられた。
Lakini Mungu hakika amesikia; amesikia sautiya kuomba kwangu.
20 神はほむべきかな。神はわが祈をしりぞけず、そのいつくしみをわたしから取り去られなかった。
Atukuzwe Mungu, ambaye hakuyakataa maombi yangu wala kuweka uaminifu wa agano lake mbali nami.

< 詩篇 66 >