< 詩篇 48 >

1 コラの子の歌、さんび 主は大いなる神であって、われらの神の都、その聖なる山で、大いにほめたたえらるべき方である。
Yahwe ndiye aliye mkuu na mwenyekusifiwa sana, katika mji wa Mungu wetu kwenye mlima wake mtakatifu.
2 シオンの山は北の端が高くて、うるわしく、全地の喜びであり、大いなる王の都である。
Ni mzuri katika mwinuko wake, furaha ya nchi yote, ni mlima Sayuni, kwenye upande wa kaskazini, mji wa Mfalme mkuu.
3 そのもろもろの殿のうちに神はみずからを高きやぐらとして現された。
Mungu amejifunua mwenyewe katika jumba lake la kifahari kama kimbilio la usalama.
4 見よ、王らは相会して共に進んできたが、
Maana, tazama, wafalme walikusanyika wenyewe; wote pamoja walipita.
5 彼らは都を見るや驚き、あわてふためき、急ぎ逃げ去った。
Nao waliuona, wakashangaa; walifadhaika, na wakaharakisha kuondoka.
6 おののきは彼らに臨み、その苦しみは産みの苦しみをする女のようであった。
Pale pale tetemeko liliwashikilia, maumivu makali kama mwanamke anaye zaa.
7 あなたは東風を起してタルシシの舟を破られた。
Kwa upepo wa mashariki wewe huivunja meli ya Tarshishi.
8 さきにわれらが聞いたように、今われらは万軍の主の都、われらの神の都でこれを見ることができた。神はとこしえにこの都を堅くされる。 (セラ)
Kama tulivyo sikia, vivyo hivyo tumeona katika mji wa Yahwe wa majeshi, katika mji wa Mungu wetu; Mungu atautunza milele. (Selah)
9 神よ、われらはあなたの宮のうちであなたのいつくしみを思いました。
Tumeutafakari uaminifu wa agano lako, Mungu, katikati ya hekalu lako.
10 神よ、あなたの誉は、あなたのみ名のように、地のはてにまで及びます。あなたの右の手は勝利で満ちています。
Kama lilivyo jina lako, Mungu, hivyo ndivyo zilivyo sifa zako mpaka miisho ya dunia; mkono wako wa kuume umejaa haki.
11 あなたのさばきのゆえに、シオンの山を喜ばせ、ユダの娘を楽しませてください。
Milma Sayuni na ufurahi, nao wana wa Yuda washangilie kwa sababu ya amri ya haki yako.
12 シオンのまわりを歩き、あまねくめぐって、そのやぐらを数え、
Tembeeni katika Mlima Sayuni, muuzungukie mji,
13 その城壁に心をとめ、そのもろもろの殿をしらべよ。これはあなたがたが後の代に語り伝えるためである。
mzitazame kwa makini nguzo zake, na mtazame majumba yake ya kifahari ili kwamba muweze kuwasimulia kizazi kijacho.
14 これこそ神であり、世々かぎりなくわれらの神であって、とこしえにわれらを導かれるであろう。
Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; naye atakuwa kiongozi wetu mpaka kufa.

< 詩篇 48 >