< 詩篇 44 >

1 聖歌隊の指揮者によってうたわせたコラの子のマスキールの歌 神よ、いにしえ、われらの先祖たちの日に、あなたがなされたみわざを彼らがわれらに語ったのを耳で聞きました。
Mungu, tumesikia kwa masikio yetu, baba zetu wametuambia kazi uliyofanya katika siku zao, siku za kale.
2 すなわちあなたはみ手をもって、もろもろの国民を追い払ってわれらの先祖たちを植え、またもろもろの民を悩まして、われらの先祖たちをふえ広がらせられました。
Uliwafukuza mataifa kwa mkono wako, lakini ukawafanya watu wetu kuishi humo; wewe uliwataabisha mataifa, lakini ukawaeneza watu wetu katika nchi.
3 彼らは自分のつるぎによって国を獲たのでなく、また自分の腕によって勝利を得たのでもありません。ただあなたの右の手、あなたの腕、あなたのみ顔の光によるのでした。あなたが彼らを恵まれたからです。
Kwa maana hawakupata umiliki wa nchi kwa upanga wao, wala mkono wao wenyewe haukuwaokoa; bali mkono wako wakuume, mkono wako, na nuru ya uso wako, na kwa sababu uliwaridhia.
4 あなたはわが王、わが神、ヤコブのために勝利を定められる方です。
Mungu, wewe ni Mfalme wangu, amuru ushindi kwa ajili ya Yakobo.
5 われらはあなたによって、あだを押し倒し、われらに立ちむかう者を、み名によって踏みにじるのです。
Kwa uweza wako tutawaangusha chini maadui zetu; kwa jina lako tutatembea juu yao, wale wanao inuka dhidi yetu.
6 わたしは自分の弓を頼まず、わたしのつるぎもまた、わたしを救うことができないからです。
Kwa maana sitauamini upinde wangu, wala upanga wangu hautaniokoa.
7 しかしあなたはわれらをあだから救い、われらを憎む者をはずかしめられました。
Bali wewe ndeye uliyetuokoa na adui zetu, na umewaaibisha wale watuchukiao.
8 われらは常に神によって誇り、とこしえにあなたのみ名に感謝するでしょう。 (セラ)
Katika Mungu tumefanywa kujivuna siku zote, nasi tutalishukuru jina lako milele. (Selah)
9 ところがあなたはわれらを捨てて恥を負わせ、われらの軍勢と共に出て行かれませんでした。
Lakini sasa umetutupa na kutufedhehesha, na hauendi na majeshi yetu.
10 あなたがわれらをあだの前から退かせられたので、われらの敵は心のままにかすめ奪いました。
Umetufanya kuwakimbia maadui zetu; na wale watuchukiao huchukua vitu vyetu vya thamani kwa ajili yao wenyewe.
11 あなたはわれらをほふられる羊のようにし、またもろもろの国民のなかに散らされました。
Umetufanya kama kondoo aliyeandaliwa kwa ajili ya chakula na umetutawanya kati ya mataifa.
12 あなたはわずかの金であなたの民を売り、彼らのために高い価を求められませんでした。
Wewe unawauza watu wako bure; kwa kufanya hivyo haukupata faida.
13 あなたはわれらを隣り人にそしらせ、われらをめぐる者どもに侮らせ、あざけらせられました。
Wewe umetufanya kukemewa na majirani zetu, kuchekwa, na kudhihakiwa na wale wanao tuzunguka.
14 またもろもろの国民のなかにわれらを笑い草とし、もろもろの民のなかに笑い者とされました。
Umetufaya kituko kati ya mataifa, .......................................................
15 わがはずかしめはひねもすわたしの前にあり、恥はわたしの顔をおおいました。
Siku zote fedheha yangu iko mbele yangu, na aibu ya uso wangu imenifunika
16 これはそしる者と、ののしる者の言葉により、敵と、恨みを報いる者のゆえによるのです。
kwa sababu ya sauti yake iliyo kemea na kutukana, kwa sababu ya adui na kisasi.
17 これらの事が皆われらに臨みましたが、われらはあなたを忘れず、あなたの契約にそむくことがありませんでした。
Yote haya yametupata sisi; bado hatukukusahau wewe wala kulikosea agano lako.
18 われらの心はたじろがず、またわれらの歩みはあなたの道を離れませんでした。
Mioyo yetu haikukengeuka; hatua zetu hazikuiacha njia yako.
19 それでもあなたは山犬の住む所でわれらを砕き、暗やみをもってわれらをおおわれました。
Bali wewe umetuadhibu vikali katika mahali pa mbweha na kutufunika na uvuli wa mauti.
20 われらがもしわれらの神の名を忘れ、ほかの神に手を伸べたことがあったならば、
Ikiwa tumelisahau jina la Mungu wetu au kueneza mikono yetu kwa Mungu mgeni,
21 神はこれを見あらわされないでしょうか。神は心の秘密をも知っておられるからです。
Mungu asingeligundua hili? Kwa maana yeye anazijua siri za moyo.
22 ところがわれらはあなたのためにひねもす殺されて、ほふられる羊のようにみなされました。
Hakika, kwa ajili ya jina lako tutauawa siku zote; tunahesabiwa kuwa kondoo kwa ajili ya kuchinjwa.
23 主よ、起きてください。なぜ眠っておられるのですか。目をさましてください。われらをとこしえに捨てないでください。
Bwana, amka, kwa nini unalala? Inuka, usitutupe moja kwa moja.
24 なぜあなたはみ顔を隠されるのですか。なぜわれらの悩みと、しえたげをお忘れになるのですか。
Kwa nini unaficha uso wako na kusahau mateso yetu na kukandamizwa kwetu?
25 まことにわれらの魂はかがんで、ちりに伏し、われらのからだは土につきました。
Kwa maana tumeyeyushwa kwenye mavumbi; miili yetu imeshikamana na ardhi.
26 起きて、われらをお助けください。あなたのいつくしみのゆえに、われらをあがなってください。
Inuka utusaidie na utuokoe kwa ajili ya uaminifu wa agano lako.

< 詩篇 44 >