< 詩篇 150 >

1 主をほめたたえよ。その聖所で神をほめたたえよ。その力のあらわれる大空で主をほめたたえよ。
Msifuni Bwana. Msifuni Mungu katika patakatifu pake, msifuni katika mbingu zake kuu.
2 その大能のはたらきのゆえに主をほめたたえよ。そのすぐれて大いなることのゆえに主をほめたたえよ。
Msifuni kwa matendo yake makuu, msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
3 ラッパの声をもって主をほめたたえよ。立琴と琴とをもって主をほめたたえよ。
Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta, msifuni kwa kinubi na zeze,
4 鼓と踊りとをもって主をほめたたえよ。緒琴と笛とをもって主をほめたたえよ。
msifuni kwa matari na kucheza, msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,
5 音の高いシンバルをもって主をほめたたえよ。鳴りひびくシンバルをもって主をほめたたえよ。
msifuni kwa matoazi yaliayo, msifuni kwa matoazi yavumayo sana.
6 息のあるすべてのものに主をほめたたえさせよ。主をほめたたえよ。
Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana. Msifuni Bwana!

< 詩篇 150 >