< 詩篇 126 >

1 都もうでの歌 主がシオンの繁栄を回復されたとき、われらは夢みる者のようであった。
Bwana alipowarejesha mateka wa Sayuni, tulikuwa kama waotao ndoto.
2 その時われらの口は笑いで満たされ、われらの舌は喜びの声で満たされた。その時「主は彼らのために大いなる事をなされた」と言った者が、もろもろの国民の中にあった。
Vinywa vyetu vilijawa na vicheko na ndimi zetu zilijawa na kuimba. Kisha wakasema kati ya mataifa, “Yahwe amewatendea mambo makuu.”
3 主はわれらのために大いなる事をなされたので、われらは喜んだ。
Yahwe alitufanyia mambo makuu; ni furaha gani tuliyokuwa nayo!
4 主よ、どうか、われらの繁栄を、ネゲブの川のように回復してください。
Ee Yahwe, uwarejeshe mateka wetu, kama vijito vya kusini.
5 涙をもって種まく者は、喜びの声をもって刈り取る。
Wale wapandao kwa machozi watavuna kwa kelele za furaha.
6 種を携え、涙を流して出て行く者は、束を携え、喜びの声をあげて帰ってくるであろう。
Yeye aendaye akilia, akibeba mbegu kwa ajili a kupanda, atarudi tena kwa kelele za furaha, akileta miganda yake.

< 詩篇 126 >