< 詩篇 124 >

1 ダビデがよんだ都もうでの歌 今、イスラエルは言え、主がもしわれらの方におられなかったならば、
“Kama Yahwe asingekuwa upande wetu,” Israeli na aseme sasa,
2 人々がわれらに逆らって立ちあがったとき、主がもしわれらの方におられなかったならば、
“Kama asingekuwa Yahwe ambaye alikuwa upande wetu wakati watu walipoinuka dhidi yetu,
3 彼らの怒りがわれらにむかって燃えたったとき、彼らはわれらを生きているままで、のんだであろう。
basi wangekuwa wametumeza tungali hai hasira yao lipozidi dhidi yetu.
4 また大水はわれらを押し流し、激流はわれらの上を越え、
Maji yangetugharikisha; mto ungetuzidia.
5 さか巻く水はわれらの上を越えたであろう。
Kisha maji yafurikayo yangetuzamisha.”
6 主はほむべきかな。主はわれらをえじきとして彼らの歯にわたされなかった。
Atukuzwe Yahwe, ambaye hajaruhusu tuwe mawindo kwa meno yao.
7 われらは野鳥を捕えるわなをのがれる鳥のようにのがれた。わなは破れてわれらはのがれた。
Tumetoroka kama ndege mtegoni mwa wawindaji; mtego umevunjika, nasi tumetoroka.
8 われらの助けは天地を造られた主のみ名にある。
Msaada wetu uko katika Yahwe, aliyeziumba mbingu na nchi.

< 詩篇 124 >