< 詩篇 103 >

1 ダビデの歌 わがたましいよ、主をほめよ。わがうちなるすべてのものよ、その聖なるみ名をほめよ。
Nitamsifu Yahwe maisha yangu yote, na vyote vilivyomo ndani yangu, nitalisifu jina lake takatifu.
2 わがたましいよ、主をほめよ。そのすべてのめぐみを心にとめよ。
Maishani mwangu mwote nitamsifu Yahwe, na kukumbuka matendo yake yote mazuri.
3 主はあなたのすべての不義をゆるし、あなたのすべての病をいやし、
Yeye husamehe dhambi zako zote; huponya magonjwa yako yote.
4 あなたのいのちを墓からあがないいだし、いつくしみと、あわれみとをあなたにこうむらせ、
Huukomboa uhai wako dhidi ya uharubifu; hukuvika taji kwa uaminifu wa agano lake na hutenda kwa rehema.
5 あなたの生きながらえるかぎり、良き物をもってあなたを飽き足らせられる。こうしてあなたは若返って、わしのように新たになる。
Huyatosheleza maisha yako kwa mambo mema ili kwamba ujana wako ufanywe upya kama tai.
6 主はすべてしえたげられる者のために正義と公正とを行われる。
Yahwe hutenda yaliyo haki naye hutenda hukumu ya haki kwa ajili ya wote walio onewa.
7 主はおのれの道をモーセに知らせ、おのれのしわざをイスラエルの人々に知らせられた。
Alimjulisha Musa njia zake, matendo yake kwa uzao wa Israeli.
8 主はあわれみに富み、めぐみふかく、怒ること遅く、いつくしみ豊かでいらせられる。
Yahwe ni wa huruma na neema; ni mvumilivu; ana agano kuu la uaminifu.
9 主は常に責めることをせず、また、とこしえに怒りをいだかれない。
Hataadhibu siku zote; hakasiriki siku zote.
10 主はわれらの罪にしたがってわれらをあしらわず、われらの不義にしたがって報いられない。
Hatushughulikii sisi kama dhambi zetu zinavyostahili au kutulipa kulingana na uhitaji wa dhambi zetu.
11 天が地よりも高いように、主がおのれを恐れる者に賜わるいつくしみは大きい、
Kama mbingu zilivyo juu zaidi ya nchi, ndivyo ulivyo ukuu wa uaminifu wa agano lake kwao wale wanaomcha yeye.
12 東が西から遠いように、主はわれらのとがをわれらから遠ざけられる。
Kama vile mashariki ilivyo mbali na magharibi, hivi ndivyo ameondoa hatia zetu za dhambi zetu mbali nasi.
13 父がその子供をあわれむように、主はおのれを恐れる者をあわれまれる。
Kama vile baba alivyo na huruma kwa watoto wake, ndivyo Yahwe alivyo na huruma kwao wamchao.
14 主はわれらの造られたさまを知り、われらのちりであることを覚えていられるからである。
Maana anajua tulivyo umbwa; anajua kuwa tu mavumbi.
15 人は、そのよわいは草のごとく、その栄えは野の花にひとしい。
Kama ilivyo kwa mwanadamu, siku zake ni kama majani; hustawi kama ua katika shamba.
16 風がその上を過ぎると、うせて跡なく、その場所にきいても、もはやそれを知らない。
Upepo hulipiga, nalo hutoweka, na hakuna hata mmoja awezaye kuelezea mahali lilipokua.
17 しかし主のいつくしみは、とこしえからとこしえまで、主を恐れる者の上にあり、その義は子らの子に及び、
Lakini agano la uaminifu wa Yahwe uko kwa wale wamchao yeye milele hata milele. Haki yake ni endelevu kwa uzao wao.
18 その契約を守り、その命令を心にとめて行う者にまで及ぶ。
Wanashika agano lake na kukumbuka kutii maagizo yake.
19 主はその玉座を天に堅くすえられ、そのまつりごとはすべての物を統べ治める。
Yahwe ameweka kiti chake cha enzi mbinguni, na ufalme wake watawala juu ya kila mtu.
20 主の使たちよ、そのみ言葉の声を聞いて、これを行う勇士たちよ、主をほめまつれ。
Msifuni Yahwe, enyi malaika zake, ninyi hodari wenye nguvu na mtendao neno lake, na kutii sauti ya neno lake.
21 そのすべての万軍よ、そのみこころを行うしもべたちよ、主をほめよ。
Msifuni Yahwe, enyi jeshi la malaika wote, ninyi ni watumishi mfanyao mapenzi yake.
22 主が造られたすべての物よ、そのまつりごとの下にあるすべての所で、主をほめよ。わがたましいよ、主をほめよ。
Msifuni Yahwe, viumbe wake wote, mahali popote atawalapo. Nitamsifu Yahwe maisha yangu yote.

< 詩篇 103 >