< 箴言 知恵の泉 8 >

1 知恵は呼ばわらないのか、悟りは声をあげないのか。
Je hekima haiti? Je ufahamu hapazi sauti yake?
2 これは道のほとりの高い所の頂、また、ちまたの中に立ち、
Juu ya kilima kando ya barabara, kwenye njia panda, hekima anasimama.
3 町の入口にあるもろもろの門のかたわら、正門の入口で呼ばわって言う、
Kando ya njia ya kuingilia mjini, karibu na milango ya mji, anaita kwa sauti.
4 「人々よ、わたしはあなたがたに呼ばわり、声をあげて人の子らを呼ぶ。
Watu, ninawaita ninyi na ninapaza sauti yangu kwa wana wa wanadamu.
5 思慮のない者よ、悟りを得よ、愚かな者よ、知恵を得よ。
Ninyi wajinga, jifunzeni hekima, na ninyi mnaochukia maarifa, lazima mjipatieni moyo wa ufahamu.
6 聞け、わたしは高貴な事を語り、わがくちびるは正しい事を語り出す。
Sikiliza na mimi nitasema mambo mazuri na nifumbuapo midomo yangu nitaongea haki.
7 わが口は真実を述べ、わがくちびるは悪しき事を憎む。
Maana kinywa changu hunena uaminifu na midomo yangu huchukia uovu.
8 わが口の言葉はみな正しい、そのうちに偽りと、よこしまはない。
Maneno ya kinywa changu yote ni haki; hakuna kilichogeuzwa wala kupotoshwa.
9 これはみな、さとき者の明らかにするところ、知識を得る者の正しとするところである。
Maneno yangu yote yamenyooka kwa yule mwenye kuelewa; maneno yangu ni haki kwa wale wanaotafuta maarifa.
10 あなたがたは銀を受けるよりも、わたしの教を受けよ、精金よりも、むしろ知識を得よ。
Chagua fundisho langu badala ya fedha na maarifa kuliko dhahabu safi.
11 知恵は宝石にまさり、あなたがたの望むすべての物は、これと比べるにたりない。
Maana mimi, hekima ni bora kuliko vito; hakuna unachokitamani kinaweza kulinganishwa na mimi.
12 知恵であるわたしは悟りをすみかとし、知識と慎みとをもつ。
Mimi, hekima, naishi kwa utaratibu, na ninamiliki maarifa na busara.
13 主を恐れるとは悪を憎むことである。わたしは高ぶりと、おごりと、悪しき道と、偽りの言葉とを憎む。
Hofu ya Mungu ni kuchukia uovu- nachukia majivuno na kiburi, njia ya uovu, na kauli iliyopotoka- hivyo ninavichukia.
14 計りごとと、確かな知恵とは、わたしにある、わたしには悟りがあり、わたしには力がある。
Ninaushauri mzuri na hekima sahihi; mimi ni busara; nguvu zipo kwangu.
15 わたしによって、王たる者は世を治め、君たる者は正しい定めを立てる。
Kwa njia yangu wafalme hutawala- pia na waungwana, na wote ambao hutawala kwa haki.
16 わたしによって、主たる者は支配し、つかさたる者は地を治める。
Kwa njia yangu wafalme hutawala na waungwana na wote wanaotawala kwa haki.
17 わたしは、わたしを愛する者を愛する、わたしをせつに求める者は、わたしに出会う。
Nawapenda wale wanaonipenda, na wale wanaonitafuta kwa bidii, wataniona.
18 富と誉とはわたしにあり、すぐれた宝と繁栄もまたそうである。
Kwangu kunautajiri na heshima, utajiri wa kudumu na haki.
19 わたしの実は金よりも精金よりも良く、わたしの産物は精銀にまさる。
Tunda langu ni bora kuliko dhahabu, bora hata kuliko dhahabu safi.
20 わたしは正義の道、公正な道筋の中を歩み、
Ninazalisha kilicho bora kuliko fedha safi. Natembea katika njia ya haki,
21 わたしを愛する者に宝を得させ、またその倉を満ちさせる。
katika mapito ambayo huelekea kwenye haki, ili niwape urithi wale wanaonipenda na kuzijaza hazina zao.
22 主が昔そのわざをなし始められるとき、そのわざの初めとして、わたしを造られた。
Yehova aliniumba tokea mwanzo- mwazoni mwa matendo yake ya nyakati za kale.
23 いにしえ、地のなかった時、初めに、わたしは立てられた。
Tokea enzi za kale niliwekwa katika nafasi- tokea kwanza, tokea mwanzo wa dunia.
24 まだ海もなく、また大いなる水の泉もなかった時、わたしはすでに生れ、
Kabla ya bahari, mimi nilizaliwa- kabla ya kuwepo chemchemi zenye maji tele.
25 山もまだ定められず、丘もまだなかった時、わたしはすでに生れた。
Kabla ya milima na vilima kuwekwa, mimi nilizaliwa.
26 すなわち神がまだ地をも野をも、地のちりのもとをも造られなかった時である。
Nilizaliwa kabla ya Yehova hajaiumba dunia wala makonde, hata mavumbi ya kwanza katika dunia.
27 彼が天を造り、海のおもてに、大空を張られたとき、わたしはそこにあった。
Nilikuwepo alipoziimarisha mbingu, wakati alipochora mstari katika sura ya kilindi.
28 彼が上に空を堅く立たせ、淵の泉をつよく定め、
Nilikuwepo alipoimarisha anga la juu na wakati wa kutengeneza kina cha chemchemi.
29 海にその限界をたて、水にその岸を越えないようにし、また地の基を定められたとき、
Nilikuwepo alipotengeneza mipaka ya bahari, ili maji yasisambae kuvuka pale alipoyaamuru, na wakati anaamuru misingi ya dunia sehemu ya kukaa.
30 わたしは、そのかたわらにあって、名匠となり、日々に喜び、常にその前に楽しみ、
Nilikuwa kando yake, kama fundistadi mkuu, na mimi nilikuwa furaha yake siku kwa siku, nikifurahi mbele zake daima.
31 その地で楽しみ、また世の人を喜んだ。
Nilikuwa nikifurahi katika dunia yake yote na furaha yangu ilikuwa kwa wana wa wanadamu.
32 それゆえ、子供らよ、今わたしの言うことを聞け、わたしの道を守る者はさいわいである。
Na sasa, wanangu, nisikilizeni, maana wale wazishikao njia zangu watakuwa na furaha.
33 教訓を聞いて、知恵を得よ、これを捨ててはならない。
Sikilizeni fundisho langu na mpate hekima; wala msilipuuze.
34 わたしの言うことを聞き、日々わたしの門のかたわらでうかがい、わたしの戸口の柱のわきで待つ人はさいわいである。
Anisikilizaye atakuwa na furaha- kila siku akitazama katika malango yangu, akinisubiri pembeni mwa milango ya masikani yangu.
35 それは、わたしを得る者は命を得、主から恵みを得るからである。
Maana yeyote anionaye mimi, anapata uzima, naye atapata kibali kwa Yehova.
36 わたしを失う者は自分の命をそこなう、すべてわたしを憎む者は死を愛する者である」。
Na yeyote asiyeniona mimi, hujiumiza mwenyewe, wote wanaonichukia hupenda mauti.

< 箴言 知恵の泉 8 >