< 箴言 知恵の泉 5 >

1 わが子よ、わたしの知恵に心をとめ、わたしの悟りに耳をかたむけよ。
Mwanangu, zingatia hekima yangu; sikiliza kwa makini ufahamu wangu,
2 これは、あなたが慎みを守り、あなたのくちびるに知識を保つためである。
ili ujifunze busara na midomo yako iweze kuhifadhi maarifa.
3 遊女のくちびるは蜜をしたたらせ、その言葉は油よりもなめらかである。
Maana midomo ya malaya hutiririsha asali na kinywa chake ni laini kuliko mafuta,
4 しかしついには、彼女はにがよもぎのように苦く、もろ刃のつるぎのように鋭くなる。
lakini mwishoni anakuwa mchungu kama mnyoo, hukata kama upunga mkali.
5 その足は死に下り、その歩みは陰府の道におもむく。 (Sheol h7585)
Miguu yake huelekea mauti; hatua zake huelekea njia yote ya kuzimu. (Sheol h7585)
6 彼女はいのちの道に心をとめず、その道は人を迷わすが、彼女はそれを知らない。
Hafikirii njia ya uzima. Hatua za miguu yake hupotea, maana hajui anakwenda wapi.
7 子供らよ、今わたしの言うことを聞け、わたしの口の言葉から、離れ去ってはならない。
Sasa, wanangu, nisikilizeni; wala msiache kusikiliza maneno ya kinywa changu.
8 あなたの道を彼女から遠く離し、その家の門に近づいてはならない。
Lindeni njia yenu mbali naye wala msiende karibu na mlango wa nyumba yake.
9 おそらくはあなたの誉を他人にわたし、あなたの年を無慈悲な者にわたすに至る。
Kwa njia hiyo hamtawapa wengine heshima yenu au miaka ya uzima wenu kwa mtu mkatiri;
10 おそらくは他人があなたの資産によって満たされ、あなたの労苦は他人の家に行く。
wageni usije kufanya karamu kwa utajiri wenu; kazi mliyoifanya haitaenda katika nyumba ya wageni.
11 そしてあなたの終りが来て、あなたの身と、からだが滅びるとき、泣き悲しんで、
Mwishoni mwa maisha yenu mtajuta ambapo nyama na mwili wenu vitaangamia.
12 言うであろう、「わたしは教訓をいとい、心に戒めを軽んじ、
Nanyi mtasema, “Namna gani nilichukia fundisho na moyo wangu ulidharau sahihisho!
13 教師の声に聞き従わず、わたしを教える者に耳を傾けず、
Sikuweza kuwatii walimu wangu au kuwasikiliza walionielekeza.
14 集まりの中、会衆のうちにあって、わたしは、破滅に陥りかけた」と。
Nilikuwa nimeharibika kabisa katikati ya kusanyiko, miongoni mwa makutano ya watu.”
15 あなたは自分の水ためから水を飲み、自分の井戸から、わき出す水を飲むがよい。
Munywe maji kutoka kwenye birika lenu mwenyewe na munywe maji yanatiririka kutoka kwenye kisima chenu.
16 あなたの泉を、外にまきちらし、水の流れを、ちまたに流してよかろうか。
Je inapaswa chemichemi yenu ifurike popote na mifereji yenu ya maji itiririke katika njia kuu?
17 それを自分だけのものとし、他人を共にあずからせてはならない。
Yawe yenu wenyewe peke yenu wala si kwa wageni.
18 あなたの泉に祝福を受けさせ、あなたの若い時の妻を楽しめ。
Chemichemi yako ibarikiwe na umfurahie mke wa ujana wako.
19 彼女は愛らしい雌じか、美しいしかのようだ。いつも、その乳ぶさをもって満足し、その愛をもって常に喜べ。
Maana ni ayala apendezaye na kulungu mwenye uzuri. Matiti yake na yakujaze furaha muda wote; daima na utekwe na upendo wake.
20 わが子よ、どうして遊女に迷い、みだらな女の胸をいだくのか。
Mwanangu, kwa nini uwe mateka wa malaya, kwa nini uyakumbatie matiti ya mwanamke mgeni?
21 人の道は主の目の前にあり、主はすべて、その行いを見守られる。
Yehova huona kila kitu afanyacho mtu na huangalia mapito yake yote.
22 悪しき者は自分のとがに捕えられ、自分の罪のなわにつながれる。
Mtu mwovu atatekwa na makosa yake mwenyewe; kamba za dhambi yake zitamnasa kwa nguvu.
23 彼は、教訓がないために死に、その愚かさの大きいことによって滅びる。
Atakufa kwa kukosa maonyo; atapotelea mbali kwa upumbavu wake wingi.

< 箴言 知恵の泉 5 >