< ネヘミヤ 記 7 >

1 城壁が築かれて、とびらを設け、さらに門衛、歌うたう者およびレビびとを任命したので、
Wakati ukuta ulipomalizika na milango nimekwisha kuisimamisha, na walinzi wa malango na waimbaji na Walawi walikuwa wamechaguliwa,
2 わたしは、わたしの兄弟ハナニと、城のつかさハナニヤに命じて、エルサレムを治めさせた。彼は多くの者にまさって忠信な、神を恐れる者であったからである。
nikampa ndugu yangu Hanani kuwa na amri juu ya Yerusalemu, pamoja na Hanania ambaye alikuwa msimamizi wa kijiji, kwa kuwa alikuwa mwaminifu na alimuogopa Mungu zaidi kuliko wengi.
3 わたしは彼らに言った、「日の暑くなるまではエルサレムのもろもろの門を開いてはならない。人々が立って守っている間に門を閉じさせ、貫の木を差せ。またエルサレムの住民の中から番兵を立てて、おのおのにその所を守らせ、またおのおのの家と向かい合う所を守らせよ」。
Nami nikawaambia, Msifungue malango ya Yerusalemu mpaka jua litakapokuwa kali. Wakati walinzi wa mlango wanalinda, unaweza kufunga milango na kuikaza. Chagua walinzi kutoka kwa wale wanaoishi Yerusalemu, wengine mahali pa kituo chao cha ulinzi, na wengine mbele ya nyumba zao wenyewe.
4 町は広くて大きかったが、その内の民は少なく、家々はまだ建てられていなかった。
Sasa jiji lilikuwa pana na kubwa, lakini kulikuwa na watu wachache ndani yake, na hakuna nyumba zilizojengwa tena.
5 時に神はわたしの心に、尊い人々、つかさおよび民を集めて、家系によってその名簿をしらべようとの思いを起された。わたしは最初に上って来た人々の系図を発見し、その中にこのようにしるしてあるのを見いだした。
Mungu wangu aliweka moyoni mwangu, kuwakusanya pamoja wakuu, maafisa, na watu kuwaandikisha katika familia zao. Nilipata Kitabu cha kizazi cha wale ambao walirudi kwanza na nikaona kwamba imeandikwa humo.
6 バビロンの王ネブカデネザルが捕え移した捕囚のうち、ゆるされてエルサレムおよびユダに上り、おのおの自分の町に帰ったこの州の人々は次のとおりである。
Hawa ndio watu wa jimbo ambao walikwenda kutoka kwenye uhamisho wa wale waliohamishwa ambao Nebukadreza mfalme wa Babeli aliwachukua mateka. Wakarudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenda kwenye mji wake.
7 彼らはゼルバベル、エシュア、ネヘミヤ、アザリヤ、ラアミヤ、ナハマニ、モルデカイ、ビルシャン、ミスペレテ、ビグワイ、ネホム、バアナと一緒に帰ってきた者たちである。そのイスラエルの民の人数は次のとおりである。
Walikuja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana. Idadi ya wana wa Israeli ilikuwa.
8 パロシの子孫は二千百七十二人。
Wana wa Paroshi, 2, 172.
9 シパテヤの子孫は三百七十二人。
Wana wa Shefatia, 372.
10 アラの子孫は六百五十二人。
Wana wa Ara, 652.
11 パハテ・モアブの子孫すなわちエシュアとヨアブの子孫は二千八百十八人。
Wana wa Pahath Moabu,
12 エラムの子孫は一千二百五十四人。
kwa wana wa Yeshua na Yoabu, 2, 818.
13 ザットの子孫は八百四十五人。
Wana wa Elamu, 1, 254.
14 ザッカイの子孫は七百六十人。
Wana wa Zatu, 845. Wana wa Zakai, 760.
15 ビンヌイの子孫は六百四十八人。
Wana wa Binnui, 648.
16 ベバイの子孫は六百二十八人。
Wana wa Bebai, 628.
17 アズガデの子孫は二千三百二十二人。
Wana wa Azgadi, 2, 322.
18 アドニカムの子孫は六百六十七人。
Wana wa Adonikamu, 667.
19 ビグワイの子孫は二千六十七人。
Wana wa Bigwai, 2, 067.
20 アデンの子孫は六百五十五人。
Wana wa Adini, 655.
21 ヒゼキヤの家のアテルの子孫は九十八人。
Wana wa Ateri, wa Hezekia, 98.
22 ハシュムの子孫は三百二十八人。
Wana wa Hashumu, 328.
23 ベザイの子孫は三百二十四人。
Wana wa Besai, 324.
24 ハリフの子孫は百十二人。
Wana wa Harifu, 112.
25 ギベオンの子孫は九十五人。
Wana wa Gibeoni, 95.
26 ベツレヘムおよびネトパの人々は百八十八人。
Watu kutoka Bethlehemu na Netofa, 188.
27 アナトテの人々は百二十八人。
Watu wa Anathothi, 128.
28 ベテ・アズマウテの人々は四十二人。
Watu wa Beth Azmaweth, 42.
29 キリアテ・ヤリム、ケピラおよびベエロテの人々は七百四十三人。
Watu wa Kiriath Yearimu, Kefira, na Beerothi, 743.
30 ラマおよびゲバの人々は六百二十一人。
Watu wa Rama na Geba, 621.
31 ミクマシの人々は百二十二人。
Watu wa Mikmasi, 122.
32 ベテルおよびアイの人々は百二十三人。
Watu wa Betheli na Ai, 123.
33 ほかのネボの人々は五十二人。
Watu wa Nebo, 52.
34 ほかのエラムの子孫は一千二百五十四人。
Watu wa Elamu wa pili, 1, 254.
35 ハリムの子孫は三百二十人。
Watu wa Harimu, 320.
36 エリコの人々は三百四十五人。
Watu wa Yeriko, 345.
37 ロド、ハデデおよびオノの人々は七百二十一人。
Watu wa Lodi, Hadidi, na Ono, 721.
38 セナアの子孫は三千九百三十人。
Watu wa Senaa, 3, 930.
39 祭司では、エシュアの家のエダヤの子孫が九百七十三人。
makuhani Wana wa Yedaya (wa nyumba ya Yeshua), 973.
40 インメルの子孫が一千五十二人。
Wana wa Imeri, 1, 052.
41 パシュルの子孫が一千二百四十七人。
Wana wa Pashuri, 1, 247.
42 ハリムの子孫が一千十七人。
Wana wa Harimu, 1, 017.
43 レビびとでは、エシュアの子孫すなわちホデワの子孫のうちのカデミエルの子孫が七十四人。
Walawi, wana wa Yeshua, wa Kadmieli, wa Binui, wa Hodavia, 74.
44 歌うたう者では、アサフの子孫が百四十八人。
Waimbaji wana wa Asafu; 148.
45 門衛では、シャルムの子孫、アテルの子孫、タルモンの子孫、アックブの子孫、ハテタの子孫およびショバイの子孫合わせて百三十八人。
Waliofungua mlango wana wa Shalumu, wana wa Ateri, wana wa Talmoni; wana wa Akubu, wana wa Hatita, wana wa Shobai, 138.
46 宮に仕えるしもべでは、ジハの子孫、ハスパの子孫、タバオテの子孫、
Watumishi wa Hekalu wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi,
47 ケロスの子孫、シアの子孫、パドンの子孫、
wana wa Kerosi, wana wa Siaha, wana wa Padoni,
48 レバナの子孫、ハガバの子孫、サルマイの子孫、
wana wa Lebana, wana wa Hagaba, wana wa Salmai,
49 ハナンの子孫、ギデルの子孫、ガハルの子孫、
wana wa wa Hanani, wana wa Gideli, wana wa Gahari.
50 レアヤの子孫、レヂンの子孫、ネコダの子孫、
Wana wa Reaya, wana wa Resini, wana wa Nekoda,
51 ガザムの子孫、ウザの子孫、パセアの子孫、
wana wa Gazamu, wana wa Uza, wana wa Pasea,
52 ベサイの子孫、メウニムの子孫、ネフセシムの子孫、
wana wa Besai, wana wa Meunimu, wana wa Nefusimu.
53 バクブクの子孫、ハクパの子孫、ハルホルの子孫、
Wana wa Bakbuki, wana wa Hakufa, wana wa Harhuri,
54 バヅリテの子孫、メヒダの子孫、ハルシャの子孫、
wana wa Baslith, wana wa Mehida, wana wa Harsha,
55 バルコスの子孫、シセラの子孫、テマの子孫、
wana wa Barkosi, wana wa Sisera, wana wa Tema,
56 ネヂアの子孫およびハテパの子孫。
wana wa Nesia, wana wa Hatifa.
57 ソロモンのしもべであった者たちの子孫では、ソタイの子孫、ソペレテの子孫、ペリダの子孫、
Wana wa Sulemani, wana wa Sotai, wana wa Sofeereth, wana wa Peruda,
58 ヤアラの子孫、ダルコンの子孫、ギデルの子孫、
wana wa Yaala, wana wa Darkoni, wana wa Gideli,
59 シパテヤの子孫、ハッテルの子孫、ポケレテ・ハッゼバイムの子孫、アモンの子孫。
wana wa Shefatia, wana wa Hatili, wana wa Pokerethi Sebaimu, wana wa Amoni.
60 宮に仕えるしもべたちとソロモンのしもべであった者たちの子孫とは合わせて三百九十二人。
Watumishi wote wa hekalu, na wana wa watumishi wa Sulemani, walikuwa 392.
61 テルメラ、テルハレサ、ケルブ、アドンおよびインメルから上って来た者があったが、その氏族と、血統とを示して、イスラエルの者であることを明らかにすることができなかった。その人々は次のとおりである。
Hawa ndio watu waliokwenda kutoka Tel Mela, Tel harsha, Kerub, Addon, na Imeri. Lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba wao au jamaa za baba zao walikuwa wana wa Israeli,
62 すなわちデラヤの子孫、トビヤの子孫、ネコダの子孫であって、合わせて六百四十二人。
wana wa Delaya, wana wa Tobia, na wana wa Nekoda, 642.
63 また祭司のうちにホバヤの子孫、ハッコヅの子孫、バルジライの子孫がある。バルジライはギレアデびとバルジライの娘たちのうちから妻をめとったので、その名で呼ばれた。
Na kutoka kwa makuhani Wana wa Habaya, Hakosi, na Barzilai ( akamchukua mkewe kutoka kwa binti za Barzilai wa Gileadi na akaitwa kwa jina lao).
64 これらの者はこの系図に載った者のうちに、自分の籍をたずねたが、なかったので、汚れた者として祭司の職から除かれた。
Hawa walitafuta rekodi zao kati ya waliojiunga na kizazi chao, lakini hawakuweza kupatikana, kwa hivyo waliondolewa katika ukuhani kama walio najisi.
65 総督は彼らに告げて、ウリムとトンミムを帯びる祭司の起るまでは、いと聖なる物を食べてはならぬと言った。
Naye mkuu wa gavana akawaambia wasiruhusiwe kula chakula cha makuhani kutoka kwenye dhabihu mpaka atakapoinuka kuhani mwenye Urimu na Thumimu.
66 会衆は合わせて四万二千三百六十人であった。
Kusanyiko lote lilikuwa 42, 360,
67 このほかに男女の奴隷が七千三百三十七人、歌うたう者が男女合わせて二百四十五人あった。
isipokuwa watumishi wao wa kiume na watumishi wao wa kike, ambao walikuwa 7, 337. Walikuwa na wanaume na wanawake wa kuimba 245.
68 その馬は七百三十六頭、その騾馬は二百四十五頭、
Farasi zao zilikuwa 736 kwa idadi, nyumbu zao, 245,
69 そのらくだは四百三十五頭、そのろばは六千七百二十頭であった。
ngamia zao, 435, na punda zao, 6, 720.
70 氏族の長のうち工事のためにささげ物をした人々があった。総督は金一千ダリク、鉢五十、祭司の衣服五百三十かさねを倉に納めた。
Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao walitoa zawadi kwa ajili ya kazi. Gavana alitoa sadaka ya darkoni elfu ya dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 ya makuhani.
71 また氏族の長のうちのある人々は金二万ダリク、銀二千二百ミナを工事のために倉に納めた。
Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao waliwapa katika hazina kwa kazi darkroni elfu ishirini za dhahabu na mane 2, 200 za fedha.
72 その他の民の納めたものは金二万ダリク、銀二千ミナ、祭司の衣服六十七かさねであった。
Watu wengine waliwapa darkoni za dhahabu ishirini elfu, na dhahabu elfu mbili za fedha, na mavazi sitini na saba kwa makuhani.
73 こうして祭司、レビびと、門衛、歌うたう者、民のうちのある人々、宮に仕えるしもべたち、およびイスラエルびとは皆その町々に住んだ。イスラエルの人々はその町々に住んで七月になった。
Basi makuhani, Walawi, walinzi wa malango, waimbaji, watu wengine, watumishi wa hekalu, na Israeli wote waliishi katika miji yao. Hata mwezi wa saba watu wa Israeli walikuwa wakiishi katika miji yao.”

< ネヘミヤ 記 7 >