< ヨブ 記 41 >

1 あなたはつり針でわにをつり出すことができるか。糸でその舌を押えることができるか。
Je waweza kumvua mamba kwa ndoano ya samaki? Au kumfunga taya zake kwa kamba?
2 あなたは葦のなわをその鼻に通すことができるか。つり針でそのあごを突き通すことができるか。
Je waweza kuweka kamba katika pua zake, au kumtoboa taya yake kwa ndoano?
3 これはしきりに、あなたに願い求めるであろうか。柔らかな言葉をあなたに語るであろうか。
Je atafanya maombi mengi kwako? Je atazungumza na wewe kwa maneno laini?
4 これはあなたと契約を結ぶであろうか。あなたはこれを取って、ながくあなたのしもべとすることができるであろうか。
Je atafanya agano na wewe, ili kwamba umchukue kwa ajili ya mtumishi milele?
5 あなたは鳥と戯れるようにこれと戯れ、またあなたのおとめたちのために、これをつないでおくことができるであろうか。
Je utacheza pamoja naye kama ambavyo ungecheza na ndege? Je utamfunga kwa ajili ya mtumishi wako wa kike?
6 商人の仲間はこれを商品として、小売商人の間に分けるであろうか。
Je makundi ya wavuvi waweza kumfanyia biashara? Je watamgawanya ili kufanya biashara miongoni mwa wafanya biashara?
7 あなたは、もりでその皮を満たし、やすでその頭を突き通すことができるか。
Je waweza kuijaza ngozi yake kwa vyusa au kichwa chake kwa mikuki ya kuvulia?
8 あなたの手をこれの上に置け、あなたは戦いを思い出して、再びこれをしないであろう。
Weka mkono wako juu yake mara moja, nawe utaikumbuka vita na hautaendelea kufanya hivyo tena.
9 見よ、その望みはむなしくなり、これを見てすら倒れる。
Tazama, matumaini ya kila mtu ambaye hufanya hivyo ni uongo; je si kila mmoja atatupwa chini katika nchi mbele yake?
10 あえてこれを激する勇気のある者はひとりもない。それで、だれがわたしの前に立つことができるか。
Hakuna aliye mkali ambaye aweza kuthubutu kumtikisa mamba; Ni nani basi awezaye kusimama mbele yake?
11 だれが先にわたしに与えたので、わたしはこれに報いるのか。天が下にあるものは、ことごとくわたしのものだ。
Ni nani kwanza aliyenipa kitu chochote ili kwamba niweze kumlipa? Chochote kilicho chini ya anga ni changu.
12 わたしはこれが全身と、その著しい力と、その美しい構造について黙っていることはできない。
Sitanyamaza kimya kuhusu miguu ya mamba, wala kuhusu jambo linalohusu nguvu zake, wala kuhusu umbo lake zuri.
13 だれがその上着をはぐことができるか。だれがその二重のよろいの間にはいることができるか。
Nani awezaye kuiondoa ngozi yake? Nani anaweza kumchoma kwa silaha mara mbili?
14 だれがその顔の戸を開くことができるか。そのまわりの歯は恐ろしい。
Nani awezaye kuifungua milango ya uso wake, imezungukwa na meno yake ambayo yanaogofya?
15 その背は盾の列でできていて、その堅く閉じたさまは密封したように、
Mgongo wake umefanywa kwa magamba yenye mistari, yamefungwa kwa pamoja kama chapa.
16 相互に密接して、風もその間に、はいることができず、
Moja li karibu na jingine na ya kuwa hakuna hewa inaweza kupita katikati yake.
17 互に相連なり、固く着いて離すことができない。
Yameunganishwa moja kwa jingine; yamegandamana kwa pamoja, ili kwamba hayawezi kutenganishwa.
18 これが、くしゃみすれば光を発し、その目はあけぼののまぶたに似ている。
Mwanga hung'ara kutoka katika kupumua kwake; macho yake ni kama kope za mapambazuko ya asubuhi.
19 その口からは、たいまつが燃えいで、火花をいだす。
Ndani ya mdomo wake hutoka miali ya mwanga, chembe za moto huruka nje.
20 その鼻の穴からは煙が出てきて、さながら煮え立つなべの水煙のごとく、燃える葦の煙のようだ。
Katika pua zake hutoka moshi kama chungu kinachotokota juu ya moto ambao umechochewa ili uwe na joto sana.
21 その息は炭火をおこし、その口からは炎が出る。
Pumzi yake huwasha mkaa na kuwa mwali; moto hutoka katika mdomo wake.
22 その首には力が宿っていて、恐ろしさが、その前に踊っている。
Katika shingo yake kuna nguvu, na kitisho hucheza mbele yake.
23 その肉片は密接に相連なり、固く身に着いて動かすことができない。
Nofu za mwili wake zimeunganishwa pamoja; ziko imara katika yeye; wala haziwezi kuondolewa.
24 その心臓は石のように堅く、うすの下石のように堅い。
Moyo wake ni mgumu kama jiwe - hakika, ni mgumu kama jiwe la chini la kusagia.
25 その身を起すときは勇士も恐れ、その衝撃によってあわて惑う。
Na anaposimama mwenyewe, hata miungu huogopa; hurudi nyuma kwasababu ya hofu.
26 つるぎがこれを撃っても、きかない、やりも、矢も、もりも用をなさない。
Na ikiwa atapigwa kwa upanga, hauwezi kumfanya kitu chochote, wala mkuki, wala mshale, wala aina yoyote ya silaha iliyochongoka.
27 これは鉄を見ること、わらのように、青銅を見ること朽ち木のようである。
Yeye hufikiri juu ya chuma kana kwamba ni majani makavu na hufikiri juu ya fedha kana kwamba ni ubao uliooza.
28 弓矢もこれを逃がすことができない。石投げの石もこれには、わらくずとなる。
Mshale hauwezi akamfanya akimbie; kwake yeye mawe ya kombeo huwa kama makapi.
29 こん棒もわらくずのようにみなされ、投げやりの響きを、これはあざ笑う。
Marungu huyaangalia kama majani makavu; yeye hucheka juu ya mkuki unaovuma.
30 その下腹は鋭いかわらのかけらのようで、麦こき板のようにその身を泥の上に伸ばす。
Sehemu zake za chini zi kama vipande vilivyochongoka vya vyungu; huacha alama zilizosambaa katika udongo kana kwamba alikuwa ni chombo cha kusagia.
31 これは淵をかなえのように沸きかえらせ、海を香油のなべのようにする。
Yeye hukifanya kilindi kichemke kama chungu cha maji ya moto; huifanya bahari kama chungu cha lihamu.
32 これは自分のあとに光る道を残し、淵をしらがのように思わせる。
Yeye huifanya njia ing'are nyuma yake; mtu mmoja angedhani kilindi kuwa cheupe.
33 地の上にはこれと並ぶものなく、これは恐れのない者に造られた。
Hakuna cha kumlinganisha juu ya dunia, ambaye yeye alikuwa ameumbwa kuishi pasipo hofu.
34 これはすべての高き者をさげすみ、すべての誇り高ぶる者の王である」。
Hukiona kila kitu chenye kiburi; yeye ni mfalme juu ya wana wote wa kiburi.”

< ヨブ 記 41 >