< ヨブ 記 26 >

1 そこでヨブは答えて言った、
Kisha Ayubu akajibu na kusema,
2 「あなたは力のない者をどれほど助けたかしれない。気力のない腕をどれほど救ったかしれない。
“Mmemsaidiaje aliyedhaifu!
3 知恵のない者をどれほど教えたかしれない。悟りをどれほど多く示したかしれない。
Jinsi gani mmemshauri asiye na hekima na kutamka maneno yenye maarifa kwake!
4 あなたはだれの助けによって言葉をだしたのか。あなたから出たのはだれの霊なのか。
Kwa msaada wa nani mmesema maneno haya? Ni roho ya nani iliyotoka ndani yenu?
5 亡霊は水およびその中に住むものの下に震う。
Maiti inatetemeka chini ya maji, na vyote wilivyomo ndani yake.
6 神の前では陰府も裸である。滅びの穴もおおい隠すものはない。 (Sheol h7585)
Kuzimu kuko wazi mbele ya Mungu; uharibifu hauna kizuizi dhidi yake. (Sheol h7585)
7 彼は北の天を空間に張り、地を何もない所に掛けられる。
Huitandaza kaskazi juu ya nafasi wazi na kuining'iniza dunia hewani.
8 彼は水を濃い雲の中に包まれるが、その下の雲は裂けない。
Huyafunga maji katika mawingu yake mazito, lakini hayagawanyiki chini yake.
9 彼は月のおもてをおおい隠して、雲をその上にのべ、
Huufunika uso wa mwezi na kueneza mawingu yake juu yake.
10 水のおもてに円を描いて、光とやみとの境とされた。
Amechora ukingo wa duara juu ya maji kama mpaka kati ya nuru na giza.
11 彼が戒めると、天の柱は震い、かつ驚く。
Nguzo za mbinguni zinatikisika na zimestushwa na kukemea kwake.
12 彼はその力をもって海を静め、その知恵をもってラハブを打ち砕き、
Aliituliza bahari kwa uwezo wake; kwa ufahamu wake alimwaribu Rahab
13 その息をもって天を晴れわたらせ、その手をもって逃げるへびを突き通される。
Kwa pumzi yake, aliziondoa mbingu kwa dhorubu; mbingu ziliondolewa kwa dhorubu; mkono wake ulimchoma nyoka anayekimbia.
14 見よ、これらはただ彼の道の端にすぎない。われわれが彼について聞く所はいかにかすかなささやきであろう。しかし、その力のとどろきに至っては、だれが悟ることができるか」。
Tazama, hizi si zaidi ya madogo ya njia zake; Jinsi gani tunasikia akitunong'oneza! Ni nani awezaye kufahamu uwezo wake.

< ヨブ 記 26 >