< ヨブ 記 22 >

1 そこでテマンびとエリパズは答えて言った、
Kisha Elifazi Mtemani akajibu na kusema,
2 「人は神を益することができるであろうか。賢い人も、ただ自身を益するのみである。
Je mtu anaweza kumfaa Mungu “Je mwenye hekima anaweza kufaa kwake.
3 あなたが正しくても、全能者になんの喜びがあろう。あなたが自分の道を全うしても、彼になんの利益があろう。
Je inafurahisha kwa Mwenyezi ikiwa u mwenye haki? Je ni faida yake ukiyafanya safi maisha yako?
4 神はあなたが神を恐れることのゆえに、あなたを責め、あなたをさばかれるであろうか。
Je ni kwa sababu ya uchaji wako kwake hata akukemee na kukuadhibu?
5 あなたの悪は大きいではないか。あなたの罪は、はてしがない。
Je si kwa sababu ya wingi wa uovu wako? Je hakuna mwisho wa makosa yako?
6 あなたはゆえなく兄弟のものを質にとり、裸な者の着物をはぎ取り、
Kwa maana umechukua dhamana kutoka kwa ndugu yako bila sababu; umechukua mavazi ya mtu na kumwacha uchi.
7 疲れた者に水を飲ませず、飢えた者に食物を与えなかった。
Haukuwapa wenye kiu maji ya kunywea; umewanyima chakula wenye njaa
8 力ある人は土地を得、名ある人はそのうちに住んだ。
japokuwa wewe, mwenye uwezo, uliimiliki nchi, japokuwa wewe, mwenye kuheshimiwa, uliishi ndani yake.
9 あなたは、やもめをむなしく去らせた。みなしごの腕は折られた。
Umewaacha wajane waondoke bila kitu; umewatesa yatima.
10 それゆえ、わなはあなたをめぐり、恐怖は、にわかにあなたを驚かす。
Kwa hiyo, mabaya yanakuzunguka, na hofu za ghafla zinakusumbua.
11 あなたの光は暗くされ、あなたは見ることができない。大水はあなたをおおうであろう。
Kuna giza, hata usione; gharika inakufunika.
12 神は天に高くおられるではないか。見よ、いと高き星を。いかに高いことよ。
Je Mungu hayupo juu mbinguni? Anaangalia juu ya nyota, jinsi zilivyo juu!
13 それであなたは言う、『神は何を知っておられるか。彼は黒雲を通して、さばくことができるのか。
Unasema, 'Mungu anajua nini? Je anaweza kuamua kupitia giza totoro?
14 濃い雲が彼をおおい隠すと、彼は見ることができない。彼は天の大空を歩まれるのだ』と。
Mawingu ni kifuniko chake, hata asituone; anatembea anga la mbinguni.'
15 あなたは悪しき人々が踏んだいにしえの道を守ろうとするのか。
Je utayaishi maisha ya zamani walioishi waovu -
16 彼らは時がこないうちに取り去られ、その基は川のように押し流された。
walioondolewa kabla ya siku zao, ambao misingi yao imeondolewa kama mto,
17 彼らは神に言った、『われわれを離れてください』と、また『全能者はわれわれに何をなしえようか』と。
waliomwambia Mungu, 'Ondoka kwetu'; waliosema, 'Mwenyezi anaweza kututenda nini?
18 しかし神は彼らの家を良い物で満たされた。ただし悪人の計りごとはわたしのくみする所ではない。
Hata hivyo bado alizijaza nyumba zao kwa mema; mipango ya waovu iko mbali nami.
19 正しい者はこれを見て喜び、罪なき者は彼らをあざ笑って言う、
Wenye haki wanayaona yawapatayo waovu na kufurahi; wasio na hatia wanawacheka kwa dhihaka.
20 『まことにわれわれのあだは滅ぼされ、その残した物は火で焼き滅ぼされた』と。
Wanasema, 'Bila shaka walioinuka kinyume chetu wameondolewa; moto umeteketeza mali zao.'
21 あなたは神と和らいで、平安を得るがよい。そうすれば幸福があなたに来るでしょう。
Basi patana na Mungu na uwe na amani naye; kwa njia hiyo, mema yatakujia.
22 どうか、彼の口から教を受け、その言葉をあなたの心におさめるように。
Nakusihi, pokea, maelekezo yake; uyatii maneno yake.
23 あなたがもし全能者に立ち返って、おのれを低くし、あなたの天幕から不義を除き去り、
Ukimrudia Mwenyezi, utajengwa, ukiacha kutenda uovu makaoni mwako.
24 こがねをちりの中に置き、オフルのこがねを谷川の石の中に置き、
Weka hazina zako mavumbini, dhahabu ya Ofiri kati ya mawe ya vijito,
25 全能者があなたのこがねとなり、あなたの貴重なしろがねとなるならば、
na Mwenyezi atakuwa hazina zako, fedha ya thamani kwako.
26 その時、あなたは全能者を喜び、神に向かって顔をあげることができる。
Nawe utajifurahisha katika Mwenyezi; utamwangalia Mungu.
27 あなたが彼に祈るならば、彼はあなたに聞かれる。そしてあなたは自分の誓いを果す。
Utamwomba, naye atakusikiliza; utamtolea nadhiri.
28 あなたが事をなそうと定めるならば、あなたはその事を成就し、あなたの道には光が輝く。
Lakini pia utatamka lolote, nawe utapewa; nuru itaangaza maishani mwako.
29 彼は高ぶる者を低くされるが、へりくだる者を救われるからだ。
Mungu humshusha mwenye kiburi, naye humwinua mnyenyekevu.
30 彼は罪のない者を救われる。あなたはその手の潔いことによって、救われるであろう」。
Atamwokoa asiye na hatia; utaokolewa kupitia usafi wa mikono yako.”

< ヨブ 記 22 >