< 創世記 5 >

1 アダムの系図は次のとおりである。神が人を創造された時、神をかたどって造り、
Hii ni orodha ya vizazi vya Adamu. Katika siku ambayo Mungu alimuumba mtu, aliwaumba katika mfano wake mwenyewe.
2 彼らを男と女とに創造された。彼らが創造された時、神は彼らを祝福して、その名をアダムと名づけられた。
Mwanaume na mwanamke aliwaumba. Akawabariki na akawaita Adam wakati walipoumbwa.
3 アダムは百三十歳になって、自分にかたどり、自分のかたちのような男の子を生み、その名をセツと名づけた。
Wakati Adamu alipokuwa ameishi miaka 130, akamzaa mwana katika sura yake mwenyewe, kwa mfano wake, na akamuita jina lake Sethi.
4 アダムがセツを生んで後、生きた年は八百年であって、ほかに男子と女子を生んだ。
Baada ya Adamu kumzaa Sethi, aliishi miaka mia nane. Akawazaa wana wengi waume na wake.
5 アダムの生きた年は合わせて九百三十歳であった。そして彼は死んだ。
Adamu akaishi miaka 930 kisha akafariki.
6 セツは百五歳になって、エノスを生んだ。
Wakati Sethi alipokuwa ameishi miaka 105, akamzaa Enoshi.
7 セツはエノスを生んだ後、八百七年生きて、男子と女子を生んだ。
Baada ya kumzaa Enoshi, akaishi miaka 807 na akawazaa wana wengi waume na wake.
8 セツの年は合わせて九百十二歳であった。そして彼は死んだ。
Sethi akaishi miaka 912 kisha akafariki.
9 エノスは九十歳になって、カイナンを生んだ。
Wakati Enoshi alipokuwa ameishi miaka tisini, akamzaa Kenani.
10 エノスはカイナンを生んだ後、八百十五年生きて、男子と女子を生んだ。
Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815. Akazaa wana wengi wa ume na wake.
11 エノスの年は合わせて九百五歳であった。そして彼は死んだ。
Enoshi aliishi miaka 905 na kisha akafariki.
12 カイナンは七十歳になって、マハラレルを生んだ。
Wakati Kanani alipokuwa ameishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.
13 カイナンはマハラレルを生んだ後、八百四十年生きて、男子と女子を生んだ。
Baada ya kumzaa Mahalaleli, Kenani aliishi miaka 840. Akawazaa wana wengi wa ume na wake.
14 カイナンの年は合わせて九百十歳であった。そして彼は死んだ。
Kenani aliishi miaka 910, na kisha akafariki.
15 マハラレルは六十五歳になって、ヤレドを生んだ。
Mahalaleli alipokuwa ameishi miaka sitini na tano, alimzaa Yaredi.
16 マハラレルはヤレドを生んだ後、八百三十年生きて、男子と女子を生んだ。
Baada ya kumzaa Yaredi, Mahalaleli aliishi miaka 830. Akazaa wana wengi wa ume na wake.
17 マハラレルの年は合わせて八百九十五歳であった。そして彼は死んだ。
Mahalaleli aliishi miaka 895 na kisha akafariki.
18 ヤレドは百六十二歳になって、エノクを生んだ。
Yaredi alipokuwa ameishi miaka 162, alimzaa Henoko.
19 ヤレドはエノクを生んだ後、八百年生きて、男子と女子を生んだ。
Baada ya kumzaa Henoko, Yaredi aliishi miaka mianane. Akazaa wana wengi waume na wake.
20 ヤレドの年は合わせて九百六十二歳であった。そして彼は死んだ。
Yaredi aliishi miaka 962 na kisha akafariki.
21 エノクは六十五歳になって、メトセラを生んだ。
Henoko alipokuwa ameishi miaka sitini na tano, akamzaa Methusela.
22 エノクはメトセラを生んだ後、三百年、神とともに歩み、男子と女子を生んだ。
Henoko akaenenda na Mungu miaka miatatu baada ya kumzaa Methusela. Aliwazaa wana wengi wa ume na wake.
23 エノクの年は合わせて三百六十五歳であった。
Henoko aliishi miaka 365.
24 エノクは神とともに歩み、神が彼を取られたので、いなくなった。
Henoko alienenda na Mungu, na kisha alitoweka, kwa kuwa Mungu alimtwaa.
25 メトセラは百八十七歳になって、レメクを生んだ。
Wakati Methusela alipokuwa ameishi miaka 187, alimzaa Lameki.
26 メトセラはレメクを生んだ後、七百八十二年生きて、男子と女子を生んだ。
Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782. Akawazaa wana wengi wa ume na wake.
27 メトセラの年は合わせて九百六十九歳であった。そして彼は死んだ。
Methusela aliishi miaka 969. Kisha akafariki.
28 レメクは百八十二歳になって、男の子を生み、
Wakati Lameki alipokuwa ameishi miaka 182, alimzaa mwana.
29 「この子こそ、主が地をのろわれたため、骨折り働くわれわれを慰めるもの」と言って、その名をノアと名づけた。
Akamuita jina lake Nuhu, akisema, “Huyu ndiye atatupatia pumziko kutoka katika kazi yetu na kutoka katika kazi ya taabu ya mikono yetu, ambayo lazima tuifanye kwa sababu ya ardhi ambayo Yahwe ameilaani.”
30 レメクはノアを生んだ後、五百九十五年生きて、男子と女子を生んだ。
Lameki aliishi miaka 595 baada ya kumzaa baba wa Nuhu. Akazaa wanawengi wa ume na wake.
31 レメクの年は合わせて七百七十七歳であった。そして彼は死んだ。
Lameki aliishi miaka 777. Kisha akafariki.
32 ノアは五百歳になって、セム、ハム、ヤペテを生んだ。
Baada ya Nuhu kuishi miaka miatano, akamzaa Shemu, Hamu, na Yafethi.

< 創世記 5 >