< 歴代誌Ⅰ 24 >

1 アロンの子孫の組は次のとおりである。すなわちアロンの子らはナダブ、アビウ、エレアザル、イタマル。
Makundi vya kazi kulingana na uzao wa Aroni yalikuwa haya: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
2 ナダブとアビウはその父に先だって死に、子がなかったので、エレアザルとイタマルが祭司となった。
Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao kufa. Walikuwa hawana watoto, kwahiyo Eleazari na Ithamari walitumika kama makuhani.
3 ダビデはエレアザルの子孫ザドクとイタマルの子孫アヒメレクの助けによって彼らを分けて、それぞれの勤めにつけた。
Daudi pamoja na Zadoki, uzao wa Eleazari, na Ahimeleki, uzao wa Ithamari, waliwagawanya katika makundi yao ya kazi kama makuhani.
4 エレアザルの子孫のうちにはイタマルの子孫のうちよりも長たる人々が多かった。それでエレアザルの子孫で氏族の長である十六人と、イタマルの子孫で氏族の長である者八人にこれを分けた。
Kulikuwa na wanaume viongozi zaidi kati ya uzao wa Eleazari kuliko kati ya uzao wa Ithamari, kwahiyo waligawanya uzao wa Eleazari katika makundi kumi na sita. Walifanya hivyo na viongozi wa ukoo na uzao wa Ithamari. Magawanyo haya yalikuwa nane kwa idadi, sambamba na koo zao.
5 このように彼らは皆ひとしく、くじによって分けられた。聖所のつかさ、および神のつかさは、ともにエレアザルの子孫とイタマルの子孫から出たからである。
Waliwagawanya bila upendeleo kwa kura, kwa kuwa walikuwa waamuzi watakatifu na waamuzi wa Mungu, kutoka pande zote uzao wa Eleazari na uzao wa Ithamari.
6 レビびとネタネルの子である書記シマヤは、王とつかさたちと祭司ザドクとアビヤタルの子アヒメレクと祭司およびレビびとの氏族の長たちの前で、これを書きしるした。すなわちエレアザルのために氏族一つを取れば、イタマルのためにも一つを取った。
Shemaia mwana wa Nethaneli mwandishi, Mlawi, aliandika majina yao mbele ya mfalme, muamuzi, kuhani Zadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa makuhani na familia za Walawi. Ukoo mmoja ulichaguliwa kwa kura kutoka uzao wa Eleazari, na kisha uliofata utachaguliwa kutoka uzao wa Ithhamari.
7 第一のくじはヨアリブに当り、第二はエダヤに当り、
Kura ya kwanza ilienda kwa Yehoiaribu, ya pili kwa Yedaia,
8 第三はハリムに、第四はセオリムに、
ya tatu kwa Harimu, ya nne kwa Seorimu,
9 第五はマルキヤに、第六はミヤミンに、
ya tano kwa Malikija, ya sita kwa Mijamini,
10 第七はハッコヅに、第八はアビヤに、
ya saba kwa Hakozi, ya nane kwa Abija,
11 第九はエシュアに、第十はシカニヤに、
ya tisa kwa Yeshua, ya kumi kwa Shekania,
12 第十一はエリアシブに、第十二はヤキムに、
ya kumi na moja kwa Eliashibu, ya kumi na mbili kwa Yakimu,
13 第十三はホッパに、第十四はエシバブに、
ya kumi na tatu kwa Hupa, ya kumi na nne kwa Yesheheabu,
14 第十五はビルガに、第十六はインメルに、
ya kumi na tano kwa Biliga, ya kumi na sita kwa Imma,
15 第十七はヘジルに、第十八はハピセツに、
ya kumi na saba kwa Heziri, ya kumi na nane kwa Hapizezi,
16 第十九はペタヒヤに、第二十はエゼキエルに、
ya kumi na tisa kwa Pethaia, ya ishirini kwa Yehezikeli,
17 第二十一はヤキンに、第二十二はガムルに、
ya ishirini na moja kwa Yakini, ya ishirini na mbili kwa Gamuli,
18 第二十三はデラヤに、第二十四はマアジヤに当った。
ya ishirini na tatu kwa Delaia, na ya ishirini na nne kwa Maazia.
19 これは、彼らの先祖アロンによって設けられた定めにしたがい、主の家にはいって務をなす順序であって、イスラエルの神、主の彼に命じられたとおりである。
Hii ilikuwa taratibu ya utumishi wao, walipo kuja kwenye nyumba ya Yahweh, wakifuata utaratibu waliopewa na Aruni babu yao, kama Yahweh, Mungu wa Israeli, alivyo waagiza.
20 このほかのレビの子孫は次のとおりである。すなわちアムラムの子らのうちではシュバエル。シュバエルの子らのうちではエデヤ。
Hawa walikuwa Walawi waliobakia: Wana wa Amiramu, Shebueli; wana wa Shebaeli, Yedeia.
21 レハビヤについては、レハビヤの子らのうちでは長子イシア。
Wana wa Rehabia: wana wa Rehabia, Ishia kiongozi.
22 イヅハリびとのうちではシロミテ。シロミテの子らのうちではヤハテ。
Wa Waizari, Shelomothi; mwana wa Shelomothi, Yahathi.
23 ヘブロンの子らは長子はエリヤ、次はアマリヤ、第三はヤハジエル、第四はエカメアム。
Wana wa Hebroni: Yeria kiongozi, Amaria wapili, Yahazieli watatu, na Yekameamu wanne.
24 ウジエルの子らのうちではミカ。ミカの子らのうちではシャミル。
Wana wa uzao wa Uzieli ulimjumuisha Mika. Uzao wa Mika ulimjumuisha Shamiri.
25 ミカの兄弟はイシア。イシアの子らのうちではゼカリヤ。
Kaka wa Mika alikuwa Ishia. Wana wa Ishia akijumuishwa Zakaria.
26 メラリの子らはマヘリとムシ。ヤジアの子らはベノ。
Wana na Merari: Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia, Beno.
27 メラリの子孫のヤジアから出た者はベノ、ショハム、ザックル、イブリ。
Wana wa Merari: Yaazia, Beno, Shohamu, Zakuri, na Ibrri.
28 マヘリからエレアザルが出た。彼には子がなかった。
Wana wa Mahili: eleazari, ambaye alikuwa hana wana.
29 キシについては、キシの子はエラメル。
Wana wa Kishi: Yerameli
30 ムシの子らはマヘリ、エデル、エリモテ。これらはレビびとの子孫で、その氏族によっていった者である。
wana wa Mushi: Mahli, Eda, na yerimothi. Walikuwa walawi, walio orodheshwa na familia zao.
31 これらの者もまた氏族の兄もその弟も同様に、ダビデ王と、ザドクと、アヒメレクと、祭司およびレビびとの氏族の長たちの前で、アロンの子孫であるその兄弟たちのようにくじを引いた。
Wanaume hawa ambao walikuwa vichwa katika nyumba za baba zao na kila wadogo zao, walipiga kura katika uwepo wa Mfalme Daudi, na Zadoki na Ahimeleki, pamoja na viongozi wa familia wa makuhani na Walawi. Walirusha kura kama uzao wa Aroni walivyofanya.

< 歴代誌Ⅰ 24 >