< Umatiyu 25 >

1 Adi bati tigomo ta zesere kasi mabura manu kirau sa ma ziki mafitila maweme tantu u gura umanyani ma tiyum.
“Wakati huo, Ufalme wa mbinguni utafanana na wasichana kumi waliochukua taa zao, wakaenda kumlaki bwana arusi.
2 Anu chibi anyimo aweme anu zatu jinjin wani, anu ciibi anyimo aweme anu jinjin wani.
Watano miongoni mwao walikuwa wapumbavu na watano walikuwa wenye busara.
3 Asenke anu zatu jinjin ugino me wada inta mani anyimo amafitila maweme ba.
Wale wapumbavu walichukua taa zao, lakini hawakuchukua akiba ya mafuta.
4 Anu ajinjin me wa inta aru amani nan mafitila mawe anyimo me.
Lakini wale wenye busara walichukua mafuta katika chupa pamoja na taa zao.
5 Sa manyani matiyom made U aye watubi ugbiso moro mazikiwe.
Kwa kuwa bwana arusi alikawia kuja, wale wanawali wote wote walisinzia, wakalala.
6 Inna tii aniye akunna utissa, agusa, manyani matiyom me maye! Suro ni iguri me!
Usiku wa manane kukawa na kelele: Haya, haya! Bwana arusi anakuja; nendeni kumlaki.
7 Vat mabura magino me mahiri mabari mafitila maweme.
Hapo wale wanawali wote wakaamka, wakazitayarisha taa zao.
8 Anu zatu jinjin me wagun nanu ajinjinme, nyangizi haru mani mashime cincin mafitila maru mazinni wijo!
Wale wapumbavu wakawaambia wale wenye busara: Tupeni mafuta yenu kidogo maana taa zetu zinazimika.
9 Ba anu ajinjin me wakabirka waagu mada bari haru nan shi ba, hanani ahira anu ziza me. ika kwa inna ce ashi me.
Lakini wale wenye busara wakawaambia, Hayatatutosha sisi na ninyi! Afadhali mwende dukani mkajinunulie wenyewe!
10 Sa wa dusa ahira ukwa me, manyani matiyom me ma e, ande sa wara ahira me waribe akorso udenge me.
Basi, wale wanawali wapumbavu walipokwenda kununua mafuta, bwana arusi akafika, na wale wanawali waliokuwa tayari wakaingia pamoja naye katika jumba la arusi, kisha mlango ukafungwa.
11 Sa adondonkino mabura magino ka aye, wagu Ugomo Asere pokon duru ana tukum.
Baadaye wale wanawali wengine wakaja, wakaita: Bwana, bwana, tufungulie!
12 Ma kabirka magun we, kadundere, in boshi, in tam shi ba.
Lakini yeye akawajibu, Nawaambieni kweli, siwajui ninyi.”
13 Barki anime, cukunoni ibe, ita shi uganiya ba.
Kisha Yesu akasema, “Kesheni basi, kwa maana hamjui siku wala saa.
14 Kasi unu mani sa ma haza atanu, matiti arere ameme ma nya we vat imum be sa ma zinni.
“Itakuwa kama mtu mmoja aliyetaka kusafiri ng'ambo: aliwaita watumishi wake, akawakabidhi mali yake.
15 Ma nya unu indai matelenti manu ciibi. Unu indai matelenti mare uye ma nya me u indai. ko da avi ubina ni uni kara ni meme, madusa.
Alimpa kila mmoja kadiri ya uwezo wake: mmoja sarafu tano za fedha ziitwazo talanta, mwingine talanta mbili na mwingine talanta moja, kisha akasafiri.
16 Desa makaba matelenti u ciibi ma gun me ma ha maka gamara mani, makem mare.
Mara yule aliyekabidhiwa talanta tano akafanya kazi nazo akapata faida talanta tano.
17 Ani me ani unu kaba matelenti mare me cangi makem mare.
Hali kadhalika na yule aliyekabidhiwa talanta mbili akapata faida talanta mbili.
18 Me de sa ma kaba utelenti u indai me, maka gense adizi ma hunze ni.
Lakini yule aliyekabidhiwa talanta moja akaenda akachimba shimo ardhini, akaificha fedha ya bwana wake.
19 Sa adondonkino, una kura arere agino me ma zee ma basa nan we.
“Baada ya muda mrefu, yule bwana alirudi, akaanza kukagua hesabu ya matumizi na mapato ya fedha yake.
20 Me dee sa ma kaba matelenti manu ciibi, mahaha mamu ma witi mare matelenti uciibi, magu una kura wa nyam matelenti manu ciibi, iye makem mare kaba.
Mtumishi aliyekabidhiwa talanta tano akaja amechukua zile talanta tano faida, akamwambia, Bwana, ulinikabidhi talanta tano, hapa pana talanta tano zaidi faida niliyopata.
21 Una kuraa magun me gai urere uhuma, wa wuza kadundere anyimo imum icin, indi tar we a nyimo igbardang aye cukunno uvenke.
Bwana wake akamwambia, Vema, mtumishi mwema na mwaminifu. Umekuwa mwaminifu katika mambo madogo nitakukabidhi makubwa. Njoo ufurahi pamoja na bwana wako.
22 Una ma telenti mani mare ma haha mamu, magu,
“Mtumishi aliyekabidhiwa talanta mbili akaja, akatoa talanta mbili faida, akisema, Bwana, ulinikabidhi talanta mbili. Chukua talanta mbili zaidi faida niliyopata.
23 Una kura, wa nyam matelenti mare. I ye makem mani mare kaba. una kura me me magu imme, gai, urere uhuma. wazauka kadundere a nyimo cin in di tariwe a nyiomo gbardang aye cukuno uvenke.
Bwana wake akamwambia, Vema, mtumishi mwema na mwaminifu. Umekuwa mwaminifu katika mambo madogo, nitakukabidhi makubwa. Njoo ufurahi pamoja na bwana wako.
24 Me de sa maa kaba utalenti uindai me, mahaha mamu magu, Una kura min rusa hu unu nyara uziki imum ahira sa da wa inko ni ba, kaba bitelenti buweme.
“Lakini yule aliyekabidhiwa talanta moja akaja, akasema, Bwana, najua wewe ni mtu mgumu; wewe huvuna pale ambapo hukupanda, na kukusanya pale ambapo hukutawanya.
25 Barki anime ani ma kunna bi yau, ma gense adizi mahunze bitalenti buwo meni kaba!
Niliogopa, nikaificha fedha yako katika ardhi. Chukua basi mali yako.
26 Ba una kura me ma kabirka magu, hu urere uburi mani, ugbara! uru sam incira ahira me sa daki ma inkoni ba.
“Bwana wake akamwambia, Wewe ni mtumishi mwovu na mvivu! Unajua kuwa mimi huvuna mahali ambapo sikupanda, na hukusanya pale ambapo sikutawanya.
27 ya wuna urii uda ayem ni kirfi me a inki ahira me sa adi kem mareu ni in kabi ire azesere me.
Ilikupasa basi, kuiweka fedha yangu katika benki, nami ningelichukua mtaji wangu na faida yake!
28 Barki anime kaba ni bi talenti bi gino me inya una manu kirau me.
Basi, mnyang'anyeni hiyo fedha mkampe yule mwenye talanta kumi.
29 Barki vat inu imum ake akinkimeni, iwu gbardangunu zatu imum akabi ini ame. Rekkini unu sa ma zoo anyo imumba a
Maana, aliye na kitu atapewa na kuzidishiwa. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.
30 nyimo a mareu marumzi anyo abinime.
Na kuhusu huyu mtumishi asiye na faida, mtupeni nje gizani! Huko kutakuwa na kilio na kusaga meno.
31 Inki vana unu ma aye a nyimo ani nonzo nume nan ribe ikadura kame, madi cukuno a hira adang ame.
“Wakati Mwana wa Mtu atakapokuja katika utukufu wake na malaika wote wakiwa pamoja naye, hapo ataketi juu ya kiti chake cha enzi kitukufu,
32 Adi ori anabu vat aje ame, madi suzo we ma inki sassas, kasi unutarsa itam. Sa ma suzzo imum sas. Madi inki itam atari tinare, ma inki imani
na mataifa yote yatakusanyika mbele yake, naye atawatenganisha watu kama mchungaji anavyotenganisha kondoo na mbuzi.
33 atari tinann gure.
Atawaweka kondoo upande wake wa kulia na mbuzi upande wake wa kushoto.
34 Ugomo madi gu an de sa wa ra atari tinare time, aye ni shi sa acoo maringirka shi, i kabi tigomo tishi sa amu inko shini dati utuba uney.
“Kisha Mfalme atawaambia wale walio upande wake wa kulia, Njoni enyi mliobarikiwa na Baba yangu; pokeeni Ufalme mliotayarishiwa tangu kuumbwa kwa ulimwengu.
35 Barki ma kunna ikomo ya nyam imumare. makunna niwe nimei, ya nyani mi masa. ma aye ani genu ya kaban mi.
Maana nilikuwa na njaa nanyi mkanipa chakula; nilikuwa na kiu nanyi mkanipa maji; nilikuwa mgeni nanyi mkanikaribisha;
36 In zi bihurba ya sokin mi turunga, ma wuzi ukoni i eh i irim u hira ani rebe ya issizon ni mi.
nilikuwa uchi, mkanivika; nilikuwa mgonjwa nanyi mkaja kunitazama; nilikuwa gerezani nanyi mkaja kunitembelea.
37 Abinee ani anu tanu tiriri me wadi kabirka, wagu, Ugomo Asere, ta ira we abani ta nya we imum yare, nani niwe ni mgwei ta nya we wa sa?
Hapo, hao watu wema watamjibu mfalme Bwana, ni lini tulikuona mwenye njaa nasi tukakupa chakula, au ukiwa na kiu nasi tukakunywesha maji?
38 Innu maya uni ta ira we ini genu me ti kabi we nani inbihurba ti sokiwe tirunga.
Ni lini tulikuona ukiwa mgeni nasi tukakukaribisha, au bila nguo nasi tukakuvika?
39 Nani inniu maya ini ta iri we uzo uhuma, nan na nyimo akura ani rere me.
Ni lini tulikuona ukiwa mgonjwa au mfungwa nasi tukaja kukutazama?
40 Ba ugomo ma kabirka we, magu, kadundere in boshi vat de sa ya wuza meni anyimo ani za num ya wuza miniminini.
Mfalme atawajibu, Kweli nawaambieni, kila kitu mlichomtendea mmojawapo wa hawa ndugu zangu wadogo, mlinitendea mimi.
41 Abini ani madi gu inna na tari tinan gure, cekinni mi, a wuna shi anyo ribeni a nyimo ura nan unu uburu sa a barka barki a malaiku nan unu uburu. (aiōnios g166)
“Kisha atawaambia wale walio upande wake wa kushoto, Ondokeni mbele yangu enyi mliolaaniwa! Nendeni katika moto wa milele aliotayarishiwa Ibilisi na malaika wake. (aiōnios g166)
42 Barki ma kunna ikomo daki ya nya ni mi imum are ba. ma kunna niwe ni mgwei ya nya nimi masa ba. Ma wuza nigen daki ya kaba ni ba. In zi
Maana nilikuwa na njaa nanyi hamkunipa chakula; nilikuwa na kiu nanyi hamkunipa maji.
43 bihurba daki ya sokin mi turunga ba. Ma wuzi ukoni daki ya aye ya gunkunom ba, mara a nyimo akura ani rere daki ya ikon mi ba.
Nilikuwa mgeni nanyi hamkunikaribisha; nilikuwa mgonjwa na mfungwa nanyi hamkuja kunitazama.
44 Abini me cangi wadi gu, Ugomo Asere innu maya uni ta iri we inni komo me nani inn niwe ni mgwei, nani inn ni gen, nani innu zatu turunganani uzatu nihuma, nani akura ani rere daki ta iko hu ba.
“Hapo nao watajibu, Bwana, ni lini tulikuona ukiwa na njaa au kiu, ukiwa mgeni au bila nguo, ukiwa mgonjwa au mfungwa, nasi hatukuja kukuhudumia?
45 Abini madi kabirka, magu in we, kadundere, imboshi ani me saki ya wu unu indai a nyimo anu tarsa um ni ba mi mani. A nigino wani wadi ribe a nyimo u zitto, anu tank to riri wadi venke a kura Address. (aiōnios g166)
Naye atawajibu, Nawaambieni kweli, kila mlipokataa kumtendea mambo haya mmojawapo wa hawa wadogo, mlikataa kunitendea mimi.
Basi, hawa watakwenda kwenye adhabu ya milele, lakini wale waadilifu watakwenda kwenye uzima wa milele.” (aiōnios g166)

< Umatiyu 25 >