< Uluka 5 >

1 Ya cukuno uganiya sa anu wa orno ahira Yeso unu kunna utize ta Asere, ma turi anikira nini win nu Janisarata.
Basi ilitokea wakati watu walipomkusanyikia na kumzunguka Yesu na kusikiliza neno la Mungu, ambapo alikuwa amesimama kando ya ziwa Genesareti.
2 Manno ma iri ma Jirigi ma mei mana ma re ma turi anikira nini win me. Anu mesi icere wa suro Ujirigime wazinu kpijo imumu imisi icere.
Aliona mashua mbili zimetia nanga pembeni mwa ziwa. Wavuvi walikuwa wametoka na walikuwa wakiosha nyavu zao.
3 Yeso mano ma ribe a ure Ujirigi me uge sa uzi u Simon, manno magu in Simon ma seserke inu jirigi me ahira ani win me cin uhana anyimo mei. Manno ma cukuno mazinu bezizi anu anyimo ujirigi me.
Yesu akaingia katika mojawapo ya zile mashua, ambayo ilikuwa ya Simoni na kumwomba aipeleke majini mbali kidogo na nchi kavu. Kisha akakaa na kufundisha kutokea kwenye mashua.
4 Sa ma mara tize me, ma gun i Simon, “Seserke unu Jirigi me uhana ahira a concong uduku reki imumu imisi icere me bati umesi”.
kuongea, akamwambia Simoni, “Ipeleke mashua yako mpaka kwenye kilindi cha maji nakushusha nyavu zako ili kuvua samaki.”
5 Simon ma kabirka magu, “Ugomo Asere, ta wuzi katu ini yeh da ta meki iri imum ba, barki tize tuwe me indi reki imumu mesi icere me”.
Simon akajibu na kusema, Bwana, tumefanya kazi usiku wote, na hatukukamata chochote, lakini kwa neno lako, nitazishusha nyavu.
6 Sa wa wuna ani me, wa meki icere gbardang, ani imumu mesi icere ya Janika. Wanne wa nyari aroni akatuma ku Jirigi ukure me wa eh wa benku we.
Walipofanya hivyo walikusanya kiasi kikubwa cha samaki na nyavu zao zikaanza kukatika.
7 Wanno wa eh wa myinca ma Jirigi mana ma re unicere, wanno wa tubi upirsa anyimo a mei.
Hivyo wakawaashiria washirika wao kwenye mashua nyingine ili waja na kuwasaidia. Walikuja wakazijaza mashua zote, kiasi kwamba zikaanza kuzama.
8 Simon, sa ma ira anime, ma dungunu aje a Yeso, magusi, “Cekum ugomo Asere, mi unu madini mani.”
Lakini Simoni Petro, alipoona hivyo, alianguka magotini pa Yesu akisema,”Ondoka kwangu, kwa sababu mimi ni mtu mwenye dhambi Bwana.”
9 Barki sa ma wuzi ma aye, nan andesa wazi nan me, barki ugbardang icere sa wa meki.
Kwa sababu alishangazwa, na wote waliokuwa pamoja naye, kwa uvuvi wa samaki waliokuwa wameufanya.
10 Agino a pata nan Yakubu nan Yahaya ahana azabadi aroni akatuma ka Simon. Yeso ma gu in Simon, “Kati u kunna biyau ba, barki ana me, udi mesi amabu wani”.
Hili liliwajumuisha Yakobo na Yohana wana wa Zebedayo, ambao walikuwa washirika wa Simoni. Na Yesu akamwambia Simoni, “Usiogope, kwa sababu kuanzia sasa na kuendelea utavua watu.”
11 Sa wa aye unu Jirigi uwe me amatara ma dizi, we ceke timum me wa tungunu utarsa ume.
Walipokwishazileta mashua zao nchi kavu, waliacha kila kitu na kumfuata yeye.
12 Uganiya sa ma ra ani pin nu kure me, ure unu u koni umakin karu. Sa ma ira Yesu, Marizi aje a Yesu ma tungunu ugusa, “Ugomo Asere inka wa hem uda ke u human me”.
Ilitokea kwamba alipokuwa katika mji mmojawapo, mtu aliyekuwa amejaa ukoma alikuwa huko. Wakati alipomuona Yesu, alianguka akiinamisha uso kwake mpaka chini na kumuomba, akisema, “Bwana, ikiwa unataka, waweza kunitakasa.”
13 Sa Yeso ma wito tari ma dara me, magu, ida ki. “Ma hem idi human huu. Manno madusa mahuma”.
Kisha Yesu alinyoosha mkono wake na kumgusa, akisema, “Nataka. Takasika.” Na saa ileile ukoma ukamwacha.
14 Manno magu me kati ma buki uye ba, manno magu me, “Dusa uka buka unu ukatuma ka Asere, kasi sa Musa mabezi imumu ihuma ahira awe me”.
“Alimwagiza asimwambie mtu yeyote, lakini alimwambia, “Nenda zako, na ukajionyeshe kwa makuhani na utoe sadaka ya utakaso wako, sawasawa na kile Musa alichokiamuru, kwa ushuhuda kwao.”
15 Tize tinno ta dus pitii, anu gbardang wa ey ahira ameme bati wa kem uhumza ahira ameme.
Lakini habari kumuhusu yeye zikaenea mbali zaidi, na umati mkubwa wa watu ukaja pamoja kumsikiliza akifundisha na kuponywa magonjwa yao.
16 Manno ma hunguko nipum uhana ahira sa anu wa zoni ma wu biringara
Lakini mara kwa mara alijitenga faraghani na kuomba.
17 Ya cukuno imumu inde anyimo atiye tu bezizi utize anu bezi urusa nananu dungara ande sa wa kete nipin nanu ujuda, nan Urushalima. Nikara na Asere ni zi nan we barki uhumza anabu.
Ilitokea siku moja kati ya hizo siku alikuwa akifundisha, na walikuwapo Mafarisayo na waalimu wa sheria wamekaa hapo ambao walikuja wakitokea vijiji vingi tofauti katika mkoa wa Galilaya na Yudea, na pia kutokea katika mji wa Yerusalemu. Nguvu ya Bwana ilikuwa pamoja naye kuponya.
18 Uganiya ugino are anu wa eh, nan ure unu sa ma wono anikira ni inde anati u penge, wa nyari una uge besa wadi ribe in me anyimo wa natime aje a Yeso.
watu kadhaa walikuja, wamembeba kwenye mkeka mtu aliyepooza, na wakatafuta njia ya kumwingiza ndani ili kumlaza chini mbele ya Yesu.
19 Da wa kem una sa wadi ribe in me ba barki ni ori na nu. Wanno wa nyene Asesere undenge me wa duku tuzo Asesere urufi wa nati me upenge a tii anu aje ayeso.
Hawakupata njia ya kumwingiza ndani kwa sababu ya umati, hivyo walipanda juu ya paa la nyumba na kumshusha yule mtu chini kupitia kwenye vigae, juu mkeka wake katikati ya watu, mbele kabisa ya Yesu.
20 Sa ma ira u inko iriba iweme, Yeso magu, “Una kura akpico madini ma we me”.
Akiangalia imani yao, Yesu alisema, “Rafiki, dhambi zako umesamehewa.”
21 Anu nyetike nan anu bizi urusa wa tubi u igizo agino, “Aveni nan ka veni wa wuza imumu ibur? Aveni madake ma kpici madini, inka azo asere ba?”
Waandishi na Mafarisayo waliaanza kuhoji hilo, wakisema, “Huyu ni nani anayeongea makufuru? Ni nani anaweza kusamehe dhambi ila Mungu pekee yake?”
22 Sa Yeso ma rusa imum besa wazin inu gamara me, ma kabirka magu, “nyanini ya wuna izini JOHKO Utigino me ariba mu shi me?
Lakini Yesu, akitambua nini walichokuwa wakifikiri, aliwajibu na kuwaambia, “Kwa nini mnaulizana hili mioyoni mwenu?
23 A ya ani ateki unu shew ahira ashime, “Akpico madini ma we nani ashime, “Akpico madini ma we nani agu hu hira haka?'
Kipi ni rahisi kusema, 'Dhambi zako zimesamehewa' au kusema 'Simama utembee?'
24 Barki urusi unu guna vana unubu madake ma kpici madini mu unee, ma gunan hu, “Hira uziki upenge uwe u dusa akura awe me”.
Lakini mjue ya kwamba Mwana wa Adamu anayo mamlaka duniani ya kusamehe dhambi, Nakwambia wewe, 'Amka, chukua mkeka wako na uende nyumbani kwako.'”
25 Ahira me ma hiri aje aweme maziki upenge sa ma rari ni, ma dusa uhana akura unu nonzo Asere.
Wakati huo huo akaamka mbele yao na akachukua mkeka wake aliokuwa ameulalia. Kisha akariudi nyumbani kwake akimtukuza Mungu.
26 Konde vi mazinu basa me nanu nonze Asere. Unu kuna ubi yau inu gusa, “Kani ta ira imumu ibiyau”.
Kila mmoja alishangazwa na wakamtukuza Mungu. Walijawa na hofu, wakisema, “Tumeona mambo yasiyo ya kawaida leo.”
27 Uganiya u aka imumu igino me, Yeso masuri ma iri unu kabisa ugandu nizame Lawi ma ciki ahira ukapisa ugandu. Ma gun me, “Tarisami”.
Baada ya mambo haya kutokea, Yesu alitoka huko na akamwona mtoza ushuru aliyeitwa Lawi amekaa eneo la kukusanyia kodi. Akamwambia, “Nifuate.”
28 Lawi manno ma hiri ma tarsi me, mano ma ceki kondi nyani ma tarsi me.
Hivyo Lawi akanyanyuka na kumfuata, akiacha kila kitu nyuma.
29 Lawi manno ma siri imimare gbardang akura ameme barki Yeso, Anu kabisa ugandu wa ciki upenge ina re imimare ingome nan we.
Kisha Lawi akaandaa nyumbani kwake karamu kubwa kwa ajili ya Yesu. Walikuwapo watozaushuru wengi kule na watu wengi walioketi mezani wakila pamoja nao.
30 Abini me anu bezi utize nan anu unyite utize wa tubi u i gizo ahana akatuma kameme, unu gusa, “Nyanini ya wuna izin na re nan nanu kabisa ugandu nan na nu amadini?” Yeso
Lakini Mafarisayo na waandishi wao walikuwa wakiwanung'unikia wanafunzi, wakisema, “Kwa nini mnakula na kunywa na watoza ushuru pamoja na watu wengine wenye dhambi?”
31 ma kabirka magu, “Anu zatu koni wada nyara we uni nyiza utika ba, ana tikoni we wani wa nyara unu nyiza uti ka.
Yesu akawajibu, “Watu walio katika afya njema hawahitaji tabibu, ni wale tu wanaoumwa ndiyo watakao mhitaji mmoja.
32 Da ma aye barki in tisa ana alau ba, ma aye unyara ana madini wa kabi tize ta Asere”.
Sikuja kuwaita watu wenye haki haki wapate kutubu, bali kuwaita wenye dhambi wapate kutubu.”
33 Wa gun me, “Ahana Yahaya wadi uzi ni hiri sarki are wa wuzi biringara, ahana anu bezi utize wadi wuzi ani me. Ahana awe me wadi ri wa si”.
Wakamwambia, “Wanafunzi wa Yohana mara nyingi hufunga na kuomba, na wanafunzi wa Mafarisayo nao hufanya vivyo hivyo. Lakini wanafunzi wako hula na kunywa.”
34 Yeso mangun we, “Uye marani sa mada ma wuna aroni una anya wa hiri sarki are imimare uganiya una nya mazin na we?
Yesu akawaambia, “Inawezekana mtu yeyote akawafanya waliohudhuria harusi ya Bwana Arusi kufunga wakati Bwana Arusi bado yu pamoja nao?
35 Uwui me u eze sa adi ziki una anya me ahira awe me abine ani wadi hiri sarki are imimare.
Lakini siku zitakuja wakati Bwana Arusi atakapoondolewa kwao, ndipo katika siku hizo watafunga.”
36 Yeso manno makuri ma buki we u inko ugino me. “Azo de sa madi janika tirunga tiso ma duzi ti kuzi niba, in ka ma wuza anime, ti runga ti so me tida wuna uri nan ti kuzu me ba.
Kisha Yesu aliongea pia kwao kwa mfano. “Hakuna anayechana kipande cha nguo kutoka kwenye vazi jipya na kukitumia kurekebisha vazi la zamani. Kama akifanya hivyo, ataichana nguo mpya, na kipande cha nguo kutoka vazi jipya kisengefaa kutumika na nguo ya vazi la zamani.
37 Azo desa madi ziki uwongo iso ma wu anyimo idaka ikuzu. Inka ma wuza ani me, uwangu uso me udi pusi ida me, uwango me udi kwanko, idaka me idi corno me.
pia, hakuna mtu ambaye huweka divai mpya kwenye viriba vikuukuu. Kama akifanya hivyo, divai mpya ingepasua kile chombo, na divai ingemwagika, na viriba vingeharibika.
38 Barki ani me uwangu uso adi wu uni anyimo amu daka mu so.
Lakini divai mpya lazima iwekwe kwenye viriba vipya.
39 Azo desa madi nyari uwongo igino me, uganiya sa ma sa ukuzu me, madi gu ukuzu me uteki u so me”.
Na hakuna mtu baada ya kunywa divai ya zamani, hutataka mpya, kwa sababu husema, 'Ya zamani ni bora.”'

< Uluka 5 >