< Uluka 4 >

1 Yeso gbem in Bibe biririn, uze ume usuro uraba urdu. Bibe bitarsin me anijaa.
Kisha, Yesu akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alirudi kutoka Mto Jordani, na aliongozwa na Roho jangwani
2 Sa atiyee akuru aniza unu ubur unu manza ume. Atiyee tigenome daki ma ree imum ba, umassirka ma kunna ikomo.
kwa siku arobaini, na huko alijaribiwa na Ibilisi. Wakati huo hakula chochote, na mwisho wa wakati huo alihisi njaa.
3 Unu ubur ma gun me “Ingi huu vana Asere mani gamirka apoo ageme acukuno imum yaree”.
Ibilisi akamwambia, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, liamru jiwe hili kuwa mkate.”
4 Yeso ma kabirka me, “I Ciki unu nyetike unu mada ciki me barki imum yareeba”.
Yesu akamjibu, “Imeandikwa; 'mtu hataishi kwa mkate pekee.”
5 Abini me unu ubur ma ziki Yeso ma han me ahira atankaran ma bezi me tigomo tunee vat.
Kisha Ibilisi alimwongoza juu kwenye kilele cha mlima, na akamwonyesha falme zote za dunia kwa muda mfupi.
6 Unu ubur ma gun me “Indi nyawe vat tigomo nan timum tigeme barki sa anyam, mi inda ke innya de sa ma wunan.
Ibilisi akamwambia, “Nitakupa mamlaka ya kutawala falme hizi zote pamoja na fahari zake. Naweza kufanya hivyo kwa sababu vyote vimekabidhiwa kwangu nivitawale, na ninaweza kumpa yeyote nitakaye kumpa.
7 Ingi wa tunguno wa nonzom indi nya we”.
Kwahiyo, kama utaniinamia na kuniabudu, vitu hivi vyote vitakuwa vyako.”
8 Yeso ma kabirka ma gun me “I ciki unu nyertike 'Udi tarsi ugomo Asere nan Asere awe memani udi nonzo me cas”.
Lakini Yesu alijibu na kumwambia, “Imeandikwa, “lazima umwabudu Bwana Mungu wako, na lazima umtumikie Yeye peke yake.”
9 Abinime unu ubur ma ziki Yeso ma hanme Urushalima abi tenteri bu denge Asere ma gun me “Ingi vana Asere mani, hinna adizi.
Baadaye Ibilisi alimwongoza Yesu hadi Yerusalemu na kumweka sehemu ya juu kabisa ya jengo la hekalu na kumwambia, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, jitupe chini kutoka hapa.
10 Iciki unu nyertike madi buki ibe ika dura ka Asere iburu we
Kwa sababu imeandikwa, “Atawaagiza malaika zake wakutunze na kukulinda,
11 nan, 'Wadi kpatika we in tari kati u vabbi ubuna anipoo”.
na watakuinua juu mikononi mwao ili kwamba usiumize miguu yako juu ya jiwe.”
12 Ukabirka me, Yeso ma gun me “A gu kati umansa ugomo Asere nan Asere awe ba”.
Yesu akijibu alimwambia, “Imenenwa, “usimjaribu Bwana Mungu wako.”
13 Sa unu ubur me ma mara umanza u Yeso, ma cekime uhana uru ganiya.
Ibilisi alipomaliza kumjaribu Yesu, alienda zake na kumwacha hadi wakati mwingine.
14 Yeso ma kuri Ugalili inni kara ni Bibe, abangame a Samirka vat ati kikira ta hirame.
Kisha Yesu alirudi Galilaya kwa nguvu za Roho, na habari kumhusu yeye zikaenea na kusambaa katika mikoa jirani yote.
15 Ma tubi ubezizi a udenge unu gura anuu wa nonzo me vat.
Alifundisha katika masinagogi yao, na kila mmoja alimsifu.
16 Ma ē Unazarat, nipin me sa acanti min ma ribe udenge unu gura unu wui Asabar ma hiri ma tonno ubassa ihori.
Siku moja alikwenda Nazareti, mji ambao alilelewa na kukulia. Kama ilivyokuwa desturi yake aliingia kwenye sinagogi siku ya sabato, na alisimama kusoma maandiko.
17 Anyame anyimo u nyertike u Ishaya ma poki unyertikeme ma iri ahira me sa a guna,
Alikabidhiwa gombo la nabii Isaya, hivyo, alilifungua gombo na akatafuta sehemu iliyoandikwa,
18 “Bibe ba Asere bira anice num, ma zaukan inbuki anu dira abanga aririn ma tummim inbuki aciki arere, nan inpoki arubo aje, inwu aceki ande sa apatti we,
“Roho wa Bwana yuu juu yangu, kwa sababu alinitia mafuta kuhubiri habari njema kwa maskini. Amenituma kutangaza uhuru kwa wafungwa, na kuwafanya wasioona waweze kuona tena. Kuwaweka huru wale wanaogandamizwa,
19 inbuki anu niwee nin bussi na Asere”.
kuutangaza mwaka ambao Bwana ataonesha wema wake.”
20 Ma dusa ma impi inyerte me, makurzo una katuma men, Wa nuki me aje.
Kisha akalifunga gombo, akamrudishia kiongozi wa sinagogi, na akaketi chini. Macho ya watu wote waliokuwa katika sinagogi yalimwangalia yeye.
21 Ma tunguno we tize, “Kani unyertike Asere wa myinca ati tui tishi”.
Alianza kuzungumza nao akisema, “Leo andiko hili limetimizwa masikioni mwenu.”
22 Vat anuu sa wa rani ahira wa buu mang anice nume, wa kunna urunta utize me sa ta susso anyoo ame, wa iki me “Inzo vana Isubu ma zigeme ba?”
Kila mmoja pale alishuhudia kile alichokisema Yesu, na wengi miongoni mwao walishangazwa na maneno ya hekima yaliyokuwa yakitoka katika kinywa chake. Walikuwa wakisema, “huyu ni kijana tu wa Yusufu, siyo hivyo?”
23 Ma gun we “Kadundura inrusa idi bukini me tize anyimo atize tigeme, 'Unuu ninza utika huuman nicee nuwe. Vat imum sa la kunna wa wuzi u kafanahum, wa wuzzi ani pin nuwe cangi”.
Yesu akawaambia, “hakika mtasema methali hii kwangu, “Tabibu, jiponye mwenyewe. Chochote tulichosikia ukifanya Kapernaumu, kifanye hapa pia kijijini kwako.”
24 Ma kuri ma gu “Kadundura ma buka shi, ada kabame unuu kurzo utize ta Asere ani pin nume ba.
Pia alisema, “hakika nawaambia ninyi, hakuna nabii anayekubalika katika nchi yake.”
25 Inboo shi kadurra akoro waa rani Isaraila gbardang uganiya u Iliya, uganiya sa a impi Aseseri tiwee titaru nan tipe utasi Sārk uree, uganiya me sa awuzi ikomo idandang amanyanga mevat.
Lakini nawaambia ninyi kweli kwamba kulikuwa na wajane wengi Israel katika kipindi cha Eliya, wakati mbingu ilipofungwa kusiwe na nvua kwa miaka mitatu na nusu, wakati kulipokuwa na njaa kubwa katika nchi yote.
26 Anime daki atuma Iliya ahira a uye uwe ba, Senke ure ukoro sa ma ciki Uzarifat mamu nan nu Sidon.
Lakini Eliya hakutumwa kwa yeyote mmoja wao, lakini kwa mjane mmoja tu aliyeishi Sarepta karibu na mji wa Sidoni.
27 Akuturu waa kuri warani gbardang a Isaraila uganiya Elaisha unu Kurzuzo Utize ta Asere, Naaman unanu Suriya mani cas ahumanme.
Pia, kulikuwa na wakoma wengi Israel katika kipindi cha Elisha nabii, lakini hakuna hatammoja wao aliyeponywa isipokuwa Naamani mtu wa Siria.
28 Murubu manu sa warani udenge unu gura me mu curno me sa wa kunna tize me.
Watu wote ndani ya sinagogi walijawa na gadhabu walipoyasikia haya yote.
29 Wa hiri wa tuburko uwatu uni pin, wa han me ani poo me sa a nukki nipin nuwe men bati wa vinge me adizi.
Walisimama na kumsukumizia nje ya mji, na kumwongoza mpaka kwenye ukingo wa mlima wa mji ambapo mji wao ulijengwa juu yake, ili waweze kumtupa chini.
30 Ma akki atii awe ma haa arahira.
Lakini alipita salama katikati yao na akaenda zake.
31 Ma tuu uhana kafanahum nire nipin U Galili. Are Asabar unu bezizi anun anyimo udenge unu gura.
Kisha alitelemkia Kapernaumu, katika mji wa Galilaya. Sabato moja alikuwa akifundisha watu ndani ya sinagogi.
32 Wa gamari ubezizi umeme tak, barki sa tize tumeme tizin unubari.
Walishangazwa na mafundisho yake, kwasababu alifundisha kwa mamlaka.
33 Uganiya ure unuu anyimo udenge unu gura me in bibe bizenzen, ma wu uhunu ini myiran hidandang,
Sasa siku hiyo ndani ya sinagogi, kulikuwa na mtu aliyekuwa na roho ya pepo mchafu, na alilia kwa sauti ya juu,
34 “Nyanini mei mawe nan haru, Yeso unu Nazarat? Wa aye barki uhunduru? In rusa hu aveni, Ho mani wa Asere ulau”.
“Tuna nini nawe, Yesu wa Nazareti? Umekuja kutuangamiza? Ninajua wewe ni nani! Wewe ni mtakatifu wa Mungu!”
35 Yeso ma taarika ugbergene me ma gu “Wuna tik suro anyimo ame”. Sa ugbergene me ma reki unuu me adizi atii awe, ma suri daki ma kunno me iwono ba.
Yesu alimkemea pepo akisema, “Nyamaza kimya, na umtoke mtu huyu!” Pepo yule alipomtupa mtu yule chini katikati yao, alimtoka yule mtu bila ya kumsababishia maumivu yoyote.
36 Vat anuu wa meki ugamara me, wa meki uboo me acece. Wa gu “Tiyaya tize tazigino me? Ma busurka bibe bizenzen me unu bari nan nikara, wa suri”.
Watu wote walishangaa, na waliendelea kuzungumzia jambo hilo kila mmoja na mwenzake. Wakasema, “Ni maneno ya aina gani haya?” Anawaamuru roho wachafu kwa mamlaka na nguvu na watondoka.”
37 Atubi uboo abangame vat atikikira tini pin me.
Hivyo, habari juu ya Yesu zilienea kila sehemu katika maeneo yanayozunguka mkoa huo.
38 Yeso ma ceki udenge unu gura me ma ribe akura Siman. A'ino unee u Siman maa Zin unukon kang, wa tiri me tari anyo ame.
Kisha Yesu aliondoka katika mji huo na akaingia katika nyumba ya Simoni. Sasa, mama mkwe wake na Simoni alikuwa anaumwa homa kali, na wakamsihi kwa niaba yake.
39 Ma bussarka ukono, uceki me. Abini me ma hiri ma tubi we katuma.
Hivyo, Yesu alimsogelea, akaikemea ile homa na ikamwachia. Ghafla alisimama na akaanza kuwatumikia.
40 Unu wunjoro, unuu wa ē Yeso inna nuu ati kon sassas. Matari we tari wa huuma.
Jua lilipokuwa likizama, watu walimletea Yesu kila mmoja aliyekuwa mgonjwa wa maradhi ya aina mbalimbali. Aliweka mikono yake juu ya kila mgonjwa na akawaponya wote.
41 Abgergene wa suri anyimo awe gbardang, inti soo unu gusa “Huu vana Asere mani” Yeso matarika agbergene me ma karti we tize, barki wa rusa me Asere ani.
Mapepo pia yaliwatoka wengi wao yakilia kwa sauti na kusema, “Wewe ni mwana wa Mungu!” Yesu aliwakemea mapepo na hakuwaruhusu waongee, kwa sababu walijua kwamba yeye alikuwa ni Kristo.
42 Sa ahira asana, ma nyari ahira ma kuri anikira. Nigura na nuu unu nyara ume bati wa haa ahira me sa ma rani. Wa nyari inko ume kati madusa.
Wakati kulipopambazuka, alienda eneo lisilokuwa na watu. Makutano ya watu walikuwa wakimtafuta na wakaja katika eneo alilokuwapo. Walijaribu kumzuia asiende mbali na wao.
43 Ma gun we “Ya cukunom gbas inka boo abanga urunta uti Gomo ta Asere ati pinpin Sassas, barki anime ani atumum abame.
Lakini akawaambia, “Lazima pia nihubiri habari njema za ufalme wa Mungu katika miji mingine mingi, kwa kuwa hii ndiyo sababu nilitumwa hapa.”
44 Ma ree aje unu boo utize ta Asere anyimo ati denge tini gura vat upash Yahudiya.
Kisha aliendelea kuhubiri ndani ya masinagogi katika uyahudi wote.

< Uluka 4 >