< Uluka 15 >

1 Vat anu u kabsa ikirfi ima nyanga nan anu amadini wa ezi ahira a Yeso wa kunna ume.
Siku moja, watoza ushuru na wahalifu wengi walikwenda kumsikiliza Yesu.
2 Vat afatisiyawa nan anu yetteke wa zi unu humuro acece aweme, agi, “unu ugeme mazi unu kabsa anu kabsa ana madini, wa rē imumare nigome.”
Mafarisayo na walimu wa Sheria wakaanza kunung'unika: “Mtazameni mtu huyu! Anawakaribisha wenye dhambi, na tena anakula nao.”
3 Yeso ma buki ubata uginome, magu.
Yesu akawajibu kwa mfano:
4 Ingi uye shime ma zini itam inu akuri ukirau, bi inde be hunne me, mada ceki me ina kuri turwai in nanu turuwI, igino me ahira ukese, ma tarsi bi inde be sa ba hunne me maka tinka bini?
“Hivi, mtu akiwa na kondoo mia, akigundua kwamba mmoja wao amepotea, atafanya nini? Atawaacha wale tisini na tisa mbugani, na kwenda kumtafuta yule aliyepotea mpaka ampate.
5 Ingi maka tinka, madi tari agirza ini iriba irum.
Akimpata, atambeba mabegani kwa furaha.
6 Ingi maze akura, m titi aroni nan anu uppru umeme, magu, benkini mi iriba irum barki ma tinka ku tam me sa ka hunne mi.
Anapofika nyumbani, atawaita rafiki zake akiwaambia, Furahini pamoja nami, kwa sababu nimempata yule kondoo wangu aliyepotea.
7 In boo shi, ane adi wuzi uriba irum anyimo Aseseri, ahira uni imum iburi sa ma kaba tize ti Yeso, ma teki ana kuri turwai ina nanu turwai adesa wa zome ini riba ukaba u Yeso.
Kadhalika nawaambieni, ndivyo kutakavyokuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya kutubu kwa mwenye dhambi mmoja, kuliko kwa ajili ya watu tisini na tisa wanaojiona kuwa wema, wasiohitaji kutubu.
8 Nani uya unemeni, ingi ma zini ikirki azumo akelkel anu ukirau ingi biinde ba hunne me, mada wuna me ura ubitila ma visi akurame, ma dingi unyara me barki ma tika?
“Au mwaonaje? Tuseme mwanamke fulani ana sarafu kumi za fedha, akipoteza moja, atafanya nini? Atawasha taa, aifagie nyumba na kuitafuta kwa uangalifu mpaka aipate.
9 Ingi ma tinka madi ori oromi ameme nan anu upuru umeme, magu, benkini me iriba irum barki matinka bi kirfi bumme sa ba hunne me.
Akiipata, atawaita rafiki na jirani zake akisema, Furahini pamoja nami, kwa sababu nimeipata ile sarafu yangu iliyopotea.
10 Ane ani boo shi, imummu iriba irum ini ahira ahana kadure ka Asere ingi una madini u inde ma kaba Yeso.
Kadhalika nawaambieni, ndivyo watakavyofurahi malaika wa Mungu kwa sababu ya mwenye dhambi mmoja anayetubu.”
11 Ba Yeso magun we, uye ma rani mazina ahana ware aruma.
Yesu akaendelea kusema, “Kulikuwa na mtu mmoja mwenye wana wawili.
12 Kuci me anyimo ahana me magun in kacoo uweme, acoo, nyam ukalum um anyimo imumbe sa uzini, ba acoo me hari we imumbe sa ma zini karee.
Yule mdogo, alimwambia baba yake: Baba, nipe urithi wangu. Naye akawagawia mali yake.
13 Tiye ti akici, vana unezeme ma ori vat tirunga tumeme, ma meki unā uhana anire nipit. Abine ani maka huna ikirfi imeni, ma kpiji imumbe sa ma nyara, mahu ikirfi imeme ahira katuma kaburi.
Baada ya siku chache, yule mdogo aliuza urithi wake, akasafiri na fedha aliyopata, akaenda nchi ya mbali ambako aliitumia ovyo.
14 Sa ma mara u huna imumbe sa mazini, awuzi ikomo idandang ani pim me, ma ribe udira.
Alipomaliza kutumia kila kitu, kukatokea njaa kali katika nchi ile, naye akaanza kuhangaika.
15 Maha maka nyara katuma ahira uye una nipin me, ma ziki me katuma kunyinza maladu imum are.
Akaomba kazi kwa mwananchi mtu mmoja wa huko naye akampeleka shambani mwake kulisha nguruwe.
16 Maka kuna are imumare imaladume barki da a nyizi me imumare ba.
Alitamani kula maganda waliyokula wale nguruwe, ila hakuna mtu aliyempa kitu.
17 Sa iriba me ya koro ahira me, magu ana katuma ka acoo am, am wani wazin in imumare sa ya bar we, mi be indi wi barki ikono.
Alipoanza kupata akili akafikiri: Mbona kuna wafanyakazi wengi wa baba yangu wanaokula na kusaza, nami ninakufa njaa?
18 Indi biri in ha ahira'”acoo am, in ka gunan me, acoo am ma wuza aseseri imum iburi, makuri ma wuzo weni.
Nitarudi kwa baba yangu na kumwambia: Baba, nimemkosea Mungu, na nimekukosea wewe pia.
19 Da ma bari akuri agun mi vana uwe ba, kurzom gusi anyimo ana katuma ka akura aweme.”
Sistahili hata kuitwa mwanao. Nifanye kama mmoja wa wafanyakazi wako.
20 Ba ma hiri ma dusa ahira acoo me. Datti mazi pit, acoo me ma iri me ugogoni u meka me, dusa unu sum maka meki me ma gbendiriko.
Basi, akaanza safari ya kurudi kwa baba yake. Alipokuwa bado yu mbali, baba yake alimwona, na kwa moyo wa huruma alimkimbilia, akamkumbatia na kumbusu.
21 Vana ma gun me, ma wuza Asesere imum ima dini ma kuri ma wuza we. Da ma bari utitim vana uweba.
“Mwanawe akamwambia: Baba, nimemkosea Mungu, na nimekukosea wewe pia. Sistahili hata kuitwa mwanao.
22 Acoo me magun na arere akurame, wuzani debe i ēn unu dibi uriri, isoki me, sokini me bicofo atari timeme nan akwatak ati buna tumeme.
Lakini baba yake akawaambia watumishi wake: Haraka! Leteni nguo nzuri mkamvike! Mvisheni pete na viatu!
23 Aka nyara ku naa sa inta akura, aweki, ti wuzi nigora.
Mchinjeni ndama mnono; tule kusherehekea!
24 Vana um ma wi ana me ma zinu vengize, ma hune me ana me a kem me, watubi are imumare.
Kwa sababu huyu mwanangu alikuwa amekufa, kumbe yu mzima alikuwa amepotea, lakini sasa amepatikana. Wakaanza kufanya sherehe.
25 Uganiya nginome, vana u unu ma ra uru, sa ma aye mamu in nakura, ma kuma azin unu tira umanganga nan murso.
“Wakati huo kaka yake alikuwa bado shambani. Alipokuwa akirudi na kukaribia nyumbani akasikia vifijo na ngoma.
26 Matiti ure urere akura me, ma iki me nyannini azini wuza me anime.
Akamwita mmoja wa watumishi, akamwuliza: Kuna nini?
27 Urere magun me, uhenu uwemani maze akura, acoo aweme ma weki ku naa kugino, barki maze akura merum.
Huyo mtumishi akamwambia: Ndugu yako amerudi nyumbani, na baba yako amemchinjia ndama mnono kwa kuwa amempata akiwa salama salimini.
28 Uhenu me ma kuna iriba, ma game uribe akura me, acoo me ma suri ma rigaga me.
Huyo kijana mkubwa akawaka hasira hata akakataa kuingia nyumbani. Baba yake akatoka nje na kumsihi aingie.
29 Ya u unu me magun inka acoo me, ira vat ugbardang uti wee ti geme in zi in nirere dama mamu cara we iribani ba, vat anime da wamu nyan ku naa sa s indi wuzi nire ni hara nan runi am ba.
Lakini yeye akamjibu: Kumbuka! Miaka yote nimekutumikia, sijavunja amri yako hata mara moja. Umenipa nini? Hujanipa hata mwana mbuzi mmoja nikafanye sherehe pamoja na rafiki zangu!
30 Sa vana uwe ugino me maze desa ma poki we nirubu unu kem uweme ahira anee uziza arubu, wa weki me kunaa ku naa ku ginime.
Lakini mtoto wako huyu aliyekula mali yako pamoja na makahaba, mara tu alipokuja umemchinjia yule ndama mnono.
31 Acoo me ma gun me, vana um, tizi na hu kondi uya uwui, vat imum be sa izi in iwe ini.
Baba yake akamjibu: Mwanangu, wewe uko pamoja nami siku zote, na kila nilicho nacho ni chako.
32 Ya wuna uri awuzi iriba irm, barki uhenu uweme ma wi, a' ana me ma vengize, ma hunne me a kem me.
Ilitubidi kufanya sherehe na kufurahi, kwa sababu huyu ndugu yako alikuwa amekufa, kumbe yu mzima; alikuwa amepotea, lakini sasa amepatikana.”

< Uluka 15 >