< Uluka 10 >

1 Adomo imumu ginome, ugomo Asere makuri maturi aye ukirau, kanu sunare, maharawe wa rere, barki wadusa ati pintinpin nan na hira me sa manyar u haname.
Baada ya hayo, Bwana aliwachagua wengine sabini na wawili, akawatuma wawiliwawili, wamtangulie katika kila kijiji na mahali ambapo yeye mwenyewe alitaka kwenda.
2 Magun we, “Ukuzame u ori ana kana tuma wahuma cin. Barki anime wuzani biringara kan u hana Asere ukuzame, barki ma tumin inana katuma anyimo u ruu umeme.
Akawaambia, “Mavuno ni mengi, lakini wavunaji ni wachache. Kwa hivyo, mwombeni mwenye shamba atume wavunaji shambani mwake.
3 Dusanni, wa matumashi kasi muzara anyimo ikukure.
Sasa nendeni; fahamuni kwamba ninawatuma ninyi kama kondoo wanaokwenda kati ya mbwa mwitu.
4 Kati ziki ubadu ikirfi, nani u badau ana tanu, nani akwatak, kati issi uye azesere una ba.
Msichukue mfuko wa fedha, mkoba, wala viatu; msimsalimu mtu yeyote njiani.
5 Vat ta akura sa ya ribe, itubi uguna, 'aca urunta u cukuno aku ra aginome.
Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza wasalimuni hivi: Amani iwe katika nyumba hii!
6 Inki uye una ticukum tirunta mara ni akurame, urunta urunta ushi udi cukuno ani ce nume, inki uzome ba, urunta ushi udi kuri ahira ashi.
Kama akiwako mwenye kupenda amani, amani yenu itakaa naye, la sivyo, itawarudieni.
7 Cukunoni akura aginome, iri isi imum be sawa nyara shini. Yawuna uri una katuma makabi ukalum ume. Kati tarsi tikura tikura ba.
Kaeni katika nyumba hiyo mkila na kunywa wanavyowapeni, maana mfanyakazi anastahili mshahara wake. Msiende mara nyumba hii mara nyumba ile.
8 Vatti nipinme saya kuri yarbeni, iri imumbe sawa inko aje ashi.
Kama mkifika mji fulani na watu wakiwakaribisha, kuleni wanavyowapeni.
9 I humuzan nanu uzatu nuhuma a hira me. igunwe, 'tigomo ta Asere ta aya mamu nan shi.
Ponyeni wagonjwa walioko huko, waambieni watu: Ufalme wa Mungu umekaribia kwenu.
10 Vatti nipinme saya ribeni, inki daki wakaba shi ba, idusa anyi mo ati na tu we me, igu.
Lakini mkiingia katika mji wowote, wasipowakaribisheni, tokeni; nanyi mpitapo katika barabara zao semeni:
11 'Inki usussuru unipin nishime watafi na atibuna tiru, ti kubur kashi u ni anyo uinko u ira ace ashi! Senke irusi tigomo ta Asere ta aye mamu nan shi'.
Hata mavumbi ya mji wenu yaliyoshikamana na miguu yetu tunawakung'utieni. Lakini, jueni kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia.
12 Mabuka shi, roni uweku tize u sadoma udi teki innu sheu.
Hakika nawaambieni, siku ile mji huo utapata adhabu kubwa zaidi kuliko ile ya watu wa Sodoma.
13 Hu wono sis anime, ukirosino! Huwono sis anime u Baitsaida! Biwuza wuza bidang sa awuza anyimo ashi, dagi a wuza ini anyimo u Taya nan nu Sidon, sa dati wakabi tize ta Asere wa ciki anyimo amuto in turum ga titiyom.
“Ole wako Korazini! Ole wako Bethsaida! Maana, kama miujiza iliyofanyika kwenu ingalifanyika kule Tiro na Sidoni, watu wake wangalikwishavaa mavazi ya gunia kitambo, na kukaa katika majivu kuonyesha kwamba wametubu.
14 Aname roni weki utize Utaya nan nu Sidon wadi teki innu kenu us Sheu.
Hata hivyo, Siku ya Hukumu ninyi mtapata adhabu kubwa zaidi kuliko ile ya watu wa Tiro na Sidoni.
15 Hu U Kafarnahum, ubasa uhana azesere adi nonzowe? Mmmm, a di tiburkowe uhana uhadas. (Hadēs g86)
Na wewe Kafarnaumu, unataka kujikweza mpaka mbinguni? La; utaporomoshwa mpaka Kuzimu.” (Hadēs g86)
16 Deve sa makunna shi makun nam, des a magaa shi, ma gaa mi, aname desa magaami magaa desama tuma”.
Halafu akasema, “Anayewasikiliza ninyi, ananisikiliza mimi; na anayekataa kuwapokea ninyi, anakataa kunipokea mimi. Yeyote anayekataa kunipokea, anakataa kumpokea yule aliyenituma.”
17 We ainoo ino kanu sunare me waze inti puru tirum, wazinnu gusa, “Asere, a gbergene cangi wa kunnan duru, anyimo ani zanuwe.
Baadaye, wale sabini na wawili walirudi wamejaa furaha, wakisema, “Bwana, hata pepo wametutii tulipolitaja jina lako.”
18 Bayeso magun we, “Ma ira u nu uburu mazin nu rizizo kasi u melme azesere.
Yeye akawaambia, “Nilimwona Shetani jinsi alivyokuwa anaporomoka kama umeme kutoka mbinguni.
19 Ira ni manya shi ubari inni, iwa nan ninu, nan nu vat ubari u na ticari, ko cin madake mada aye shi in ire mu ba.
Naam, nimewapeni uwezo wa kukanyaga nyoka na ng'e, na uwezo juu ya nguvu zote za yule adui; hakuna chochote kitakachowadhuru.
20 Vat a anime katu iwuzi apuru arum in nuguna anime cas agi ibe iburu ikunna shi, anime wu zani apuru arum barki a nyeti ke tiza tishi anyimo Asesere”.
Hata hivyo, msifurahi kwa sababu pepo wamewatii, bali furahini kwa sababu majina yenu yameandikwa mbinguni.”
21 Anyimo uganiya uginome, ma wuzi apuru arum kank anyimo abibe bilau, magu, manyawe ti nanu, hu acoo, ugoma Asere nan nadizi. Barki umpo iginome ti mumum to suro anu rusa, ubuki tini ahiran desa daki wamazaba, kasi ahana acincin e acoo a ne ani ya wunawe.
Saa ileile, Yesu akafurahi kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, akasema, “Nakushukuru ee Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa kuwa umewaficha wenye hekima na elimu mambo haya, ukawafumbulia wadogo. Naam, Baba, ndivyo ilivyokupendeza.”
22 Vatti imum, acoo ma nyam ini, badesa marusa vaname, Senke acoo me, anime ani badesa maru sa coo me, Senke vaname. Desa vaname manyari ma poki acoome ahirame”.
Kisha akasema, “Baba yangu ameweka yote mikononi mwangu. Hakuna amjuaye Mwana ni nani ila Baba, wala amjuaye Baba ni nani ila Mwana, na yeyote yule ambaye Mwana anataka kumfunulia hayo.”
23 Magamirka ahira anu tarsa u me, magun we ame isisi ime, “Anu ringirka ulani an desa wa ira imumbe saya ira.
Halafu akawaelekea wafuasi wake akawaambia, “Heri wanaoona yale mnayoyaona ninyi!
24 Mabuka shi, anu kur zuzo utize gbardang, nan na gomo gbardang wanya ra wada ira mumme sa izin nu hira me, daki wa iraba. Wanyara wa da kunna imumme sa ikunna, daki wa kunna ba”.
Hakika, manabii na wafalme walitamani kuona yale mnayoyaona ninyi wasiyaone, na kusikia yale mnayoyasikia wasiyasikie.”
25 Ba akem uye unu dungara utize tini kubu tima yahudawa, ma e ma masame in nu guna, “unu dungara, nyani indi wuzi barki inkem u vengize uzatu mara?” (aiōnios g166)
Baadaye mwalimu mmoja wa Sheria alisimama akamwuliza akitaka kumtega, “Mwalimu, nifanye nini ili nipate uzima wa milele?” (aiōnios g166)
26 Ba Yeso magun me, “Ine ni uhira u hira imumbe sa anyitike anyimo uweki utize tini kubume?”
Yesu akamwuliza, “Imeandikwa nini katika Sheria? Unaelewaje?”
27 Makabarka, magu, “Ya cukuno uhem innu gomo Asere vat inni riba i we, nan nikara nuwe, nan nubasa u we. Ukuri uhem innu puru u we kasi nice nuwe”.
Akamjibu, “Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote. Na, mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.”
28 Yeso magun ne, “Wakabirka rep, inki wawuna ani me udi vengize”.
Yesu akawaambia, “Vema! Fanya hivyo, nawe utaishi.”
29 Unu dungara me manyari ubura uni ce nume, bama gun inye so, “A veni unu puru ume?”
Lakini yeye akitaka kujihakikishia kuwa mwema akamwuliza Yesu, “Na jirani yangu ni nani?”
30 Ma kabirka magu, “Ure unu mahaka usuro a urshalima mahaza uyari ko. Ba ma rizi atari tanu gartize anu. Wa susome turunga, waburi vat imumbe sama zini, wa tiri me, wace ki me kasi ikizi.
Yesu akamjibu, “Mtu mmoja alikuwa anashuka kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko. Alipokuwa njiani, alivamiwa na majambazi, wakamnyang'anya mali yake na kumpiga, wakamwacha amelala pale nusu mfu.
31 A kem ure una katuma matasa uname, samaa wame ba matarsi ni kira ni inde ma aki.
Kumbe, kuhani mmoja akawa anapita barabara ileile, akamwona, akapita kando.
32 Akuri a iri ure ubalawi, sama aye ahirame, ma iri me ba ma tarsi nikira ma akki.
Hali kadhalika na Mlawi mmoja, alipofika mahali akamwona, akapita kando.
33 Ure u samariyawa, ma zin tanu sama aye ahira me sa unume maraa ni, sama ira unume ba ugogoni umekime.
Lakini Msamaria mmoja aliyekuwa anasafiri, alifika pale yule mtu alipokuwa, naye alipomwona, alimwonea huruma.
34 Ma ē ahira sa umume marani, ma tirzi me tinuru me sa a kunnome ni, mazin nu humma ume mani nan mei mu inabi. Maturi me abi zenki bumeme ma en me ahira amusa, mahirime.
Akamwendea, akamtibu majeraha yake kwa kumtia mafuta na divai; na kuyafunga halafu akampandisha juu ya punda wake akampeleka katika nyumba moja ya wageni akamuuguza.
35 A hira asani ma ēn nidinari inire ma nya hira amura me magu, 'hirame, inki wahu na imumbe sa ite ki anime, inki mazee indi indi kur zo we ni'.
Kesho yake akatoa fedha dinari mbili akampa yule mwenye nyumba, akamwambia, Muuguze mtu huyu; na chochote utakachotumia zaidi, nitakulipa nitakaporudi.”
36 Anyimo we wataru me, aveni u basa mara upuru unu ugino me sa ma rizo atari tanu gartize anu me?”
Kisha Yesu akauliza, “Kati ya hao watatu, ni yupi aliyeonyesha kuwa jirani yake yule aliyevamiwa na majambazi?”
37 Ba unu dungara magu, “Unuge sama bezime ubura” ba Yeso ma gun me, “Huma kawuza anime”.
Yule mwalimu wa Sheria akamjibu, “Ni yule aliyemwonea huruma.” Yesu akamwambia, “Nenda ukafanye vivyo hivyo.”
38 Sa wa haka ba ma ribe anyimo are agiro, ba uru ne uni ni marta ma wume rabahu akura meme.
Walipokuwa safarini, waliingia katika kijiji kimoja na mwanamke mmoja, aitwaye Martha, alimkaribisha nyumbani kwake.
39 Ma zin henu ni zame Maryamu, desa ma cukuno ati buna tu gomo Asere mazin nu kunna imum sa ma buka.
Martha alikuwa na dada yake aitwaye Maria; huyu aliketi karibu na Yesu akisikiliza mafundisho yake.
40 Me marta mazin na banga imumare. Ba ma ahira ye so magu, “Ugomo Asare, adaa igizo in nu henu um sa ma cekum isisi im? Gunan me ma benkum”.
Lakini Martha alikuwa anashughulika na mambo mengi. Basi, akamwendea Yesu, akamwambia, “Bwana, hivi hujali kwamba dada yangu ameniacha nishughulike peke yangu? Mwambie basi, anisaidie.”
41 Ugomo Asere ma kabir ka me, “Marta, Marta, uzin ma aye a hira imum gbardang.
Lakini Bwana akamjibu, “Martha, Martha, unahangaika na kusumbuka kwa mambo mengi.
42 I mum inde ini ya cukuno gbas. Maryamu ma zauka imum iri ri. Igebe sa adake aburi ini ame ba”.
Kitu kimoja tu ni muhimu. Maria amechagua kitu bora zaidi ambacho hakuna mtu atakayemnyag'anya.”

< Uluka 10 >