< Neemia 7 >

1 Or quando le mura furon riedificate ed io ebbi messo a posto le porte, e i portinai, i cantori e i Leviti furono stabiliti nei loro uffici,
Baada ya ukuta kukamilika kujengwa upya na nikaweka milango, mabawabu wa lango, waimbaji, na Walawi waliteuliwa.
2 io detti il comando di Gerusalemme ad Hanani, mio fratello, e ad Hanania governatore del castello, perch’era un uomo fedele e timorato di Dio più di tanti altri.
Nikamweka Hanani ndugu yangu kuwa kiongozi wa Yerusalemu, pamoja na Hanania jemadari wa ngome, kwa kuwa alikuwa mtu mwadilifu na mwenye kumcha Mungu kuliko watu wengine.
3 E dissi loro: “Le porte di Gerusalemme non s’aprano finché il sole scotti; e mentre le guardie saranno ancora al loro posto, si chiudano e si sbarrino le porte; e si stabiliscano per far la guardia, gli abitanti di Gerusalemme, ciascuno al suo turno e ciascuno davanti alla propria casa”.
Nikawaambia, “Malango ya Yerusalemu yasifunguliwe mpaka jua litakapokuwa limepanda. Walinzi wa malango wakiwa bado kwenye zamu, waamuru wafunge milango na waweke makomeo. Pia wateueni wenyeji wa Yerusalemu wawe walinzi, kila mmoja kwenye lindo lake, na wengine karibu na nyumba zao wenyewe.”
4 Or la città era spaziosa e grande; ma dentro v’era poca gente, e non vi s’eran fabbricate case.
Mji ulikuwa mkubwa, tena wenye nafasi nyingi, lakini walikuwepo watu wachache ndani yake, nazo nyumba zilikuwa bado ni magofu.
5 E il mio Dio mi mise in cuore di radunare i notabili, i magistrati e il popolo, per farne il censimento. E trovai il registro genealogico di quelli ch’eran tornati dall’esilio la prima volta, e vi trovai scritto quanto segue:
Hivyo Mungu wangu akaweka moyoni mwangu kuwakusanya wakuu, maafisa na watu wa kawaida kwa ajili ya kuorodheshwa kulingana na jamaa zao. Nilikuta orodha ya vizazi ya wale waliokuwa wa kwanza kurudi toka utumwani. Haya ndiyo niliyokuta yameandikwa humo:
6 Questi son quei della provincia che tornarono dalla cattività; quelli che Nebucadnetsar, re di Babilonia, avea menati in cattività, e che tornarono a Gerusalemme e in Giuda, ciascuno nella sua città.
Hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
7 Essi tornarono con Zorobabele, Jeshua, Nehemia, Azaria, Raamia, Nahamani, Mardocheo, Bilshan, Mispereth, Bigvai, Nehum e Baana. Censimento degli uomini del popolo d’Israele:
wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Azaria, Raamia, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispereti, Bigwai, Nehumu na Baana): Orodha ya wanaume wa Israeli ilikuwa:
8 Figliuoli di Parosh, duemila centosettantadue.
wazao wa Paroshi 2,172
9 Figliuoli di Scefatia, trecentosettantadue.
wazao wa Shefatia 372
10 Figliuoli di Ara, seicento cinquantadue.
wazao wa Ara 652
11 Figliuoli di Pahath-Moab, dei figliuoli di Jeshua e di Joab, duemila ottocentodiciotto.
wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,818
12 Figliuoli di Elam, mille duecentocinquanta quattro.
wazao wa Elamu 1,254
13 Figliuoli di Zattu, ottocentoquaranta cinque.
wazao wa Zatu 845
14 Figliuoli di Zaccai, settecentosessanta.
wazao wa Zakai 760
15 Figliuoli di Binnui, seicento quarantotto.
wazao wa Binui 648
16 Figliuoli di Bebai, seicento ventotto.
wazao wa Bebai 628
17 Figliuoli di Azgad, duemila trecento ventidue.
wazao wa Azgadi 2,322
18 Figliuoli di Adonikam, seicento sessantasette.
wazao wa Adonikamu 667
19 Figliuoli di Bigvai, duemila sessantasette.
wazao wa Bigwai 2,067
20 Figliuoli di Adin, seicento cinquantacinque.
wazao wa Adini 655
21 Figliuoli di Ater, della famiglia d’Ezechia, novantotto.
wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
22 Figliuoli di Hashum, trecentoventotto.
wazao wa Hashumu 328
23 Figliuoli di Bezai, trecento ventiquattro.
wazao wa Besai 324
24 Figliuoli di Harif, centododici.
wazao wa Harifu 112
25 Figliuoli di Gabaon, novantacinque.
wazao wa Gibeoni 95
26 Uomini di Bethlehem e di Netofa, centottantotto.
watu wa Bethlehemu na Netofa 188
27 Uomini di Anathoth, centoventotto.
watu wa Anathothi 128
28 Uomini di Beth-Azmaveth, quarantadue.
watu wa Beth-Azmawethi 42
29 Uomini di Kiriath-Jearim, di Kefira e di Beeroth, settecentoquarantatre.
watu wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
30 Uomini di Rama e di Gheba, seicentoventuno.
watu wa Rama na Geba 621
31 Uomini di Micmas, centoventidue.
watu wa Mikmashi 122
32 Uomini di Bethel e d’Ai, centoventitre.
watu wa Betheli na Ai 123
33 Uomini d’un altro Nebo, cinquantadue.
watu wa Nebo 52
34 Figliuoli d’un altro Elam, mille duecentocinquanta quattro.
wazao wa Elamu 1,254
35 Figliuoli di Harim, trecentoventi.
wazao wa Harimu 320
36 Figliuoli di Gerico, trecento quarantacinque.
wazao wa Yeriko 345
37 Figliuoli di Lod, di Hadid e d’Ono, settecentoventuno.
wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 721
38 Figliuoli di Senaa, tremila novecentotrenta.
wazao wa Senaa 3,930
39 Sacerdoti: figliuoli di Jedaia, della casa di Jeshua, novecento sessantatre.
Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
40 Figliuoli di Immer, mille cinquantadue.
wazao wa Imeri 1,052
41 Figliuoli di Pashur, mille duecento quarantasette.
wazao wa Pashuri 1,247
42 Figliuoli di Harim, mille diciassette.
wazao wa Harimu 1,017
43 Leviti: figliuoli di Jeshua e di Kadmiel, de’ figliuoli di Hodeva, settantaquattro.
Walawi: wazao wa Yeshua (kupitia Kadmieli kupitia jamaa ya Hodavia) 74
44 Cantori: figliuoli di Asaf, cento quarantotto.
Waimbaji: wazao wa Asafu 148
45 Portinai: figliuoli di Shallum, figliuoli di Ater, figliuoli di Talmon, figliuoli di Akkub, figliuoli di Hatita, figliuoli di Shobai, centotrentotto.
Mabawabu wa malango: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 138
46 Nethinei: figliuoli di Tsiha, figliuoli di Hasufa, figliuoli di Tabbaoth,
Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
47 figliuoli di Keros, figliuoli di Sia, figliuoli di Padon,
wazao wa Kerosi, Sia, Padoni,
48 figliuoli di Lebana, figliuoli di Hagaba, figliuoli di Salmai,
wazao wa Lebana, Hagaba, Shalmai,
49 figliuoli di Hanan, figliuoli di Ghiddel, figliuoli di Gahar,
wazao wa Hanani, Gideli, Gahari,
50 figliuoli di Reaia, figliuoli di Retsin, figliuoli di Nekoda,
wazao wa Reaya, Resini, Nekoda,
51 figliuoli di Gazzam, figliuoli di Uzza, figliuoli di Paseah,
wazao wa Gazamu, Uza, Pasea,
52 figliuoli di Besai, figliuoli di Meunim, figliuoli di Nefiscesim,
wazao wa Besai, Meunimu, Nefusimu,
53 figliuoli di Bakbuk, figliuoli di Hakufa, figliuoli di Harhur,
wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
54 figliuoli di Bazlith, figliuoli di Mehida, figliuoli di Harsha,
wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
55 figliuoli di Barkos, figliuoli di Sisera, figliuoli di Temah,
wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
56 figliuoli di Netsiah, figliuoli di Hatifa.
wazao wa Nesia na Hatifa.
57 Figliuoli dei servi di Salomone: figliuoli di Sotai, figliuoli di Sofereth, figliuoli di Perida,
Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Soferethi, Perida,
58 figliuoli di Jala, figliuoli di Darkon, figliuoli di Ghiddel,
wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
59 figliuoli di Scefatia, figliuoli di Hattil, figliuoli di Pokereth-Hatsebaim, figliuoli di Amon.
wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Amoni.
60 Totale dei Nethinei e de’ figliuoli de’ servi di Salomone, trecentonovantadue.
Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
61 Ed ecco quelli che tornarono da Tel-Melah, da Tel-Harsha, da Kerub-Addon e da Immer, e che non avean potuto stabilire la loro genealogia patriarcale per dimostrare ch’erano Israeliti:
Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
62 figliuoli di Delaia, figliuoli di Tobia, figliuoli di Nekoda, seicento quarantadue.
wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 642
63 Di tra i sacerdoti: figliuoli di Habaia, figliuoli di Hakkots, figliuoli di Barzillai, il quale avea sposato una delle figliuole di Barzillai, il Galaadita, e fu chiamato col nome loro.
Na kutoka miongoni mwa makuhani: wazao wa Hobaya, Hakosi na Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
64 Questi cercarono i loro titoli genealogici, ma non li trovarono, e furon quindi esclusi, come impuri, dal sacerdozio;
Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani, kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.
65 e il governatore disse loro di non mangiare cose santissime finché non si presentasse un sacerdote per consultar Dio con l’Urim e il Thummim.
Kwa hiyo, mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
66 La raunanza, tutt’assieme, noverava quarantaduemila trecentosessanta persone,
Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;
67 senza contare i loro servi e le loro serve, che ammontavano a settemila trecento trentasette. Avevan pure duecento quarantacinque cantori e cantatrici.
tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 245.
68 Avevano settecento trentasei cavalli, duecento quarantacinque muli,
Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245
69 quattrocento trentacinque cammelli, seimila settecentoventi asini.
ngamia 435 na punda 6,720.
70 Alcuni dei capi famiglia offriron dei doni per l’opera. Il governatore diede al tesoro mille dariche d’oro, cinquanta coppe, cinquecentotrenta vesti sacerdotali.
Baadhi ya viongozi wa jamaa walichangia kazi ya ujenzi. Mtawala alikabidhi kwenye hazina darkoni 1,000 za dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 kwa ajili ya makuhani.
71 E tra i capi famiglia ve ne furono che dettero al tesoro dell’opera ventimila dariche d’oro e duemila duecento mine d’argento.
Baadhi ya viongozi wa jamaa walikabidhi kwenye hazina darkoni 20,000 za dhahabu, na mane 2,200 za fedha kwa ajili ya kazi hiyo.
72 Il resto del popolo dette ventimila dariche d’oro, duemila mine d’argento e sessantasette vesti sacerdotali.
Jumla ya matoleo ya watu wengine yalikuwa ni darkoni 20,000 za dhahabu, mane 2,000 za fedha, na mavazi sitini na saba ya makuhani.
73 I sacerdoti, i Leviti i portinai, i cantori, la gente del popolo, i Nethinei e tutti gl’Israeliti si stabilirono nelle loro città.
Makuhani, Walawi, mabawabu, waimbaji na watumishi wa Hekalu, pamoja na baadhi ya watu wengine na Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao wenyewe. Ilipotimia miezi saba, nao Waisraeli wakiwa tayari wanaishi katika miji yao,

< Neemia 7 >