< 1 Cronache 8 >

1 Beniamino generò Bela, suo primogenito, Ashbel il secondo, Aharah il terzo,
Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
2 Nohah il quarto, e Rafa il quinto.
Noha, na Rafa.
3 I figliuoli di Bela furono: Addar, Ghera, Abihud,
Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
4 Abishua, Naaman, Ahoah,
Abishau, Naamani, Ahoa,
5 Ghera, Scefufan e Huram.
Gera, Shefufani, na Huramu.
6 Questi sono i figliuoli di Ehud, che erano capi delle famiglie che abitavano Gheba e che furon trasportati schiavi a Manahath.
Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
7 Egli generò Naaman, Ahija e Ghera, che li menò via schiavi; e generò Uzza ed Ahihud.
Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
8 Shaharaim ebbe de’ figliuoli nella terra di Moab dopo che ebbe ripudiate le sue mogli Huscim e Baara.
Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
9 Da Hodesh sua moglie ebbe: Jobab, Tsibia, Mesha, Malcam,
kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
10 Jeuts, Sokia e Mirma. Questi furono i suoi figliuoli, capi di famiglie patriarcali.
Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
11 Da Huscim ebbe: Abitub ed Elpaal.
Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
12 Figliuoli di Elpaal: Eber, Misham, Scemed, che edificò Ono, Lod, e le città che ne dipendevano.
Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
13 Beria e Scema, erano i capi delle famiglie che abitavano Ajalon, e misero in fuga gli abitanti di Gath.
Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
14 Ahio, Shashak, Jeremoth, Zebadia,
Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
15 Arad, Eder,
Zebadia, Aradi, Eda,
16 Micael, Jishpa, Joha erano figliuoli di Beria.
Mikaeli, Ishipa, na Joha.
17 Zebadia, Meshullam, Hizki, Heber,
Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
18 Jshmerai, Jzlia e Jobab erano figliuoli di Elpaal.
Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
19 Jakim, Zicri, Zabdi,
Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
20 Elienai, Tsilletai, Eliel,
Elienai, Zilletai, Elieli,
21 Adaia, Beraia e Scimrath erano figliuoli di Scimei.
Adaia, Beraia, na Shimrati.
22 Jshpan, Eber, Eliel,
Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
23 Abdon, Zicri, Hanan,
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 Hanania, Elam, Anthotija,
Hanania, Elamu, Antotoja,
25 Jfdeia e Penuel erano figliuoli di Shashak.
Ifdeia, na Penueli.
26 Shamscerai, Sceharia, Atalia,
Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
27 Jaaresia, Elija e Zicri erano figliuoli di Jeroham.
Yaareshia, Elija, na Zikri.
28 Questi erano capi di famiglie patriarcali: capi secondo le loro generazioni; e abitavano a Gerusalemme.
Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
29 Il padre di Gabaon abitava a Gabaon, e sua moglie si chiamava Maaca.
Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
30 Il suo figliuolo primogenito fu Abdon; poi ebbe Tsur, Kish, Baal, Nadab, Ghedor, Ahio, Zeker.
Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
31 Mikloth generò Scimea.
Gedori, Ahio, na Zekari.
32 Anche questi abitarono dirimpetto ai loro fratelli a Gerusalemme coi loro fratelli.
Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
33 Ner generò Kis; Kis generò Saul; Saul generò Gionathan, Malkishua, Abinadab, Eshbaal.
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
34 Figliuoli di Gionathan: Merib-Baal. Merib-Baal generò Mica.
Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
35 Figliuoli di Mica: Pithon, Melec, Taarea, Ahaz.
Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
36 Ahaz generò Jehoadda; Jehoadda generò Alemeth, Azmaveth e Zimri; Zimri generò Motsa;
Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
37 Motsa generò Binea, che ebbe per figliuolo Rafa, che ebbe per figliuolo Eleasa, che ebbe per figliuolo Atsel.
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
38 Atsel ebbe sei figliuoli, dei quali questi sono i nomi: Azrikam, Bocru, Ishmael, Scearia, Obadia e Hanan. Tutti questi erano figliuoli di Atsel.
Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
39 Figliuoli di Escek suo fratello: Ulam, il suo primogenito; Jeush il secondo, ed Elifelet il terzo.
Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
40 I figliuoli di Ulam furono uomini forti e valorosi, tiratori d’arco; ebbero molti figliuoli e nipoti: centocinquanta. Tutti questi furon discendenti di Beniamino.
Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.

< 1 Cronache 8 >