< 1 Cronache 2 >

1 Questi sono i figliuoli d’Israele: Ruben, Simeone, Levi, Giuda, Issacar e Zabulon;
Hawa ndio wana wa Israeli: Reubeni, Simioni, Lawi, Yuda, Isakari, Zebuloni,
2 Dan, Giuseppe, Beniamino, Neftali, Gad e Ascer.
Dani, Yusufu, Benyamini, Naftali, Gadi, na Asheri.
3 Figliuoli di Giuda: Er, Onan e Scela; questi tre gli nacquero dalla figliuola di Shua, la Cananea. Er, primogenito di Giuda, era perverso agli occhi dell’Eterno, e l’Eterno lo fece morire.
Wana wa Yuda walikuwa Eri, Onani, na Shela, ambao walizaliwa na binti wa Shua, Wakanaani. Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa muovu katika macho ya Yahweh, na Yahweh akamwua.
4 Tamar, nuora di Giuda, gli partorì Perets e Zerach. Totale dei figliuoli di Giuda: cinque.
Tamari, mkwe wake, alimzalia Peresi na Zera. Yuda alikuwa na wana wa kiume wa tano.
5 Figliuoli di Perets: Hetsron e Hamul.
Wana wa Peresi walikuwa Hesroni na Hamuli.
6 Figliuoli di Zerach: Zimri, Ethan, Heman, Calcol e Dara: in tutto, cinque.
Wana wa Zera walikuwa Zimri, Ethani, Hemani, Kalikoli na Darda, wote kwa jumla ni watano.
7 Figliuoli di Carmi: Acan che conturbò Israele quando commise una infedeltà riguardo all’interdetto.
Mwana wa Karmi alikuwa ni Akani, aliye leta taabu katika Israeli alipo iba kile kilicho hifadhiwa kwa ajili ya Mungu.
8 Figliuoli di Ethan: Azaria.
Mwana wa Ethani alikuwa Azaria.
9 Figliuoli che nacquero a Hetsron: Jerahmeel, Ram e Kelubai.
Wana wa Hezroni walikuwa ni Yerameeli, Ramu, na Kalebu.
10 Ram generò Amminadab; Amminadab generò Nahshon, principe dei figliuoli di Giuda;
Ramu akawa baba wa Aminadabu, na Aminadabu akawa baba wa Nashoni, kiongozi miongoni uzao wa Yuda.
11 e Nahshon generò Salma; e Salma generò Boaz. Boaz generò Obed.
Nashoni akawa baba wa Salmoni, na Salmon akawa baba wa Boazi.
12 Obed generò Isai.
Boazi akawa baba wa Obedi, na Obedi akawa baba wa Yese.
13 Isai generò Eliab, suo primogenito, Abinadab il secondo, Scimea il terzo,
Yese akawa baba wa mzaliwa wake wa kwanza Eliabu, wa pili Abinadabu, wa tatu Shama.
14 Nethaneel il quarto, Raddai il quinto,
Nethaneli wa nne, Radai wa tano.
15 Otsem il sesto, Davide il settimo.
Ozemu wa sita, na Daudi wa saba.
16 Le loro sorelle erano Tseruia ed Abigail. Figliuoli di Tseruia: Abishai, Joab ed Asael: tre.
Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa Abishai, Yoabu, na Asaheli, jumla watatu.
17 Abigail partorì Amasa, il cui padre fu Jether, l’Ismaelita.
Abigali akamzaa Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri Mwishmaeli.
18 Caleb figliuolo di Hetsron, ebbe dei figliuoli da Azuba sua moglie, e da Jerioth. Questi sono i figliuoli che ebbe da Azuba: Jescer, Shobab e Ardon.
Kalebu mwana wa Hesroni akawa baba wa watoto wa Azubu mkewe, na Yeriothi. Wanawe walikuwa Yesheri, Shobabu, na Ardoni.
19 Azuba morì e Caleb sposò Efrath, che gli partorì Hur.
Azuba akafa, na Kalebu akamuoa Efrathi, aliye mzalia Huri.
20 Hur generò Uri, e Uri generò Betsaleel.
Huri akawa baba wa Uri, na Uri akawa baba wa Besaleli.
21 Poi Hetsron prese la figliuola di Makir, padre di Galaad; egli avea sessant’anni quando la sposò; ed essa gli partorì Segub.
Baadae Hesroni (alipo kuwa na miaka sitini) akamuoa binti wa Makiri, baba wa Gileadi. Akamzalia Segubu.
22 Segub generò Jair, che ebbe ventitre città nel paese di Galaad.
Segubu akawa baba wa Yairi, aliye miliki miji ishirini na mitatu katika nchi ya Gileadi.
23 I Gheshuriti e i Siri presero loro le borgate di Jair, Kenath e i villaggi che ne dipendevano, sessanta città. Tutti cotesti erano figliuoli di Makir, padre di Galaad.
Geshuri na Aramu wakawapokonya miji ya Yairi na Kenathi, pamoja na miji sitini iliyo zunguka. Hawa wakazi wote walikuwa ni uzao wa Makiri, baba wa Gileadi.
24 Dopo la morte di Hetsron, avvenuta a Caleb-Efratha, Abiah, moglie di Hetsron, gli partorì Ashhur padre di Tekoa.
Baada ya kifo cha Hesroni, Kalebu akalala na Efrata, mke wa baba yake Hesroni. Akamzalia Ashuri, baba wa Tekoa.
25 I figliuoli di Jerahmeel, primogenito di Hetsron, furono: Ram, il primogenito, Buna, Oren ed Otsem, nati da Ahija.
Wana wa Yerameeli, mzaliwa wa kwanza wa Hesroni, walikuwa ni Ramu mzaliwa wa kwanza, Buna, Oreni, Ozemu, na Ahiya.
26 Jerahmeel ebbe un’altra moglie, di nome Atara, che fu madre di Onam.
Yerameeli alikuwa na mke mwingine, Jina lake lilikuwa Atara. Yeye alikuwa mama wa Onamu.
27 I figliuoli di Ram, primogenito di Jerahmeel, furono: Maats, Jamin ed Eker.
Wana wa Ramu, mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli, walikuwa Maasi, Yamini, na Ekeri.
28 I figliuoli di Onam furono: Shammai e Jada. Figliuoli di Shammai: Nadab e Abishur.
Wana wa Onamu walikuwa ni Shamai na Yada. Wana wa Shamai walikuwa ni Nadabu na Abishuri.
29 La moglie di Abishur si chiamava Abihail, che gli partorì Ahban e Molid.
Jina la mke wa Abishuri lilikuwa Abihaili, na akamzalia Abani na Molidi.
30 Figliuoli di Nadab: Seled e Appaim. Seled morì senza figliuoli.
Wana wa Nadabu walikuwa Seledi na Apaimu, lakini Seledi alikufa pasipo watoto.
31 Figliuoli di Appaim: Jscei. Figliuoli di Jscei: Sceshan. Figliuoli di Sceshan: Ahlai.
Mwana wa Apaimu alikuwa Ishi. Mwana wa Ishi alikuwa Sheshani. Mwana wa Sheshani alikuwa Alai.
32 Figliuoli di Jada, fratello di Shammai: Jether e Jonathan. Jether morì senza figliuoli.
Wana wa Yada, kaka yake Shamai, walikuwa Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa pasipo mtoto.
33 Figliuoli di Jonathan: Peleth e Zaza. Questi sono i figliuoli di Jerahmeel.
Wana wa Yonathani walikuwa Pelethi na Zaza. Hawa ndio uzao wa Yerameeli.
34 Sceshan non ebbe figliuoli, ma sì delle figlie. Sceshan aveva uno schiavo egiziano per nome Jarha.
Sasa Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, bali wa kike pekee. Sheshani alikuwa na mtumishi, wa Kimisri, ambaye jina lake lilikuwa Yariha.
35 E Sceshan diede la sua figliuola per moglie a Jarha, suo schiavo; ed essa gli partorì Attai.
Sheshani alimkabidhi binti yake kwa Yariha mtumishi wake kama mke wake. Akamzalia Atai.
36 Attai generò Nathan; Nathan generò Zabad;
Atai akawa baba wa Nathani, na Nathani akawa baba wa Zabadi.
37 Zabad generò Efial; Efial generò Obed;
Zabadi akawa baba wa Efalali, na Afalali akawa baba wa Obedi.
38 Obed generò Jehu; Jehu generò Azaria;
Obedi akawa baba wa Yehu, na Yehu akawa baba wa Azaria.
39 Azaria generò Helets; Helets generò Elasa;
Azaria akawa baba wa Helesi, na Helesi akawa baba wa Eleasa.
40 Elasa generò Sismai; Sismai generò Shallum;
Eleasa akawa baba wa Sismai, na Sismai akawa baba wa Shalumu.
41 Shallum generò Jekamia e Jekamia generò Elishama.
Shalumu akawa baba wa Yekamia, na Yekamia akawa baba wa Elishama.
42 Figliuoli di Caleb, fratello di Jerahmeel: Mesha, suo primogenito che fu padre di Zif, e i figliuoli di Maresha, che fu padre di Hebron.
Wana wa Kalebu, kaka yake Yerameeli, walikuwa ni Mesha mzaliwa wake wa kwanza, aliye kuwa baba wa Zifu. Mwanae wa pili, Maresha, allikuwa baba wa Hebroni.
43 Figliuoli di Hebron: Kora, Tappuah, Rekem e Scema.
Wana wa Hebroni walikuwa Kora, Tapua, Rekemu, na Shema.
44 Scema generò Raham, padre di Jorkeam, Rekem generò Shammai.
Shema akawa baba wa Rahamu, baba wa Yorkeamu. Rekemu akawa baba wa Shamai.
45 Il figliuolo di Shammai fu Maon; e Maon fu il padre di Beth-Tsur.
Mwana wa Shamai alikuwa Maoni, na Maoni alikuwa baba wa Bethsuri.
46 Efa, concubina di Caleb, partorì Haran, Motsa e Gazez. Haran generò Gazez.
Efa, suria wa Kalebu, alimza Harani, Mosa, na Gazezi. Harani akawa baba wa Gazezi.
47 Figliuoli di Jahdai: Reghem, Jotham, Gheshan, Pelet, Efa e Shaaf.
Wana wa Yadai walikuwa Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa, na Shaafa.
48 Maaca, concubina di Caleb, partorì Sceber e Tirhana.
Maaka, suria wa Kalebu, alimza Sheberi na Tirhana.
49 Partorì anche Shaaf, padre di Madmanna, Sceva, padre di Macbena e padre di Ghibea. La figliuola di Caleb era Acsa.
Pia akamza Shaafu baba wa Madmana, Sheva baba wa Makbena na baba wa Gibea. Binti wa Kalebu alikuwa Aksa. Hawa walikuwa uzao wa Kalebu.
50 Questi furono i figliuoli di Caleb: Ben-Hur, primogenito di Efrata, Shobal, padre di Kiriath-Jearim;
Hawa walikuwa wana wa Huri, mzaliwa wake wa kwanza kwa Efratha: Shobali baba wa Kiriath-Yearimu.
51 Salma, padre di Bethlehem; Haref, padre di Beth-Gader.
Salma baba wa Bethlehemu, na Harefu baba wa Beth-gaderi.
52 Shobal, padre di Kiriath-Jearim, ebbe per discendenti: Haroe, e la metà di Menuhoth.
Shobali baba wa kiriath-Yearimu alikuwa na uzao: Haroe, nusu ya watu Wamenuthite,
53 Le famiglie di Kiriath-Jearim furono: gli Ithrei, i Puthei, gli Shumatei e i Mishraei; dalle quali famiglie derivarono gli Tsorathiti e gli Eshtaoliti.
na ukoo wa Kiriath-Yearimu: Waithri, Waputhi, Washumathi, na Wamishrai. Wasorathi na Waeshtaoli walitoka huku.
54 Figliuoli di Salma: Bethlehem e i Netofatei, Atroth-Beth-Joab, la metà dei Manahatei, gli Tsoriti.
Ukoo wa Salma ulikuwa kama ufatao: Bethlehemu, Wanetofathi, Atroth-Beth-Yoabu, na nusu ya Wamenuhothi na Wazori,
55 E le famiglie di scribi che abitavano a Jabets: i Tirathei, gli Scimeathei, i Sucathei. Questi sono i Kenei discesi da Hammath, padre della casa di Recab.
ukoo wa waandishi walio ishi Yabesi: Watirathi, Washimeathi, na Wasukathi. Hawa walikuwa Wakeni walio toka katika uzao wa Hamathi, babu wa Warekabu.

< 1 Cronache 2 >