< Numeri 33 >

1 QUESTE [son] le mosse de' figliuoli d'Israele, che uscirono fuor del paese di Egitto, [distinti] per le loro schiere, sotto la condotta di Mosè e d'Aaronne;
Hizi ndizo safari za wana wa Israeli hapo walipotoka katika nchi ya Misri pamoja na makundi yao ya kijeshi chini ya uongozi wa Musa na Haruni.
2 (Or Mosè scrisse le lor partite secondo ch'essi si mossero per lo comandamento del Signore); queste, [dico, son] le lor mosse, secondo le lor partite:
Musa aliandika maeneo yote tangu walipoondoka mpaka walipofika, kama alivyoamuriwa na BWANA. Hizi ndizo safari zao kama kutoka kwao kulivyokuwa kwa kila walipotoka.
3 Essi adunque si partirono di Rameses, nel primo mese, nel quintodecimo giorno del primo mese; i figliuoli d'Israele si partirono il giorno appresso la Pasqua, a mano alzata, alla vista di tutti gli Egizj,
Mwezi wa kwanza walisafiri kutoka Ramesi, waliondoka siku ya kumi na tano. Asubuhi siku iliyofuata baada ya Pasaka, Wana wa Israeli waliondoka wazi wazi, mbele ya machoya Wamisri wote.
4 mentre gli Egizj seppellivano quelli che il Signore avea percossi fra loro, [che erano] tutti i primogeniti. Or il Signore avea fatti giudicii sopra i lor dii.
Hii ilitokea wakati Wamisiri walipokuwa wakizika wazaliwa wao wa kwanza, ambao BWANA alikuwa amewaua miongoni mwao, kwa kuwa pia alikuwa ameiadhibu miungu yao.
5 I figliuoli d'Israele adunque, partitisi di Rameses, si accamparono in Succot.
Wana wa Israeli walisafiri kutoka Ramesi na kuweka kambi
6 E, partitisi di Succot, si accamparono in Etam, ch'[è] nell'estremità del deserto.
Sukothi. Walisafiri toka Sukothi na kuweka kambi Ethamu, mwisho wa nyika.
7 E, partitisi di Etam, si rivolsero verso la foce di Hirot, ch' [è] dirincontro a Baal-sefon, e si accamparono dinanzi a Migdol.
Wakasafiri kutoka Ethamu wakarudi mpaka Pi-Hahirothi, ambayo inaikabili Baali Zephoni, ambapo waliweka kambi kuikabili Migidoli
8 Poi, partitisi d'innanzi a Hirot, passarono per mezzo il mare, [traendo] verso il deserto; e, andati tre giornate di cammino per lo deserto di Etam, si accamparono in Mara.
Kisha wakasafiri toka mkabala wa Pi-Hairothi na kupita katikati ya bahari kuelekea nyikani. Wakasafiri safari ya siku tatu katika nyika ya Ethamu na kuweka kambi Mara.
9 E, partitisi di Mara, giunsero in Elim, ove [erano] dodici fonti d'acqua, e settanta palme; e si accamparono quivi.
Wakasafiri kutoka Mara kufika Elimu. Pale Elimu kulikuwa na chemichemi kumi na mbili za maji na miti sabini ya mitende. hapo ndipo walipoweka kambi.
10 E, partitisi di Elim, si accamparono presso al mar rosso.
Walisafiri kutoka Elimu na kuweka kambi karibu na Bahari ya Shamu.
11 E, partitisi dal mar rosso, si accamparono nel deserto di Sin.
Walisafiri kutoka Bahari ya Shamu na kuweka kambi katika nyika ya Sini.
12 E, partitisi dal deserto di Sin, si accamparono in Dofca.
Walisafiri kutoka nyika ya Sini na kuweka kambi Dofka.
13 E, partitisi di Dofca, si accamparono in Alus.
Wakasafiri kutoka Dofka na kuweka kambi Alushi.
14 E, partitisi di Alus, si accamparono in Refidim, ove non era acqua da bere per lo popolo.
Wakasafiri kutoka Alushi na kuweka kambi Refidimu, ambapo watu walikosa maji ya kunywa.
15 E, partitisi di Refidim, si accamparono nel deserto di Sinai.
Walisafiri kutoka Refidimu na kuweka kambi kwenye nyika ya Sinai.
16 E, partitisi dal deserto di Sinai, si accamparono in Chibrot-taava.
Walisafiri kutoka nyika ya Sinai na kuweka kambi Kibrothi Hataava.
17 E, partitisi di Chibrot-taava, si accamparono in Haserot.
Walisafiri kutoka Kibrothi Hataava na kuweka kambi Hazerothi.
18 E, partitisi di Haserot, si accamparono in Ritma.
Walisafiri kutoka Hazerothi na kuweka kambi Rithima.
19 E, partitisi di Ritma, si accamparono in Rimmon-peres.
Walisafiri kutoka Rithima na kuweka kambi Rimoni Perezi.
20 E, partitisi di Rimmon-peres, si accamparono in Libna.
Walisafiri kutoka Rimoni Perezi na kuweka kambi Libna.
21 E, partitisi di Libna, si accamparono in Rissa.
Walisafiri kutoka Libna na kuweka kambi Risa.
22 E, partitisi di Rissa, si accamparono in Chehelata.
Walisafiri kutoka Risa na kuweka kambi Kehelatha.
23 E, partitisi di Chehelata, si accamparono nel monte di Sefer.
Walisafiri kutoka Kehelatha na kuweka kambi kwenye Mlima Sheferi.
24 E, partitisi dal monte di Sefer, si accamparono in Harada.
Walisafiri kutoka Mlima Sheferi na kuweka kambi Harada.
25 E, partitisi di Harada, si accamparono in Machelot.
Walisafiri kutoka Harada na kuweka kambi Makelothi.
26 E, partitisi di Machelot, si accamparono in Tahat.
Walisafiri kutoka Makelothi na kuweka kambi Tahathi.
27 E, partitisi di Tahat, si accamparono in Tera.
Walisafiri kutoka Ttahalathi na kuweka kambi Tera.
28 E, partitisi di Tera, si accamparono in Mitca.
Walisafiri kutokaTera na kuweka kambi Mithika.
29 E, partitisi di Mitca, si accamparono in Hasmona.
Walisafiri kutoka Mithika na kuweka kambi Hashimona.
30 E, partitisi di Hasmona, si accamparono in Moserot.
Walisafiri kutoka Hashimona na kuweka kambi Moserothi.
31 E, partitisi di Moserot, si accamparono in Bene-Iaacan.
Walisafiri kutoka Moserothi na kuweka kambi Bene Jaakani.
32 E, partitisi di Bene-Iaacan, si accamparono in Hor-ghidgad.
Walisafiri kutoka Bene Jaakani na kuweka kambi Hori Hagidigadi.
33 E, partitisi di Hor-ghidgad, si accamparono in Iotbata.
Walisafiri kutoka Hori Hagidigadi na kuweka kambi Jotibatha.
34 E, partitisi di Iotbata, si accamparono in Abrona.
Walisafiri kutoka Jotibatha na kuweka kambi Abrona.
35 E, partitisi d'Abrona, si accamparono in Esion-gaber.
Walisafiri kutoka Abrona na kuweka kambi Ezioni Geberi.
36 E, partitisi d'Esion-gaber, si accamparono nel deserto di Sin, [ch'è] Cades.
Walisafiri toka Ezioini Geberi na kuweka kambi katika nyika ya Sini kule Kadeshi.
37 E, partitisi di Cades, si accamparono nel monte di Hor, nell'estremità del paese di Edom.
Walisafiri kutoka Kadeshi na kuweka kambi Mlima Hori, Pembezoni mwa nchi ya Edomu.
38 E il sacerdote Aaronne salì in sul monte di Hor, per comandamento del Signore, e morì quivi nell'anno quarantesimo da che i figliuoli d'Israele furono usciti fuor del paese di Egitto, nel quinto mese, alle calendi.
Hapo ndipo Haruni kuhani alipoenda kwenye Mlima Hori kwa amri ya BWANA na kufa kule mwaka wa arobaini bada ya Wisraeli kutoka katika nchi ya Misri, katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano.
39 Or Aaronne [era] d'età di cenventitrè anni, quando egli morì nel monte di Hor.
Haruni alikuwa na umri wa mika 123 alipokufa pale juu ya Mlima Hori.
40 Allora il Cananeo, re di Arad, che abitava verso il mezzodì, nel paese di Canaan, intese la venuta de' figliuoli di Israele.
Wakanaani, mfalme wa Aradi, ambao waliishi kusini mwa nyika katika nchi ya Kanaani, walisikia juu ya ujio wa wana wa Israeli.
41 Poi, partitisi dal monte di Hor, si accamparono in Salmona.
Walisafiri kutika Mlima Hori n a kuweka kambi Zalimona.
42 E, partitisi di Salmona, si accamparono in Funon.
Walisafiri kutoka Zalimona na kuweka kambi Punoni.
43 E, partitisi di Funon, si accamparono in Obot.
Walisafiri kutoka Punoni na kuweka kambi Obothi.
44 E, partitisi di Obot, si accamparono a' poggi di Abarim, a' confini di Moab.
Walisafiri kutoka Obothi na kuweka kambi Abarimu, katika mpaka wa Moabu.
45 E, partitisi da' Poggi, si accamparono in Dibon-Gad.
Walisafiri kutoka Abarimu na kuweka kambi Diboni Gadi.
46 E, partitisi di Dibon-Gad, si accamparono in Almon, verso Diblataim.
Walisafiri kutoka Diboni Gadi na kuweka kambi Alimoni Diblathaimu.
47 E, partitisi d'Almon, verso Diblataim, si accamparono nei monti di Abarim, dirimpetto a Nebo.
Walisafiri kutoka Alimoni Diblathaimu na kuweka kambi kwenye milima ya Abarimu mkabala na Nebo.
48 E, partitisi da' monti di Abarim, si accamparono nelle campagne di Moab, presso al Giordano di Gerico.
Walisafiri kutoka mlima wa Abarimuna kuweka kambi kwenye nyanda za Moabu karibu na Yorodani huko Yeriko.
49 E si accamparono presso al Giordano, da Betiesimot fino ad Abel-Sittim, nelle campagne di Moab.
Waliweka kambi karibu na Yorodani, kutoka Bethi Jeshimothi mpaka Abeli Shitimu katika nyanda za Moabu.
50 E il Signore parlò a Mosè nelle campagne di Moab, presso al Giordano di Gerico, dicendo:
Hapo BWANA alinenana Musa katika nyanda za Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko akasema,
51 Parla a' figliuoli d'Israele, e di' loro: Quando sarete passati il Giordano, [e sarete entrati] nel paese di Canaan,
“Nena na wana wa Israeli uwaambie. 'Mtakapovuka mto Yorodani kuingia Kanaani,
52 cacciate d'innanzi a voi tutti gli abitanti del paese, e disfate tutte le loro immagini, e tutte le loro statue di getto, e distruggete tutti i loro alti luoghi.
ndipo mtakapowafukuza wenyeji wote mbele yenu. Mtaziharibu sanamu zote za kuchongwa. Mtaziharibu sanamu zao za kusubu na kuharibu mahali pao pote palipoinuka.
53 E mettetevi in possession del paese, e abitate in esso; conciossiachè io vi abbia donato il paese, per possederlo.
Mtachukua hiyo ardhi iwe mali yenu na muishi ndani yake, kwa sababu nimewapeni hiyo nchi iwe mali yenu.
54 E spartite la possessione del paese a sorte, secondo le vostre nazioni; a quelle che sono in maggior numero date maggior possessione, e minore a quelle che sono in minor numero; in qualunque luogo la sorte d'alcuna gli sarà scaduta quello sia suo; spartitevi la possessione del paese per le vostre tribù paterne.
Mtairithi hiyo nchi kwa kupiga kura, kwa kufuata kila ukoo. Kwa zile koo kubwa kubwa mtawapa sehemu kubwa ya ardhi, na kwa zile koo ndogo ndogo mtawapa sehemu ndogo ya ardhi. Kura itakapoanguka kwenye kila ukoo, hiyo ardhi itakuwa mali yake. Mtairithi ardhi kufuata ukoo wa kabilla la jamaa zenu.
55 E se voi non iscacciate d'innanzi a voi gli abitanti del paese, que' di loro che avrete lasciati di resto vi saranno stecchi agli occhi, e spine a' fianchi, e vi nimicheranno nel paese nel quale abiterete.
Lakini kama hamtawafukuza wenyeji wa nchi hiyo watoke mbele yenu, ndipo wale watu mtakaowaruhusu wakae nanyi watakapokuwa kama sindano machoni mwenu na miiba katika mbavu zenu. Watayafanya maisha yenu yawe magumu katika nchi mnayoishi.
56 E avverrà ch'io farò a voi, come io avea proposto di fare a loro.
Ndipo itakapotokea kuwa kile ambacho Mimi ninakusudia kufanya kwa wale watu, Nitawafanyia pia ninyi'”

< Numeri 33 >